SIMANZI MBEYA AJALI YAUA WATU 12 WAKIWEMO WATOTO WAWILI RC HOMERA ATOA TAMKO ENEO LA TUKIO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 32

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbeee wamezimaaa kizibitiii mwendoooo doooo boss kaenda na maji

  • @tamumumajoka2641
    @tamumumajoka2641 5 หลายเดือนก่อน

    Poleni ndugu na jamaa na marafika walio fikiwa majoz hii😂

  • @medaicetz
    @medaicetz 5 หลายเดือนก่อน

    dereva alkua anapita kila mara hyo njia kwahiyo anajua pakoje hata wakiwek bango kubwa kias gan sio kwamba watu hawajui muhim serikali ipunguze mlima huo barabara ilekebishwe hyo S kona haiko vzuri
    japo madereva ni vizur kuzingatia mwendo mana mwendo wa kasi ni hatari sana

  • @raysalum
    @raysalum 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sahivi shetani ameinuka sana twapasa kuomba Kwa nguvu zote jmn .....Damu ya Yesu ifunike sana

  • @MashanaMhoni-v6x
    @MashanaMhoni-v6x 5 หลายเดือนก่อน +1

    Poreni sanawanandugu madureva punguzeni mwend

  • @aishadaba7045
    @aishadaba7045 5 หลายเดือนก่อน

    Innalillahi wainna ilayhi rajioun jamian poleni ndugu kwa msiba Allah Tabaraqa Wata'Alla Awatie nguvu na Awajaze subra wafiwa wakti huu wa huzni 😭😭😭

  • @mwaupinailejeyetu
    @mwaupinailejeyetu 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana kwa maafaa haya mngu awatangulie wote wana familia mngu awe nao milele amina

  • @AzizaVenansi
    @AzizaVenansi 5 หลายเดือนก่อน

    Duh mungu tunusur

  • @SalumMtenje-f4b
    @SalumMtenje-f4b 4 หลายเดือนก่อน

    Kowawaruvuma

  • @LucyMushi-i2c
    @LucyMushi-i2c 5 หลายเดือนก่อน

    Nashauri madereva wakiwa 2 kwenye basi 1 wasiondoke kwa wakati mmojo watakuwa wamechoka wate, wapange kituo cha kumpokea dereva mwenzake, ili apokee gari akiwa na nguvu.

  • @kenethelius
    @kenethelius 5 หลายเดือนก่อน +2

    Da inauma sana da😢😢😢😢😢

  • @joycmsokile9220
    @joycmsokile9220 5 หลายเดือนก่อน

    Inauma Sana poleni nyote

  • @nadiatanzania
    @nadiatanzania 5 หลายเดือนก่อน

    Jaman kabila tuanze safar tuombe tuombe shetan amefunguwa mdomo kumeza watu wa Mungu 😢😢

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 5 หลายเดือนก่อน

    VIBAO HANITOSHI..Kilo 500 kwa Derewa 2 NI KIDOGO SAANA..BORA IWE ELF 1000

  • @EmmyFesto
    @EmmyFesto 5 หลายเดือนก่อน

    hadi yawakute ndiio muamke haya pole saaana dc

  • @SamsonSimon-x3i
    @SamsonSimon-x3i 5 หลายเดือนก่อน

    Serekali ipigemarufuku mafasiyana

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 5 หลายเดือนก่อน

    Mbona huzungumzii kuhusu ufungaji mikanda

  • @neemamwocha2113
    @neemamwocha2113 5 หลายเดือนก่อน

    Jamani magari ya mbeya tabora ni balaa.watu wanajazwa kwenye gari kama magunia jamani.alafu magari ni mabovu kweli kweli...

  • @joycmsokile9220
    @joycmsokile9220 5 หลายเดือนก่อน

    Serikali iwe makini, mfano njia hii ya Tabora Haina vituo vingi vya kukagua mabasi, ndio maana unakuta dereva anaendesha gari anavyotaka yeye,pili mabasi haya yanajaza watu kupita kiwango.

  • @MariamDeus-u8e
    @MariamDeus-u8e 5 หลายเดือนก่อน

    Polen

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 5 หลายเดือนก่อน

    Ni maumivu Sana 😭😭

  • @JULIANADOMMY
    @JULIANADOMMY 5 หลายเดือนก่อน

    Sio hivyo tu waweke na traffic barabara ya kutoka mbeya kuja Tabora watu wanajazwa sana kwenye bus af makondakta na madereva hata hawajari kabsa yan kiukweli inasikitisha

  • @mlekwa
    @mlekwa 5 หลายเดือนก่อน

    Dah onauma sana😢😢

  • @SHABANIMATONGO
    @SHABANIMATONGO 5 หลายเดือนก่อน

    Innalli llah wa innalillah rajuunny 🙏🙏🙏🙆

  • @joycmsokile9220
    @joycmsokile9220 5 หลายเดือนก่อน

    Viongozi hatuko makini hasa traffic police,

  • @SalumMtenje-f4b
    @SalumMtenje-f4b 4 หลายเดือนก่อน

    tunduru

  • @LambatyMbalamwezi
    @LambatyMbalamwezi 5 หลายเดือนก่อน

    Sio mwendo tu Ata abilia wanajazwa kama magunia Ata Gali inakosa baransi jitahidini kuangalia balabala inayo toka chunya tabora mjionee

    • @JULIANADOMMY
      @JULIANADOMMY 5 หลายเดือนก่อน

      Kumbe umeona waweke traffic barabara ya chunya yan ni balaa kwa sababu wanawajaza sana watu kwenye bus mnaambiwa tu meridian nyuma inasikitisha

  • @GidionMarijo
    @GidionMarijo 5 หลายเดือนก่อน

    Wapumzike kwa amani