ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Huyu Chama anatakiwa awe na dose yake special maana namuona bado yupo very slow mpira wa Yanga speed yake sidhani kama ataiweza
Yani we ume ona kama Mimi kumbe
Aongeze bidii tu atakuwa sawa,maana simba hivyo vitu hakuvizoea
Tuwaombee wachezaji wetu.Mungu awalinde na awafiche.Maadui wasiweze kuwagusa.Wafanye vizuri Zaid ya msimu uliopita.Tupunguze maneno tuongeze Sala
Upo sahii
Aucho Ibrahim bacca azizi k Diara ni watu muhimu wanatakiwa waje bwan😢😢
Jamani mi naumia sana loho inauma sana chama wangu
Tunasubir ya kesho akiwepo na Aziz Ki😂😂 Maaamae mwaka huu
Mazoezi ya beach ni ya timu za ndondo cup. Mkiambiwa hamna hela kwenda kwenye sehemu zenye miundo mbinu ya kisasa mnakataa nini?
Na hii ni timu ndogo inayozifunga timu kubwa
@@mpangalalisotha6808 Timu ndogo inaweza kufunga timu kubwa kwa mbinu za kijinga kwa mfano kurubuni wachezaji wa timu pinzani, kutumia pesa kwa waamuzi na wachezaji n.k
Umekariri mkuu hapo mwili unawekwa saw2
Miundo Mbinu Ya Kisasa Unayoongelea Wewe Ni Ipi??? Au Ile Avic TOWN Ni Yako???
Mazoezi ya yanga ni noma sana
mbona nasikia yanga bingwa
Ligi ianze jaman maana makolo washaanza kunenepa
😂😂😂😂😂akil huna
@@LindaMbilinyi 🤣🤣🤣
ni mwaka wa kuforce watake wasitake lazima watupe kombe letu la CAF champion hatuwazi NBC tenaa
Inabidi Yanga mumpe chama namba yake ya bahati 17😊
Timu za bongo bhana zimejaa janja janja nyingi na usaliti tu
Yanga to top🔥Like here🙏
Ukistaajabu ya spain utayaona ya simba nawaona wastaafu fc wakiwa koko bichi wanacheza ukuti ukuti yameme yameme
Yanga maskin kweli ndy mazoez ya kitoto mchangan hahahah
Duuu! mchangani
Huyu Chama anatakiwa awe na dose yake special maana namuona bado yupo very slow mpira wa Yanga speed yake sidhani kama ataiweza
Yani we ume ona kama Mimi kumbe
Aongeze bidii tu atakuwa sawa,maana simba hivyo vitu hakuvizoea
Tuwaombee wachezaji wetu.
Mungu awalinde na awafiche.
Maadui wasiweze kuwagusa.
Wafanye vizuri Zaid ya msimu uliopita.
Tupunguze maneno tuongeze Sala
Upo sahii
Aucho Ibrahim bacca azizi k Diara ni watu muhimu wanatakiwa waje bwan😢😢
Jamani mi naumia sana loho inauma sana chama wangu
Tunasubir ya kesho akiwepo na Aziz Ki😂😂 Maaamae mwaka huu
Mazoezi ya beach ni ya timu za ndondo cup. Mkiambiwa hamna hela kwenda kwenye sehemu zenye miundo mbinu ya kisasa mnakataa nini?
Na hii ni timu ndogo inayozifunga timu kubwa
@@mpangalalisotha6808 Timu ndogo inaweza kufunga timu kubwa kwa mbinu za kijinga kwa mfano kurubuni wachezaji wa timu pinzani, kutumia pesa kwa waamuzi na wachezaji n.k
Umekariri mkuu hapo mwili unawekwa saw2
Miundo Mbinu Ya Kisasa Unayoongelea Wewe Ni Ipi??? Au Ile Avic TOWN Ni Yako???
Mazoezi ya yanga ni noma sana
mbona nasikia yanga bingwa
Ligi ianze jaman maana makolo washaanza kunenepa
😂😂😂😂😂akil huna
@@LindaMbilinyi 🤣🤣🤣
ni mwaka wa kuforce watake wasitake lazima watupe kombe letu la CAF champion hatuwazi NBC tenaa
Inabidi Yanga mumpe chama namba yake ya bahati 17😊
Timu za bongo bhana zimejaa janja janja nyingi na usaliti tu
Yanga to top🔥
Like here🙏
Ukistaajabu ya spain utayaona ya simba nawaona wastaafu fc wakiwa koko bichi wanacheza ukuti ukuti yameme yameme
Yanga maskin kweli ndy mazoez ya kitoto mchangan hahahah
Duuu! mchangani