- 198
- 182 203
IBUN JUMUA TV
เข้าร่วมเมื่อ 17 พ.ค. 2021
PATA MAWAIDHA MBALI MBALI VISA KHUTBA MIHADHARA SEMINA NA FASIRI ZA QUR ANI
KUPITIA MASHEKH WETU WABOBEZI KATIKA UISLAMU
BONYEZA TU NENO SUBSCRIBE
KUPITIA MASHEKH WETU WABOBEZI KATIKA UISLAMU
BONYEZA TU NENO SUBSCRIBE
HII NDIO DUNIA TAHADHARI CHUKUA ||Sheikh Hassan Ahmad
HII NDIO DUNIA TAHADHARI CHUKUA ||Sheikh Hassan Ahmad
มุมมอง: 15
วีดีโอ
MASHIA MWASEMA HAMUWATUKANI MASWAHABA HIKI NININI MSITUCHEZEE AKILI Sheikh wakisufi Mziwanda
มุมมอง 1.4K2 ชั่วโมงที่ผ่านมา
MASHIA MWASEMA HAMUWATUKANI MASWAHABA HIKI NININI MSITUCHEZEE AKILI Sheikh wakisufi Mziwanda
USILOLIJUA KUHUSU USHIA NA MASHIA NA ALLAH ATUNUSURU NAO
มุมมอง 4004 ชั่วโมงที่ผ่านมา
USILOLIJUA KUHUSU USHIA NA MASHIA NA ALLAH ATUNUSURU NAO
SHEIKH WA KISHIA JALALA ALIA NA MANENO YAKE MASKINI NAHUU NDIO USHIA || Sheikh Anwar Khatibu Allah
มุมมอง 1.1K7 ชั่วโมงที่ผ่านมา
SHEIKH WA KISHIA JALALA ALIA NA MANENO YAKE MASKINI NAHUU NDIO USHIA || Sheikh Anwar Khatibu Allah
SHEIKH WA KISHIA JALALA AKIJIUMBUA MWENYEWE JUU YA KUWASEMA VIBAYA MASWAHABA HASWA MAKHALIFA WAWILI
มุมมอง 7K12 ชั่วโมงที่ผ่านมา
SHEIKH WA KISHIA JALALA AKIJIUMBUA MWENYEWE JUU YA KUWASEMA VIBAYA MASWAHABA HASWA MAKHALIFA WAWILI
SHEIKH WAKISHIA JALALA AKITEMA NYONGO ZAKE KWA MASWAHABA BILA WOGA HUU NDIO USHIA SASA MKIAMBIWA
มุมมอง 9K12 ชั่วโมงที่ผ่านมา
Hakikisha una SUBSCRIBE channel yetu ya Ibun jumua
MASHIA WAANIKWA WAZI NA MASHEIKH JUU YA ITIKADI ZAO WAISLAMU ZINDUKENI HAO SIO WENZETU
มุมมอง 3.4K14 ชั่วโมงที่ผ่านมา
@BABDEOMILADU @islamicftz @mtoroonlinetv
TAHADHARI NA SAANA HAYA MADHAMBI KABLA YA KUINGIZWA KABURINI || Al AKHY ISMAIL JUMA
มุมมอง 30316 ชั่วโมงที่ผ่านมา
TAHADHARI NA SAANA HAYA MADHAMBI KABLA YA KUINGIZWA KABURINI || Al AKHY ISMAIL JUMA
BAYANA KWA UMMAH JU YA UOVU WA MASHIA NISHEKH WA KISUFI SHEIKH MZIWANDA AENDELEA NA KUWAUMBUA MASHIA
มุมมอง 1.5K16 ชั่วโมงที่ผ่านมา
@ibunjumuatv9502 @mahaasintvofficialchannel8681 SUBSCRIBE
MNAWAJUA MASHIA NYIE SHEIKH WAKISUFI SHEIKH MZIWANDA AWACHANA MAKAVU WENZAKE KUWAKUMBATIA MASHIA
มุมมอง 2.1K19 ชั่วโมงที่ผ่านมา
Tokomeza ushia Tanzania usisahau ku #SUBSCRIBE upate mengi zaidi
MASHIA NI MAADUI WETU HATUWEZI KUKAAA NAO PAMOJA
มุมมอง 25921 ชั่วโมงที่ผ่านมา
MASHIA NI MAADUI WETU HATUWEZI KUKAAA NAO PAMOJA
MASHIA NIHATARI WAISLAMU ZINDUKENI NAO SHEIKH WA KISUFI IZZUDDIIN AWAWEKA WAZI
มุมมอง 4.4Kวันที่ผ่านมา
MASHIA NIHATARI WAISLAMU ZINDUKENI NAO SHEIKH WA KISUFI IZZUDDIIN AWAWEKA WAZI
UJUMBE MZITO KWA WASANII WEISLAMU KIHUSU YANAYO ENDELEA SINURA DIVAWASAFI KIFO
