VIJANA TANZANIA WATANGAZA MAANDAMANO YA KUMTAKA RAIS SAMIA AFANYE HAYA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ย. 2024
- If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
COPYRIGHT VIOLATION
For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright.
Oh kumbe kasamuel kaskazini wenyu ni huyu ...wow lazima vijana muamke mpiganie ukweli na haki ....hongera vinjana ❤️❤️❤️💪💪💪👏
Excellent 🤝vijana wa Tanzania tuamke sasa,nchi inaendeshwa kama watanzania tumelala kumbe tunajitambua na kujielewa,Mimi naunga mkono maandamano hayo tumechoka aisee
Kuamka atuwezi bdo xna
Kuamka atuwezi bdo xna
True brother tumechoka
Huyo ni Eric Omondi wa Tanzania 💪💪💪💪
Ni kasamuel mcoure 😂😂😂wa Tz
Ukitaka kujua hilo jambo ni gumu, angalia vyombo vya habari vya Tanzania kama vimesapoti😂😂😂😂 nchi hii tuna safari ndefu sana😂😂😂
anza kuwa tayari kuanzia comment yako
Itawageukia wao. Ccm haiku milele na itatoka madarakani. Hapo ndipo watakapojitambua.
Kipi kikuchekeshacho?
😅Kwa hiyo mnatakavkuandamana mkale ubwabwa ikulu 😅kenge nyie jaribuni kufanya fujo mmeona Magu kaondoka ndo kila mtu sharubu kaa kambale hovyo kabisa mbwa nyie
😅
Vijana msitumike vibaya. Nchi hii haina tatizo la kuzua taharuki kwa wananchi. Amani isiwafanye kuwaza yasyofaa. Historia yetu ni tofauti na nchi zingine jirani. Hili jambo mnalolipanga si zuri, acheni.
Mna haki vijana kuandamana. Lakini hiyo ndio itawapa upinyo wa maadui (neocoloniasmus) kuharibu maendeleo tuliyoyafanya kwa kipindi hichi kifupi) madaraja, Barabara na viwanda watakuja wazungu kuvivunja kwa kumtumia mtu mweusi kama ilivyokuwa 🇱🇾 LIBYA. So vijana sio kwamba ninawaogopesha au kuwakatiza tamaa; la sivyo ila jipangeni vizuri sana. Msikubali kutumiwa na wazungu. Naomba Serikali ifunge mipaka
Hakuna mtu kuingia au kutoka nje ili kumjua mchawi ni nani na kumkamata.
@@joycelinelyimo-fenske8745kuna watu wako nyuma siyo bure...
We kalale bado una usingizi
@@BarakaOmaryy asante
Sisi Kama watanzania wenye nchi yetu Leo hii wanasiasa ndoo wapango bajeti yatanzania wao wanajipagia bajeti yao nzur ila sisi wapiga kura ambao ndoo watanzania wenyewe tunaishi maisha magum na isitosho mgen akija anaishi Kama mfarume tena hao wanasisa ndoo nakaa meza moja washenzi
Hongereni sana vijana.mimi niko nyuma yenu.Nawaunga mkono mia kwa mia.
Mh unataka watu wafe au na ww uchekelee
Kaa mbele sio nyuma😂
Ungeandamana kipindi cha pombe magufuli kama unamachungu
@@sadih5333 Ile kauli tu ya wao kutaka kuandamana itawafanya watawala wajisahihishe kwa kuongeza ufanisi zaidi na kupunguza ufisadi .sasa kama ww hujui faida ya maandamano,jitambue.
@@sadih5333 sasa magufuli yeye yuko wapi?
Ukitaka kujuwa watz n hovyo angalia kment
Nimeziona ndg. Tuko wa hovyo mno
Angalia majina ya kiislam ni Wazanzibari hao siyo WaTanganyika fungukeni nyie.
Safi sana vijana kuanzia sasa kizazi cha wajinga kinaelea kuisha haasa wanao coment uoga hivi ndivyo tunavyo weza kujikomboa kama vijana taifa ra reo
kabisa uko sahihi
😂😂😂 nikona mmetimiza nitawaani ila najua ni kiki tu maana hata anayetoa hiyo taarifa anatetemeka
Huyo kijana mzazi wake ndio mjinga na hajui alitendalo
@@ndogoroedson199😅😅😅😅 ukiiga ujinga lazima utatetema2😊
@@abdallahmagomba4022wazee kama nyie ndio kirusi cha taifa letu. Kwaza mmetuibia sana.
wacheni hashuo wacheni kuiga hizo nguvu wekeni 2025 kama kweli mmechoshwa na govnt hii
Wewe ujachoka
Big up bro 🙏🙏
Mfanye maandamano ya amani mkimaliza mkakojoe mlale
Nawatakia safari jema vijana wa kitanzania mungu awabariki
Kijana uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana,Tanzania undezi unaoutaka hatuutaki,kafanye kwingine
Wewe ni mpuuzi na sio mpuuzi tu wewe ni mshenzi.
