J moo ubazingua bro,,,kipindi icho Dr ilikua na nyumba za udongo,mashamba kama yote babu yangu alikua anaishi manzenze anaenda shambani msasani kote nyumba zaudongo bro
Muimbaji yoyote akifariki akiwa bado yuko kwenye pick ,juu, huwa watu wanasema angekuwepi angefika mbali lakini wapi wengi ambao walitamba na sasa ni wakawaida. Hata namba moja wa tz angetiweka wakati ule wa nyinbo zake kamwambie sasa hivi wangekuwa wanamaema vizuri watu wote
Dogo mtangazaji ungea na heshima broo..unaongea na baba ako apo😁😁
Mchopanga fundi
Mchopanga ataendelea kuwaumiza sana vijana
Ngwea huwezi kumfananisha na country jmn nyinyi......ngwea he was so unique kbs kbs.
Irambo sec school ilitoa mastaa kibao wengine walikuja kuwa wacheza mpira ktk vilabu vyetu enzi zile
Yuko Mbele ya Muda Sana
Nikimsikiza Jay Moe ni kama Namsikiza P Funk. wana sound sawa
true
Huju J ni legend Sana... Ukisikiliza interview yake unapata kitu🎉🎉
jay moe anastahili kuitwa 𝐥𝐞𝐠𝐞𝐧𝐝𝐚𝐫𝐲
Interview kali sana I appreciate that guy it's my fucking favorite rap in Tanzania 🇹🇿 Holla machintanga from south Africa 🇿🇦
Ila ndio ivyo allah alimpenda zaid na wakati wake ulikwisha wakuish duniani
Anko
Jay moe namkubali sana mwana nimeanza kumfatilia kitambo sana mpaka leo mwana anajua kabisaa mnyama
Marehemu ngwair alikua hatar biashara ile
Always he is the best rapper in Tz🙏🏿🙏🏿
Huyu Mo ni mtu mbaya sana vijana jipangeni 🔥🔥🔥🔥
Wasanii wq zamani vichwani wako vzr ila wa sahv weupeee
Dar broo heshima yko sna🎉🎉
More technic
My best rapper
J moo ubazingua bro,,,kipindi icho Dr ilikua na nyumba za udongo,mashamba kama yote babu yangu alikua anaishi manzenze anaenda shambani msasani kote nyumba zaudongo bro
Nomaah sana💯
Moccasin ❤🏆
Aminia mbakiaji
J moe ni among the few anaeweza kujibu maswali vizuuuri sana.🙌🏾🔥
Legend Jay Moe 🙌
We proud of you #famous
J moe my all time rapper
Moccasin
❤❤❤❤
Country wizzy is the best rapper in East Africa 🚀
Muimbaji yoyote akifariki akiwa bado yuko kwenye pick ,juu, huwa watu wanasema angekuwepi angefika mbali lakini wapi wengi ambao walitamba na sasa ni wakawaida. Hata namba moja wa tz angetiweka wakati ule wa nyinbo zake kamwambie sasa hivi wangekuwa wanamaema vizuri watu wote
assume child benz angekufa 2010......
Lakini si Kwa ngwea😂😂 huyo jamaaa hata tactics zake hakuna mwenye nazo mpka saa hii, hakua anaforce vitu