Ni ya kusisimua sana kwangu mimi Mzee wa Msosi! bado ni namba one!Kuanzia kutoroka Gamboshi, kukamatwa na kurudishwa halafu kutoroka tena, kupata utajiri na hela kuota miguu, jela, ukichaa na mengineyo mengi! Wacha tu, dunia yetu ina mambo sana!
Huyu Brother Story yake ni BIG sana..na ina kila ujanja wa ibilisi...imenifunza namna ya kusali kuanzia uchafu kwenye chakula.. usalama usiku..kutogombana na watu ovyo
Mzee wa bakora! History yako ni nzuri Sana! Nimeipenda na imefundisha Mambo ya kiroho, Mungu akubariki Sana pamoja na bro Davista Mata Kwa jina la mfalme mkuu YESU KRISTO.
pole sana ndugu nmekusikiliza mwanzo mwisho na nmehaıd nikirud tz lazma tuonane ndugu nmeshachukua namba yako ila Riziq yako ıpo tu ! niandalie kitabu ndugu
SIO SIRI KWA ELIMU NILIOPATA HAPA KWENYE HII STORY NI ZAID YA DEGREE. YAAN ACHA 2 MAISHA NISAFARI NDEFU SANA. NIKUCHANGIE *-DAVISTA-* *-NAKUPENDA SANA-* .. ❤️❤️❤️🙏
Huyu kaka alitaka utajiri Wa kuzimu. Akapoteza family yake,,, kweli tu ni degree kubwa tumepata hapa. Shukran Davistar.❤️ Sijui Hali ya zainat na mama yake mdogo itakuage wakisikia hii simizi 💔💔
@@kisurangusa554 mbaya zaidi kamaliza anafamilia yake afuu alivo sheytwan embu tazama alivo uwa watu alivo uwa ndg zake Nasheytwan alikua bado hajalizika kukataa kumtoa shangazi yake kaharibu kila kitu kosa moja hakumbuki huku nyuma kama washa teketeza binadam wengi
@@kawtharsaleh9229 awe karibu na mungu sana. Akijisahau tu ajue atatolewa kafara na malkiya. Mtihani alokuwa nao si mdogo😢 Bado nawa fikiria wote aliowatoa💔💔💔
🤔🤔🤔🤔😭Yaani inasikitisha sana.. Kutoka kwa million sasa hata bajaji Huna shetani mbaya sna.. Wapenda manabii mbadilike kaka ametoa ushauri wa bure.. Niliwashutukia kitambo wote wa bm maziwa.. Wanawaponda waislm pia Leo ukweli davista watu wameujua.. Mara kavaa kanzu baibui maimuna.. Leo wao ndio wapigaji🤣🇮🇳🇮🇳🇮🇳
Yani ww kama mm niliwaambia watu wemekazana wanaomba no BM maziwa ili wapewe huduma ila kwenye mahubiliyake anakwambia msujudie mungu wake nikawa nawaza unamsujudia MUNGU wake unajua ?je ni MUNGU yupi huyo
Hadi huruma omba Sana MUNGU ni Mwenye huruma atakusamehe na kukufanya kiumbe kipya Kwa jina la yesu maana imeandikwa tutubu na kunyenyekea mbele za MUNGU na tutasamehewa ubarikiwe Sana..
Hii stry byeee byee imeenda zake jomon tutakukumbuka mzee baba wabakola zanyuma nambele mmmh Kaka davistar nenda kwa mchumba angu zabron au mrudie mfaume bna
Dah! Nimejifunza sanaa. Mungu akubariki Davis. Tun'gan'gane kutafuta maisha tukiwa chini ya uwepo wa Mungu tu. Njia za kutaka utajiri kwa ushirikina ni hatari sanaa
Soma kwa jina la mungu wako,mwalimu lwanda magere nikupe pole Sana ila naomba urudie kazi yako ya kufundisha tuition inalipa Sana ukiweka mipango yako sawa kwasababu hata mimi nilianzia kufundisha tuition na sasa Nina shule yangu na pia usiache kuandika vitabu mungu atakusaidia mdogo wangu
Kwakwl hii ctor inamafunzo mengi Sana hasa kwetu sisi wanawake wenye vijitamaa vyakupenda watu wenye hela kumbe wengi wao wanamambo mazito nmeogopa Sana🙆
Waaa!!! God is great. This story is shocking and a true eye-opener. I have learnt a lot - mostly that I should thank God for His wonderful protection. Thank you Jesus!
shetani huwa ni muhuni tu'yaani ww miaka yote hiyo ulikuwa unatwanga maji kwenye kinu viumbe waliolaaniwa hawawezi kufanyika baraka ,wana kazi moja tu kuua."kwa lugha nyepesi wote wenye mali za kipepo ni sawa bure yaani ni maskini wa kiwango cha juu sana.
