Vpi brother @Fredrick bundala a.k.a Sky ?, mimi binafsi Nina mapendekezo yakukwambiya uwe unatwambiya na maisha yawacezaji wa tz like fei toto ,Ali Samatta na wenginewe ili tujuwe walipotokeya katika makala ya 360,love from Sweden 🇸🇪
Me ni mwanamke lakini hawa viumbe sijawai waelewa wana roho mbaya sana hawana huruma maskini mtu anakuchukulia ubavu wake kumbe ye ana kuweka kama kamjiga kake we kweli ndo tukaonekana wengi motoni😢😢😢😢
Yani mi njanhaike miaka yoote Kisha tumeshana mali tugawe saw .we ndo maana nashkuru kuzaliwa huku Zanzibar hakuna Sheria hizo za kuwapa mali wanawake pindi mkiashana .kama hamjatafuta pamoj
hapa ulaya kuna mwanamke nyumba ya mkopo na gali la mkopo ogopa hapa mimi mwenyewe naapa kwa jila la Mungu nilichukua gali lamkopo bahati mbaya likagonga mpaka leo nahangaika kuna kipindi nawaza kujiua hasa ninapo fanya kazi pesa yote inabebwa na bank natamani nifukuzwe tu nirudi tz
Sheria nyingi zinampa mke nusu ya mali. Na kama wamezaa watoto kuna pesa ya matumizi ya kulipwa mpaka wakifika miaka 18. Hawa wanaume wajinga. Wanajua hizi sheria lakini kwasababu wanataka mke mzungu ili waonekane mjini wanaingia kwenye ndoa bila hata prenup.
Kaka sky silali kwajili yako kaka nakubali sana sana kaz zako
kwa mm hapa nchini kwetu sky is the best journalist
Vpi brother @Fredrick bundala a.k.a Sky ?, mimi binafsi Nina mapendekezo yakukwambiya uwe unatwambiya na maisha yawacezaji wa tz like fei toto ,Ali Samatta na wenginewe ili tujuwe walipotokeya katika makala ya 360,love from Sweden 🇸🇪
Kupata taarifa za wabongo siyo rahisi, wengi wetu hatutoi taarifa za maisha yetu public au hata tukitoa zinakuwa na uongo mwingi.
@@josephk90hawana hio storia ya kutolewa full stop😅😅
@@user-cj2kl7cd9k 😄😃😀 sa Kibu D atakuwa na historia gani labda ya kufuga rasta😄😃
Leta pia story ya cesc fabregas kuiba mke wa taktouk anayemzidi miaka 12
Wanawake wa machame na kibosho wana tabia hizo ila wao hutumia mbinu tofauti.. kazi ya Mungu haina makosa
Ogopa Duniani na ogopa mwanamke 😢😢
Kwel kabisa
unamuogopa mama yako?
Noma sana
Me ni mwanamke lakini hawa viumbe sijawai waelewa wana roho mbaya sana hawana huruma maskini mtu anakuchukulia ubavu wake kumbe ye ana kuweka kama kamjiga kake we kweli ndo tukaonekana wengi motoni😢😢😢😢
Baada ya mungu waogope wanawake(after god fear woman. Huu ndo. Ujumbe
Umetisha brother sky
Waahh... Hakuna ndoa zko hapa ni biashara tu sir God atusaidie🙏🙏💪
miafrika inakimbilia mizungu ikifika ulaya tu
Sijui nisema Nini nasubiri yakwangu😢😢
ALLAH ANIKINGE & ATUKINGE
😅😅Usisubutu
Nipe basi kwanza namba zako tuchat WhatsApp ❤❤😂😂😅
SNS 🔥
Nazeeka i swea nazeeka hamunioi😢
Na ndio mana uwislam ni Dini yaki . Mwamke mki acan ana pew haki yake kabisa bila kusema eti pasu kwa pasu 😢😢
✌️👍👊.
Naona ngozi yetu ndio imeongoza hapo kwa matatizo 😅😢
😂😂😂
Wahego badilisheni wekeni kwenye majina yawa mamas zenu😅
KBSAAAAAA
Wanawake wa kizungu kwenye mapezi akuna uvumilivu no jock🤝🙌
Waaaaa ina uma
Hayo mambo ya talaka bola yafutwe kabsa maana wanawake siku hizi wanafanya kama business sasa😢😢
Trust no one and suspect everything
Ndio maana Christian lonardo hataki kufunga ndoa joooooo😂😂😂😂😂😂❤❤❤
Who tf is this guy?
Watu wamekula CHUMA KIZITO 😂😂😂😂
Mademu noma izibiti zipu yako.
ndowa za maslahi wazungu kuliko waafrica
hiyo story ya eboy imenigusa plizz ielezee qwa kina bro
Yani mi njanhaike miaka yoote Kisha tumeshana mali tugawe saw .we ndo maana nashkuru kuzaliwa huku Zanzibar hakuna Sheria hizo za kuwapa mali wanawake pindi mkiashana .kama hamjatafuta pamoj
Kak sky twenge pata na bonus ya Bill gates inge kaa pow saa maan mke wake from wife material to billionaire 😂😂😂😂
Ebue 😂😂😂😂
List yote ni watu weusi wameibiwa na wazungu😢😢
Halafu kwanini wachezaj wanapenda mademu wa kizungu mademu wa kizungu ni wajanja
Hawa wanawake wa kizungu hawafai kabsa
Hawa wanaume weusi hawataki kuelewa.
Wengi tunasahau tuliko toka nakutaka kuwaoa wazungu
Sintaowaga nitakuwa kama yesu nitoke dunia bila kuowa
emmanuel Eboue kinyume cha Eshraf hakimi
Anaokota makopo majalalani
hapa ulaya kuna mwanamke nyumba ya mkopo na gali la mkopo ogopa hapa mimi mwenyewe naapa kwa jila la Mungu nilichukua gali lamkopo bahati mbaya likagonga mpaka leo nahangaika kuna kipindi nawaza kujiua hasa ninapo fanya kazi pesa yote inabebwa na bank natamani nifukuzwe tu nirudi tz
😂😂😂😂pole sana,ndiyo maisha ya mbele
Aisee pole sana….
Fanya subra maskini pole heri wewe uwone wenzako wamecheza mpira maisha yao yote wabakia kulia utamaliza deni 2 😢
@@ttss7716 yaani mimi ni deni tuu ila hawa watu wanaroho mbaya yaani kila asubuhi simu utapigiwa jioni unakumbushwa yaani
Uko ulaya ya wapi ndugu maana kuna watu wanataka kununuwa nyumba za mikopo apa Australia 🇦🇺
Hivi hakuna sheria ztakazo weza kuwasaidia hawa wanaume mana hawangaliw kabsa
Sheria nyingi zinampa mke nusu ya mali. Na kama wamezaa watoto kuna pesa ya matumizi ya kulipwa mpaka wakifika miaka 18. Hawa wanaume wajinga. Wanajua hizi sheria lakini kwasababu wanataka mke mzungu ili waonekane mjini wanaingia kwenye ndoa bila hata prenup.
Ctk like plss😊
Sawa mkuu