CHEF GUDLOVE AMWAGA MCHELE/ HII NDIO SIRI YA UTAJIRI WAKE/ USO KWA USO NA MWIJAKU, UTACHEKA😂

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

ความคิดเห็น • 280

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 6 หลายเดือนก่อน +4

    Anachokisema chief Godlove ni sahihi asilimia kubwa ya sisi wabongo ni mawakala wa watu wenye pesa tunakua na aibu ya kutafuta pesa hapo ndo tatizo tunaogopa maskini wenzetu✌️✌️✌️✌️🌷🌷🌷💯💯💯💯

  • @Bandugu-b5p
    @Bandugu-b5p 6 หลายเดือนก่อน +21

    Ila jamaa angesema kilicho fanya afike hapo hayo mengine ya kusema eti atawapotosha watu ni uongo.

    • @Jamesmwakisambwe
      @Jamesmwakisambwe 2 หลายเดือนก่อน

      Izo ni kelele tu ndg yangu anazo leta afu uyo kenge tu

  • @reginamayuto1357
    @reginamayuto1357 6 หลายเดือนก่อน +17

    Tuna wapata vizuri sana kutoka Danmark 🇩🇰🇩🇰🇩🇰🇩🇰🤝❤️

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 6 หลายเดือนก่อน

      ❤❤🇹🇿

    • @BonnyMwajombe-iu7hb
      @BonnyMwajombe-iu7hb 6 หลายเดือนก่อน

      Wakat uko mbagala maji matitu

    • @mdyoung5163
      @mdyoung5163 5 หลายเดือนก่อน

      🙄🙄🙄

    • @mdyoung5163
      @mdyoung5163 5 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@BonnyMwajombe-iu7hb😂😂😂😂

  • @hajiShabani-g6t
    @hajiShabani-g6t 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mwijaku BiG Up sana unajua kuhoji sana ❤❤❤❤❤❤❤ clouds wamepoteza jembe

  • @mariozulu5743
    @mariozulu5743 6 หลายเดือนก่อน +4

    Chimakeke umeona Sasa. This is the greater chief Salut kama zote toka hapa na nyanya wako wa kizungu 😂😂😂😂

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 5 หลายเดือนก่อน

      Chima ni hustler wew afu sio stunt creator km hao wase**" akina chef godlove

  • @Daniel_89_89
    @Daniel_89_89 6 หลายเดือนก่อน +19

    Sio Chef ni Chief, sio Gudlove ni Godlove

    • @nuhumuhami731
      @nuhumuhami731 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 wamezingua

    • @fellyvoicetv4433
      @fellyvoicetv4433 6 หลายเดือนก่อน

      Wanatuangusha bhana media bado mpya kabisa kweli😂😂😂😂

    • @amaningobayi7114
      @amaningobayi7114 6 หลายเดือนก่อน

      Hawajazingua that is our English of 2tay see yuuuu hahahah

    • @amaningobayi7114
      @amaningobayi7114 6 หลายเดือนก่อน

      This is huge media.......

    • @Faridkhalid-z3p
      @Faridkhalid-z3p 6 หลายเดือนก่อน

      @daniel_89_89, jina lake kaliandika hivyo kwa sababu siyo mjinga kachagua, kaaamua kubadilisha tu, acha upimbi, mchizi yuko powa wewe una nini na kujua kuandika kwako? Roho ya kimaskini

  • @tabyabelemwenebenga2311
    @tabyabelemwenebenga2311 6 หลายเดือนก่อน +66

    Leo maskini tumesemwa mpaka basi 😅😅😅

    • @rukiaiddyyahaya9506
      @rukiaiddyyahaya9506 6 หลายเดือนก่อน +10

      😂😂😂😂Lizika na ulicho nacho my mwache atuseme

    • @AllyJofrey-mg6ri
      @AllyJofrey-mg6ri 6 หลายเดือนก่อน +2

      Dah bc tufanyaje sas

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 6 หลายเดือนก่อน +3

      Hahaha yaan acha tu ni huzuni 😅😅😅

    • @AllyJofrey-mg6ri
      @AllyJofrey-mg6ri 6 หลายเดือนก่อน

      @@salomewandya7257 saw bn

    • @gracechesco2600
      @gracechesco2600 6 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅

  • @AssumaniAssani-tx7ym
    @AssumaniAssani-tx7ym หลายเดือนก่อน

    Image zuri,sauti mbovu kisha munaitia emo mikwasa😂atuelewi vizuri.