Omba yawe yanatoka kwajiran yako2
Umetumwa wewe tunaweza
Pumbavu kabisa 😂
JARIBUNI HAWO WANAO WADANGANYA WAYAPELEKE KENYA SISI WA TANZANIA HATUYATAKI NJAA ZAWO NATAMA ZAWO WASITULETEI HUKU
Waache waandamane ili mradi waandamane kwa amani.Maandamano ni njia mojawapo ya kuwafanya watawala wajirekebishe.Hata kuandika tu hujui elimu uliyoipata imekuongezea ujinga badala ya maarifa.Badala ya kuandika zao ,umeandika zawo.Hii inaonesha ww ni maiti inayotembea.
we c umeshibaaa@@MathewNathan-yb2bz
KUWENI makini Tanzania sio Kenya.
❤❤ kweli atuna ata mda wakupeana joto tunaishi na wasiwasi adi mzee ainuki 😢😢😢😢😢 Mungu Baba tupe nguvu tuweze
Karibuni Road ma-brother wangu.... Hii nchi sio Kenya Kabisaa....
Hiii ni uonga mingi sana tare 26/08/2024 ni mbali sana mngesema kesho bwana ama Monday next week
Umeongea vizurii sana ila umekera kwenye luga
Safi sanaaa vijana naunga mkono tuamke wa tz tuondoe uwoga
Kiukweli Tanzania inamambo mengi na mengine yanaumiza Sana
Ninacho kiamini ipo cku Dunia itashangaaa kwasababu hakuna marefu yasiyo na ncha
Watu wengi wanatembea wakiwa na maumivu makali Sana moyoni time is now😭
Wewe ni mtanzanis kweli?
Don't panic,.......
Tunataka amani Tanzania, umwagaji damu hatutaki
Uko sawa kabisa
SAFI VIJANA MNAJITAMBUA
❤ good tuamke
Safi sanaa naomba Mungu awatangulie wakati umefika wakuamka tumechoka na uonevu huu
Utakuwa ushanyakuliwa kabla ya hiyo tarehe 26 kijana!
Ukweli kabisa nchi/ Serikali imekithili kwa utekaji
Zitapita wiki 2 hatujui aliko
Nyie sio watanzania watanzania wamelelewa na adabu na hawawezi kuwakaripia viongozi wao
Freedom must come African
Je nikweli muwe 😢😮😊siriasa maana serikali ya tz mbaya wako tayari kuwa ili wabaki madakani Kumi maelfu mjipange vizuri vijana
Mtapigwa
4:38 4:39 4:39 4:39 4:40 4:40 4:40 4:41 4:41 4:41 4:42 4:42 4:42 4:42 4:43 4:50 4:43 4:43
Acha kupotosha watu,tumbafu nchi yetu haikupata uhuru kwa maandamano,vita au mapinduzi,weka hoja zako,na tumia lugha isio na kashifu,matusi au uchochezi kwa wakuu itasikika,kusema maandamano nchi nzima ni uchochezi ,alafu jichanganyeni mtajua mko kenya au Tz
Wewe endelea kukariri tu hizi sio enzi za nyerere
MTU akishiba hamjui mwenye njaa hebu jaribuni tuone
Kwanza nawapongeza hawa Gen Z wa Tanganyika kwa kuamka, hongereni sana, ila ni haki ya kikatiba mtu kuandamana, tumekua tukitishwa sana tunakosa haki zetu za kimsingi, kuna mambo mengi sana ya kurekebishwa lakini haya waliyoyataja ni muhimu sana mengine yatafuata
😂😂😂
Safi sana vijana mim kama mzee nawatakia kazi njema mim nimzee siusiku umu
Mungu atangulie n vijana wetu wa Tanzania yetu
Tutafika kaka adi akieleweke tumechoka.
It's about time
Life is not such simple this is Tanzania
GEN Z wake up ndio wakati wenu
Mi mwenyewe mdogo wangu huko mwanza ilisemekana kakamatwa na jeshi la police lakini hadi sasa miezi mitano hajaonekana sehem yoyote...haonekani polisi magereza au mochwari..ndg wamezunguka sehem zote bila mafanikio..vijana tupiganie nchi yetu.
Tusifanye mambo kwa kuiga, tuwe makini sana hasa kwenye kuulinda na kuheshimu amani iliyopo isije ikanyakuliwa.