Kila mapito ina sababa naomba huyu ndugu atafute kanisa la kiroho lenye upapanusi muzuri na mafundisho ya ukweli, ndio aelewe kusudi lake. Na ampokee roho mtakatifu. Maana vita bado anazo.
Wowww Brother YESU ALIKUPENDA SANAAA, Wewe kunusurika hivi ni wachache sana sana, Nakuomhea Brother Lwanda Magele na Kaka Davistar Your work is more than a Sermon
Yaani hii clip imenifunza Mambo ambayo ata ningeishi miaka mia kwenye kanisa singeli soma, yaani nimekuwa kiroho kwa kiwango cha juu zaidi ya miaka mingi sana,umenivukisha mbali sana aisee asante sana,nakuombea ulinzi wa malaika wa Mungu Jehovah mfalme wa wafalme,
Nimejifunza mengi. LAKINI kumkubali Yesu kama kiongozi wa maisha yako pekee, HAITOSHI! LAZIMA uvunje maagano (covenants) na madhabahu (altars) zile ulitengeneza ukiwa hio pande nyingine. La SIVYO, hutaweza kunawiri kwa Yesu. PIA USIPO VUNJA maagano na madhabahu, kizao chako LAZIMA Kitalipa kulingana na neno la Mungu (God will visit the iniquities to the third and fourth generation) Hii ni LAZIMA na sio hoja yakua Msabato, Mkatoliki au Mpentekosti. Ni uhusiano wako (relationship) na Mungu. Maombi ya juu juu ya asante Mungu kwa kunilinda na kuniokoa ni ya kwanza tu. LAZIMA upitie ukombozi (deliverance ) ya Maisha yako, hata kama sasa Mungu amekusamehea na uko msafi, uko sawa na haijalishi binadamu mwingine ana fikiria aje. LAKINI usipo vunja hizo, utaishi maisha ya kusumbuka hata kama umeokoka na Yesu ni mkombozi wako.
Inaumiza Sana,,, kitu ambacho nachukia maishaishani Ni kumwona binadamu nwezangu akipitia maisha ya tabu naumiaga Sana,, japo mi mwenyewe Ni mwangaijaji,,, Mungu akufungulie milango kakangu upate iyo Bajaji haraka sana
Rafik yangu mungu akubarik sana,tumejifunza mambo mengi sana kupitia simuliz yako na tunakushukuru sana kwa ujasir wako wa kuamua kuelezea umma mambo yote uliyowah kuyafanya ili tuweze kujifunza.
Davistar nimefurahia kazi unayoifanya.Naomba nishauri, usiishie tu kuwashauri watu kumuamini MUNGU.Nashauri uwashauri kumpokea YESU.Ukisema wamwamini MUNGU, Ni MUNGU GANI HUYO? MIUNGU WAKO WENGI SANA.TUWASHAURI WAMWAMINI MUNGU KTK JINA LA YESU
Yaani hii story imenumiza sana imwnifanya nimkemee sheytwani kila wakati, Ndugu zangu Sheytwan hawezi kumpenda binadamu hata kidogo ndio maana Mwanyezi Mung kasema tumkemee kila Mara wakati, Tazama amepoteza watu wangapi,ukijumlisha ndugu na wapenzi na watoto wako wazuri n a mwisho akataka kukumaliza kabisa ila yy kapata faida
Wa pumbav wa tu wana teseka wao wanataka kwend na mim kunamtu ali niambia unavo sikiliza eti niombe namba ni mtumie nika mjibu ushindwe sikiliza mwenyewe uchukuwe namb usinitie dhambini mie
davistar nikweli watu warudi kwa mungu. je kweli watu wanamjua mungu?. je mtu akisema mimi mungu au mtoto wa mungu .au mungu anafanana na hiki au kile.je ni sawa?
