"MWANZA JIJI INA WILAYA MBILI, NAFIKIRIA KUONGEZA ZIWE TATU HILI JIJI LIWE LA MFANO" DKT. MAGUFULI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2020
- Mgombea Urais kupitia chama cha mapinduzi CCM Dkt. John Magufuli leo amewasili Mwanza kuendelea na Kampeni za kuomba kura kwa miaka mingine mitano, wakati akiingia Jiji la Mwanza alisimama Igoma wilaya ya Nyamagana kuomba kura
Oyooooooooooh.
Naona jpm unaotesha majani jijini...rangi ya chama inasadifu maana halisi.Great
Mwenye inchi
Hapana hawa watu ni wa Mwanza hawajasombwa....Mwanza ninaelewa vema.
Magu juuuu
Message sent
Nakupenda bila Bei Magufuli
Mwanza Iko juuuuuuu
Inzagamba yashikaga mkaya yakwe
Yaaaniii shenesho nkoi
Kweli hawamuwezi
Ujumbe umefika baba ....
Ndio raha ya rais akitokea home
Magufuli oyeeeeeeee
Nakubali muheshimiwa kula yangu in yako
@@aliabmugh2362 Sawaa.. th-cam.com/video/4TlVwbmMr3Y/w-d-xo.html HAUTAAMINI UTAKACHOSIKIA😱 Link! 👈
Nakutogilwe bhabha tandulaga bhabha
Unapofikiria kuongeza wilaya fikiria na kuongeza mshahara kwa watumishi maana wanalalamika miaka yako mitano ya uongozi utumishi kwao umekuwa ni kaa la moto
Alisha sema ataongeza mishahara.
Nilikuwepo hapo😅
Ilikuwaje?
Kaka Hezron Sylvester: tujibu ili tuzidi kufurahi
Ulufaidi vp uliona maroli yanasomba wt?
@@ayshakayeko2043 hahaha this is 2020 yaani 21century bado upo analog?
Hii tabia ya khabari vipisi vipisi milad Ayo umeianza lini
Wee Brenda kolo lazima ww utakuwa fisadi au una vyeti.feki
Mm najiuliza ukisema mwanzo ilikuwa shida sasa najiuliza mm ccm si ipo ktk madaraka zaid ya miaka 60 . Saiv sio kuahidi vitu ccm . Wanachotakiwa waendeleze maendeleo. Watanzania akili zao finyu
Sawaa.. th-cam.com/video/4TlVwbmMr3Y/w-d-xo.html HAUTAAMINI UTAKACHOSIKIA😱 Link! 👈
Jpm namba moja Tanzania
Wameletwa na malori kutoka sehemu mbalimbali
Tarehe 28 wataenda wao bila malori,
Home ng'wanawane
Duuuuuh
Mnajidanganya kila siku hivi WWE akili yako lisu ana uwezo wa kupambana na magu halafu hii mwanza na kanda ya ziwa hawawezi kimtupa magu uliza lowasa jibu analo
@@hamisimussa2228 th-cam.com/video/4TlVwbmMr3Y/w-d-xo.html HAUTAAMINI UTAKACHOSIKIA😱 Link! 👈
Tunataka huuru umewafuga karma mbwa watanzania
Sheria msumeno ata ww ukifanya kosa umafukgwa
Kwan huuru upi uo unaoutaka Brenda
Lissu modo
Lissu kiboko yao