Tusihamasishane kulazimisha serikali kufanya jambo haraka kumbe linahitaji kufanyika kwa kufuata taratibu zake kisheria.
Tuwe makini tusiige tu ya wezetu majirani ambao pia wamepoteza wezao kwa ajili ya kulazimisha serikali kuandamana pasipo na ulazima Wananchi wa Tanzania tuendelee kudumisha Amani tuliyonayo
Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Africa.
Una aman au utulivu😂😂😂
Watuwasitekwe
Ndugu😂😂😂😂
Wewe itakuwa hujazaa au hujazalisha maana huna uchungu wa watoto wanaouwawa na serikali haitoi tamko lolote,kukemea uhalifu usiendelee na kuchukua hatua kali za kisheria dhidi ya wauwaji
Amani iendelee huku watoto wanapoteza maisha hapo Hakuna amani bora ijulikane moja amani itoweke Tanzania tumechokaaaaa
Mahandamano Ni Sawa Na Msafala Wa Mamba Kenge Watakua Ndani Yake2
Nami nakuja safi sana
We mjinga huwwezi kuamrisha raisi kama unavosema kua na adabu
Mjinga ni wew
Mjinga mamaako na babaako Kuma wewe
Usimuamrishe vipi sasa wakati sisi ndo mabosi zake we vipi kijana mbona akili fupi izo
@@Ambwenesafi sana ongeza tusi lingine nina vocha yako hapa
One peace one love TZ 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Amani na utulivu tuliyonayo ni muhimu zaidi kwetu kuliko hizi harakati zenu za kisiasa
Hujakutwa na jambo
Sisi twara nasubiri kwa mkp tr 8 nikaandane na wananchi yanga damdam😮
Nahiyo ndo amani yenyewe
NAYA UNGAMKONO màandamàño tuciogope wa TAnzanià
Mwamba maandamano xio powa mbona raix wetu yupo powa tuu
We support from kenya
Jaman tusikubali kununuliwa Bado tunaaman angalie nchi kama Kenya Uganda na Nigeria uingereza watu wanateseka tulinde aman yetu jaman,
Kenya hatuteseki tuko sawa, wacha porojo
Kenya Iko imara punguza ndomoooooo weweeeee
wanateseka kuna mmoja.hura.kwa.mama yako waogo njoo tukurishe ukomae
TANZANIA TANZANIA TANZANIA NCHI YANGU IMEPOTEZA MWELEKEO , HATUONI TUNAENDA WAPI KAMA NCHI ,,,,,,,,NAONA HURUMA SANA......KUONA HAKI ILIVYOSUKUMIWA MBALI.
Waislam acheni kukumbaza watanzania
Waislam acheni kulaliza watanzania
Big Clap Tanzanian Gen Z
Tz tunakulana wenyewe kwa wenyewe, angelikuwa mwijaku au Ba levo wangejazana na mic
Pa1 sana
Dah poleni sana vijana wengi wakibongo wako busy na kushabikia mpira wa simba na yanga wako kwenye usingizi wa pono
😂😂😂😂NACHEKA NAWAONEA URUMA SANA KAMA MMETUMWA JITAFAKROON SANA SANA TANZANIA AJAFIKA HUKO.
We Shiba ugali wako tuliza komwe huko
Pumbavu wewe
Ukijiona unakula ugali dagaa kwa amani shukuru mungu kwa hari hiyo usitake maisha ya bakharesa mungu ndio anapanga ridhk ya Kila mtu na hakuna inchi hata Moja duniani matajili tupu lazima maskn wawepo ndio mpango wa mungu ili tuweze kutumana ,na ikitokea wote kua matajili hakuna wakulima hapo mtakufa kwanjaa wote acheni izo
Gez zwefind for our country
Thanks vijana
Ongeleni vijana pambanen
Safi sana naunga mkono nitakuepo
MUNGU IBARIKI TANZANIA 😢
👏👏👏💯
Heavenly father, look upon your children and touch the body of the person reading this with healing and peace...
Touch their finances and open new doors, and make them to know you more, may them to be at peace with you, and whatever that may have hurt them to stay away from them, Lord heal them in Jesus name. Amen.❤️
Bless my day with a like.