ubarikiwe sana Brother Davista hii story imenifungua mengi sana yan hayahesabiki hat kidogo asante sana msimuliaji mm kama kijana nimejifunza mengi kuwa mtu wa maombi na mkiristo kwelikweli, kutokuwa na tamaa, mke wa mtu, uongo, ubishi/ukorofi kwa mtu usiye mjua, uzinzi na mengne mengi asante san nimefutilia hki kisa toka mwanzo hadi mwisho tujifunze kwa mifano vitu vya hapa duniani ni mapito tu.🙏
Shetani hakua na haja na 'Lwanda Magere' kwani keshamalizia family yake yote na kubaki na mzigo mzito wa dhambi kaw kuangamiza nafsi nyingi tu zisizo hatia
Mzee wa bakora story yako ni nzuri sana ,ahsante sana kwakutufunza mambo ambayo tulikuwa hatuyafamu mwenyezi mungu akubariki sana,nimechukuwa namba zako nitakutafuta nitahitaji pia kitabu
Yeah kiukweli hii ilikuwa ni bonge la story yan...lakini Davistar kwa wale wanao kuomba namba za hawa jamaa waliopita njia hizi we wape namba nawao wakajaribu bahati yao ..alafu unakuwa unatengeza watu watakao kuja kutoa story baadae . So we wape connection coz watakuja kusimulia badae.
Asante sana Lwanda magere law hio story yako imetufunza na kutuelimisha na tututahadhalisha pia May God bless and surround you with his grace na akufiche kutokana na Audi shetani.....imagine bado kuna wengi wanatafuta utajiri wa ibilisi ambao haudumu mwisho akutese kisha akuue ....the devil work is to steal kill and destroy.
Daaah....bakora za mikakati zimeishia hapa?
Mshikilie Yesu!!
Hii story kwa huu mwaka 2021 kwangu mm ni namba moja
Ni ya kusisimua sana kwangu mimi Mzee wa Msosi! bado ni namba one!Kuanzia kutoroka Gamboshi, kukamatwa na kurudishwa halafu kutoroka tena, kupata utajiri na hela kuota miguu, jela, ukichaa na mengineyo mengi! Wacha tu, dunia yetu ina mambo sana!
Safi Sana broo
Kwa story hii Davista Mata nakupa big up.
Eiiiiiiiish Mungu tulinde hii story imeniguza
Pole Sana brother
Kilicho na mwanzo hakikosi mwisho stry nzuri nimejifunza
Miongoni mwa story za davista ni hii na Ile ya zablon
Jaman part 37 mbn haipo au imefutwa
Mbona sioni 37 jamani au ni simu yangu
Hata mie sioni
Sio wewe tuu story imefika pazur lakin 37 haipo
Nkweli kaka mungu ni mwema
37 uko wapi jmn😭😭
Davistar, nambari 37 Vipi 🤔
Ni stoli nzulisana
👏👏👏👏👏. 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@@ayshamahariq6665 mwenzenu mbn sielewi mali zilipoteaje ya 37 siioni😂😂😂😂😂
@@aiyamhassan1321 pole wngu ilitolewa❤❤❤😥😥
Story inaelekea kuisha hapa
Kwishiney
Bado unapenda wanawake wenye uzuri wa kimataifa??,,,,
Huyu Brother Story yake ni BIG sana..na ina kila ujanja wa ibilisi...imenifunza namna ya kusali kuanzia uchafu kwenye chakula.. usalama usiku..kutogombana na watu ovyo
Mzee wa bakora! History yako ni nzuri Sana! Nimeipenda na imefundisha Mambo ya kiroho, Mungu akubariki Sana pamoja na bro Davista Mata Kwa jina la mfalme mkuu YESU KRISTO.
Kweli kabisa
Tupo na Yesu tunafurahia maisha na utajiri wa halali pasina shaka
Pole sana ndugu. Hongera kwa kuachana na mambo hayo. Swali. Je, uliweza kujua sababu ya malkia kumwita mkeo ni mtu wao?