  • @dinhamvenance7367
    @dinhamvenance7367 6 หลายเดือนก่อน +20

    Anachosema ni kweli,Godlove tangu mdogo anaishi Kama tajiri 😅

    • @joelgodfrey5934
      @joelgodfrey5934 6 หลายเดือนก่อน

      😂unemjuaa umeongeq

    • @AbdullahSalum-fu4ng
      @AbdullahSalum-fu4ng 6 หลายเดือนก่อน +2

      Acha kujifanya unamjuwa unataka kk 😂😂😂😂😂😂😂watakupaka mwamposaaaaaaaaà

  • @jumamadala3849
    @jumamadala3849 6 หลายเดือนก่อน +7

    mimi ni Juma Madala nikiwa south Africa Pretoria na wafatilia sana na peda gisi mwijaku akiwa kazini Klaus ni tofauti akiwa yeye na baba levo anani furaisha sana

    • @babamiltonkyando
      @babamiltonkyando 6 หลายเดือนก่อน

      Ulienda kwenye kikao bagerspark

    • @babamiltonkyando
      @babamiltonkyando 6 หลายเดือนก่อน

      😂

    • @ProsistaMrema
      @ProsistaMrema 6 หลายเดือนก่อน

      @@babamiltonkyando NICHEKEEEEEEE MIE SOUTH

  • @fredymike3494
    @fredymike3494 6 หลายเดือนก่อน +8

    "Mtu amepata ajali anafia mikononi mwako kisa amekosa hela ya matibabu" Hii sentensi mbn kama haiko sawa ajali n emergency case ulienda hospital yoyote wanajali kwanza kuokoa maisha ya mtu alfu ndo malipo au Mimi ndo sielewi

    • @JumaMohamedi-t5f
      @JumaMohamedi-t5f 6 หลายเดือนก่อน +1

      Sasaivi dungu birapesa akuna uduma

    • @gastongowi672
      @gastongowi672 6 หลายเดือนก่อน

      Asee hospital bila pesa wongo lazima uweke pesa mbele ndio vipimo ufanyiwe hivyo huna pesa kufa kwenye kiti nijambo la kawaida

    • @williamgeorge-hd2tn
      @williamgeorge-hd2tn 6 หลายเดือนก่อน

      Tema mate chini

    • @Ibrahim.Katera.
      @Ibrahim.Katera. 6 หลายเดือนก่อน

      Fanya utafiti zaidi ndugu.

    • @jacquesmoninga9245
      @jacquesmoninga9245 6 หลายเดือนก่อน +1

      😂Aisee!!! Hiyo Mpya kabisa.
      Eti na yeye ni tajiri 😂😂😂 hivi matajiri wanawajuwa???

  • @OswaldSalvatory
    @OswaldSalvatory 6 หลายเดือนก่อน +6

    Crown congratulations 😊

  • @MtazameKristoTv
    @MtazameKristoTv 6 หลายเดือนก่อน

    Ahsante sana jamaa yetu😂 sikuelewi ila umenikosha daaa❤

  • @Akili820
    @Akili820 6 หลายเดือนก่อน +7

    Yaani tujitume tu jamani 🇨🇩🇨🇩☝️

  • @maulidimpili698
    @maulidimpili698 5 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo jamaa ni mjinga sana hakuna mtu aliewah kufanikiwa ndio maana biligate ni tajiri lkn kila cku anatafuta pesa huyo ni mshirikina na pesa za aina hiyo ni shida pia wanajuta sana maisha waliochagua

    • @ShamiriNjiku
      @ShamiriNjiku 2 หลายเดือนก่อน

      Weee 2lia2😂😂😂

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter4947 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana Chief Godlove kwa jitihada zako za utafutaji

  • @willsonmzee5387
    @willsonmzee5387 หลายเดือนก่อน

    Wewe mafanikio ni Siri yako kinachonifrahisha kwako ni ukweli unapenda kusema ukweli.safi sana.

