ULIVYO KWA ULACHO na Mama Terry: Nanasi unalo kula, hizi ni faida zake, zitakushangaza
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- Sasa unaweza kujiunga na SnS VIP Family ili kupata mambo mengi exclusive kwaajili yako tu. Bonyeza link hii ili kujiunga na kufahamu zaidi kuhusiana na SnS VIP Family membership
/ @simulizinasauti
Thanks mama Terry for educating us god bless long live
Asante sana Kwa kutujuza. Familia yetu ina bahati mbaya, kwetu Chalinze mananasi kibao yaani msimu kama huu ni balaa, na tunayala kweli na juice si kawaida. Lakini Baba angu na shangazi zangu wawili wamekufa Kwa cancer, Dada angu alikuwa na kidney stones alitolewa stones Uingereza, na Mimi Nina arthritis, mmmh! Mbona nanasi halikutusaidia? Ni bahati mbaya au ........ Mungu tusaidie.
cancer zingine ni zakulogwa huoni hiyo ni chen, hakuna ugonjwa wa kurithi baba shangazi na shangazi wote wafe kwa cancer, omba sana kuvunja hiyo roho ya cancer kwenye familia.. Mtafute Mungu kwa bidii sana hiyo roho itatoweka kabisa.
Thanks mama Terry god bless you long leave
I love mama you look peremendestic
Mungu akujaliye
Asate mama kwa elimisho lako
nakupenda mama Terry tangia upo radio one streo
Asanteh sana mama❤❤❤❤
Bibi asante kwa facts zako na elimu zidi ya Nana's
Poa sana mama try
Kweli kabisa na ilikuwa utamaduni linaliwa wakati wa Christmas 🎄 na kama utamaduni wao.
Mama kumbe wewe pia ni journalist 😊
Asante
asant sana
Akiwekwa sijui huyo Colombus kuna muskeri, mananasi ni yakwetu kitambo tuu
Mama Terry ahsante ila nna suali kama tayari ushapata kansa nanasi linasaidia
Kweli bibi
🙏💛💚
Mimi na mama na baba tunapenda nanasi na ule moyo wa nanasi naupendaga