มุมมอง 2.7Kวันที่ผ่านมา
Tafadhal #SUBSCRIBE @dplatnumz @officialzuchu @officialzuchu @alikibaOfficial
DUA NZITO KWA MASHIA ALLAH AWAANGAMIZE || SHEIKH HASHIM RUSAGANYA
มุมมอง 4.1K14 วันที่ผ่านมา
DUA NZITO KWA MASHIA ALLAH AWAANGAMIZE || SHEIKH HASHIM RUSAGANYA
IJUE DUA UKIISOMA UNAFUNGULIWA MILANGO NANE YA PEPO UNAINGIA UTAKAO
มุมมอง 5014 วันที่ผ่านมา
IJUE DUA UKIISOMA UNAFUNGULIWA MILANGO NANE YA PEPO UNAINGIA UTAKAO
UJUMBE KWA MWINJAKI NA SHABIKI WA YANGA NA MASHABIKI WOOTE WAMIPIRA
มุมมอง 94914 วันที่ผ่านมา
UJUMBE KWA MWINJAKI NA SHABIKI WA YANGA NA MASHABIKI WOOTE WAMIPIRA
NJAMA ZA MASHIA DHIDI YAMASHEIKH WA KISUNNAH ||SHEIKH SALIMU BARAHIYANI
มุมมอง 3.6Kหลายเดือนก่อน
NJAMA ZA MASHIA DHIDI YAMASHEIKH WA KISUNNAH ||SHEIKH SALIMU BARAHIYANI
HUU HAPA MUHADHARA ULIOWAIBUA MASALAFI JADIDA SIKILIZA KWA MAKINI
มุมมอง 160หลายเดือนก่อน
HUU HAPA MUHADHARA ULIOWAIBUA MASALAFI JADIDA SIKILIZA KWA MAKINI
USIKUBALI USIKUBALI FAMILIA YAKO KUYO SWALI HAYA NDIO MADHARA YAKE
มุมมอง 234หลายเดือนก่อน
USIKUBALI USIKUBALI FAMILIA YAKO KUYO SWALI HAYA NDIO MADHARA YAKE
RADDI YA 2 KWA MASHIA GOLO NA MAIBADHI NA SHEIKH SALIM BARAHIYANI
มุมมอง 2372 หลายเดือนก่อน
RADDI YA 2 KWA MASHIA GOLO NA MAIBADHI NA SHEIKH SALIM BARAHIYANI
RADDI KWA MAJADIDA MASHIA NA MAIBADHI |SHEIKH SALIMU BARAHIYANI
มุมมอง 2932 หลายเดือนก่อน
RADDI KWA MAJADIDA MASHIA NA MAIBADHI |SHEIKH SALIMU BARAHIYANI
SHEIKH IBRAHIM TWAHA AWACHANA KWEUPE MASHIA HAKUNA DALILI KUA A'SHURAA NIKIFO CHA HUSSEIN
มุมมอง 753 หลายเดือนก่อน
SHEIKH IBRAHIM TWAHA AWACHANA KWEUPE MASHIA HAKUNA DALILI KUA A'SHURAA NIKIFO CHA HUSSEIN
MASHIA LEO WAMEWEKWA WAZI KUHUSU ASHURAA HAO SIO WAISLAMU
มุมมอง 163 หลายเดือนก่อน
MASHIA LEO WAMEWEKWA WAZI KUHUSU ASHURAA HAO SIO WAISLAMU
DR ISLAM MUHAMMAD ||ASHURAA SIO YAKUJICHINJA NA KUJIPIGA MASHIA
มุมมอง 1363 หลายเดือนก่อน
DR ISLAM MUHAMMAD ||ASHURAA SIO YAKUJICHINJA NA KUJIPIGA MASHIA
JIONEE MAELEFU YA WAISLAMU WALIVYOHUDHURIA KATIKA KONGAMANO HILI LA AFRICA MASHARIKI
มุมมอง 2083 หลายเดือนก่อน
JIONEE MAELEFU YA WAISLAMU WALIVYOHUDHURIA KATIKA KONGAMANO HILI LA AFRICA MASHARIKI
UNAUZA USILAMU WAKO KWA MUCHELE N ASUKARI[Dr Islam Muhammad ]UJUMBE KWA MASHIA
มุมมอง 1984 หลายเดือนก่อน
UNAUZA USILAMU WAKO KWA MUCHELE N ASUKARI[Dr Islam Muhammad ]UJUMBE KWA MASHIA
Jalala la VINYESI
@@idrisamara6510 Usitukane tafafhali pole pole
mziwanda,makejeli yako kwa mashia unayatoa ktk mawlid za masuni,lakini maanswar suna wanasema mawlid ni haramu na masuni ni maghurafi..sasa hapo tuelewe vipi?