  • @DarliotonTumaini
    @DarliotonTumaini 6 หลายเดือนก่อน +3

    Hyo nikweli lakin tupe njia mojawapo chief 🎉🎉🎉🎉

  • @mimibusarachibu
    @mimibusarachibu 2 หลายเดือนก่อน +1

    Upumbavu tu kwenye vituko vingine vya redio na Tv, MO Dewji ni tajiri na shughuli zake zinajulikana lakini huyu hasemi;nguvu nyeusi na tamaa zitawamaliza vijana! Hutaki kusema kazi au biashara unavyofanya, hata Mungu humuongezea mtu kwa kile anachokishirikisha nacho!

  • @pademwanaharakati8980
    @pademwanaharakati8980 6 หลายเดือนก่อน

    Ukiachana na uongo uongo kijana anaongea fact, tuache kujaji mengne fuata point tu 🎉🎉

  • @PhilipoLeonard-q5w
    @PhilipoLeonard-q5w 6 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu jamaa mm huwa namuelewa sana chief huna dhambi

  • @myself4128
    @myself4128 6 หลายเดือนก่อน +1

    Una Utajiri gani kijana😂😂😂😂
    Utajiri unaujua wewe?kuwa na hela sio Utajiri hata wacheza kamari wana hela ila sio matajiri

  • @J约瑟夫·阿德森
    @J约瑟夫·阿德森 6 หลายเดือนก่อน +1

    Upo sahihi kabisaa.....

  • @sumaiyaAisha-gc4jx
    @sumaiyaAisha-gc4jx 6 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali sana chief wanao kuchukia achana nao vijana wengi awataki kufanyaa kazi

  • @StanleySewando-nb4xm
    @StanleySewando-nb4xm 3 หลายเดือนก่อน +1

    Watu kitu hawajamuelewa chief ni wanataka kujua anafanya nn kupata utajiri lkn anachojibu ni kila mtu aishi NDOTO yake

  • @IbrahimMgende-h7j
    @IbrahimMgende-h7j 12 วันที่ผ่านมา

    Hey nakupat madam tuko pamoja hapo studio

  • @Chef_Angie
    @Chef_Angie 6 หลายเดือนก่อน +1

    Crown fm hoyee! I have already subscribed

  • @dee-2420
    @dee-2420 6 หลายเดือนก่อน

    Ishii Sanaa babaaa maisha nikuamua😮😮😮😮

  • @ramseyngwejela499
    @ramseyngwejela499 หลายเดือนก่อน

    Fedha unapokuwa huna huonekana ni kitu kidogo sana, na zinapoongezeka huonekana unao uwezo wa kuzimiliki, zinapozidi hugeuka kuwa GIANT anayeanza kukuzidi uwezo kiasi kwamba unapoteza uwezo wa kuidhibiti ktk nafsi yako, inapozidi kuongezeka zaidi na zaidi inageuka kuwa GIANT usiyeweza kumdhibiti tena. Kisha hilo GIANT linakumeza, linaanza kukutumia kuanzia kwenye kinywa chako likitamka madharau, majivuno, majidai, kiburi na kujifanya linaweza kufanya chochote litakacho. Hapo huwi wewe tena bali ni LIDUDE fulani very terrifying in life. Linayafanya macho yako yaone kila kitu ni kidogo na rahisi kabisa. Lakini likikutana na KIFO ni linyonge hilo DUDE utadhani siyo lile lililokuwa LIKIJIVUNA kwenye mdomo wa mtu.