Daah hii story naamn imetufundsha sana mungu ananguvu sana 🙏🙏🙏
pole sana ndugu
nmekusikiliza mwanzo mwisho na nmehaıd nikirud tz lazma tuonane ndugu nmeshachukua namba yako ila Riziq yako ıpo tu !
niandalie kitabu ndugu
SIO SIRI KWA ELIMU NILIOPATA HAPA KWENYE HII STORY NI ZAID YA DEGREE. YAAN ACHA 2 MAISHA NISAFARI NDEFU SANA. NIKUCHANGIE *-DAVISTA-* *-NAKUPENDA SANA-* .. ❤️❤️❤️🙏
Kabisa aisee
Kweli kabisa❤️❤️
kabsa❤❤
i seee
Karud kweny bajaji duuh
Huyu kaka alitaka utajiri Wa kuzimu. Akapoteza family yake,,, kweli tu ni degree kubwa tumepata hapa. Shukran Davistar.❤️
Sijui Hali ya zainat na mama yake mdogo itakuage wakisikia hii simizi 💔💔
Nikweli me nakihitaji kitabu kutakua mambo mengi hakuyasema
Haise ila inauma sana kuchezea maisha ya wanadamu kuwatoa kafara,
@@kisurangusa554 mbaya zaidi kamaliza anafamilia yake afuu alivo sheytwan embu tazama alivo uwa watu alivo uwa ndg zake Nasheytwan alikua bado hajalizika kukataa kumtoa shangazi yake kaharibu kila kitu kosa moja hakumbuki huku nyuma kama washa teketeza binadam wengi
@@kawtharsaleh9229 awe karibu na mungu sana. Akijisahau tu ajue atatolewa kafara na malkiya. Mtihani alokuwa nao si mdogo😢
Bado nawa fikiria wote aliowatoa💔💔💔
@@Laila-lz4ij nikweli huenda hapo anamchora tuuh akijisahau tuuh anamfata
🤔🤔🤔🤔😭Yaani inasikitisha sana.. Kutoka kwa million sasa hata bajaji Huna shetani mbaya sna.. Wapenda manabii mbadilike kaka ametoa ushauri wa bure.. Niliwashutukia kitambo wote wa bm maziwa.. Wanawaponda waislm pia Leo ukweli davista watu wameujua.. Mara kavaa kanzu baibui maimuna.. Leo wao ndio wapigaji🤣🇮🇳🇮🇳🇮🇳
Yani ww kama mm niliwaambia watu wemekazana wanaomba no BM maziwa ili wapewe huduma ila kwenye mahubiliyake anakwambia msujudie mungu wake nikawa nawaza unamsujudia MUNGU wake unajua ?je ni MUNGU yupi huyo
Pia kila mgonjwa akipenda pale muislam baada ya kutibiwa anabadiriswa dini😅
Jiulize kina Tito wanapata wapi hela? ni watoa kafara ila wameamua kujificha kwa kutangaza neno la Mungu kumbe mafraun wakubwa
Mze wa mikakati katisha had nimemsahau zabron
Inamaana Hana mkee sasa??
@@rosekingalu4403 ndio hana
Ahsante kwa kazi njema Davistar,Mungu akubariki!
mzee wa bakora za kimkakati hatariii
Hadi huruma omba Sana MUNGU ni Mwenye huruma atakusamehe na kukufanya kiumbe kipya Kwa jina la yesu maana imeandikwa tutubu na kunyenyekea mbele za MUNGU na tutasamehewa ubarikiwe Sana..
Haise duniani ni mapito, nimejifunza kitu mtu umekuwa tajiri mpaka umepigika haise pole,
Kwa kweli imekua simulizi ya mafunzo tuna shukuru sana mbarikiwe 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏👍🙏🙏🙏🙏🙏
Matajiri wengi ndio mwenendo wao huo na wafanya biashara wakubwa. Ila ukimuona tajir usimuone kapata .kumbe kapatikana . Mana kabanwa na ushetani
Hii stry byeee byee imeenda zake jomon tutakukumbuka mzee baba wabakola zanyuma nambele mmmh
Kaka davistar nenda kwa mchumba angu zabron au mrudie mfaume bna
Kweli 😢
Dah!
Nimejifunza sanaa.
Mungu akubariki Davis.
Tun'gan'gane kutafuta maisha tukiwa chini ya uwepo wa Mungu tu.
Njia za kutaka utajiri kwa ushirikina ni hatari sanaa
Davista Part 37 wapi??
