Yani wewe dada unaakili na nimzuri kama ngozi yako MUNGU azidi kukutunza 😘❣gonga like hapa mtazamaji mwenzangu kama umegundua mayasa hajaaribu ngozi yake ya asilia..❤
Wema mumy,UJANA MAJI YA MOTO;ona sasa yamekuunguza.Acha kulaumu watu,TUBU, .TUBU,TUBU,Mungu ni WAREHEMA ATAKUSAMEHE.Maya uko vzr,Kila mtu abebe mzgo wk mwnyw
@@zakyahya4645 ivi anakuwa nashida na watot anawakosa wakati mung amemruzuku nao amekuwa akiwatowa tena bila haya wanaongeleya kwenye mitandao allah atusameh maan hakuna anae kamilika
@@ashaldinho5465 aky hakufanya vizuri mambo kama yale kuogelea kwa mitandao.... ila anaona akiogea ndio dhambi itapungua peponi maybe... ama watu waache kumsema sama vile hapati mimba ama tufikirie vipi
Na nilikuwa nimesha msahau sura Mayasa kwasababu sio mtu wa mitandao dada wawatu , wakuache dada Yangu Yeye ndo aliamua hatakama usingemshauli angetowa tu
Aliwahi kumshauri aache umalaya kama umemshauri atoemimba basi lazima utubu muogopeni mwenyezi mungu dunia tutaiyacha nduguyangu kama wewe mtoto wakiislam achana nahizo habari
Wema nae jamani angalia usijejikuta wagombana na watu wako wa karibu kisa kuwa na mtoto, mbaka anashirikisha dhambi yake watu wengine, Mm siamini ushauri wa mtu unaweza ukabadili kilichopo moyoni mwa mtu,alitaka mwenyewe,badala ya kulaumu watu Mrudie Muumba na Kutubu tu, Nasio kubebesha mizigo yako ya dhambi watu.
Yani wewe dada unaakili na nimzuri kama ngozi yako MUNGU azidi kukutunza 😘❣gonga like hapa mtazamaji mwenzangu kama umegundua mayasa hajaaribu ngozi yake ya asilia..❤
Brack beautiful kama me😍😍
Hilo ndo ngozi yetuuuu Afrika people !🤗
Huweleweki majibu yko
Dah dada unauwezo mkubwa wakujibu maswali Bila kutegwa na mwandishi wa habari so proud of you
Natural woman...nakupenda mayasa
Dah damayasa yaani km wasanii wengi wangekua km ulivo ww tungefika mbali sanaa hongera sana dada mwenyez mungu akuzidishie hekma na busara ulokua nayo
Ww ndo number one TZ kuwa beautiful. Natural beauty. No makeup.
Dada wewe uko poa sana majibu yako mazuri sana, una hekma sana. Big love
Kabisa
anacheka vizuri sana na pia kicheko cha hivyo kinamaana kubwa sana ukikitazama kwa jicho la tatu.
Huyu dada nimempenda sana halopoki ovyooo😍😍😍
Asante maya nakupenda sana kuwa na msimamo ivyo ivyo kipenzi
Wema mumy,UJANA MAJI YA MOTO;ona sasa yamekuunguza.Acha kulaumu watu,TUBU, .TUBU,TUBU,Mungu ni WAREHEMA ATAKUSAMEHE.Maya uko vzr,Kila mtu abebe mzgo wk mwnyw
Piga kelele kwa mayasa akeeeeeee mekupenda zaid ya kukupenda kata ya waigzaj wanao jielewa 😍😍😍😍😍😍
maya ni mtu na heshima zake
Inaonekama mayasa ana vingi anajua but Kaamua kuficha na kusimama katk msimamo wake
Kabisa
Nampenda sana mayans kajibu vizur naanajuwa kumstili mtu madhaifu yke
Naam,siumeskia cheko lake apo mwanzo😂
ndoubinadamu。na yy Allah atamsitiri pia
Dada umenifurahisha, mwandishi anatafuta umbea tu, kuuliza maswali yakuchonganishi tu.
Ndio Kam fala
Hahaha ndo kawaida yao awo😂
Mungu akubariki dada unajibu KWA hekima
Kumbe mayasa mwislamu masha allah tabaraka allah 😍
Hata wema ni muislam...
