Alhamdullilahi Duniyani kote watu wengi wana zidi kusilimu. Allah abariki mashekhu wetu kwa kazi ya kufahamisha watu ukweli wa Allah. Amin. Amin. Amin.
Shekhe hapo kwa sadaka sio lazima umeongopea. Sadaka imefaridhishwa na Mungu. Imefaridhishwa yaani imelazimishwa Surat attawba Aya 60. Na hiyo aya ya surat al imran aya 102 inaongelea waumini, ambao ni wafuasi wa Mohammed, ya kuwa wakifa wawe waislamu. Waislamu ni watu wote ulimwenguni. Hii tunafuata ni madhehebu au mila. Muislamu anamuamini mungu na siku ya akhera na kutenda yalio mema
@@salimdaawah123 our sins,NIV Mathew 27_11-26 u will understand y he died 4 our sins n his alive upto date in heaven n always speaking 2 many who r spiritual alert,not false prophets n I bliv in him always n i can't look bac,I would like 2 meet u samday if possible
Asalam alaykum tatizo liliopo ni kwamba wakriso hawajuwi nini maana ya neno sadaka wanachofahamu wao ni kwamba kuombewa kutowa pesa kwa mchungaji ndo sadaka tatizo liliopo ni neno sadaka kwao linawachanganya
Wachungaji wakipanda za kiroho kwa wafuasi wao wako na right ya kuvuna za kimwili kutoka kwa wafuasi wao and again moses alinena baraka juu ya reuben(deutronomy 33:6)Aaron na wanawe walibariki wana wa waisraeli (Numbers6:22-27)wachungaji wako na baraka na pia wazazi.
Sasa huyu PASTOR Mjaluo, ana ongea STORY zake za UWONGO! Uki sikia MKRISTO aki sema 'na fafanua', basi jua ata ongea POROJO zake! Kwani huyu PASTOR ali kweko wakati WaZUNGU walipo kuwa wanai ANDIKA Biblia!?? Urongo tupu! Na huyu jamaa anaji ita ANDREW, ambao ni NENO la Ki Greeki! Halafu, eti Biblos ina sema, desciple moja wa yesu alikuwa ni ANDREW!?? Si hio ni POROJO ya biblia? Kwa sababu, yesu na Desciples wali kuwa ni WA YAHUDI, ambao wali kuwa wana ongea Ki ARAMAIC, na wali kuwa wana ONGOZWA na KITABU ki MOJA tuu, cha itwayo INJEEL, cha ARAMAIC! Sasa, huyu MuGREEKI Andrew, ame tokea WAPI? Porojo tupu za Biblia! TabarakAllah team!
Soma surah al talaq 65:4 kuhusu watoto wa miaka sita(Aisha) kuolewa na prophet bandia akiwa miaka 53. islamu ni ya waarabu, na inchukia watu weusi. Hata sasa hivi waarabu wanaua waislamu weusi Darfur. Ukiwa mweusi na muislamu wewe ni mtumwa. Dini chafu ya fitina.
Wewe Nani ngozi nyeupe ilio penda nyeusi tena Islam hijafundisha hivyo kucukia na kuwuwa ulio wanayo tumika kwa wahindi afrika kusini wazungu wameuwa wa Afrika sana tena wote wakiristo
Mtume bandia???? Huoni ana anavyounguruma Dunia nzima pia nakurekebisha ni miaka Aisha alikua na(9) hiyo utajaza na utaumwa sana. Umbumbumbu wenu mnaelekezwa njia iliyo sawa mnaleta ubishi usio na faida.
Hv kuna dini chafu na fitna kama ukiristo??? Kwanza ilikuja baada ya yesu kuondoka. Na ndio maana mnashindwa Hoja kila mnapokutana nacwaislam. Hamna Mungu, hamna kitabu wala dini. Utatueleza niniwewe. Huna lako jambo!
Scw
Mashallah mashallah allah awabariki sana
Hta idi iko kwa bibilia
Alhamdullilahi Duniyani kote watu wengi wana zidi kusilimu. Allah abariki mashekhu wetu kwa kazi ya kufahamisha watu ukweli wa Allah. Amin. Amin. Amin.
