HOUSE GIRL EP 28-29 | BUSATI TV | HOUSE GIRL EP 28 FINAL REVIEW | PREDICTION Ya 4 Scene Zijazo
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- WhatsApp For More Update link 👇
whatsapp.com/c...
Explanation About The Video..
Kwenye Video Hii Utapata Prediction review 4 ya House Girl series ( Ep 28 ) bila kusahau utajuzwa kuhusu mambo ambayo Nimeyapenda na Yale ambayo sijayapenda
Kama Hujaangalia Full Video za House Girl Series Full Video Zinapatikana Kwa BUSATI TV Mjini TH-cam.
Important: This Videos are very Special For Review , Commenting & Predicting the Upcoming Scene According to What Is Going on to the Current Series, As well as Introducing or Telling You where the Videos are Found in Specific Channel.
If you see Bad use of This Video or Picture please contact with us Via Email www.kiboxmedia@gmail.com
NB: Video Hizi ni Maalumu Kwa kukosoa & Kubashiri / Prediction ya KAZI ya Sanaa Kwa lengo la Kuboresha au Kutabiri Yajayo | Kama Utaona Kuna Matumizi Mabaya ya Video Hii au Picha Hasa Kwa Mmiliki/ waigizaji Tafadhali Wasiliana Nami Kwa Email www.kiboxmedia@gmail.com
Copyright Disclaimer | Under Section 107 of The Copyright Act 1976, Allowance is Made for Fair use For Purpose Such as Criticism, Commenting, News, Reporting, Teaching, Scholarship, and Research..
Other Search Keywords.
house girl ep 28, house girl episode 28, house girl episode 29, busati tv house girl ep 29, busati tv house girl, house girl ep 27, house girl ep 26 busati tv
#kiboxmedia #moviereview#busatitv
❤❤
🙏❤️✌️
Wa kwanza kutoka kenya😂 Nipeni like sasa❤❤❤
😂💪🙏❤️✌️
Ndo hiyo nimekupa basi,,
@@Slddhhh 😂🙏❤️✌️
@@Slddhhh 🙏🙏🙏
😂😂😂😂😂😂 sheikh mpanda mageti anafurahisha ila kendi dawa yake ipo jikoni inachemka mkwe tunae kma hawa watamchkua zuu kumpeleka hospitali na akikiri makosa yako kibendu anaeza samehewa na huo ndio mwisho wa kufanya ubakaji maskini baba kai huko aliko apone tu😢😢😢
Exactly hapo Umenena points Muhimu sana 💪🤸🙏❤️✌️
@@KiboxMedia thanks 🙏🙏🙏🙏
@@LavendahKweyu 💪❤️✌️
@@KiboxMedia leo watoe saa mbili jamani upwiru wa movie hii umetukaba koo 😂😂😂😂😂😂😂
@@LavendahKweyu Msijali Team Iko imara mtainjoi tuu 😂😂💪✌️❤️
Jamani naombeni like zenu leo
🙏❤️✌️
❤❤❤ mzuri inafundisha
🙏❤️✌️
Mungu mponye zuu
🙏❤️✌️
Mungu asimame na daa zuu apate usaidizi apelekwe osii apone nawapenda sana kwa kazi zenu dzuri🎉🎉🎉🎉🎉
🙏❤️✌️
Ila cend hamuogape mungu ase roho mbaya kama Nooka naumiya sana kumuona zuu kuwa ivo
🥲🙏❤️✌️
Mnakimbiza kweli wenzamg WA coment
😂🙌🙏❤️✌️
Kiukweli hii move mnaiharibu sna n mtapoteza baazi ya mashabiki ao watu mnaowainhiza hawana maajabu yni daah roho yaniuma kwenye hili aisee
🙏❤️✌️✍️
Kabisa umesema dada,hii ikiazda na utamu saana lakini Saai yapoteza utamu
@@sifamaureen2792 Sawa Tumepokea Maoni 🙏✍️
Zuu nisitelingi awazi kupatwa nakitu kibaya ila kend
😂😂 yah candy kitamramba ❤️🙏✌️
mungu amusaidie zuu
🙏❤️✌️
Kiramba mchuzi kazi unayo shehk mpanda mageti hatariii mpenda sañi utaupoaza kwa cend ww
😂😂💪🙏❤️✌️
Napeda sana
🙏❤️✌️