Hata Mimi ni muislamu
Me 2 islamic😍😍😍
SASA unafurahia mini???kwamba alikua anamshauri MWENZIE kutoa Mimba?????
@@eliamkonda5162 🤣😀
Mashaallah wallah sister weye ndo dada lao nimepeda uogeaji wako na mipaka yako 😘💪🇹🇿🇴🇲
Mayasa😍😘...natural beauty
Kwel
Nime ipenda cheko ya mayasa Ina siri ndani mwake
Kabisa yan cheko linamaanisha hupat kitu mtangazaj
@@zennahazeezy3363 😂😂😂😂😂
Kweli kabisa cheko lake Lina maana Sana
@@zennahazeezy3363 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥂
Umeonae
Mashallah natural skin pia una,hekima
Huyu dada ana hekima sana nimempenda sana. Wadada jifunzeni kuongea kwa hekima km huyu dada.
Hekima ipi?????
Mayasa unasauti nzuri Dada mpole Mungu azidi kukubariki
Unajihelewa dada💕
Wewe unafaa kuwa mke bora yani ktk wasanii unafaa kuwa na mume bora inshallah
She is very intellectual and reserved I like that
Mayasa kama mayasa😍kajibu maswali vizuri tu pendaaa sanaa wewe
Hakika maya umejua kunifurahisha kwa majibu yako ya busara😘
Hekima na busara zimejaa hapa huyu dada anajitambua na kujielewa sana
Yy si bado mwili wake haujapunguwa icluding her brain!Wema mm ananiumiza kichwa.
Dada anahekima hadi anabowa. daah nakupenda sana wallah I like that 🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌
Nakupenda sana wajina wa dada yangu
Me naona wema kwa kutoa mimba nikupenda kwake ... na ata asilaumu mungu ety hampi mtoto ...watoto alipewa na akawatoa mwenyewe so ajilaumu yye
kabsa alipenda mwenyew kutowa
Nikweli kabisa alikua anataka usichana
@@zakyahya4645 ivi anakuwa nashida na watot anawakosa wakati mung amemruzuku nao amekuwa akiwatowa tena bila haya wanaongeleya kwenye mitandao allah atusameh maan hakuna anae kamilika
Nikweli alipenda kuonekana sister do lakin sasa anajutaa
@@ashaldinho5465 aky hakufanya vizuri mambo kama yale kuogelea kwa mitandao.... ila anaona akiogea ndio dhambi itapungua peponi maybe... ama watu waache kumsema sama vile hapati mimba ama tufikirie vipi
Na nilikuwa nimesha msahau sura Mayasa kwasababu sio mtu wa mitandao dada wawatu , wakuache dada Yangu Yeye ndo aliamua hatakama usingemshauli angetowa tu
wema anafaa kuchunguzwa akili.something is wrong with her.
Sio yeye tu wengi akili zao haiko sawa
mitihani humpata kila mtu nimzima waakili ila nimtihani tu
Safi sana Mayasa.simamia utu wako🥰
Dada unajielewa sana hongera
Safi sana da maya
Safi sana dada umeongea point sana yaan unajielewa
Mwandishi hajaanza kuulizia habari za muhojiwa,kazi zake,mipango na maendeleo,kaaza na maswali ya uchonganishi wow!!😂😂
Mayasa mama nimeipenda sana hekima yako na uendelee kuwa hivo maishan mwako
Namukumbuka uyu dada kwenye filama ta kanumba daaaaaah dada usijali Uyu wema sepetu anatamba saaana yeye Ali muvaa hamisa, uyoo karuka kwa lulu n'a leo kakuva piya anapepo uyu wema kwani wema aliku mutoto kuolewa ujauzito khaa
Mashaallah umejibu safisana
Anifurahusha anavocheka 😍🥰😘😅😅
Wey ni mwanamke kbs masha allah
Iyo cheko yako tu iyo imenimaliza xna mweny jina lang😘
I like the way you laugh and you talk
Chekolake tamu She’s so Beautiful Break is beauty💕
Black is beautiful
Siyo break, ni black is beautiful
Hahahaaahh break
Uwimana siungeongea kuswahili tu ya nn kutuchefua
@@susanejd7775 umenichekesha kweli😂
Aliwahi kumshauri aache umalaya kama umemshauri atoemimba basi lazima utubu muogopeni mwenyezi mungu dunia tutaiyacha nduguyangu kama wewe mtoto wakiislam achana nahizo habari
Uko vizuri mayasa
Mtu huwezi ukamshauri kutowa mimba nawakati yeye hapendi, inaonekana wema katowa mwenyewe,Mayasa wewe mstarabu kabisa.