MANSHALLAH ❤❤❤
Dini ya mzungu ni noma sana
Utalamba 😂😂 kesho shkh hassan fireeeeee nomareeee hehehe Ma sha Allah A alaikum masheikh wetu😅
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
Hoea 9:5 nikauliza mtumishi moja alihepa paka nikaogopa ukristo
Mungu akuogoz tafuta ukweli uwe huru
جميل جدا
Kweli kweli sadaka hupewa muhusika maskini yatima na wengineo wa sie jiweza
Maalim Ally rainforcement ya nguvu Maashallah 😅
Asalamu alekumu warahama tulahi wabarakatu mashala kazinzuri Allah awalide kwakilijabo
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin
Mimi nimewafatilia nikisoma madiko napata yesu hakuja juu yetu waristo tunafaa tuwe waislamu paka nikalia sana
Josephine isome vzr ndo ujue ukweli Mungu akuogoz
YaarabiAllahAkuongozeUwemuislamnaufe.mwisho.mwema.lnshaAllah
Inshaallah Sheikh Salim na Sheikh ally Allah Awajaalie Pepo mnayoitaka Ameen kazi kubwa mnayoifanya kutangaza dini ya Ukweli na haki
Aamiin amiin amiin sote
Alhamdulillah kua Muislam. Uislam Raha sana. Kweli wajinga ndio waliwao. Mtihani !
Shekhe hapo kwa sadaka sio lazima umeongopea. Sadaka imefaridhishwa na Mungu. Imefaridhishwa yaani imelazimishwa Surat attawba Aya 60.
Na hiyo aya ya surat al imran aya 102 inaongelea waumini, ambao ni wafuasi wa Mohammed, ya kuwa wakifa wawe waislamu.
Waislamu ni watu wote ulimwenguni. Hii tunafuata ni madhehebu au mila. Muislamu anamuamini mungu na siku ya akhera na kutenda yalio mema
Mchungaji ameona moto😂
Waaaaah mambo ni ❤️🔥❤️🔥❤️🔥 hustadhi Salim Wani punga kweli ALLAH awalinde
Aamiin amiin amiin sote
MashaAllah mashekhe wetu
Asalaaam masheikh..may Allah be pleased with u all...islam is the truth
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin my sister
mi ni mkristo lakini naona waislamu wana make sense
Sheikh Salim ❤ Allah abajaliye kwakazi hiyo yakuelimisha hawobameshapoteya🙏🤝
Labda sijajibiwa, lakini napenda utaratibu wako. Japo Mi ni Mkristo and pray to be faithful to Christ forever.
To be faithful to Jesus you must be a Muslim because Jesus is a Muslim
@@salimdaawah123 How was Jesus a Muslim?, let me know.
Mimi sadaka yangu nawapatiaga yatima, wajane, wazee. Maisha yangu yote siwezi kupeleka sadaka kanisani.
Nakuwa mtu wa pili leo kuwatch😊
Masha Allah karibu sana
Masha allah
Asalamu alikum waramahtulhi wabarakatahi ndugu zangu
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
Maashaa Allah keep up.
Alhamdulillah we are going on
Mashallah fanya dawa
Inn shaa Allah
Wachungaji wajanja sana,wanatumia andiko la Malaki kuchujua sadaka wakati andiko linazungumzia zaka,na wafuasi Wakristo nao hawajui lolote maskini
Ukipata watu wanatumia pesa nyingi kwenda kupiga mawe shetani hii nikupeleka pesa saudia.Maskini hawajui kitu
mchungaji kiriumana arijichanganya vibaya 😂😂😂😂 nawapenda san kwajili ya Allaah ❤❤
Mchngaji.hataki.kameraa🤣🤣🤣
Salim mukuje namanga pia
Inn shaa Allah tutapanga hilo pia
Haiya, haya ni mapya 🤔
Magani tena
Mimi I bliv in Jesus Christ who died 4 my sins,wat about u?
