NIMEGHAIRI NATAKA NGOMA IPIGWE UWANJANI SIO NDANI TENAA! SHEIKH MZIWANDA MAULIDI MADRASAT MUHAJIRINA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
  • NIMETOA NAMBA WANITAFUTE HAKUNA ALIE NITAFUTA NA NIMEGHAIRI NATAKA MADAHALO WAZIZWAZI
    ‪@TWARIQAONLINETV‬ @muharami

ความคิดเห็น •

  • @AbubakarMugeni
    @AbubakarMugeni 3 หลายเดือนก่อน

    Mzee wetu askari wa allah mungu akulinde milele cheikh letu mziwanda akudjalie mwisho mwema tunakupenda daima kwadjili ya allah

  • @Shamsia-shangani
    @Shamsia-shangani 3 หลายเดือนก่อน +5

    Vitu kama hivi msivitume nusu jitahidi wanao shooting watume yote ili hao wapumbavu wasotaka kusoma wasomeshe vizuri na vigogo vyetu ❤❤

    • @Harunery
      @Harunery 3 หลายเดือนก่อน

      Nyinyi wakata viuno ndo wasomi hahaha

  • @shmohd11
    @shmohd11 3 หลายเดือนก่อน +3

    Sheikh na hii hapa وأوحينا إلى أم موسى)ى )
    في سورة القصص

  • @thuwaibahassan5225
    @thuwaibahassan5225 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah

  • @shmohd11
    @shmohd11 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ziko nyingi ktk Quran و أوحينا haikutumika kwa Mtume Muhammad pekee (rehma na amani ziwe juu yake)

    • @fauznuhu9981
      @fauznuhu9981 3 หลายเดือนก่อน

      Ngapi basi,?

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 3 หลายเดือนก่อน +1

    Angalia toafauti hapo
    Masahaba waifunga kama alivfuga mtume
    Manasara ( wakristo)wanaimba wanaimba nakumchezea
    Masufi wanimba na kumchezea muhammad

  • @rajabunchimbi2842
    @rajabunchimbi2842 3 หลายเดือนก่อน +6

    Bidaa. Wazee wa kwanza kuna ubaya gani.

    • @Maherzain_Tz
      @Maherzain_Tz 3 หลายเดือนก่อน

      @@rajabunchimbi2842 mtafute sheee kaisha toa namba

  • @Shamsia-shangani
    @Shamsia-shangani 3 หลายเดือนก่อน +3

    Waambie hao mwalim wanao pinga kusifiwa mtume na kusherehekew

  • @Maherzain_Tz
    @Maherzain_Tz 3 หลายเดือนก่อน +2

    Bachuuuuuu uko wapii 😂😂😂😂😂

  • @Maherzain_Tz
    @Maherzain_Tz 3 หลายเดือนก่อน +4

    BACHUUUU JICHANGANYE UJE HUKUU 😂😂

  • @BinAli-m8e
    @BinAli-m8e 3 หลายเดือนก่อน +3

    Bachu kazi hio

  • @HemedAbdullaSuleiman
    @HemedAbdullaSuleiman 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mawahabi hawawez munakasha... Wanachoweza wao ni kutukana watu tu mitandaoni... Ila hawathubutu kufanya mjadala wa hoja kwa hoja.

    • @Harunery
      @Harunery 3 หลายเดือนก่อน

      @@HemedAbdullaSuleiman kwa hujja za gani watu wa bidaa

  • @allynally4015
    @allynally4015 3 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu ni maneno tuu lkn Hana ushahidi hata mmoja wa maulidi

    • @Shamsia-shangani
      @Shamsia-shangani 3 หลายเดือนก่อน +1

      Wew kam unao lete bas

    • @handenitakuru6696
      @handenitakuru6696 3 หลายเดือนก่อน

      @@allynally4015 kabisa mwehutu huyu shehe kazi kuongelea siasatu kwenye mimbali

  • @hamynas
    @hamynas 3 หลายเดือนก่อน +5

    shekhe mwenye mbwembwe zake ,elimu kiduchu

    • @AdamChogo
      @AdamChogo 3 หลายเดือนก่อน

      @@hamynas ww ndoo mbwembwe

    • @AliJuma-k2t
      @AliJuma-k2t 3 หลายเดือนก่อน

      @@hamynas kuliko bachu bwebwe zake

    • @salummbunga4167
      @salummbunga4167 3 หลายเดือนก่อน

      @@hamynas HALAFU UNAJIITA MUISLAMU 😄😂😂

    • @darajanida
      @darajanida 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@hamynas wambie mashekh zako wajitokeze basi

