Huyu kijana wa red salimu ,kazi yake nikusumbua hata ile side ya Eslaigh huwa anafukuzwa saa hii amefika huku na maswali ya Mungu ni mwanaume.Allah amuongoze
AAWWABARAKATU Hamjambo nyote waumini wa Kweli Allah akubarik sana Salim na kikosi chako nimetulia nawasikiliza huku Zanzibar nasoma sana kupitia kwenu najivunia kuzaliwa ndani ya uislamu wakristo shida tupu poleni
Asslam alaikum warahmatullah...leo ni kama time ilitumiwa vbaya,mawaidha yalikuwa mazuri mno Allah awahifadhi walimu wetu na azilinde sauti zenu Ameen..Sheikh Ali anachemka na kuingilia watu wa nje anatoa watu kwa reli,Allah awape subra
Yaani Astaghfirullah kufuru ..huyu jamaa alievaa kikoti red kajua kupoteza mda yaani anataka aseme yeye tu asikilizwe akieleweshwa anaruka dah subhanallah
A.alaikum mungu awape subra sana ktk hii kazi ya daawa ni ngumu sana ila masheik wetu tunawaomba mwalim Aly afanye subra anyamaze amuachie mwalim Salim yy asome t mbona kila siku tunalalamika kuhusu hilo.
Sheikh Ali hamusikii mtu coz ingekua asikie comment nyingi Sana yuwaona Leo kitu kibaya zaidi NI hapo kuchochea ati vijana watakupiga hyo mambo gani sasa ?
Nimewahi mashallah Allah awalipe janna
Allah awajaalie kila la khairi ktk kazi nzuri munao fanya na Allah awajaalie IKHLAS...aaaminaaa
Jamaa kaleta mpya yesu kazaliwa kabla ya mamake
Huyo dogo WA red n chizi ati ISsa n kiumbe wakwandza duniani
Sheikh salim wakati mwengine hao wote wanakuwa kitu kimoja lengo lao ni kuharibu mkutano kwa kupoteza muda.
Sheikh Salim nimemsoma huyo red jacket yupo kiubishi zaidi, hajui ikisha anajifanya anajuwa lakini hajui na hataki kujuwa ila time waster...
asalamu aleykum warahmatulahi wa wa barakatu niko hapa chonjo mashaalah naongojea sana video yenu
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
Huyu kijana wa red salimu ,kazi yake nikusumbua hata ile side ya Eslaigh huwa anafukuzwa saa hii amefika huku na maswali ya Mungu ni mwanaume.Allah amuongoze
Namjua huyo n msumbufu..niko Tz lakn nishamuonaga akisumbuana na akina Abbas pale Isreee
Tumeelewa analeta ubishi tu
Assalaam alaikum sheikh huyo kijana wa red ni mbishi watu kama hao waachilie mbali wasikupotee muda
@@user-is7pj2fb4u walykum msalam warahmatullah wabarakatuh yeah
ALHAMDULILLAH mimi kujua haqi nikafuata.
Wa mwanzo leo nimefurahii
Masha Allah
Vichekesho mungu mwanaume jina lake Anitwa nani
Mashaallah Allah awalipe masheh wetu kwa kazi kubwa mnayoifanya
Waaleykumusalama
Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh
AAWWABARAKATU Hamjambo nyote waumini wa
Kweli Allah akubarik sana Salim na kikosi chako nimetulia nawasikiliza huku Zanzibar nasoma sana kupitia kwenu najivunia kuzaliwa ndani ya uislamu wakristo shida tupu poleni
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin sote
Jamaa hachemuka kwa kutolewa bibilia😂😂😂😂
Mwenyezii mungu awalipiee in Sha Allah
Aamiin amiin amiin
MashAllah MashAllah MashAllah
Barikiweni
😅😅😅 daawah nikazi nzito kabisa musiwe musiwemukichukuwa muda murefu kwawatu kama hawo kama hawo
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu... Maa Shaa Allah...Allah awahifadhi nyote na awalalipe jannatul firdaus,,Huwa nafurahia mafunzo yenu.
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin sote
MashaAllah Tabarakah Rahman
Asslam alaikum warahmatullah...leo ni kama time ilitumiwa vbaya,mawaidha yalikuwa mazuri mno Allah awahifadhi walimu wetu na azilinde sauti zenu Ameen..Sheikh Ali anachemka na kuingilia watu wa nje anatoa watu kwa reli,Allah awape subra
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
Achana na huyo kijana, huwenda ana kasoro kichwani
MashaAllah.
Masha Allah.
Wuyu kiboko mungu na yesu wame Mumba adamu
Yaani Astaghfirullah kufuru ..huyu jamaa alievaa kikoti red kajua kupoteza mda yaani anataka aseme yeye tu asikilizwe akieleweshwa anaruka dah subhanallah
Mashalla ❤❤❤
Shaikh salim mungu awajalie afya njema muendelee kutoa elimu kenya kuna giza sana
Aamiin amiin amiin sote
Asalam alaikum warahmatullahi wabarakatuh brother salim, ambia mzee Ali awe na subra
Kweli kabisa ame kuja kupoteza wakati
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
Huyo kijana amevuta bagi Wachana na yeye aende kuvuta bangi
Allah amuogoze walim ngu.ampe hekma,elimu n afya
Aamiin amiin amiin sote
Mungu akujalie kijana unajua kenye unasema,, soma biblia hawa wataaokoka ,,
Assalam alaikum.....huyu wa mwanzo anapoteza mda tu hana ata swali 😢😢😢
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
Aslama aleikum waramtulah wabarakatu waah ati Mungu kaaza astaghfirullah
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
A.alaikum mungu awape subra sana ktk hii kazi ya daawa ni ngumu sana ila masheik wetu tunawaomba mwalim Aly afanye subra anyamaze amuachie mwalim Salim yy asome t mbona kila siku tunalalamika kuhusu hilo.
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin inn shaa Allah
huyu red n sumbua tu
Quran 50:30 na sahih Bukhari hadith number 4848
Inasema Allah yuko na mguu.Tuelezeni zaidi kuhusu mguu please
Aslam alaykum wa rahmatullah wa barakatuh. Huyu ni kusumbua tu na wala hataki kuelewa ama kukubali
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
Watu wa kuwaste time mpeni dakika tano
Ndio tumemujua next time hapati
Ikisha sheikh salim mwambie sheikh Ali awe mvumilivu kwasababu hao fujo ndio wanataka ili msifanikiwe.
Sheikh Ali hamusikii mtu coz ingekua asikie comment nyingi Sana yuwaona Leo kitu kibaya zaidi NI hapo kuchochea ati vijana watakupiga hyo mambo gani sasa ?
Achana na yule fala hajielewii
Inn shaa Allah
mzee ali tulia
Inn shaa Allah
Westing of time wallah huyo kijana afaa awachwe
Tumemugudua
Kumbe kituko cha TZ umeskia Shekhe
Yeah tumepata hizo habari Allah amuongoze arudi katika njia iliyo sawa
Huyo dogo n shoga hamjielewi sheikh salim
Hawa walizoea ushuhuda kuliko maandiko
Allah awaongoze waione haki na waifuate
Nyie ni wa mwilini mtayajuaje ya rohon?
amevuta bangi huyo kijana