Soma kwa jina la mungu wako,mwalimu lwanda magere nikupe pole Sana ila naomba urudie kazi yako ya kufundisha tuition inalipa Sana ukiweka mipango yako sawa kwasababu hata mimi nilianzia kufundisha tuition na sasa Nina shule yangu na pia usiache kuandika vitabu mungu atakusaidia mdogo wangu
Kwakwl hii ctor inamafunzo mengi Sana hasa kwetu sisi wanawake wenye vijitamaa vyakupenda watu wenye hela kumbe wengi wao wanamambo mazito nmeogopa Sana🙆
Waaa!!! God is great. This story is shocking and a true eye-opener. I have learnt a lot - mostly that I should thank God for His wonderful protection. Thank you Jesus!
Kaka nimekusoma vema pole sana na matatizo uliyopitia yote ni maisha lakini umetupa somo zuri Sana kwa wale ambao hatumjui Mungu vizuri.
Labda ww ila sisi wakristo tuloamn tukabatzwa na kuokoka tunamjua vzr hatutapotea ktk safari yetu hapa duniani
Tutakukumbuka Mzee Wa Bakora Za Kimkakati.....😊
🤣🤣🤣
Du! Maisha km movie yaan from hero to zero
Hahah v8 hadi kwenye baiskel 🤣
Hapana huyu ametoka zero na sasa ni hero maan alkuwq anapitia mambo mabaya sasa yuko seem salama so amesinda vita yeye ni hero
shetani huwa ni muhuni tu'yaani ww miaka yote hiyo ulikuwa unatwanga maji kwenye kinu viumbe waliolaaniwa hawawezi kufanyika baraka ,wana kazi moja tu kuua."kwa lugha nyepesi wote wenye mali za kipepo ni sawa bure yaani ni maskini wa kiwango cha juu sana.
Davister usisahau kumuuliza kuhusu vitengo alivyokutananavyo kule kuzimu maana alisemaga atatuelezea mbeleni.
Alisema vipo kwenye kitabu chake
Kila mapito ina sababa naomba huyu ndugu atafute kanisa la kiroho lenye upapanusi muzuri na mafundisho ya ukweli, ndio aelewe kusudi lake. Na ampokee roho mtakatifu. Maana vita bado anazo.
Shida hayo makanisa hayaeleweki sikuhizi anaeza jikuta karudi kwa malkia
Na kweli makanisa hayaaminiki tunajiendea tu.Ikitokea akaenda kwenye kanisa la nguvu za giza basi atakuwa ameenda na maji
Wowww Brother YESU ALIKUPENDA SANAAA, Wewe kunusurika hivi ni wachache sana sana, Nakuomhea Brother Lwanda Magele na Kaka Davistar Your work is more than a Sermon
Yaani hii clip imenifunza Mambo ambayo ata ningeishi miaka mia kwenye kanisa singeli soma, yaani nimekuwa kiroho kwa kiwango cha juu zaidi ya miaka mingi sana,umenivukisha mbali sana aisee asante sana,nakuombea ulinzi wa malaika wa Mungu Jehovah mfalme wa wafalme,
Kabisa
Bakora za kimkakati, histori inatsha Sana inafundsha na inahudhunisha sanaaaa pia but all in all GOD IS GOOD AND GREAT
hii stori na ilee ya rashidi alie kua anaiba kwa uchawi zmenifunza na nmegundua kuwa tamaaa aifai kabisa aisee
Pole san kwa pia tumejifunza Mengi san .. shetani anaharibu san watu pia taama ya Utajir Mungu tusaidue Utajir wa kutok kwako
Nimejifunza mengi. LAKINI kumkubali Yesu kama kiongozi wa maisha yako pekee, HAITOSHI!
LAZIMA uvunje maagano (covenants) na madhabahu (altars) zile ulitengeneza ukiwa hio pande nyingine. La SIVYO, hutaweza kunawiri kwa Yesu. PIA USIPO VUNJA maagano na madhabahu, kizao chako LAZIMA Kitalipa kulingana na neno la Mungu (God will visit the iniquities to the third and fourth generation) Hii ni LAZIMA na sio hoja yakua Msabato, Mkatoliki au Mpentekosti. Ni uhusiano wako (relationship) na Mungu. Maombi ya juu juu ya asante Mungu kwa kunilinda na kuniokoa ni ya kwanza tu. LAZIMA upitie ukombozi (deliverance ) ya Maisha yako, hata kama sasa Mungu amekusamehea na uko msafi, uko sawa na haijalishi binadamu mwingine ana fikiria aje. LAKINI usipo vunja hizo, utaishi maisha ya kusumbuka hata kama umeokoka na Yesu ni mkombozi wako.