mziwansa,wasema wudhu wao si sawa na sisi, wao wanapaka miguu sisi kwetu suni ni faradhwi...kwani Quran imesemaje kuhusu wudhu?kupaka au kuosha miguu?
mziwanda, hivi kusema tabia za mtu ni mlevi na kweli alikua mlevi NI TUSI?
@@hamynas Kwahio swahaba Omar Allah aridhie alikufa ilihali ni mlevi sindio
@@ibunjumuatv9502 asili ya umar alikua mlevi tena alikua akitoka ulevini anaimba manyimbo maka nzina inarindima kwa nyimbo zake kasome tarekhe sheikh utakuta hizi mambo na wakati alipokua khakifa, alikua akipokea vjdude fulani fulani kutoka rome ,,ipo siku swahaba wake alichukua kibuyu kimona akaonja akakuta ni mvinyo AKAMHJLJZA YA UMAR HII SI POMBE?UMAR ALIMTANDIKA AKAMWAMBIA NANI KAKURUHUSU KUCHUNGUZA HIZI MAMBO?
@@ibunjumuatv9502 kubusu la kufa ulevini nasikia ila sijathibitisha ktk vutabu vya wasuni,umar aliagiza aletewe maji yaluyosindikwa ya tende akanywa
swali ,kutukana au kusema tabia na mambo yaliyothibiti ktk historia ni sawa? ktk lugha tusi na kusema makosa na tabia zao NI SAWA?
Unajua kaburi la mtume lilikua wapi boc wa ucwe na uchukivu wa watu usio na maana
shekhe kasema uwongo kundi la kishia Nigeria linalikadiriwa kuwa na wafuasi milioni 20 lipo hai na linaendelea na shughuli zake tizama hapa th-cam.com/video/pkUjFbNBjpM/w-d-xo.htmlsi=4ixTw2R3gTck1QcZ
Hamuna kazi za kufanya unabishana usenge tu makuma nyote nyie
Mnafilwa nyote
Wewe ndio kungwi wao
huyu mtu unaita nigeria zakzuki kama kapigwa marufuku nigeria, mbona wapo na mpaka juzi wamefanya maandamanio na makongamano?wacha porojo sheikh
ikiwa ali siyo mshia na ni kweli hakua mshia,halikadhalika umar, abubakar na othman hawakua masuni . .NYINYI MASUNI NA USHIA MUMEUTOA WAPI?
ujue huu umuhimu wa umar mbona hauonekani enzi za mtume saww? kwa mfano enzi za vita zilizonuka UMAR ALIKUA KTK MASWAHABA WALIOTIMUA MBIO VITANI NA KUMTELEKEZA MTUME SAWW PEKE AKE ANAPIGWA NA MAKAFIRI? HIVI UMUHIMU WAKE SI UNGEONEKANA WAKATI WA KUMUHAMI MTUME VITANI ?AU NAKOSEA?
wasuni soemeni na hapa kuona maneno anasema sheikh wa kishia kuwa nj kweli umar alichoma nyumba ya binti ya mtume saww "By God, either you come out to render the oath of allegiance, or I will set the house on fire.”al-Zubair came out with his sword drawn. As he stumbled (upon something), the sword fell from his hand so they jumped over him and seized him." Sunni Reference: History of Tabari, English version, v9, pp 186-187
kasomeni na hapa Sunni reference: History of al-Tabari, English version, v9, pp 188-189 wasuni ni wavivu kusoma vitabu vyao wenyewe
hebu masuni mkanunue hivi vitabu vyenu pale msikiti wa ntoro msome haya mambo anayosema sheikh wa kishia muone ni kweli yameandikwa ama laa Sunni References: - Ahmad Ibn Hanbal, v1, p55 - Sirah al-Nabawiyyah, by Ibn Hisham, v4, p309 - History of Tabari (Arabic), v1, p1822 - History of Tabari, English version, v9, p192
hizi kasheshe alizofanya umar na aboubakar zimeandikwa ktk vitabu vya kisuni na siyo mashia tuu Au wale maulamaa wa kisuni walisema urongo?