  • @ramadhanmaulidmaulidramadhan
    @ramadhanmaulidmaulidramadhan 6 หลายเดือนก่อน +5

    umetixha sana chief nakukubar kiongozi wangu

  • @MamaJoseph-n9c
    @MamaJoseph-n9c 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mike joseph from Malawi 🇲🇼

  • @jeffhatari8435
    @jeffhatari8435 3 หลายเดือนก่อน

    Tajiri hazungumzii masikini hivyo huyo bado masikini na mafanikio yake ni miujiza tu😅

  • @EliaKimaro-h6k
    @EliaKimaro-h6k 6 หลายเดือนก่อน +1

    huyu akiwa darasa la sita frash zilikuwepo kweri mmmh🤣🤣🤣🤣

    • @EzzyEddy-nv6ti
      @EzzyEddy-nv6ti 6 หลายเดือนก่อน

      Anamaanisha CD ndiyo zilikuepo kipindi iko

  • @JosephAwazi-rv5oq
    @JosephAwazi-rv5oq 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi ni tajiri sana sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @kazimilykulwa2516
    @kazimilykulwa2516 6 หลายเดือนก่อน +1

    Sisi amba tuna D 6 tumeelewa😅

  • @abdulaziz703
    @abdulaziz703 2 หลายเดือนก่อน

    Kuna muda media zinatakiwa kututafutia watu wa maana zaidi kuwahoji ili jamii ijifunze kutoka kwao. Mtu anasema hapendi umaarufu wakati analipa bajaj ibandikwe picha yake then anakuja kujisifia kuwa anamiliki bajaj kadhaa mikoa tofauti. Kitu ambacho ni upuuzi na hakuna cha kumfunza mtanzania wa kawaida ili apate kujikwamua kiuchumi.

  • @Jamesmwakisambwe
    @Jamesmwakisambwe 2 หลายเดือนก่อน

    Ndo mana kelele ni nyingi kumbe katoka bush ambako tajili anamiliki debe mbili za mchere na baiskeli😅😅😅

  • @monicamaganga8681
    @monicamaganga8681 6 หลายเดือนก่อน +2

    Utawaonaje watu wenyeshida au unapatikana wapi?ili nije ninashida kweli

  • @Keyjop
    @Keyjop 6 หลายเดือนก่อน

    Mnyakyusa mmoja kama elfmoja 🔥🔥🔥🔥.....🤣🤣🤣🤣

  • @uwezopower7551
    @uwezopower7551 6 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 big up sana.

  • @reeygeazy4908
    @reeygeazy4908 2 หลายเดือนก่อน

    Maskini anafurahi kuona maskini wengi😂😂😂😂

  • @RayzboyMwanzamwanzaclasicmusic
    @RayzboyMwanzamwanzaclasicmusic 6 หลายเดือนก่อน

    Yes boss

  • @HusnaHamisi-v8n
    @HusnaHamisi-v8n 4 หลายเดือนก่อน

    Maskin tunasemwa sana lkn we believe in Allah crown tv respect

  • @OchoaRealestate
    @OchoaRealestate 5 หลายเดือนก่อน

    Basi kuna watu wanajua jamaa anamzigo kweli 😂

  • @MarsPhilimon
    @MarsPhilimon 6 หลายเดือนก่อน +1

    Jamaal anajisahau Mara alisema aliishia la Sita mara lasaba anatuchanganya

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 6 หลายเดือนก่อน +5

    Uku kwetu nirifungua duka warivyo hona maendereo yangu wao wao wateja wakaja kufungua karibu na mimi apoapo

    • @Grayson-1k
      @Grayson-1k 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

