BAHARIA ALIYEJITOSA PAKISTAN!/ AFICHUA MASHAMBA YA UNGA/ MAISHA/ MILION 200/ WATU WANAUAWA..PART 07
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 ก.พ. 2024
- MAISHA NI SAFARI ISIYO NA MWISHO, UNAWEZA UKALALA MASIKINI NA UKAAMKA UKIWA TAJIRI. KAMA HUIJUI KESHO YAKO UNAPASWA KUMUOMBA SANA MUNGU ANAYEFAHAMU NINI UTAKACHOKIPATA KWA NAMNA ALIVYOKUPANGIA.
DAR24 MEDIA TUMEPIGA STORI NA BAHARIA CHAD AMBAYE AMETUMIA MKASA WAKE KAMA FUNDISHO KWA VIJANA WANAOTAMANI KUPITIA NJIA FUPI ILI KUFANIKIWA KATIKA MAISHA YAO YA KILA SIKU.
INAFURAHISHA KWA UPANDE MMOJA LAKINI KWA UPANDE MWINGINE INAHUZUNISHA SANA KWA SABABU HUENDA LEO ANGEKUWA ANA KAMPUNI KUBWA AMBAYO INGEWEZA KUWAAJIRI VIJANA WENGI, LAKINI HUENDA NJIA HARAMU ALIZOTUMIA NI KAMA MUNGU AMEMUADHIBU NA KUAMUA KUMRUDISHA KATIKA HATUA YA SAHIHI ILI APATE RIZKI YAKE KIHALALI.
KARIBU UFUATILIE KISA HIKI CHA KUSISIMUA.
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#baharia #mbanga #dupamdupange
Kama una simulizi/mkasa ungependa kusimulia kwa jamii kwa lengo la kuelimisha na kufundisha, karibu wasiliana nasi kwa namba..#0653127761.
kwa mahitaji ya nguo nzuri zenye chapa ya KABUNYAU wasiliana nasi kwa mawasiliano ya,...0764368113/0717066207/ 0653127761...Asante
Dupa tatizo lk unasherehesha sanaaaa
Nashukuru kwa kuliona hilo
Story unailudisha nyuma. Tuliishia pale kila MTU amepewa police wake. Wakaanza kuutapa tapa
Kaka muwe mnawavalisha T-SHIRT KABUNYAU kwa hao mabahalia mnao waoji itakuwa poa sana,pili ni market strategic kwenu
Punguza kuhoji sana tupe story
Endelea story ilipo ishia unatuchanganya, mbona zingine un piga vizuri sana bro.
Dah hyu Dupa Sikuhiz kipindi kimeshinda maana hata hujui upo episode gan 😅😅
Story tamu ndio anapoishi duu maisha hayaa pamoja ❤
❤
Dupa mjomba Leo kazingua
Bongo moja la story noma sana 🔥
Dupa unazingua huna mwendelezo mzuri wa story muache msimuliaji aendelee alipoishia kama una maswali utamuuliza mwishoni
Dupa mbwembwe nyingi sana adi unaboa
Jamaa anazinguwa muendelezo mbovu kabisa
✌️
Bab kubwa
Bro dupa ni nini maana ya neno kabunyau
Br.Dumpa punguza PRRRRRR.....
Dupa unafeli kipindi hovyo hovyo siku safari hii, acha jamaa asimulie wewe hauna haja ya kuongea ongea, hayo maswali muulize baada ya kumaliza simulizi
Dupa unataka kulefusha story Sasa matokeoyake unaboa kwenye story
Ilikuwa hela sh ngp
Njia ya kwenda Ulaya
Punguza kuhoji unahoji sana nimekifatilia kipindi kwa muda mrefu sana watu tofaut lakini unachosha umuachi mtu adithie story tujifunze lakin unamkatisha kila wakati unaboa kaka
Kati ya dakika 30 mwendelezao ni dakika 10 upuuzi
Upuuzi kweli
IYO STORY ANGEMPLEKEA DAVISTA MATA
Yule Jamaa anajua sana
😅😅😅😅kweli
Tuliza mdomo basi