Davista story ya huyu jamaa ni nzuri sana, naomba kama unaweza kuunda pia group la whatsup kwa member fee ili kwa wale wanaotaka kupata story nzima kwa muda mfupi uwarushie huko ni wazo tu na ombi
Jamani mchango wa davista halafu nyie mnaoleta mambo ya ubaguzi na udini humu sio mahala pake tupo kwenye kujifunza na sio malumbano ya dini kila mtu abaki na imani na kile anachoamini yeye usitake kila mtu awe kama wee ukiamin wewe inatosha.
Nakubali sana Lwanda magere coz story nzima we ndo Giant kwelii kweli ...yan wew bonge la sterling kama yule mwamba wa kwenye kitabu..saluti sana umeuvaa uhusika.😃🙌
Sikuzote tunapataga story za mwalabu wanatufanyia Fujo ila lwanda magele kapepelusha bendela ya tz waalabu sikwakufaid bakora za kimkakati kwanza mnoko akakatiswa moto halafu mama na mtt wakashea bakora 😸😸
Nilichokigundua huyu bwana sio kwamba ushetani ndio ulikuwa unamuendesha ila pia alipata kiburi cha kutumia huo uchawi kufanya huo ushenzi kwa wanawake maana kam mtu unatembea nae vip unatembea na mama zao pia yaani ni ushenzi wa hali ya juu kiburi kilizidi daaah hataree
jessy Kenya..kweli mungu anasababu na huyo kijana amefanya hayo na amemtoa kwakifungo chasetani haleluya yesu asifiwe..na davista zengine hazina sauti..
I'm just thinking out loud.... Hueza kuwa shetani aliona una nyota kubwakupitia kizazi chako ndio maana kakupa kazi ya kuzalisha wanawake wengi na kumpa kafara 🤔 watoto wako
Wenye asili ya uswahili na uwarabu hupenda pesa et hata kama mweusi ila kama huna kitu au sio maarufu hawakukubali. Tamaa yao pesa to na ndio mana wengi wao washirikina wanafuga majini na huwatowa watoto wao kafara huwafanya mando ndocha . Umebahatika to kuwa na uhusiano na hao waarabu njaa umalaya mwingi na tamaa
kwanini maneno ya ubaguzi na kusema warabu wakati zenati ni mwarabu na kakupenda na kuna warabu wengi wameolewa na waafirika... sina ya kusema ila mungu mkareem atupe wema😔
@@stephenkariuki8974 Igoma ni jina la kata ya manispaa ya Nyamagana katika mkoa wa Mwanza na Kigoma ni mkoa unapatikana north western mwa Tz.Kigoma ipo mbali kutoka Mwanza.
Umetishaa sana Lwanda magere....umekula boga na ua lakeee!!!...waarabu hawatokusahau umewafanyia kitu mbayaa!!!😂😂
Nandomaana waarab wengi wanawakataaga watu weusi coz ya tabia zao za ajab
@@suzansimon5296 yabia gani my
Wanaosubiria kitakachomkuta mke wa boss wa zamani na dereva wake gonga like
Mimi ndo nasubili kwa hamu
watapata muhaho😀😀😀
Kula kishoka Kenya Mombasa ni kutoa kisambusa 😂😂
Dav nakushauli baada ya story mtafute dreva wake akupe story
Nitamshughulikia kisawa sawa
Mtu makini katika ubora wako pamoja Sana Ka Ka angu wa ukweli endelea kutufundisha wanafunzi wako tunaelewa bila ya kutuchapa viboko
Mmh
Mademu Wakiarabu Mpo Humu?😄😃😂😁
Davista story ya huyu jamaa ni nzuri sana, naomba kama unaweza kuunda pia group la whatsup kwa member fee ili kwa wale wanaotaka kupata story nzima kwa muda mfupi uwarushie huko ni wazo tu na ombi
Point 👏👏👏
😂😂😂😂 umetisha mwana tupo pamoja
Jamani mchango wa davista halafu nyie mnaoleta mambo ya ubaguzi na udini humu sio mahala pake tupo kwenye kujifunza na sio malumbano ya dini kila mtu abaki na imani na kile anachoamini yeye usitake kila mtu awe kama wee ukiamin wewe inatosha.
Tunaowekaga quality ya 144p ili mb zisiishe mapema. 🙌🏾
Hhhhhh
Davista hata wewe ni mwanga, huo ujasiri wa kuhoji hao watu unapata wapi!
😂😂
😂😂😂hat mim nimeshangaa
Mwanga wa giza au mwanga ya kilimanjaro au mwanga ukoo wa kimachame!!!!
Nakubali sana Lwanda magere coz story nzima we ndo Giant kwelii kweli ...yan wew bonge la sterling kama yule mwamba wa kwenye kitabu..saluti sana umeuvaa uhusika.😃🙌
Story ya Musa chesa itasubiria. Hii bonge ya story hutamani imalizike.