@@miriamndungu3126 any verse Jesus died for your sin
@@salimdaawah123 our sins,NIV Mathew 27_11-26 u will understand y he died 4 our sins n his alive upto date in heaven n always speaking 2 many who r spiritual alert,not false prophets n I bliv in him always n i can't look bac,I would like 2 meet u samday if possible
Asalam alaykum tatizo liliopo ni kwamba wakriso hawajuwi nini maana ya neno sadaka wanachofahamu wao ni kwamba kuombewa kutowa pesa kwa mchungaji ndo sadaka tatizo liliopo ni neno sadaka kwao linawachanganya
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh yeah ni kweli
Mashallah
Karibu sana
Sikweli haoniwale hawajudini na wanaubinafsi nakibri
Wachungaji wakipanda za kiroho kwa wafuasi wao wako na right ya kuvuna za kimwili kutoka kwa wafuasi wao and again moses alinena baraka juu ya reuben(deutronomy 33:6)Aaron na wanawe walibariki wana wa waisraeli (Numbers6:22-27)wachungaji wako na baraka na pia wazazi.
Hahaaaaaaa 😂😂😂😂🔥🤔🤔
Assalamualaikum walimu amin amin wakristu intakana wafungue ubongo waone ukweli kukiko kudifend kitu hakuna elimu wamekosa kweli
Amin bro ulisilimu kaka sio
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
Mashe zakat mnapereka wapi?
Zakah hupewa masikini
Familia ni ngumu isaidie mtu juu ya wivu 😳
Mbona wanadaawah most wote wanadaawah Uwawana matumbo?
Kwanini ?
Sasa huyu PASTOR Mjaluo, ana ongea STORY zake za UWONGO!
Uki sikia MKRISTO aki sema 'na fafanua', basi jua ata ongea POROJO zake!
Kwani huyu PASTOR ali kweko wakati WaZUNGU walipo kuwa wanai ANDIKA Biblia!??
Urongo tupu!
Na huyu jamaa anaji ita ANDREW, ambao ni NENO la Ki Greeki!
Halafu, eti Biblos ina sema, desciple moja wa yesu alikuwa ni ANDREW!??
Si hio ni POROJO ya biblia?
Kwa sababu, yesu na Desciples wali kuwa ni WA YAHUDI, ambao wali kuwa wana ongea Ki ARAMAIC, na wali kuwa wana ONGOZWA na KITABU ki MOJA tuu, cha itwayo INJEEL, cha ARAMAIC!
Sasa, huyu MuGREEKI Andrew, ame tokea WAPI?
Porojo tupu za Biblia!
TabarakAllah team!
😂😂😂😂😂
Mtu muongo ukataa ushaidi, ati kata camera, uislam ni haqi kabisa
😅
Ulisema watu wamuamini Muhammad ati ni mkombozi ataokoaje akiwa kaburini
Anae okoa ni Mwenyezi Mungu sio manabii
Soma surah al talaq 65:4 kuhusu watoto wa miaka sita(Aisha) kuolewa na prophet bandia akiwa miaka 53. islamu ni ya waarabu, na inchukia watu weusi. Hata sasa hivi waarabu wanaua waislamu weusi Darfur. Ukiwa mweusi na muislamu wewe ni mtumwa. Dini chafu ya fitina.
Wewe Nani ngozi nyeupe ilio penda nyeusi tena Islam hijafundisha hivyo kucukia na kuwuwa ulio wanayo tumika kwa wahindi afrika kusini wazungu wameuwa wa Afrika sana tena wote wakiristo
Kisha wanaongelea sadaka unaleta Muhammad ameowa mtoto ya mwaka6 hio ni mada ingine
Mtume bandia???? Huoni ana anavyounguruma Dunia nzima pia nakurekebisha ni miaka Aisha alikua na(9) hiyo utajaza na utaumwa sana. Umbumbumbu wenu mnaelekezwa njia iliyo sawa mnaleta ubishi usio na faida.
Hv kuna dini chafu na fitna kama ukiristo??? Kwanza ilikuja baada ya yesu kuondoka. Na ndio maana mnashindwa Hoja kila mnapokutana nacwaislam. Hamna Mungu, hamna kitabu wala dini. Utatueleza niniwewe. Huna lako jambo!
Wacha ukafiri wako wew unaongea tuu hata hujielewi