Ni kweli
Pole sana ndugu yangu! Nimeumia sana. Mungu atakusaidia sana!
Kila la kheri #MZEEWABAKORA,,,pambana,mrudie Mungu na kumtumikia pia kwake hakuna lisilosameheka,Amen🤝
Nashukuru sana kujua hii channel nimejua vitu vya ajabu ila shetani hana uruma kabisaaa ni muongo tu 🙆♀️🙆♀️
Kwasisi watu wamikoani kukipa kitabu nimeona siraisi
Davstar shikamoo.. nipo TUNDUMA nimesikiliza stori yooooooooote. SWALI? Ivi anachoeleza ni stori ameiandika au ni yamememtokea kweli?
Inaumiza Sana,,, kitu ambacho nachukia maishaishani Ni kumwona binadamu nwezangu akipitia maisha ya tabu naumiaga Sana,, japo mi mwenyewe Ni mwangaijaji,,, Mungu akufungulie milango kakangu upate iyo Bajaji haraka sana
Hii story ni namba moja. Ubarikiwe na Bwana Yesu
Sure...namba mbili ni ile ya yule dada wa mwanza nayo hatari mnoo namba tatu ya yule mchizi wa mtwara..ndio tatu kali
Msimuliaji hajatupa hitimisho zuri kuhusu yule Dada Ashura wa kule Tarime maana alisema ataelezea vizuri baadae.
Ameoaaa?
Kweli shetan Hana huruma kabisa Yani kumtolea kafara zote hizo lakini ukikosea kidogo tu anakuadhibu
Rafik yangu mungu akubarik sana,tumejifunza mambo mengi sana kupitia simuliz yako na tunakushukuru sana kwa ujasir wako wa kuamua kuelezea umma mambo yote uliyowah kuyafanya ili tuweze kujifunza.
God is a God of second chance, mtumikie mungu kwa moyo wako wote
Kwangu nimesoma kitu kwamba ganda la ndizi sio zuri
Very educative story however it's better to trust in Jesus christ and to let God bless us and be our own
Pole sana kaka yangu tuwafundishe watoto wetu kumjua Mungu na faida zake tunawajengea imani
Davistar nimefurahia kazi unayoifanya.Naomba nishauri, usiishie tu kuwashauri watu kumuamini MUNGU.Nashauri uwashauri kumpokea YESU.Ukisema wamwamini MUNGU, Ni MUNGU GANI HUYO? MIUNGU WAKO WENGI SANA.TUWASHAURI WAMWAMINI MUNGU KTK JINA LA YESU
Story Kali duniani na msabato noma sana
Duuuuu Yani siku ya Leo nimeshinda ndani nimeanza kipande Cha 27 mpaka 38big up sana
Yaani hii story imenumiza sana imwnifanya nimkemee sheytwani kila wakati, Ndugu zangu Sheytwan hawezi kumpenda binadamu hata kidogo ndio maana Mwanyezi Mung kasema tumkemee kila Mara wakati,
Tazama amepoteza watu wangapi,ukijumlisha ndugu na wapenzi na watoto wako wazuri n a mwisho akataka kukumaliza kabisa ila yy kapata faida
Yani hapa hii str over xote mana aft utajiri ukaingia kwaumasikini maisha yakawaidaa loo tumia nguvu xako sio ushirikina
Davstar huyo kaka anaitaji maombi mengi Zaid. Duh.
Kwa hivo vifo vyote kwenye ajali au mauaji yeyote yanasababishwa na shetani.? Na hao watu huenda kwa ibilisi?
Mwisho amenitowa machozi kweli shetani nimuharibifu😔😔😔so sad azidi kulaaniwa shetani
See u.gain
Aseeee ndo nimeifalita hii story jana na leo jmn aseee nimejifunz kusali kbl ya kula kngn kumjua mungu jmn shetan ni mby sn
Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel back again big up
Wa pumbav wa tu wana teseka wao wanataka kwend na mim kunamtu ali niambia unavo sikiliza eti niombe namba ni mtumie nika mjibu ushindwe sikiliza mwenyewe uchukuwe namb usinitie dhambini mie
Nahisi number moja.. Wapendwa au tumegongana number 1🤣🤣🤣
davistar nikweli watu warudi kwa mungu. je kweli watu wanamjua mungu?. je mtu akisema mimi mungu au mtoto wa mungu .au mungu anafanana na hiki au kile.je ni sawa?