    • @hamynas
      @hamynas 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@darajanida hata haina haja ya kujitokeza,wabishane na mwehu ?si kupoteza time

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mtume yeye mwenyewe alijisahau kujifanya sherehe ya maulid, wanaompenda wanamfanyia.

    • @fauznuhu9981
      @fauznuhu9981 3 หลายเดือนก่อน

      @@Sheba4651 wewe kakimya kajisahu vipi na lifunga ww kasoma

  • @darajanida
    @darajanida 3 หลายเดือนก่อน +2

    mawahabi jitokezen basi

  • @chibwa7103
    @chibwa7103 3 หลายเดือนก่อน

    Mbona akiulizwa hajibu hoja ,amjibu abuu khaula maswali aliolizwa mpaka leo
    Huyu shekhe hamna kitu

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me 3 หลายเดือนก่อน +1

    Aa kumbe ni ngoma sio dini tena ipige tu mzee

  • @yussufhamad3721
    @yussufhamad3721 3 หลายเดือนก่อน

    Hutakitena mdahalo wa ndani eeee Sasa SI ujibu hayo aloyazungumza she Abuu khaula ww ujibu tu hatauko chumbani kwako halafu achaitabia ya kuyazungumza mambo nusunusu Wacha ujanja na maneno ya kuvungavunga

  • @Worldunite
    @Worldunite 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mpinga maulid huyo

  • @hajimuhidini1903
    @hajimuhidini1903 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mziwanda unapotaka watu watumie adabu unapaswa kujiuliza je wanaotaka adabu itumike wao wanaadabu? Pia mnadhani kwamba nyinyi mmesoma kulikoni mtuyoyote kulikoni mtu wa madhehebi yoyote kituambacho sio sahihi na qur ani hajawahi kusema uongo وفوق كل ذى علم عليم Hata mkimzonga mtu kwa kuto kuelewa baadhi ya vitu ktka Ala za Elimu jibulahayo yote dini nimekuja kwa wahayi kama ulivosoma aya ya 13 ya surat shura dini hamuwezi kuchukua dini ya mashia mkafanya talbisi mkatizamwatu Eti kwasababu mnajua Nahau swarf na balagha na sihoja kujua aina kuminatano za wau zijuwe kuanzia waul hali mpaka wau bihasbi ma qablaha kama umekwenda kinyume na mafundisho ya dini utakua mjingatu

  • @DAUDIIDDI
    @DAUDIIDDI 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wahabieeeeeeee mpo jamani sikilizeni madini hayo mnayo

  • @Harunery
    @Harunery 3 หลายเดือนก่อน

    Hahahaha,mziwanda wanaokuona msomi ni hao wapiga ngoma wakata viuno,huna lolote

  • @DAUDIIDDI
    @DAUDIIDDI 3 หลายเดือนก่อน +1

    Alafu muache ujinga wakututukania mashekhezetu nyie wahabi muache hyotabia

  • @KhadijayahyaHamdu
    @KhadijayahyaHamdu 3 หลายเดือนก่อน +2

    Uyo bachu ndo nani kwani

    • @mobilespecialschool4216
      @mobilespecialschool4216 3 หลายเดือนก่อน

      Tupe jina lako tukutaje wewe

    • @hassanmambomambo8442
      @hassanmambomambo8442 3 หลายเดือนก่อน

      @@KhadijayahyaHamdu yeye amechagua kuhakikisha mtume asisifiwe maana nimtu kama wewe tu wakawaida

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@hassanmambomambo8442Bachu hana mpango wa Mtume asisifiwe, hapana. Anachofanya kusema kuna uongo kumsifia Mtume.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@hassanmambomambo8442Mashairi ya barzanji si Quran lazima kuna mapungufu, ati mama Asya na mama Maryam walihudhuria kuzaliwa kwake.