NIMEGHAIRI NATAKA NGOMA IPIGWE UWANJANI SIO NDANI TENAA! SHEIKH MZIWANDA MAULIDI MADRASAT MUHAJIRINA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 37

  • @Shamsia-shangani
    @Shamsia-shangani 4 วันที่ผ่านมา +4

    Vitu kama hivi msivitume nusu jitahidi wanao shooting watume yote ili hao wapumbavu wasotaka kusoma wasomeshe vizuri na vigogo vyetu ❤❤

  • @allynally4015
    @allynally4015 3 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu ni maneno tuu lkn Hana ushahidi hata mmoja wa maulidi

  • @shmohd11
    @shmohd11 4 วันที่ผ่านมา +3

    Sheikh na hii hapa وأوحينا إلى أم موسى)ى )
    في سورة القصص

  • @HemedAbdullaSuleiman
    @HemedAbdullaSuleiman 3 วันที่ผ่านมา +2

    Mawahabi hawawez munakasha... Wanachoweza wao ni kutukana watu tu mitandaoni... Ila hawathubutu kufanya mjadala wa hoja kwa hoja.

  • @Shamsia-shangani
    @Shamsia-shangani 4 วันที่ผ่านมา +3

    Waambie hao mwalim wanao pinga kusifiwa mtume na kusherehekew

  • @thuwaibahassan5225
    @thuwaibahassan5225 5 วันที่ผ่านมา +1

    Mashaallah

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 3 วันที่ผ่านมา +2

    Mtume yeye mwenyewe alijisahau kujifanya sherehe ya maulid, wanaompenda wanamfanyia.

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 3 วันที่ผ่านมา +1

    Angalia toafauti hapo
    Masahaba waifunga kama alivfuga mtume
    Manasara ( wakristo)wanaimba wanaimba nakumchezea
    Masufi wanimba na kumchezea muhammad

  • @shmohd11
    @shmohd11 4 วันที่ผ่านมา +2

    Ziko nyingi ktk Quran و أوحينا haikutumika kwa Mtume Muhammad pekee (rehma na amani ziwe juu yake)

  • @rajabunchimbi2842
    @rajabunchimbi2842 4 วันที่ผ่านมา +5

    Bidaa. Wazee wa kwanza kuna ubaya gani.

    • @Maherzain_Tz
      @Maherzain_Tz 4 วันที่ผ่านมา

      @@rajabunchimbi2842 mtafute sheee kaisha toa namba

  • @Maherzain_Tz
    @Maherzain_Tz 4 วันที่ผ่านมา +4

    BACHUUUU JICHANGANYE UJE HUKUU 😂😂

  • @Maherzain_Tz
    @Maherzain_Tz 4 วันที่ผ่านมา +2

    Bachuuuuuu uko wapii 😂😂😂😂😂

  • @hamynas
    @hamynas 5 วันที่ผ่านมา +5

    shekhe mwenye mbwembwe zake ,elimu kiduchu

    • @AdamChogo
      @AdamChogo 5 วันที่ผ่านมา

      @@hamynas ww ndoo mbwembwe

    • @AliJuma-k2t
      @AliJuma-k2t 4 วันที่ผ่านมา

      @@hamynas kuliko bachu bwebwe zake

    • @salummbunga4167
      @salummbunga4167 4 วันที่ผ่านมา

      @@hamynas HALAFU UNAJIITA MUISLAMU 😄😂😂

    • @darajanida
      @darajanida 4 วันที่ผ่านมา +1

      @@hamynas wambie mashekh zako wajitokeze basi

    • @hamynas
      @hamynas 4 วันที่ผ่านมา +1

      @@darajanida hata haina haja ya kujitokeza,wabishane na mwehu ?si kupoteza time

  • @BinAli-m8e
    @BinAli-m8e 5 วันที่ผ่านมา +3

    Bachu kazi hio

  • @darajanida
    @darajanida 4 วันที่ผ่านมา +2

    mawahabi jitokezen basi

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me 3 วันที่ผ่านมา +1

    Aa kumbe ni ngoma sio dini tena ipige tu mzee

  • @Worldunite
    @Worldunite 4 วันที่ผ่านมา +2

    Mpinga maulid huyo

  • @DAUDIIDDI
    @DAUDIIDDI 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Wahabieeeeeeee mpo jamani sikilizeni madini hayo mnayo

  • @hajimuhidini1903
    @hajimuhidini1903 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Mziwanda unapotaka watu watumie adabu unapaswa kujiuliza je wanaotaka adabu itumike wao wanaadabu? Pia mnadhani kwamba nyinyi mmesoma kulikoni mtuyoyote kulikoni mtu wa madhehebi yoyote kituambacho sio sahihi na qur ani hajawahi kusema uongo وفوق كل ذى علم عليم Hata mkimzonga mtu kwa kuto kuelewa baadhi ya vitu ktka Ala za Elimu jibulahayo yote dini nimekuja kwa wahayi kama ulivosoma aya ya 13 ya surat shura dini hamuwezi kuchukua dini ya mashia mkafanya talbisi mkatizamwatu Eti kwasababu mnajua Nahau swarf na balagha na sihoja kujua aina kuminatano za wau zijuwe kuanzia waul hali mpaka wau bihasbi ma qablaha kama umekwenda kinyume na mafundisho ya dini utakua mjingatu

  • @KhadijayahyaHamdu
    @KhadijayahyaHamdu 4 วันที่ผ่านมา +2

    Uyo bachu ndo nani kwani

    • @mobilespecialschool4216
      @mobilespecialschool4216 4 วันที่ผ่านมา

      Tupe jina lako tukutaje wewe

    • @hassanmambomambo8442
      @hassanmambomambo8442 4 วันที่ผ่านมา

      @@KhadijayahyaHamdu yeye amechagua kuhakikisha mtume asisifiwe maana nimtu kama wewe tu wakawaida

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 3 วันที่ผ่านมา

      ​@@hassanmambomambo8442Bachu hana mpango wa Mtume asisifiwe, hapana. Anachofanya kusema kuna uongo kumsifia Mtume.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 3 วันที่ผ่านมา

      ​@@hassanmambomambo8442Mashairi ya barzanji si Quran lazima kuna mapungufu, ati mama Asya na mama Maryam walihudhuria kuzaliwa kwake.

  • @DAUDIIDDI
    @DAUDIIDDI 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Alafu muache ujinga wakututukania mashekhezetu nyie wahabi muache hyotabia