Pole sana kak mejifunza kitu toka mwanzo ad mwisho vijana sisi wa asaiv twaitaji pesa nyingi za halak xomia2 mia2 na tamaa sana
Nimefika 👍
ubarikiwe sana Brother Davista hii story imenifungua mengi sana yan hayahesabiki hat kidogo asante sana msimuliaji
mm kama kijana nimejifunza mengi kuwa mtu wa maombi na mkiristo kwelikweli, kutokuwa na tamaa, mke wa mtu, uongo, ubishi/ukorofi kwa mtu usiye mjua, uzinzi na mengne mengi asante san nimefutilia hki kisa toka mwanzo hadi mwisho
tujifunze kwa mifano vitu vya hapa duniani ni mapito tu.🙏
Davista saidia huyo jamaa aende afanyiwe deliverance ili nyota yake ifunguliwe.
Pole kaka kila mtu ana mitihani yake kwny maisha ni mungu alitaka tujifunze vingi kupitia ww mungu aendelee kukupigania haezi kukuacha uaibike
Namba uno🤣
Shetani hakua na haja na 'Lwanda Magere' kwani keshamalizia family yake yote na kubaki na mzigo mzito wa dhambi kaw kuangamiza nafsi nyingi tu zisizo hatia
Tuko makini hapa
Kweli nimekuzikiliza mwanzo hadi mwisho Pole sana ,hasara tupu
But imeniumiza familia yote umemaliza sasa umebaki peke yako very sad.
Hela ya shetani haiendi bure yafaa nn utajiri wa masharti kwa kuuza roho yako
Kwa ushauri tu huyu jamaa angetengeneza film kupitia story hii
Mzee wa bakora story yako ni nzuri sana ,ahsante sana kwakutufunza mambo ambayo tulikuwa hatuyafamu mwenyezi mungu akubariki sana,nimechukuwa namba zako nitakutafuta nitahitaji pia kitabu
Mimi ningepata tu hiyo dawa ya bakora niwachape wadada
Nakweli hawalali sasa wee mkaka siulisha acha kupiga bakola zasana sinjoo unichumbie mimi sasa😂😂
Umeona eee
@@kalssambaboo9932 nimeona
@@kawtharsaleh9229 itapendeza
🤣🤣🤣🤣hili kaw hil looh utaolewa nawangapi shoga langu wee khaa bado hajapona yupo vile vile nabakola zake utaziweza mmh
@@fatmamucha4419 😆😆fatma wee hunitakii kher
Kati ya story zote ulizowahi kusimulia hii ni kubwa kuliko
Yeah kiukweli hii ilikuwa ni bonge la story yan...lakini Davistar kwa wale wanao kuomba namba za hawa jamaa waliopita njia hizi we wape namba nawao wakajaribu bahati yao ..alafu unakuwa unatengeza watu watakao kuja kutoa story baadae . So we wape connection coz watakuja kusimulia badae.
nishakuona shetan anakutka
Mungu ni mwema sana atakusaidia.
Ulipata watoto na wale wamama wapangaji? Jipu pls
Davistar alisahau kumuuliza
Hii ni historia kubwa maisha ni hatari mwanadamu inabidi kujiweka kwa yesu njoo salama hapa duniani iyi ushuhuda inanifunja mengi kabisa
Nahitaji number ya whatsup
Dah mzeewamikwaju kalosti bora ulivofulia ulikua hatari
Asante sana Lwanda magere law hio story yako imetufunza na kutuelimisha na tututahadhalisha pia May God bless and surround you with his grace na akufiche kutokana na Audi shetani.....imagine bado kuna wengi wanatafuta utajiri wa ibilisi ambao haudumu mwisho akutese kisha akuue ....the devil work is to steal kill and destroy.
Mungu akubariki my brother kwa stori yako nzuri Allah atakulipa lkn kwa uko kwenda yesu ni lman yk
Eeeh twende naloo
Du! Final episode huzuni umetanda sana
Stori nzuri sana