PART37:TAJIRI WA PESA ZA KICHAWI AELEZA ALIVYOZIPATA/KILA MWEZI NAUA WATU/NIMEMUOA MAMA YNGU/MSUKULE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 118

  • @AbdulJoseph-m9o
    @AbdulJoseph-m9o 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nilichonga dah bro 😂😂😂😂 ww ni mtoto wa town kweli nimeipenda misemo yako mingi mzee wa kimkakati

  • @xiwuyan457
    @xiwuyan457 3 ปีที่แล้ว +11

    Tusafishe kwa damu ya YESU Chakula kabla ya kula
    Tusikorofishe korofishe watu ovyo
    Tuachane na madharau yasiyo ya maana
    Tuachane na Tamaa za dunia pesa na wanawake
    Tushike Mungu sawasawa na tusali vzr sio Juu juu
    JAMAA AMEMALIZA STORY LAKINI WALE WATU WA MWISHO MWISHO KUUWAWA NAWAONEA HURUMA...jamaa akimind kdg uhai wa mtu umeenda..Mungu ametulinda na watu wa namna hii wengi tu wamejaa mitaani dunia ingekuwa na watu laki badala ya billion kwa mitindo hii ya ibilisi ila ni JEHOVAH tu huruma kwetu

  • @michaelbengesi9838
    @michaelbengesi9838 3 ปีที่แล้ว +2

    Maziwa, malisa wote matapeli tu,
    Jamani tuache kufata miujiza kwa watumishi, Mambo ya Mungu hayaendi hivo

  • @gilbertybahati1614
    @gilbertybahati1614 3 ปีที่แล้ว +7

    mwisho wa stori hii ndo mwanzo wa stori nyingine nzuri zaidii karibu sana na msiwe mnakata ayo matangazo yanayo displey kwenye video sababu ndizo znazofanya jamaa apate moyo wa kuendelea na kutuelimishaa ..

  • @messimessi7255
    @messimessi7255 3 ปีที่แล้ว +6

    Mr Bakora hivi hukuwahi kuwaza kumpiga bakora Malikia..na uzuri wote alo nao?

  • @aiyamhassan1321
    @aiyamhassan1321 3 ปีที่แล้ว +3

    Afadhali umeiweka maana wengine hatujaiona big up davista tuko pamoja

  • @AbdulJoseph-m9o
    @AbdulJoseph-m9o 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mlima wa nyuki buhongwa hiyo

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 3 ปีที่แล้ว +2

    Duuu, kwa kweli haya Mambo yalikuwa magumu sana

  • @berthamghanga1093
    @berthamghanga1093 3 ปีที่แล้ว +2

    Yani nimehangaika kuitafuta,Asante kwa kuturejeshea.

  • @ashelizakaria6306
    @ashelizakaria6306 3 ปีที่แล้ว +1

    pamoja sana lwanda na devista kwa kufanikisha hiki

  • @iddypandu4285
    @iddypandu4285 3 ปีที่แล้ว +3

    kutoka millionaires mpaka laki 5!!!

  • @iddypandu4285
    @iddypandu4285 3 ปีที่แล้ว +2

    Zana ndo zinakupa jeuri mzee....👹🤺😂 so sad pole sana

  • @jamilaally3172
    @jamilaally3172 3 ปีที่แล้ว +1

    Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel back again big up

  • @eliasleonard557
    @eliasleonard557 3 ปีที่แล้ว +1

    Sijui unanielewaa😁😁👋👋

  • @njerimukami3112
    @njerimukami3112 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante davista