Njooni Kenya mjionee
Goma lisha Anza asantn Sana vijn wenzangu
Choko tutolee ushamba wako na suti yako kama ni mwanamme kweli ingia mtaani halafu uone
Mkundu wako utafirwa choko babaako na mamaako mbwa wewe
Sawa watt wa viongoz. Mna kunya serikari mna kula serikar. Mna someswa serikar
Wewe ni kuma unatombwa
Kwani humuoni kama mwaume kweli na pia aone nini nyingi ndio watekaji eerh mnaonantz ni yenu
We lete maskhara tu kuharibu utulivu ,.wanchi halafu huna adabu na aliyekutuma,.mtagongwa nyinyi ohoooooooo haya bhana
Wee bado mtoto...hujui nchi inakoelekea. Utakuja kulimbia ukihisi Luna askari wa kukulinda ...omba vijana wasiamue
Wapo hata huku znz wametulia watu kwa hao watu wasojulikana ..
Mimi simo kijana wewe kandamane kaka halafu unasuti nzurii eee
Mpuuz ww siuache kaakinya ufe kama kodoo kafri
Mungu Anajibu kwa sasa nivizuri Kwa Sasa watanzania wamekumbuka Shuka na Kumekucha .tunawaunga Mkono kwa Maana Inchi kwa Sasa inaenda pabaya
Amiin
Watanzania tunashindwa na taifa la kenya tumekuwa waoga
😢😂😂
Bend shujaa tuko nyuma yako kukuzika😂 😂 kwa upuuzi wako
Huyu mjinga sana kamata atafuruga amani subiruni uchaguzi
Hakika 😂, tunapenda kula ugali aloo bora wali nyama kwenye amani
Siungi mkono maandamano na pia siungi mkono kutekwa
Kumbukeni TANZANIA ndiyo nchi pekee Africa yenye kikosi kinaitwa FFU TANZANIA Hakuna police service hapo huyo anayeongea anaonekaana Ni kama YATIMA hana wazazi mwenye wazazi akaandamane mtawapa msongo wa mawazo wazazi wenu
Kwa hiyo Wakenya walioandamana ni Yatima, hujitambuwi.
@@JesusJesus-ny1sm yesu wa mxhongo Kenya siyo TZ
@@aediayumgo8546 Wewe ni Mpumbavu hujitambuwi, hao ni Wanasheria wanafahamu sheria !!!! Kwa nini una comment wakati unajuwa kabisa hauna shule !???
Mungu uttusaidie juu ya maandamano haya vijana wana uchungu mkubwa tumuombe Mungu atulize hasira zao
Xio Kwa siasa ya bongo nchi inasiasa ngumu xana hii😅😅😅
Sisi km wananchi tunatakiwa kulinda yote yametokea maana watekaji ni wananchi wauwaji ni wananchi uzalilishaji ni wananchi tena ni vijana kabisa badiliken jaman
Unatafuta umalafu dogo mbona Mimi ni kijana na sijatekwa tumieni vizuri uhuru mlionao
shida yako sio kutekwa shida ipo hapo karibu na uso wako juu kwenye kufanya interpretation au kutafasiri mambo
Acha ushoga mbwa wewe ww kama unatombwa si utulize mkundu wewe
Wewe inaonekana unajinsia mbili halafu inayofanya kazi ni hiyo ya nyuma.
He has been inspired by kasmuel.Even the outfits says alot🫡
Igeni tu😅😅, Ngoja tuanze kupasha sasa😋😋😋
Mumebugi kwa Tanzania bado sana huo usanii wenu ngoooo😂😂😂
Vijana tuishi katika viapo vyetu vya JKT ,Tutamlinda na kumweshimu MWESHIMIWA Rais wa Jàmuhiri ya MUNGANO wa TANZANIA .
Watu wengi wanaililia amani.
Wanaoishi sehemu hakuna Amani ndio wanajia umuhimu huo.
Duniani watu watahangaika kutafuta viongozi wanaowataka wao kwamwe hawatatokea, huo anaowalaumu viongozi apewe yeye uongoxi tuone atafanya nini.
Muhimu sisi wananchi kwanza tubadilike sisi basi Allah atatubadilishia viongozi bora.
Viongozi mna makosa kwa Nini msikosolewe!? Pia mjue mpo wachache sikilizeni watu
Tusiwewaoga tuna hitaji mabadiliko
Miaka ijayo Tanzanian itakuwa balaa,viva tanzania
Tuko pamoja kijana mwenzangu ... mwendo wa ngiri
Safi
Mm langu jicho👀
❤❤kweli vijana tumechoka jamani
TRUTH TO BE TOLD ❤
Nakuunga mkono kaka angu hongera
Yaaani na mimi naunga mkono CCM yatoke matekaji haya
Gz wa Tanzania mpoo?mkumbuke baadae ya taifa letu inategemea mwamko wenu.
Safi sana jmn kaziii hiindeleeee tunamtaka makondaaaaaa
Muandamane na Baba zenu na wake zenu nawatoto we nu, ndio mtaijua Tz.
Weweeeee