dereva alkua anapita kila mara hyo njia kwahiyo anajua pakoje hata wakiwek bango kubwa kias gan sio kwamba watu hawajui muhim serikali ipunguze mlima huo barabara ilekebishwe hyo S kona haiko vzuri japo madereva ni vizur kuzingatia mwendo mana mwendo wa kasi ni hatari sana
Nashauri madereva wakiwa 2 kwenye basi 1 wasiondoke kwa wakati mmojo watakuwa wamechoka wate, wapange kituo cha kumpokea dereva mwenzake, ili apokee gari akiwa na nguvu.
Serikali iwe makini, mfano njia hii ya Tabora Haina vituo vingi vya kukagua mabasi, ndio maana unakuta dereva anaendesha gari anavyotaka yeye,pili mabasi haya yanajaza watu kupita kiwango.
Sio hivyo tu waweke na traffic barabara ya kutoka mbeya kuja Tabora watu wanajazwa sana kwenye bus af makondakta na madereva hata hawajari kabsa yan kiukweli inasikitisha
Kumbeee wamezimaaa kizibitiii mwendoooo doooo boss kaenda na maji
Poleni ndugu na jamaa na marafika walio fikiwa majoz hii😂
dereva alkua anapita kila mara hyo njia kwahiyo anajua pakoje hata wakiwek bango kubwa kias gan sio kwamba watu hawajui muhim serikali ipunguze mlima huo barabara ilekebishwe hyo S kona haiko vzuri
japo madereva ni vizur kuzingatia mwendo mana mwendo wa kasi ni hatari sana
Sahivi shetani ameinuka sana twapasa kuomba Kwa nguvu zote jmn .....Damu ya Yesu ifunike sana
Poreni sanawanandugu madureva punguzeni mwend
Innalillahi wainna ilayhi rajioun jamian poleni ndugu kwa msiba Allah Tabaraqa Wata'Alla Awatie nguvu na Awajaze subra wafiwa wakti huu wa huzni 😭😭😭
Pole sana kwa maafaa haya mngu awatangulie wote wana familia mngu awe nao milele amina
Duh mungu tunusur
Kowawaruvuma
Nashauri madereva wakiwa 2 kwenye basi 1 wasiondoke kwa wakati mmojo watakuwa wamechoka wate, wapange kituo cha kumpokea dereva mwenzake, ili apokee gari akiwa na nguvu.
Da inauma sana da😢😢😢😢😢
Inauma Sana poleni nyote
Jaman kabila tuanze safar tuombe tuombe shetan amefunguwa mdomo kumeza watu wa Mungu 😢😢
VIBAO HANITOSHI..Kilo 500 kwa Derewa 2 NI KIDOGO SAANA..BORA IWE ELF 1000
hadi yawakute ndiio muamke haya pole saaana dc
Serekali ipigemarufuku mafasiyana
Mbona huzungumzii kuhusu ufungaji mikanda
Jamani magari ya mbeya tabora ni balaa.watu wanajazwa kwenye gari kama magunia jamani.alafu magari ni mabovu kweli kweli...
Serikali iwe makini, mfano njia hii ya Tabora Haina vituo vingi vya kukagua mabasi, ndio maana unakuta dereva anaendesha gari anavyotaka yeye,pili mabasi haya yanajaza watu kupita kiwango.
Polen
Ni maumivu Sana 😭😭
Sio hivyo tu waweke na traffic barabara ya kutoka mbeya kuja Tabora watu wanajazwa sana kwenye bus af makondakta na madereva hata hawajari kabsa yan kiukweli inasikitisha
Dah onauma sana😢😢
Innalli llah wa innalillah rajuunny 🙏🙏🙏🙆
Viongozi hatuko makini hasa traffic police,
tunduru
Sio mwendo tu Ata abilia wanajazwa kama magunia Ata Gali inakosa baransi jitahidini kuangalia balabala inayo toka chunya tabora mjionee
Kumbe umeona waweke traffic barabara ya chunya yan ni balaa kwa sababu wanawajaza sana watu kwenye bus mnaambiwa tu meridian nyuma inasikitisha
Wapumzike kwa amani