    • @IkoUwasi-it6qy
      @IkoUwasi-it6qy 6 หลายเดือนก่อน

      We hata kuandika hujui

    • @MajutoElliasi
      @MajutoElliasi 6 หลายเดือนก่อน

      @@IkoUwasi-it6qy bona tunasiliyako ulibakwa

    • @njoroboihastla
      @njoroboihastla 6 หลายเดือนก่อน

      Ndo maana walikuzunguka kwasabab huwezi kutofautisha R na L

    • @MajutoElliasi
      @MajutoElliasi 6 หลายเดือนก่อน

      @@njoroboihastla nawewe tupe istolia yako ya kubakwa

  • @bravomwakibango6485
    @bravomwakibango6485 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mwijaku mwamba unaakili sana kwenye swala la network unatisha sana

  • @leahsamwel1931
    @leahsamwel1931 6 หลายเดือนก่อน

    Ivi watanzania mnajua maana ya matajiri kweli....kwaiyo chief godlove nae ni tajiri😂😂😂😂 aya bana

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 6 หลายเดือนก่อน

    17:40 usonji sio vichwa maji (vichwa vikubwa), hayo ni matatizo mawili tofauti ya watoto. Watangazaji/waandishi mjielimishe kabla ya kuongelea jambo lolote.

  • @shannarsaidSwahili
    @shannarsaidSwahili 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hilo pua la mwijaku😂😂😂

  • @SelemwambaFrancis
    @SelemwambaFrancis 5 หลายเดือนก่อน

    Toka italy 🇮🇹 nawapata vzr

  • @ShabaniSaleeh
    @ShabaniSaleeh 6 หลายเดือนก่อน

    Sawa kuna ipinda mbili kuna ya barabara kama unaenda kasumuru huvuke kwenda malawi na pia kuna ipinda hii yenye shure ya kafundo mana napajua jua uko nilikaa sana hapo mwalisi busare nkokwa shinyanga karambo itope ndobo hitungi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @dragon4397
    @dragon4397 6 หลายเดือนก่อน

    towa background music 🎶 mbona mnakuwa washamba nyiye editors

  • @MajaliwaSilvester-uv9pz
    @MajaliwaSilvester-uv9pz 6 หลายเดือนก่อน +1

    Yeah cheif godlove nakufatilia mpaka

  • @sumaiyaAisha-gc4jx
    @sumaiyaAisha-gc4jx 6 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali sana kaka mkubwaa

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 6 หลายเดือนก่อน +1

    Katika maisha fanya kitu ambacho kipo kwenye ndoto yako sio kuiga utapotea afu badae utaisi yure mtu ni mchawi na utaferi kabisa fanya yako usipende kufatiria maisha ya watu utaferi kabisa

  • @emmanuelmodest7457
    @emmanuelmodest7457 6 หลายเดือนก่อน +12

    WANAUME TUTAFIUTE HELLA

    • @ShaelKimaro
      @ShaelKimaro 6 หลายเดือนก่อน

      Pesaaaa ndio kilakitu ndugu

  • @lodgamoshi5453
    @lodgamoshi5453 6 หลายเดือนก่อน

    Nikweli kabisa jamaaa alikuwa na ndoto ya kuwa na hela ukiangalia hata fb yake akiwa katoto alikuwa anapenda kujiita god bilionare mwakibete,

  • @fredobute804
    @fredobute804 6 หลายเดือนก่อน +1

    By the way nyingi sana humu 😂

  • @Mr.kigoma
    @Mr.kigoma 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nyie hilo beat katengeneza Nan? Linanipandisha midadi 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hayo mapete kumanina zenu ndo mauchawi yenyewe tumbafu

  • @monicamaganga8681
    @monicamaganga8681 6 หลายเดือนก่อน

    Mbona sisi tunamtafuta hatumpati na tunashida jamani mie ni mama mwenye miaka 57 namuomba anisaidie napitia wakati mgumu mno

  • @KilonzoGodson
    @KilonzoGodson 6 หลายเดือนก่อน +1

    Umeacha shule darasa la sita lakini umeanza kupanga ukiwa daraza la 7
    Mgongano wa maneno hapo hapaeleweki
    Waandishi mko busy na camera kuliko kusikiliza mnaemhoji.