Nampenda Maya hajichubui
Hongera dd kwakusema ukweli wako
🥰😍😍😍
big love sis mayaaaaaaaaaa
We mdada kakupenda sanaa
Saf dada mashaallha hawamuachi akapumzika
Maya wangu❤❤
Fukuto maya ulitikisaaa na bi mwenda😂🙌ur smile,laughing sooo mwaaa
Safiii dada upo vzr
Dada ana hekima sana
Muandishi shkamoo🙌
Dada @mayasa nakupenda bure
Uko gud dada. . .....
Huyu dada nimempenda
Kabisa madamu mayasa kumsema vibaya mtu alietanguliya mbele za haki nidhambii
Beautiful in nature
Hawezi kuku Bali ! Pia atakama umeshauliwa siyo lazima ufate
Yupo vizuri san
xo nyc Maya
Nimecheka adi naumwa mbavu TH-cam achani umbea yaan mmemtafuta mayasa Hadi mkampata,ili mmweleze alyoongea wema kwa mama kanumba?
🤣🤣🤣🤣🤣
Yani umenifirahisha sn sn sn maan mtu mkubwa lkn akili han kabisaa wema ata n yy mama kanumba pia anamakosa jmn mtu kashakufa bd mnafufua upuunzi tuuu
Mayasa you are wise
Yaani wandishi wa habari nyie noma sana na hasa nyinyi wa peji za udaku yaani ni wachonganishi sana
Hicho kcheko chake tuu, Mayasa jaman
Fact Dada mayasa akili mingi
Uko vizuri sana
Alf uyo wema katoa mimba zaid ya mbili B's tu kaamua kuzitaj za kanumb tu💃💃
Hongera sana dada kwq majibu y akhekma
Dahhh vyema xn mayasa 🤝
Mayasa anajielewa sana
Wema nae jamani angalia usijejikuta wagombana na watu wako wa karibu kisa kuwa na mtoto, mbaka anashirikisha dhambi yake watu wengine, Mm siamini ushauri wa mtu unaweza ukabadili kilichopo moyoni mwa mtu,alitaka mwenyewe,badala ya kulaumu watu Mrudie Muumba na Kutubu tu, Nasio kubebesha mizigo yako ya dhambi watu.
MASHALLAH dada nakupenda sana❤❤❤💋
Nimekupendz san ww mdada kiukwel ni mwanamke ambaye unajielew kabsa daaah❤🤍
Sawsaw Da mayasa wandishi wanatafuta umbea hao
Dada nakupenda Sana Tena sana
Nakupenda dada
Daa uko sahihi kutomuongelea maiti
Mayasa dda unamsmamo sn pongez kwako alafu wema anasema Mara nying anataman mtt kumbe aliwazika mwenyewe kha
👌👌👌👌
Mm penda sana cheko lako
L love mom has you❤
Wema ana uliza maswali ya kichokozi sana kwenye kipindi chake hata ajifikilii anachoongea na wahusika watakichukuliaje
Ila wema ni jinga sana
tena msenge wema
Dada mzuri weweeeee💕
Mnakosaga vyakufanya watangazaji jamani
Mayasa Kama Mayasa Kifupi kaj8bu kiakili sana
rangi yke nzuri
Nkpnd xna mayasa
Kaogeya vyema kbs🥰🥰🥰🥰
Waandishi wa habar nimewavulia kofia 😂😂😂
amejitahidi kupekenyua mambo, lakini kakosa
Dada mrembo sana
Yani wewe kaka mwandishi mungu atakuona uwo ni umbea sasa kwa nini ushabikie ujinga
Nimefurahi hivyo ulivyoanza kucheka ...
majibu clear zaid
big up