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 3 ปีที่แล้ว +6

    Mapepo/majini yanayofanya kazi Africa ni tofauti na yale ya wenzetu ktk bara za Amerika (USA, Canada), Ulaya, Asia (ya China, Japan). Wao yanawapa akili na hekima ya kuvumbua na kugundua vitu. Ni mapepo ya the so called modern technology; kugundua mashine na teknolojia mbalimbali ya kuwasaidia wanadamu kurahisisha na kufurahia maisha ya hapa duniani. Mfano, Bill Gates, Isaack Newton, and the like. Tofauti kabisa na Afrika ya watu weusi. Sasa sikiliza simulizi la huyu kijana. Inasikitisha. Ni kupata Utajiri ili ufanye anasa tu tena zisizo na tija. Nimemsikia pamoja na aina ya lugha anazoongea. Lugha za kihuni; za mitaani.
    Sasa, iwapo simulizi hii ni ya kweli, Namshauri AOKOKE haraka sana kabla Bwana Yesu Kristo hajamwacha. Ataumia. Shetani-ibilisi hana huruma na wanadamu; yeye ni muongo na baba wa huo, ni mwizi, muuaji, na anachinja. Kijana uovu uliotenda ni mwingi, lakini Bwana Yesu Kristo anasamehe bure. OKOKA. Nenda kwenye dhehebu lolote la Kipentekoste, preferably TAG ukaongozwe sala ya toba ili uanze kumtumikia Bwana Yesu Kristo bila kuchelewa. NIMENAWA sintodaiwa damu yako na Bwana Yesu Kristo.
    Ubarikiwe.

  • @sarahmwangamila4441
    @sarahmwangamila4441 3 ปีที่แล้ว +1

    Niliitafuta sana hii sehemu

  • @vicentsandess1115
    @vicentsandess1115 3 ปีที่แล้ว +5

    Ilikuwa haipo ii

    • @aiyamhassan1321
      @aiyamhassan1321 3 ปีที่แล้ว +1

      Yaaah

    • @marthamaligo458
      @marthamaligo458 3 ปีที่แล้ว

      @@aiyamhassan1321 mbona tulisha itizama au mwisho tusikilize

    • @aiyamhassan1321
      @aiyamhassan1321 3 ปีที่แล้ว

      @@marthamaligo458 aliweka alafu akaifuta nasikia kuna kipande alikiondosha kuhusiana na aposto maziwa

    • @marthamaligo458
      @marthamaligo458 3 ปีที่แล้ว

      @@aiyamhassan1321hapo sawa

  • @iddypandu4285
    @iddypandu4285 3 ปีที่แล้ว +2

    Mara hii ilikua zamu yako maana ulizoe kuwasababishia wenzio ajali

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 ปีที่แล้ว +2

    Nashangaa imeregeshwaa kumbe katoa xingine

  • @nadystyle339
    @nadystyle339 3 ปีที่แล้ว +1

    Muwe mnatuwekea na picha mlizopiga kipindi hiko au video za bata mlinzi kuwa mnakula maana inavyoonekana haya matukio yote yalikuwa yanapitika miaka ya hivi karibuni ambapo technologia ni pana kama whatsap, instgramm na kadhalka . Story ni nzuri .

  • @annamachaki3644
    @annamachaki3644 3 ปีที่แล้ว +2

    Hilo ndo tatizo la pesa za maroho kila kitu kitaisha

  • @abdikadiryussuf8355
    @abdikadiryussuf8355 3 ปีที่แล้ว

    Story haya mazuri kweli😎

  • @maureenmwende3515
    @maureenmwende3515 3 ปีที่แล้ว +1

    One love davister channel

  • @saudabangu3002
    @saudabangu3002 3 ปีที่แล้ว +1

    Yani mm nilikitafuta mpaka nikachoka:devst muulize bakora za kimkakati za watot wazuri vip anazipata

  • @johnassilvester1600
    @johnassilvester1600 3 ปีที่แล้ว +2

    Sasa je uliifuta hii hapo sawa

  • @janekuloba7856
    @janekuloba7856 3 ปีที่แล้ว

    Kwa kweli kaka yale umetenda hayo yote na ungali upo BWANA YESU anakupenda dubu umtumikie MUNGU

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 ปีที่แล้ว

      Natamani ningeipata tu dawa niwachape wadada na bakora

  • @macamezunguzungu5697
    @macamezunguzungu5697 3 ปีที่แล้ว +1

    Pamoja 🙏🙏💪

  • @raymondogutu
    @raymondogutu 2 หลายเดือนก่อน

    Hadithi ndefukweli.... Nimeifwatizia wiki moja mzima hadimwisho.
    Nimejifunza mengi, Hadi nikalinganisha labda hata kesi ya shakahola huku kwetu kenya lazima ilikua hizi upuzi za kishirina tuuu!!!!!