    • @hammytototundu9292
      @hammytototundu9292 6 หลายเดือนก่อน

      Akuacha shule ila alitoka kwao wakati Yuko darasa la sita

    • @hammytototundu9292
      @hammytototundu9292 6 หลายเดือนก่อน

      Pia alikuwa anasoma

  • @ElastoMashine-nw2dz
    @ElastoMashine-nw2dz 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa jinsi uyu jamaa anapenda ujiko keel pesa aina mwenyewe

  • @Psunboyy
    @Psunboyy 6 หลายเดือนก่อน +1

    Tajiri mdogo mwenyewe mbao nyingi

  • @Sharksanga
    @Sharksanga หลายเดือนก่อน

    Muoooooooooooongoooooooo uyoooooo aondoke zake hapaaaa

  • @DenisEkizavel
    @DenisEkizavel 2 หลายเดือนก่อน

    Uku vzur

  • @maulidimbona9420
    @maulidimbona9420 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nauchukia umasikini sanaa

  • @theresiamwandara7990
    @theresiamwandara7990 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kuanza hustle mapema ni akili kubwa

  • @emmanuelfari8924
    @emmanuelfari8924 6 หลายเดือนก่อน

    Nawapata kutoka Mkoa wa Malunga Kahama tanzania😊

  • @kazimilykulwa2516
    @kazimilykulwa2516 6 หลายเดือนก่อน

    Ni story ndefu kidogo 😂

  • @Aziza-z4f
    @Aziza-z4f 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mm namkubali godlove tajiri waokwea kweli brooo🎉🎉

  • @IssaNjojo
    @IssaNjojo 6 หลายเดือนก่อน

    Kaka godlove ww ni noma

  • @geofreyj.1986
    @geofreyj.1986 6 หลายเดือนก่อน

    Masikini hatuna Haki leo😂😂😂😂

  • @allybaba-td9ty
    @allybaba-td9ty หลายเดือนก่อน

    uyu jamaaaaa ushuz tu

  • @festofeisag392
    @festofeisag392 6 หลายเดือนก่อน +1

    Yaniii tatzo sio kufanikiwa hakama hamja notice kitu huyu jamaaaa hajawahi kutaja kazi yake(

    • @ThobisFredick
      @ThobisFredick 6 หลายเดือนก่อน

      Mcheza forex Trading huyu

  • @eliasmichael8420
    @eliasmichael8420 6 หลายเดือนก่อน

    Hizo beats za background zinapunguza usikivu. Km kuna mahojiano basi zihondoeni ili kuongea usikivu.

  • @edwinoduor2421
    @edwinoduor2421 หลายเดือนก่อน

    Eti hujawai Acha shule na vile unaakili yakijinga

  • @wilfredelimeleki4543
    @wilfredelimeleki4543 6 หลายเดือนก่อน

    Hapo studio mbona kama mmebanana

  • @EssentilCrispy7
    @EssentilCrispy7 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona anazunguka mbuyu huyu si aseme anafanya shughuli gani.

    • @jamesmzaki6041
      @jamesmzaki6041 6 หลายเดือนก่อน

      Ana shughuli nyingi sana,,,Anauza fulana,,Ana group la whatsapp kujiunga laki 1,,Ana migodi n.k,,, TUTAFUTE HELA BROH.

    • @EssentilCrispy7
      @EssentilCrispy7 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@jamesmzaki6041group la WhatsApp laki 1 😅😂 si bora mniue

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 6 หลายเดือนก่อน +1

    Chief Godlove una kipaji cha utangazaji

  • @PapaaMasauti-q7o
    @PapaaMasauti-q7o 3 หลายเดือนก่อน

    Umekula kiapo Cha miaka mingapi?