@@hamynas Kipi hichokitabu si twambie
shekhe wasema uwongo..onar alioa umm kolthom bint abubakar siyo mwanae ...na hata alivyotaka kuoa omar alimfuata mama aysha ambae ni dada ake ummu kolthom nafkir mwache uwongo
Tusememe ukweli Uislamu wasasa umepotoshwa na saudia. Mashia ni Waislamu kama wengine. Nazani vita ya Palestina itaamua nani yupo sahihi. Nikundi lipi linatumika na mayahudi hasa na makafiri? Hivi kweli kwa ma khalifa wote walio pita walikuwa zama zamtume wooote kisha watafautiane kwa alie saliya jeneza la mtume wetu S. A. W. Hamuoni pana kitu kimeficwa.
@@jumaciza461 Kitu gani wewe shia liti gani nahio ndoyapelekea kuongea yasiowahusu maswahaba na kuwabandika
Shekhe Mziwanda waambie waislam kuw ni akina nani walianzisha sherehe za Mazazi ya Mtume صلي الله عليه وسلم
Njooni katika usalafi.... Njooni katika usalafi... Njooni katika usalafi...
Hawa mawahabii ni walevii tuu
Naamini ipo siku Allah atakuongoza wewe Mziwanda Utaachana na Maulidi na nakuombea dua sana...kwasababu mimi naamini kinachokubakisha wewe kwenye Maulidi sio ujinga ispokuwa ni Hawaa za nafsiyako Allah akuongoze wewe na sisi wote.
Lau mziwanda angeondoka kwenye bid'aa na hawa angenyooka sana sio hajui alifanyalo ni hawaa tu
Masheikh zangu samahani kwanza. Asili ya Mashia ni makafiri tu tusizunguke mbuyu.
Allah Azidi kuku ongoa Dada yangu
We muwahab unaweza kufanya mdahalo na mashia??? Kama unaweza njoo
@@JailanRamadhan Wewe utakua wa mwanzo kuutaka mdahalo maana mwenzako hata kuusikia hawataki maana wanajua kinachoendelea
Mdahalo upi unayozungumza wewe ambao masalafy kila siku wanatuma taarifa za kuhitaji mdahalo na hakuna shia yoyote aliethubutu kusema yuko tayari Hahahah hlf eti unajifariji mdahalo khaaa
Lusaganya weee! Huogopi kudhuria uongo Mtume?!! Haya in shaa Allaah,tutakuona huko Aakhira utakuwa upande gani.
Hayo ndiyo maneno ya wasaka tonge kwa sura ya Dini. Kwahiyo hao wakisema Labbayka yaa Husayn,hapo wanakuwa wapo kwenye ibada ya Hijjah? Haya,twambiye: Wakiwa huko makkah kwenye ibada ya Hijjah,ni nani aliye wahi wasikia wakisema:Labbayka ya Husayn? Dunia nimapito tu,na nyote mtakusanywa huko Aakhira naitajulikana siku hiyo kati yenu nawao,makafiri ni akina nani.
Yaani kwenye utawala wa kidhaalimu wa banii umayya mpk hadithi za kutunga zilizagaa ndio maana leo kunafatwa haifai kumpinga kiongozii anachokuamrisha fataa 😂😂😂
Unamaanisha nini
@@sijartv9554 najua huwezi elewa Kwa sababu sio msomii nenda kasome utawala wa muawiya ulikuwaje ndio utajuaa maovu aliyoyafanya na ukatili alioufanya historia haiwezi kumsahau
Maswahaba nao ni binaadamu kama sisi hukoseaa na kuingia ktk makosa hii inaonesha wazi kwamba mkamilifu pekee ni Allah s.w . Mfano swahaba muawiyaa yeye ndie muanzilishi wa fitna baina ya waislamu na ndio maana mpk leo chuki zinaendelea baina ya waislamu kwa sababu yake muawii kwahiyo kusema ukweli ndio kutukana maswahaba?? Historia ipoo wazi kabisaa kwa aliyoyafnya muawii na utawala wake inajuulimana wazi hivyo basi kama swahaba kakosea watu wasiseme kama kakoseaa ??