Yani Candy anakera sana ye fikira yake zuu abakwe ashikwe video ili iwe canzo cakumuacanisha na kay basi kimemuramba zuu 😭 atapona isha Allah kibendi nae akika vibaya binti akijjwa aya hatoolewa nae kabisa niubora zuu aweivo ili iwe nusura ya kubakwa maana ingeniuma sana mi uwa nakubali maneno yako yani huwa sambamba na move
Inauma Sana jamani licha ya kuwa ni kuigiza ila uhalisia watu wananyanyaswa hivi ety 🥲🙏✌️
Ila kendy muuaji mukubwa hana hata mushipa wahuruma
🙏❤️✌️
Kawia ufika,mm mukenya jamani kachelewa,hongereni saana watu wangu wa tz
🙏❤️✌️
Nani atakaye kuona zuu hatakutana n baba Kai mbona hap patamu San busat tv kama busati upo vizur San n kazi yake hu 🔥🔥🔥🔥 sasa asnt San msoma raman ya zuuu ❤❤❤
🙏❤️✌️
Mmanga ndyo hatapeleka habari Kwa kina mama kibenu shekh Tena mapema kama mpema
😂🙏❤️✌️
akii mungu naomba mponye zuu
🙏❤️✌️
Nakpnd zuu bhb❤❤
🙏❤️✌️
❤❤
🙏❤️✌️
Ilo kovu la zuu mim na ona ni mizimu ya kwao Ili waogope wasimuingie 🎉
Yah inawezekana japo Sio Madhara ya Dawa aliyopewa kuwa ni nyingi maana ukizidisha dawa inaweza Kuwa Sumu 😂😂😂😂 Au Unasemaje 🤪
Mm naona Hilo Bove n Mungu amefanya ivyo ndio mpakaji awache kubaka zuu Wangu mm apo nashukuru Mungu Kwa kuokoa zuu Wa Mee bt for you kendy Dawa yko inachemka nitachoka kusema ivyo iko mekoji Dawa wko dada
Ahsante ❤️💪✌️
Sawa kk ❤❤❤❤
🙏❤️✌️💪
Sorry for your 😂😂😂😂
😂😂 Your What Just finish your sentence
Wanaharibu xx
Nime comment hapo kwao Pitia meseji Yangu utupe Maoni 🙏
Wanaharibu xx
Ahsante Kwa kuliona Hilo Nipo tayari Kupokea Maoni na Kuwajuza Nini kitafanyika hivyo Naomba walau uchukue dakika utueleze Changamoto ipo wapi ili tuitatue , Tunajali na Kuthamini hoja Yako 🙏✍️✌️❤️💪
Mm cjapenda jna haikus nzuri na wale Walid ongezwa Yule bibi miwanja ma Yule mbakaji hawana maajabu yyte kupoteza mda tu
Sawa Wazo Zuri 🙏✍️❤️✌️
Sheikh mpanda mageti nitakufata uko wewe😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 Utanikutia wapi labda juu ya Geti 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌✌️❤️🙏
Jamani mim mpaka hapa sielewi wametuchanganyia mambo ya move hiyo
Ni kweli naona Maoni ya wengi wanaona mambo hayaendi sawa Na Mimi Napenda kupokea Maoni na Kuyawasilisha na Nafurahi sana hoja kama Hizi zinaonesha nia na Mtazamo wa Mashabiki nitawasilisha ✌️🙏✍️❤️
Msituonyeshe saana zuu venye anapitia tunataka kumwona na kai kupata fahamu zake ili apambane na hii hali na baba kai hali yake
Sawa 🙏❤️✌️✍️👍
Ningelipenda ukamuoa zuuu ndo mke anae kufaa😢😢😢😢
🙏❤️✌️
Mm Sina swali ila naifatilia sana
🙏❤️✌️💪
Najuwa zuu atakuwa sawa
🙏❤️✌️
Next bhn ya 28
Inakuja ✌️ soon ✍️
Mmeharbu hii siriz
Kwanini 😳 Tujuze Tujue wapi Tunatakiwa kurekebisha 💪❤️
@@KiboxMediamunaingiza watu wenye hawana utamu,muliazda vizuri saana Saai mbona mwaichanganya
@@sifamaureen2792 Anhaa Hapo Sawa Haya Ndiyo tunayo Yataka Ili kuwapa Kitu Bora nitawasilisha Maoni 🙏💪✌️❤️
@@KiboxMedia Asante sana
@@sifamaureen2792 Sawa 🙏💪
😭😭😭😭
😭😭🙏❤️✌️
❤❤
🙏❤️✌️
Zuuuuuh😂😂😂😂😂😂
😂😂😂🙌🙏❤️✌️
Zuu atatoka salama kweli kwahuyu kibaka jaman
Hapo Mitihani 😂, Kwanza Pisi Kali 😂😂
@@KiboxMedia duu
@@AishaAlly-ob7vd 😁✌️