MBUNGE KIJANA KULIKO WOTE BUNGENI AMSANUA DKT. MWIGULU, AKATAA TAARIFA YA GETERE "NI ZA KITAKWIMU"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 มิ.ย. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

ความคิดเห็น • 35

  • @BarakaThoas
    @BarakaThoas 6 วันที่ผ่านมา +2

    Waoooooooh! Uyo binti ni lulu ya taifa hili kabisa mungu amsimamie asije akanunuliwa

  • @sebmalunde5945
    @sebmalunde5945 5 วันที่ผ่านมา +1

    Mhe. Ng'wasi kamani umeongea sahihi kabisa. Big Up sana

  • @ahimidiwenanyaro5249
    @ahimidiwenanyaro5249 6 วันที่ผ่านมา +1

    Safi Sana mwakilishi wa vijana mkoa wa mwanza una contents

  • @DeusDaud-cs7ed
    @DeusDaud-cs7ed 5 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu mbunge apewe uwaziri

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 4 วันที่ผ่านมา +1

    Binti ni kweli una Madini kichwani. Tatizo ni je Serikali IPO tayari kuufanyia kazi ushauri?

  • @ahimidiwenanyaro5249
    @ahimidiwenanyaro5249 6 วันที่ผ่านมา +2

    unaitendea haki Masters yako ya Economic law

  • @BarakaThoas
    @BarakaThoas 6 วันที่ผ่านมา +1

    Waoooooooh! Uyu binti ni lulu ya taifa

  • @drallan6879
    @drallan6879 4 วันที่ผ่านมา

    our education status does match with Usa

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 5 วันที่ผ่านมา +1

    Subutu niko pale pembeni mifumo tu kuonana sijui ni mwaka wa ngapi tuonaongea hamna kitu, ila mchango mzuri kuliko lakini????😢😢😢

  • @mukhtarnasser6837
    @mukhtarnasser6837 5 วันที่ผ่านมา +1

    Parliament should make , as one Following Parliament with You tube , there is LACK OF SOUND , and sometime it is not CLEAR , blurring

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco9966 6 วันที่ผ่านมา +1

    Comfort gani wakati sheria ni mbovu kuanzia upatikanaji wa pasport tuu ni shida. Mtu anapata scholarship wanataka uambatanishe passport number ndiyo wakupe na huna ukienda uhamiaji wanakudai barua ya scholarship kwanza

  • @hamismwangwale563
    @hamismwangwale563 6 วันที่ผ่านมา

    Hongera Sana maadam damas kaman

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 4 วันที่ผ่านมา

    Dada upo sahihi, pokea 100%

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u 6 วันที่ผ่านมา +1

    Shida ya nchi yetu ni kusifiana sifiana, Mambo ya kusifiana ndo yametufikisha hapa.

  • @dominickrukokelwa1284
    @dominickrukokelwa1284 5 วันที่ผ่านมา +1

    Hivi ninyi wabunge, CCM na serikali-CCM mnajua vizuri SIDO ni nini???

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa9264 6 วันที่ผ่านมา +1

    Safiii sana Binti. Tunapenda michango kama hii. Kuliko kusifia tu tu bila kushauri namna ya uboreshaji.

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 4 วันที่ผ่านมา

    Ww unafaa kuwa waziri wa fedha. Nakuombea sana uwe wazir wa FEDHA.

  • @brightontibenda2346
    @brightontibenda2346 5 วันที่ผ่านมา

    Good and logic speech! Congratulate Hon .kaman😢

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 6 วันที่ผ่านมา +1

    Halafu we binti sasa nakuomba uolewe usije ukaitwa singo Maza.

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 6 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo dogo sijamuelewa, yaani mwenyekiti, eti serekali iwape uwezo wa kwenda kupambana nche, wadaiu nielewesheni hapa anamaanisha nini

  • @shamtenyambega2944
    @shamtenyambega2944 3 วันที่ผ่านมา

    SEREKALI ifanye connection ya sisi raia kufanya kazi nje ya nchi
    au dada afungue agent ya kututafutia kazi nje ya nch

  • @alfredfaustin4441
    @alfredfaustin4441 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huyu mbunge ni tunu ya taifa anabeba moono ya rais samia

  • @eliabbanyikwa8716
    @eliabbanyikwa8716 6 วันที่ผ่านมา +1

    Maua yako mbunge kija

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 6 วันที่ผ่านมา

    Kazi ile ile ya wizi au?

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 6 วันที่ผ่านมา

    Wewe upigaji wa wabongo utauwawa

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 6 วันที่ผ่านมา

    Mapato tozo wizi mtupu ngoja mungu yupo

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 6 วันที่ผ่านมา

    Hizo pikipiki ni wizi tu madam

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 6 วันที่ผ่านมา

    Tupunguze sifa kwa Rais. Mambo hayako sawa, ufisadi umezidi. Kodi za watanzania zinaibiwa na wachache. Wanaoiba hawafungwi. Mała ya mwisho kusikia mtu mwenye fedha anafungwa ni wakati wa JPM, kwa Sasa kila mtu anakula kwa uregu wa kamba yake bila wasi wasi, bora tunamusifue Rais. Wanyonge wanakoma Watanzania wanateseka lakini hawalalamki kwa sauti, wananong’ongo’na.

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 6 วันที่ผ่านมา

    Dada bajeti ipi?

  • @msamanga2277
    @msamanga2277 5 วันที่ผ่านมา

    Kuondoa fedha za makaratasi matokeo yake serekali ikiwa haikupendi utaamka asubui uta kuta 0. ndio utaelewa dhumuni la huo mfumo

  • @moseskita
    @moseskita 5 วันที่ผ่านมา

    Badala ya kumuongezea dk hata tatu amemkata watanzania sijui tuna nn

  • @felcRaphael
    @felcRaphael 6 วันที่ผ่านมา +1

    Dada unaakili kutambua hilo

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 6 วันที่ผ่านมา

    Hamuna uchumi wewe mtoto sela ya ccm nikuzalisha machinga Kwa sela zenu bado waze Wana sinzia kazini

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 6 วันที่ผ่านมา

    Watanzania hawapgopo kodi, lakini wanataka kuona kodi zawo zimefanya kazi gani.

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 6 วันที่ผ่านมา

    Binti Una madini mno ila unarusha Sana mikono!yaani kama vile unapigana