Ali bin Abi Twaalib ni swahaba kwa Imani ya kishia nae anakosea ? Kama unavyodai ww kila mwanaadamu Anakosea?
@@AnaSalafi-f9d ndio sayyidna Ally bin abii twalib alikosea kwani yeye nani ata asikosee ?? Yeye ni binaadamu kama sisi kukosea ni kawaida ya mwanaadamu ,na ndio maana waislamu tunatakiwa tuangalie mbelee tusiangalie yalokwisha pitaaa sisi sote waislamu ni ndugu tusikae tukaanza kubaguwana alie mbora kwetu mbele ya mwenyezimungu ni mchaamungu .chaajabu waislamu wa zama za Leo kazi yetu kubwaa kukosowana tuu na kukufurishana pepo ni ya Allah na yeye anajua nani wa peponi na nani wa motoni yaani kukufurisha mashiaa munajisumbua tuu
Niko njia Bujumbura sheikh kiwanda nakupenda kwahayo hakuwa mkweli ktk siasa yakuutete uislamu all alipe kwa hayo na kufikia kwa bidhaa
Wewe unachanganyikiwa ,kwan kusema walio yafanya maswaha ni matusi au kisa walio ya fany ni mabaya??, wewe ni km wao
Huyo mziwanda ni shoga hana elimu yoyote mnafki yaan eti shekh ana watu wanamfuata
@@AngumbwikeNdumbwinee Subhaanallah mbona Jazba ndugu mche Allah kutukana sio tija wewe toa hoja au vunja hoja
Kurukaruka Kwa maharage ndo kuiva kwake Daawa imeingia .. vijana wanasema Hii imeenda!!!!!!
Huo unaitwa msumari
Huo unaitwa msumari
Hakushindi wewe, p ddy family
Laanatul Allah aleihi
Mzee endelea kusoma zaidi ili ujue dini ya kiislamu vzr,na pia soma zaidi ujue ushia kiundani kuliko kua mjinga
@@LuqmanKawela-qf8ny Kua mjinga Eeeh ok Allah akuongoze bado umepofuka
@@ibunjumuatv9502 Allah akuifadh shekhe
@@ibunjumuatv9502 Allah aniongoze kwa kumpenda yeye Mtume wa Muhammad na familia yake nakizazi chake kitakatifu na Quran inshallah ndo usia alioacha Mtume Muhhamad (s.a.w.w) inshallah nawe Allah akuongeze uache kuongea vitu visivyo na sense mzee wangu na Allah akuongoze utuelimishe mambo ya hekma inshallah
Mimi nimeanza kivutiwa na ushia baada ya kusikiliza darsa ya tahrif kur an kutoka kwa mashia wenyewe kumbe kuna riwaya nyingi sana za kisunni zilizopokelewa ambazo zinasema qur an imezidi na imepungua,ambapo mwanzo tuliaminishwa hayo yapo kwa mashia tu
@@harithwhite589 Umeanza kuvutiwa Eeh ok pia nivitabu gani hivyo ili tujifunze zaidi nasie maana maneno yasio na uthibitisho nikazi bure
Wewe nishia unaficha imani laatullah
Allah atupe mwisho mwema ss wte ya rabb
Ukiwa mkubwa na akili iwe kubwa tusilopoke ata kuongea kwenu ni kama msela tu wa mtaani analopoka innalillilahi wainna ilai rajiuun
Kuna mambo kibao ya kuongea ya msingi kuliko kupoteza mda kuwatukana mashia,sababu kubwa ni elimu ndogo sio makosa yenu tusomeni jamani na tujadiliane kwa pamoja sisi wote ni kitu kimoja
Na hao mashia ndio watetezi wakubwa wa Palestine na ndio wanakufa kila kukicha kwa ajili ya Allah.sisi mashia ndio tunaomba dua kuwasaidia waislamu wenzetu wanachinjwa kilia siku mashrik ya kati haijilishi ni sunni au mashia
Innalillilahi wainna ilai rajiuun.mashekhe muogopeni sn Allah (s.w.t) na mtume wake Muhammad (s.a.w.w) na kizazi chake kukieshimu.
Sawa ni wakati wa kuvitafsiri vitabu vikubwa vya kishia ili Waislamu wawajue vizuri.