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 6 หลายเดือนก่อน

    Baasi atakuwa JAMBAZI wala hakuna wakukuiga hukoooooMixxxx

  • @StanleySewando-nb4xm
    @StanleySewando-nb4xm 3 หลายเดือนก่อน

    Jamaa anajibu sahihi sana

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj 2 หลายเดือนก่อน

    Ww Mariam hupendi kujitanda😢

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 6 หลายเดือนก่อน

    There is no poverty to our cosmology.

  • @JulianaMushi-nq3kc
    @JulianaMushi-nq3kc 6 หลายเดือนก่อน

    Hii redio bado san riyama ndo kabisa hajui kitu

  • @GoodluckLucas-dg6wi
    @GoodluckLucas-dg6wi 6 หลายเดือนก่อน

    Ila mwijakuungeaza kumuuliza yeye ni mtt wa ngap, amesoma mpka wap ingia ndani kabis mambo kama hayo tunataka kujua

  • @James-y3j2v
    @James-y3j2v 6 หลายเดือนก่อน +8

    Ukimuangalia Mwijaku amependa godlove kimahaba

    • @AMIRITUMBATU
      @AMIRITUMBATU 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂

    • @jumahalifamkindi2175
      @jumahalifamkindi2175 6 หลายเดือนก่อน

      😂

    • @aminmohammed4249
      @aminmohammed4249 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂kati yao nani ndo bwabwa sasa

    • @ShaelKimaro
      @ShaelKimaro 6 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani mwijaku niwakikeee epuka makauli hayo bhana ss tunakataaa roho za ushoga na usagaji

    • @erickgerald606
      @erickgerald606 6 หลายเดือนก่อน

      We gasho nin....unayajua mahaba

  • @RAZAKIMMALINDA
    @RAZAKIMMALINDA 6 หลายเดือนก่อน

    Chief Godloves doto magari anamuita mfalume 😂😂😂😂

  • @PhilomenaSteven-x9h
    @PhilomenaSteven-x9h 6 หลายเดือนก่อน

    Duuuh usimzarau mtu na usimjaji mtu vbaya coz ujui back ground yke 🙏🙏🙏

  • @ahmedsudy7056
    @ahmedsudy7056 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ukweli ni uyo ni freemason akuna tajiri alie pambana kwa jasho aka tangaza

  • @khamismsoma8698
    @khamismsoma8698 4 หลายเดือนก่อน

    katka mtu anaetumia nguvu nying kutangaza kuwa yye ni tajiri ni huyu brother.. pesa haihitajj kelele

  • @Dareaziz
    @Dareaziz 6 หลายเดือนก่อน

    Nakuelewa goodluk

  • @PatrickMmaje
    @PatrickMmaje 6 หลายเดือนก่อน

    Nahapo unafanya nini kama siyo kutafuta umaarafu 11:34 11:44

  • @PatrickMmaje
    @PatrickMmaje 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu kazidi uongo harafu baba ake ni muchungaji harafu Shure arikuwa ana jihudumia muogope mungu uongo mubaya wewe urirerewa kama yai

  • @AssaSimchimba-f8v
    @AssaSimchimba-f8v 4 หลายเดือนก่อน

    Chief alisem atachinja ng,ombe Leo kwao mbey why tena Bado yup daar?

  • @JulianaMushi-nq3kc
    @JulianaMushi-nq3kc 6 หลายเดือนก่อน

    Hivi unaweza kushindwa kusema chanzo cha utajiri wako duh sema hata uongo nachinja watu nina joka linatema ela hivyo tuu

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 6 หลายเดือนก่อน

      Wanaohaso sana huwezi kujua kilichomtoa. Unagusa gusa sehemu nyingi mwisho unapata njia.

  • @mucky_perfume_store
    @mucky_perfume_store 6 หลายเดือนก่อน

    Maskini day😂😂😂

  • @AkamahorochanellaChanella
    @AkamahorochanellaChanella 2 หลายเดือนก่อน

    Kwani lazima mujue anafanya nini,mimi nampenda 2 ananip elimu ,mamb yakaz anafany mim sitak kujua.