@@athumanmakale8221 kabisaa
@@athumanmakale8221 hata Mzee wa gamboshi Zabron me naona hapa anasubir
@@athumanmakale8221 livee yan..natamanii davistar aweke viapande vyote kama season tuwe tunaangalia episode zote mwanzo mwishoo😂😂😂
@Athumani Makale,kweli ya Musa Cheza itasubiri hii balaa
Ukistaajabu ya mussa chesa utayaona ya malwa magere 😂😂😂😂😂ila watu muko fasta kwa kweli khaaa
Kabisaaa
Kuwa unaeka basi ata episode 4 kwa siku unatuacha na muhaho mr everything 😂😂😂
Muhaho
haki
Muhaho wa bundle unatumaliza nguvu jamani hatuna amani
Sikuzote tunapataga story za mwalabu wanatufanyia Fujo ila lwanda magele kapepelusha bendela ya tz waalabu sikwakufaid bakora za kimkakati kwanza mnoko akakatiswa moto halafu mama na mtt wakashea bakora 😸😸
Nilichokigundua huyu bwana sio kwamba ushetani ndio ulikuwa unamuendesha ila pia alipata kiburi cha kutumia huo uchawi kufanya huo ushenzi kwa wanawake maana kam mtu unatembea nae vip unatembea na mama zao pia yaani ni ushenzi wa hali ya juu kiburi kilizidi daaah hataree
Sanaaa.
Hahaaa
Hhuo uliosema ndio ushaten sasa
Siku zote wachawi huwa wanakiburi sana
Uchawi unaleta kiburi aisha. Hata kama angekuwa mwanamke unakuta unataka kutembea na kila mwanaume unayempenda
Aisee wew umlilie Mungu kila cku
Uktubu na kuziacha dhambi zako unasamehewa papohapo ,1mamboyanyakati
Ni kweli maana si Kwa kuua huko
jessy Kenya..kweli mungu anasababu na huyo kijana amefanya hayo na amemtoa kwakifungo chasetani haleluya yesu asifiwe..na davista zengine hazina sauti..
Daaaaaaaaaaaaaaaah uyu jamaa nimemuachia mungu😀
Kwa nn
Narudia tena huku story inavoenda jamaa atampiga bakora Dada wa kazi 😂😂😂
Tena bakora zakutosha zamkakati🤣
@@mwajumachao9151 hahahah Kama naona 🙌😜
🤾
👍👍 Vizuri Sana Davistar story iko👌🔥🔥 Muendelezo wa Good Friday Basi rusha hivyo Vipandee Vingine Fasta Usichukue Muda Aisee🤣🤣
Aisee...
neno ITAENDELEA mwisho wa story hunichokesha yani sitaki iishe🤣🤣
heehhe
Hii ni sison ya kikorea yenye ep 80 kwahivyo bado labda upambane tu na hizo bando za tg la sivyo utakosa uhondo
Mama kaliwa binti kaliwa mmoja kauliwa
Hizo ni bakora za mkakati
@@stanleygeorge264 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂
Dah jeuri zangu na ngebe zimeisha,Halotel mmeniweza
Bonge moja la series
Wale wepesi nilazima wachapike bakora zakimkakati😂😂😂😂😂😂
Ulipandikizwa roho mbaya sana wewe mmm
Daaaaah pole Sana lkn omba sana kwamungu
Inawezekana huyo malkia ndie aliekua anasababisha watu kuingia mtu au kuchungulia ndani ya chumba Cha Siri..ili apate damu ya jamaa na ndugu zako
kweli maana yeye ndio mwenye limonti ya maisha yake 😀😀😀
Kabisa
Huyu MTU. Hii ni stori ameiandika anasoma au matukio ya kweli?
Wanaotaka kuunda udugu na Mimi waje hapa
Bakora za kimkakati
Mb imekua issue sana siku hizi jamani
😂😂eti kumbe ovyoo tuu
Kitabu chake tunakipataje?
Huyu jamaaa nadhani atakua ndio mwenyekiti wa mawakala
Mimi ningemuona uyo kaka mumaco ningafurahi
Duuh leo story zote umezitupia asubh sijui usiku tutaangalia nin kaka 🤔🤔
Hahaha 😂😂
Hapo sasa
@@pilimusa7770 yaan katuweza ukitaka sikiliza moja moja uiache ya usiku😂😂
@@credo7837 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@pilimusa7770 hivi yule jamaa anajiita Credo yukowapi nimeona jana umemuulizia🙄🙄
UBARIKIWE DAVISTAR MATA MTU MAKINI KABISA 👍👍👍👍
Mzee wa bakora unastory kali sanaaa
Wonderful story Nimewahi Leo wa 6 .Kama kawa Kama dawa.
Wa 29 jmn wapi like
Vp kuhusu Bakora za Kimkakati😄😃😂😁
Huogopi bakora za kimkakati
Hongera
Darvista punguza kuuliza uliza kila nukta, unapoteza muda, pia unapunguza uhondo!
Inabidi uganye toba ya kiakika yani shetani Ana vyabure
Story tamu jamanii nipe like basi
Hivi like huwa zinafaida eeeh?
Huku kwetu Kenya tunaita kuweka kisambusa
Ndio "Kishoka" hicho...