  • @abubakarwadi5773
    @abubakarwadi5773 3 ปีที่แล้ว

    More fire DVS mzee wachumvi

  • @kisurangusa554
    @kisurangusa554 3 ปีที่แล้ว +3

    16 hapa

  • @kelvinchacha5557
    @kelvinchacha5557 3 ปีที่แล้ว +3

    Wee atleast umeeka Hiki kipande

  • @shantellemwanakombo3703
    @shantellemwanakombo3703 3 ปีที่แล้ว +2

    @Benjamin Nnko

  • @asmahhamis9416
    @asmahhamis9416 3 ปีที่แล้ว +3

    Wakwanza

  • @kalssambaboo9932
    @kalssambaboo9932 3 ปีที่แล้ว +2

    Khaaaa

  • @tracyirene8917
    @tracyirene8917 3 ปีที่แล้ว +2

    Nipo nafuatilia 👍

  • @an6808
    @an6808 2 ปีที่แล้ว +1

    Uchawi ni ujinga kwa kweli

  • @xiwuyan457
    @xiwuyan457 3 ปีที่แล้ว +2

    💙💙

  • @credo7837
    @credo7837 3 ปีที่แล้ว +4

    🤣🤣kumbe ulitoa kipande ulicho msema baba mtumishii i see kwel wew muoga sana kaka Davistar

    • @aiyamhassan1321
      @aiyamhassan1321 3 ปีที่แล้ว

      Kilisemaje hicho kipande mie sijaona

    • @credo7837
      @credo7837 3 ปีที่แล้ว +2

      @@aiyamhassan1321 Kuna nabii mmoja hadi hapa alimleta anaitwa aposto Maziwa kumbe alikuw anapiga hela kijanja akiwaambia wale alio wafungua kuwa wamtaje kisha ukihitaji huduma et hadi utoe sadata wa njee wanatozwa laki 5 sasa hiyo ikafanya Davistar kupokea lawama watu wanamlaumu amewapelekakwa mpiga fedha

    • @aiyamhassan1321
      @aiyamhassan1321 3 ปีที่แล้ว

      @@credo7837 aaaah kumbe mimi sikuona hilo

    • @credo7837
      @credo7837 3 ปีที่แล้ว +1

      @@aiyamhassan1321 ndio hivyo tuwe na taadhar dhid ya watumishi hawa wengine wapo kimaslah

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kisurangusa554
    @kisurangusa554 3 ปีที่แล้ว +1

    Ulipo fika katikati, ulipiga bakora xa kufa mtu leo hii unamalizia kwa huxuni mno,

  • @straightkonect1613
    @straightkonect1613 3 ปีที่แล้ว +3

    Davistar ukiamua kufunguka Acha uoga bro rudisha kile kipande cha Apostle maana lawama bado zitarudi kwako wengi hawajakipata

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 3 ปีที่แล้ว

    Mungu bonge kafanya yake

  • @samuelpmathew4266
    @samuelpmathew4266 3 ปีที่แล้ว

    shetani ni mbaya sana..na kila kitu cha shetani hakidumu

  • @aishabeka5562
    @aishabeka5562 3 ปีที่แล้ว +4

    Daah yaan nilikuwa nakiwazia hiki kipande cha 37 ahsante my davistar kwa kutujali

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 ปีที่แล้ว +1

      sana yan💃💃💃💃

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 ปีที่แล้ว +1

      Ndo Kaz zakonn hz aisha

    • @abdikadiryussuf8355
      @abdikadiryussuf8355 3 ปีที่แล้ว +1

      Mwacheni aisha afurahie story msijibu vbaya🙂

    • @aishabeka5562
      @aishabeka5562 3 ปีที่แล้ว

      @@gosbertmuta5421 😂😂jaman hiz ni burudani tu masikion wala hazihusian na matendo yangu😜