Bila urongo na kuwalaani maswahaba hakuna Ushia.Ni kama Ukristo,bila urongo na kuwadhalilisha mitume hatuna Ukristo.
Msanii niwewe usio jitambua kwa unayoyanena unajipya.
Mashia wapo na watakuwepo sasa kuliko kupoteza mda wenu na kuleta chuki haisaidie chochote kwasabbu watu wameshavuka huko!! Ebu muongelee matatizo ya waisilam wako pale Palestine, lebanoni......wanakufa mchana na usiku hawana musaada kutoka kwenu sijui kma muna mda wakuwakumbuka hata kwenye dua zenu ,kisha munajifanya nyie ndio munapenda dini ya wisilam wakati hata Mtume Muhammad hamumuujui vzr 😢
@@assiahassan2671 Mh pole saana mshia Allah akuongoze na atuongoze katika haqq Ama kuhusu Palestine na labanon Hilo Tumemuachia Allah nadaima hatutoacha kuwaombea Amani
@@ibunjumuatv9502 atuongoze sote
@@assiahassan2671 MASHIA ndio wanao wasaidia pelestina na uislamu. Mawahabi wanasaidia fitna NA uyahud
@@hilalalhabsi2047 ila wanajifanya kma hawaoni,kipindi Cha al kaida ,Boko Haram ....,walitangaza jihad sana ila ona kwasasa wapo kimya half wanapata nguvu ya kuchonganisha waisilam
@@assiahassan2671 sio wanajifanya hawaoni. Kwa kuona kwao MASHIA wanafanya kheri kwa waislamu wengine basi inawauma sanna mayahudi NA kundi lao la kiwahabia kuwa shia ni dhiddi yao
Huuu uongo u aozungumzia kuhusu Ushia walahi mtaingizwa JAHANA WOTE INSHAALLAH - AMEEN 🤲🤲🤲
Na je tunajua maulid yalizushwa na mashia sufi ameyakumbatia je yeye naye tutamuitaje watu zindukeni acheni kufuata mambo ambayo hayana msingi kwenye dini acheni
@@hassanWanjiku wewe sufi wanakuhusu nini?. Sufi sio mihemko bali hufuata elimu. Tumia hoja na sio chuki kwasababu chuki sio MEZANI ya elimu
@@hilalalhabsi2047 someni sana mjue waliozua maulid ni akina nani mtajua na mkijua mtaachana nayo c kulazimisha jambo halimo
@@hassanWanjiku hatuangalii ndege alizua nani kuitengeza. Tunaangali kielimu ya dini inafaa au haifai kwa kigezo cha kielimu
@@hilalalhabsi2047 haifai kwa sababu c dini hata mkalisema kwa uzuri vipi bado sana
@@hassanWanjiku sasa mbona mawahabi mumewazidi vinyonga kwa kugeuka rangi? NA hivyo ndivyo dalili za wanafiki. Sasa hivi umesema haifai kwasababu kaanzisha shia, sasa tena bila sura yako kuona aibu kwa kuwa ushajua hakuna sheria ya dini kukataza kwa sababu ya alioanzisha ukaona sasa utunge sababu nyengine ati maulid sio dini. NA hili ukijibiwa pia utatafuta jengine kwasababu tu wewe huyataki. Sawa sema sio dini ni mkutano wa siasa wenyewe wameekaa bila kumuudhi mtu basi waache wenyewe NA kongamano lao hali kuhusu. Mazali USHASEMA kuwa Maulid sio dini, basi jambo lisilo dini haupati swawabu wala dhambi ni furaha zao waache kwasababu sio watumwa wako hata wewe uwatolee amri watu kufuata amri zako. Weye fanya yako.
Assalam alykum shekh..mbona unatuchonganisha umati wa mtume Muhammad (saww)
@@IbrahimuItongola-bd6xl Unatuchonganisha katika lipi
Wewe wala huna umma sijui ni nani ondokazako wachonganishwa na nani
Wewe sh ni mtu wamotoni kwa kusemauwongo
Wacha uwongo wewe sh
USIOGOPE sheikh kusema MASHIA ni makafiti!! Hivi mtu anayedai qur'an hii si qur'an ya ille aliyoteremshiwa mtume صلى الله عليه وسلم hii ni qur'an ya baniivumayya!! Je huko kuipinga qur'an,anabakia kubakia kuwa na UISLAM?