PRECISION AIR WATEKA ABIRIA WA SHABIBY KWENDA DODOMA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ต.ค. 2024
- DAR ES SALAAM: SHIRIKA la Ndege la Precision Air limebainisha kuwa litaendelea kuboresha huduma zake hali itakayosaidia kukuza sekta ya usafirishaji nchini na hatimaye kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi wa nchi
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa shirika hilo, Patrick Mwanri wakati shirikal hilo lilipowasafirisha kwa ndege abiria waliotakiwa kusafiri kwa basi kutoka jijini dar es salaam kuelekea Dodoma ikiwa ni katika kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: ....
SpotiLeo: ....
TWITTER;
Twitter HabariLeo: Ha...
Hongera Prescision air
Safi precious Air
Hili ni zali la mentali