Mziwanda unapotaka watu watumie adabu unapaswa kujiuliza je wanaotaka adabu itumike wao wanaadabu? Pia mnadhani kwamba nyinyi mmesoma kulikoni mtuyoyote kulikoni mtu wa madhehebi yoyote kituambacho sio sahihi na qur ani hajawahi kusema uongo وفوق كل ذى علم عليم Hata mkimzonga mtu kwa kuto kuelewa baadhi ya vitu ktka Ala za Elimu jibulahayo yote dini nimekuja kwa wahayi kama ulivosoma aya ya 13 ya surat shura dini hamuwezi kuchukua dini ya mashia mkafanya talbisi mkatizamwatu Eti kwasababu mnajua Nahau swarf na balagha na sihoja kujua aina kuminatano za wau zijuwe kuanzia waul hali mpaka wau bihasbi ma qablaha kama umekwenda kinyume na mafundisho ya dini utakua mjingatu
Vitu kama hivi msivitume nusu jitahidi wanao shooting watume yote ili hao wapumbavu wasotaka kusoma wasomeshe vizuri na vigogo vyetu ❤❤
Huyu ni maneno tuu lkn Hana ushahidi hata mmoja wa maulidi
Wew kam unao lete bas
Sheikh na hii hapa وأوحينا إلى أم موسى)ى )
في سورة القصص
Mawahabi hawawez munakasha... Wanachoweza wao ni kutukana watu tu mitandaoni... Ila hawathubutu kufanya mjadala wa hoja kwa hoja.
Waambie hao mwalim wanao pinga kusifiwa mtume na kusherehekew
Mashaallah
Mtume yeye mwenyewe alijisahau kujifanya sherehe ya maulid, wanaompenda wanamfanyia.
Angalia toafauti hapo
Masahaba waifunga kama alivfuga mtume
Manasara ( wakristo)wanaimba wanaimba nakumchezea
Masufi wanimba na kumchezea muhammad
Ziko nyingi ktk Quran و أوحينا haikutumika kwa Mtume Muhammad pekee (rehma na amani ziwe juu yake)
Bidaa. Wazee wa kwanza kuna ubaya gani.
@@rajabunchimbi2842 mtafute sheee kaisha toa namba
BACHUUUU JICHANGANYE UJE HUKUU 😂😂
Bachuuuuuu uko wapii 😂😂😂😂😂
shekhe mwenye mbwembwe zake ,elimu kiduchu
@@hamynas ww ndoo mbwembwe
@@hamynas kuliko bachu bwebwe zake
@@hamynas HALAFU UNAJIITA MUISLAMU 😄😂😂
@@hamynas wambie mashekh zako wajitokeze basi
@@darajanida hata haina haja ya kujitokeza,wabishane na mwehu ?si kupoteza time
Bachu kazi hio
mawahabi jitokezen basi
Aa kumbe ni ngoma sio dini tena ipige tu mzee
Mpinga maulid huyo
Wahabieeeeeeee mpo jamani sikilizeni madini hayo mnayo
Mziwanda unapotaka watu watumie adabu unapaswa kujiuliza je wanaotaka adabu itumike wao wanaadabu? Pia mnadhani kwamba nyinyi mmesoma kulikoni mtuyoyote kulikoni mtu wa madhehebi yoyote kituambacho sio sahihi na qur ani hajawahi kusema uongo وفوق كل ذى علم عليم Hata mkimzonga mtu kwa kuto kuelewa baadhi ya vitu ktka Ala za Elimu jibulahayo yote dini nimekuja kwa wahayi kama ulivosoma aya ya 13 ya surat shura dini hamuwezi kuchukua dini ya mashia mkafanya talbisi mkatizamwatu Eti kwasababu mnajua Nahau swarf na balagha na sihoja kujua aina kuminatano za wau zijuwe kuanzia waul hali mpaka wau bihasbi ma qablaha kama umekwenda kinyume na mafundisho ya dini utakua mjingatu
Uyo bachu ndo nani kwani
Tupe jina lako tukutaje wewe
@@KhadijayahyaHamdu yeye amechagua kuhakikisha mtume asisifiwe maana nimtu kama wewe tu wakawaida
@@hassanmambomambo8442Bachu hana mpango wa Mtume asisifiwe, hapana. Anachofanya kusema kuna uongo kumsifia Mtume.
@@hassanmambomambo8442Mashairi ya barzanji si Quran lazima kuna mapungufu, ati mama Asya na mama Maryam walihudhuria kuzaliwa kwake.
Alafu muache ujinga wakututukania mashekhezetu nyie wahabi muache hyotabia