    • @aishabeka5562
      @aishabeka5562 3 ปีที่แล้ว

      @@abdikadiryussuf8355bora nisaidie best angu naona @Gosbert Muta ananionea🤦

  • @sophiarichard8469
    @sophiarichard8469 3 ปีที่แล้ว

    Magere pole kwa mkasa

  • @credo7837
    @credo7837 3 ปีที่แล้ว +4

    Mbn huelew unafuta mara uweke hii part37 inamgogoro gani

    • @shantellemwanakombo3703
      @shantellemwanakombo3703 3 ปีที่แล้ว

      Itakuwa na kasoro kwa ajili ya usalama wake lazima afute vipande

    • @credo7837
      @credo7837 3 ปีที่แล้ว +1

      @@shantellemwanakombo3703 oooh kaona itamleta shida

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 ปีที่แล้ว

      @@credo7837 eeeee

    • @credo7837
      @credo7837 3 ปีที่แล้ว

      @@ayshamahariq6665 kazi kwel

  • @farusaimon3490
    @farusaimon3490 3 ปีที่แล้ว +1

    Jambo la kujifunza.

  • @shabanlusan6890
    @shabanlusan6890 ปีที่แล้ว

    Tamaa ndo zilikuponza ona umemaliza ndugu kwa ujinga wa kupita duniani vp ungejifunza fan mpka leo 2020 ungekuwa umeshajenga nyumb kibao na ungekuwa mkopaji mzuri wa benk ndo siri kubwa ya matajiri wengi ww ulikurupukaga ungetafta njia nzuri z kufanikiwa ndagu sio nzuri wakongo wnadawa za kuharibu tyu na zenye mashart mgum unafanikiwa ila utayajutia mfanikio yako

  • @jafariemmanuel1694
    @jafariemmanuel1694 3 ปีที่แล้ว +3

    leo tupo bored sana mzee baba tutupie story ingine maana kila sa tunaingia kucheki kama kuna mzigo mpya

  • @FFL-X1D
    @FFL-X1D 3 ปีที่แล้ว +1

    Watu wngu njoooon PART 37 uwanjan🇪🇭🇪🇭

    • @credo7837
      @credo7837 3 ปีที่แล้ว

      Toka jana🤣🤣wew tu ndio hukuiyona

    • @FFL-X1D
      @FFL-X1D 3 ปีที่แล้ว

      @@credo7837kwer😂😂😂😂

    • @credo7837
      @credo7837 3 ปีที่แล้ว

      @@FFL-X1D ukwel kwann nikudanganye

    • @FFL-X1D
      @FFL-X1D 3 ปีที่แล้ว

      @@credo7837 oh nmekumbuka kipenzi jana nlitumiwa na babu harus wngu 🤔 kujakuangalia ikawa imetolewa

    • @FFL-X1D
      @FFL-X1D 3 ปีที่แล้ว

      @@credo7837 shkuran kwa kunkumbusha kipenz🤝🤝❤❤

  • @aishaally8811
    @aishaally8811 3 ปีที่แล้ว +2

    Imejirudia au imekuwaje hii si tayar

    • @suzansimon5296
      @suzansimon5296 3 ปีที่แล้ว

      Ndo namm nashangaa wengine tushaisikiliza

  • @michaelvonsider3412
    @michaelvonsider3412 3 ปีที่แล้ว +2

    Umechanganyikiwa bro
    Unarudia hii tena

  • @faithlondo2347
    @faithlondo2347 3 ปีที่แล้ว +1

    Ww cyo dharau ndio zilikuwa zinawaponza, sema ulikuwa unatfta watu wakuwatoa kafara😁

  • @karrolleschon3986
    @karrolleschon3986 3 ปีที่แล้ว +1

    🙄🙄🙄🇰🇪

  • @just_this_way
    @just_this_way 3 ปีที่แล้ว

    "sijui unanielewa vizuri? " 😂😂

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 3 ปีที่แล้ว +1

    Hapo pa kuingia ndn alafu mtu hakuoni, ila me ningekua ww kwa namna malkia alivokua amenifksha Hali mbaya ningemuita akaja nikamkaba hapohapo liwalo naliwe ila jamaa alipona kimungumungu tuache masihala

  • @denizamahongo8557
    @denizamahongo8557 3 ปีที่แล้ว

    Nafuu maana nilikuwa naitafuta kweli Part 37 afadhali umeleta tena.

  • @hurremjudith6043
    @hurremjudith6043 3 ปีที่แล้ว

    Dogo nadhani umesikia