Part 28 sauti chenga sana
Story nzuli ila ina chelewa sana tulushie 29na 30 tumechoka kusubiri
Lazima apigike bakora za kimkakatii 😂😂😂😂😂
Yani tuna juwa jina na sauti na kichwa sura atujuwi
Lazima apigike BAKORA ZA MKAKATI 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Ni bakora ya kishetani
Niko ndani ya tent 🎪🎪 from 254
🤔🤔🤔
Sisi wa 254 umejua maana ya kula kishoka😂
Uko ndani ya Tent unajifukizaa 😃😂??
Mama mdogo bakora za kimkakati zinamhusu.😆😅😆😅
Nangoja part 29 kwa hamu na glue 🇰🇪
Kula kishoka hilo nalijua leo 👌🇬🇦 tupo
Namba ,6 leo hii itakua upako wa Ijumaa kuu ndio umenipa nguvu ya kuwahi
Wachelewaji tujuane
Yani unalala na mamamkwe jamani huyu mtu alikuwa mchafu kweli
Yale mapepo alio pandikizwa Baharini ndio yaliokuwa yanamundesha. Sijui zinat na mama yake mdogo walikuwa kama walikorogwa pamoja
@@Laila-lz4ij dawa zababu zafanyakazi
Bundle zimepanda bei fanya kutupia part 29
Shetani hanaga huruma kwa wanadamu
Davistar umefidishia hii? Kwakuwa jana usiku haukutupia?
Unachapa Mama mkwe Bakora bana ee
🤣🤣🤣Mzee wa bakora za KIMKAKATI🤣🤣🤣
Mtu Makini hii ni holiday wachilia kuwachilia
Kweli
Bakora za mkakati 😄 umewakunuta sana
😒
Huyu ni kiboko
Sijachelewa🇰🇪
Nimefika atakama nimechelewa
Davistar unapenda Sana mambo ya bakora za kimkakati sinakupa Sana muhoho
😀😀😀😀
kula kishoka ni kuvunja kisambusa.
Safiiiii sana Dav hakuna kungoja
Tunaomba mwendelezo jaman Episode ya 29 nakuendelea
Simba za kipumbavu 😂😂😂😂
Hiii ni story hatari
I'm just thinking out loud.... Hueza kuwa shetani aliona una nyota kubwakupitia kizazi chako ndio maana kakupa kazi ya kuzalisha wanawake wengi na kumpa kafara 🤔 watoto wako
Unatuacha na muhahoo 😂😂😂 ebwana
Bakora za kimkakaty
Uzur wa steeringi wetu aaachi kitu kene mambo yetu yaleeeee ....😂
Kabisaaa
Nawai kuchelewa
Bakora za kimkakati bot🙏🏃
Hapana hakuna kitu km hicho ktk uislam
Misisau kumtumia davister kale ka hela kake😋😋😒😋😋😋😋
Nina kimuhemuhe leo 😏😏
Duuuh ulimwengu una miamba kweli !!! Lwanda magere mwisho wa mawazo bro 🙏🙏🙏
Hhhha,huyu ni chuma nzito
Wenye asili ya uswahili na uwarabu hupenda pesa et hata kama mweusi ila kama huna kitu au sio maarufu hawakukubali. Tamaa yao pesa to na ndio mana wengi wao washirikina wanafuga majini na huwatowa watoto wao kafara huwafanya mando ndocha . Umebahatika to kuwa na uhusiano na hao waarabu njaa umalaya mwingi na tamaa
Bakora za kimkakati za kisawasawa.... 🤣🤣🤣🤣
Mambo yako hayo 🙄
Kumbe ovyo tuu
🙄🙄🙄🇰🇪
🏃♀️🏃♀️🏃♀️
#Bakora za kimkakati.
kwanini maneno ya ubaguzi na kusema warabu wakati zenati ni mwarabu na kakupenda na kuna warabu wengi wameolewa na waafirika... sina ya kusema ila mungu mkareem atupe wema😔
Huyu jamaa yani anachekesha hanafulaisha nimecheka halivyosema hakiulizwa kuusu dini hatajibu vp mana hajua chochote nimecheka
🚶♀️🚶♀️🚶♀️
Watanzania kuna tofauti kati ya Igoma na Kigoma ?
Ndio kunatofauti.
@@wallacedaud8096 wapi mbali kutoka jijini mwanza
@@stephenkariuki8974 Igoma ni jina la kata ya manispaa ya Nyamagana katika mkoa wa Mwanza na Kigoma ni mkoa unapatikana north western mwa Tz.Kigoma ipo mbali kutoka Mwanza.
@@wallacedaud8096 haya kaka nashukuru , , , sikujua kwa maana mimi Mkenya
@@stephenkariuki8974 Pamoja kaka karibu sana Tz
Baada ya kutoka Tabora kwenye kutoa kafara alikuta pesa ngapi chumba cha siri kufidia maumivu ya kulala Polisi?
Picha linaendelea pamoja 🙏🇹🇿 na nea nti
Yani pamoja na kufurahia utajili wako ila segiment ya bakora za kimkakati ulifaidi🤣🤣🤣🤣
No 15 🇰🇪