LIGI IANZE TU TAZAMA CHAMA NA DUBE WAJIFUA COCO BEACH MORALI YAO IPO JUU SANA KUANZA MAISHA MAPYA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 26

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 หลายเดือนก่อน +13

    Huyu Chama anatakiwa awe na dose yake special maana namuona bado yupo very slow mpira wa Yanga speed yake sidhani kama ataiweza

    • @MichaelNgowi-nc3vn
      @MichaelNgowi-nc3vn หลายเดือนก่อน +3

      Yani we ume ona kama Mimi kumbe

    • @matrida.lunyilija5196
      @matrida.lunyilija5196 หลายเดือนก่อน +1

      Aongeze bidii tu atakuwa sawa,maana simba hivyo vitu hakuvizoea

    • @stellasheba842
      @stellasheba842 หลายเดือนก่อน +2

      Tuwaombee wachezaji wetu.
      Mungu awalinde na awafiche.
      Maadui wasiweze kuwagusa.
      Wafanye vizuri Zaid ya msimu uliopita.
      Tupunguze maneno tuongeze Sala

    • @RobartPatrick
      @RobartPatrick หลายเดือนก่อน +1

      Upo sahii

  • @fatmasaaed144
    @fatmasaaed144 หลายเดือนก่อน +2

    Aucho Ibrahim bacca azizi k Diara ni watu muhimu wanatakiwa waje bwan😢😢

  • @JumaNtasimba
    @JumaNtasimba หลายเดือนก่อน +1

    Jamani mi naumia sana loho inauma sana chama wangu

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 หลายเดือนก่อน +2

    Tunasubir ya kesho akiwepo na Aziz Ki😂😂 Maaamae mwaka huu

  • @jonathansirkintungi7434
    @jonathansirkintungi7434 หลายเดือนก่อน +3

    Mazoezi ya beach ni ya timu za ndondo cup. Mkiambiwa hamna hela kwenda kwenye sehemu zenye miundo mbinu ya kisasa mnakataa nini?

    • @mpangalalisotha6808
      @mpangalalisotha6808 หลายเดือนก่อน +3

      Na hii ni timu ndogo inayozifunga timu kubwa

    • @jonathansirkintungi7434
      @jonathansirkintungi7434 หลายเดือนก่อน

      @@mpangalalisotha6808 Timu ndogo inaweza kufunga timu kubwa kwa mbinu za kijinga kwa mfano kurubuni wachezaji wa timu pinzani, kutumia pesa kwa waamuzi na wachezaji n.k

    • @user-kd7mw6be5q
      @user-kd7mw6be5q หลายเดือนก่อน +2

      Umekariri mkuu hapo mwili unawekwa saw2

    • @khalifasultan2677
      @khalifasultan2677 หลายเดือนก่อน

      Miundo Mbinu Ya Kisasa Unayoongelea Wewe Ni Ipi??? Au Ile Avic TOWN Ni Yako???

  • @MichaelNgowi-nc3vn
    @MichaelNgowi-nc3vn หลายเดือนก่อน +1

    Mazoezi ya yanga ni noma sana

  • @user-zb9mf3us2w
    @user-zb9mf3us2w หลายเดือนก่อน +1

    mbona nasikia yanga bingwa

  • @nehemiakiswaga1819
    @nehemiakiswaga1819 หลายเดือนก่อน +2

    Ligi ianze jaman maana makolo washaanza kunenepa

    • @LindaMbilinyi
      @LindaMbilinyi หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂akil huna

    • @nehemiakiswaga1819
      @nehemiakiswaga1819 หลายเดือนก่อน

      @@LindaMbilinyi 🤣🤣🤣

  • @lamama.
    @lamama. หลายเดือนก่อน

    ni mwaka wa kuforce watake wasitake lazima watupe kombe letu la CAF champion hatuwazi NBC tenaa

  • @benjo_brighter
    @benjo_brighter หลายเดือนก่อน +1

    Inabidi Yanga mumpe chama namba yake ya bahati 17😊

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le หลายเดือนก่อน +1

    Timu za bongo bhana zimejaa janja janja nyingi na usaliti tu

  • @khantv3331
    @khantv3331 หลายเดือนก่อน +1

    Yanga to top🔥
    Like here🙏

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9zn หลายเดือนก่อน +1

    Ukistaajabu ya spain utayaona ya simba nawaona wastaafu fc wakiwa koko bichi wanacheza ukuti ukuti yameme yameme

  • @juliascherehani2330
    @juliascherehani2330 หลายเดือนก่อน

    Yanga maskin kweli ndy mazoez ya kitoto mchangan hahahah

  • @nicholausmapolela4433
    @nicholausmapolela4433 หลายเดือนก่อน

    Duuu! mchangani