Mungu awabariki sana Kwa staili ya muongozo Hadi screen kubwa Kwa ajili ya kutuonyesha picha hali na Hali halisia ya vita inavyo endelea mie Nina Imani mna tizama na watu wakubwa zaidi ya wakubwa na wenye vyeo vyao wakichota point nyingi sana Kwa KUPITIA SNS Mungu awabariki sana🙏🙏🙏
Ogopa sana watu wanaomtanguliza Mungu kwa maneno na sio vitendo.kumbuka hata watawala wetu huapa kwa vitabu vitakatifu lakini huiba kura.pia kumbuka hata waumini wengi huenda kwenye nyumba za ibada lakini wanaunga mkono maovu na waovu.
Dj Esma ktk hili eneo la ufahamu wa haya mambo uko peke yako hapa nchini! Unatufurahisha sana! Tuhamasishe mashabiki wote tuendelee kukoboresha hiki kipindi
TUNASUBIRI SANA HIYO MAKALA DJSMA255 UNAJUA SANA BRO SANA SANA YANI MIMI BINAFSI NIMEKUWA SHABIKI WA SNS SABABU YA CONTENT ZAKO INSHALLAH MFANYE MAKUBWA NA SKYWALKER .10yrs to Come Inshallah
Yes Dj Smaa kwa kweli machambuzi yako unajaribu lakini Ukisema twambia kam Ukraine haipigani yenyew kumbuk kam tunajua vizur kam murusi hapigani pekeya iyo tunajua saana..
Brow uko vizuri sana hii ni nzuri sana, yakua makomando 20 walio funzwa kisasa na wakawa na silaha na vifaa vya kisasa ni bora. Na wanaweza kudondosha wanajeshi 200 daah hii inanifanya nione inawezekana sn siku za usoni kutafuta Uhuru wetu wa kweli. Halafu nilikua nawaza kama serekali ingezungusha fance visiwa vyote ili kuzuia uhalifu na kujilinda.
Ushauri nzuri kwa maendeleo ya taifa letu Ila hao wezi magaidi magendo ubakaj utekaj udhalilishaji vyote vinafadhiliwa na wakubwa awataweza kuona umuhimu wa hili Jambo Ila itakuwa ni minyororo ya Moto kwao wenyew
Ndugu uko perfect xna , umezungumza vituu muhimu Hususani kwenye nchi yetuu, usalama wa kutumia drone, nimuhim , kma hvi maswala ya michakato ya 2024- 2025
Na msisahau pia Russian yupo na marafiki zake sio yeye pekee asingetoboa. Iran,N Korea, Belarus, China n.k. kwangu naona marekani kapata kichaka Cha kufanyia majaribio siraha zake 😅. Congratulations Smaa👑
hebu tafuten hansan the rising dragon (Korean film) ndo mtaelewa anachokiongelea dj Sama. ...Japan Navy army kubwa Kuliko Korea Ila alikula kichapo Ni film inayoengela vitaa yakweli iliyotokea 15c
Ukweli strategic za vita zimebadilika kwa ukubwa sana, yale mambo ya kubebeshana mabegi ya kilo 200 na kujitia makaa usoni naona yameshapitwa na wakati, kuna mengi ya kujifunza hapa.
Hawa Israel wako wanalindwa na Marekani.Hana lolote zaidi ya kuua watu aliowadhulumu(tangu 1917/1948),watu wasiokuwa na jeshi(Wapalestina)Hawa maisrael Yako ni mazayuni,ni majitu yaliyookotwaokotwa Ulaya na kuja kupora ardhi ya PALESTINA.Hawa mazayuni(Israel)ni Mashoga.Nchi Yao(waliyoinyang'anya kutoka kwa Wapalestina)rasmi imeruhusu ushoga.Hawa Israel wako wa Sasa sio taifa teule ni Sinagogi la shetani.Nenda kasome ufunuo(biblia)
@@SwedyMohamed-vt5zm Hawa Israel ndo wenye ardhi rudi Kwa vitabu vya historia na vya dini..hata hiyo Quran yako inakiri kuwa ardhi hiyo ni ya wayahudi na walitawanyika kwenye mataifa mbalimbali na wakarudi kama unabii ulivyotabiri....hawa wayahudi Mungu aliweka agano na babu zao kuwa atawalinda na yeyote atakayewalaani naye atawalaani na atakaye wabariki naye atawabariki....hawa ni kweli ushoga umekithiri nchini Israel na hiyo ni kwasababu ya wengi wao bado hawamuamini Yesu na ndo maana wanapitia changamoto hizo zote...nikweli kuna watu wanaosema kuwa ni waisraeli ila ni wa synagogue ya Shetani na hao ni wayahudi walioslimu maana msikini ni dhehebu la Shetani...hao waisraeli dhambi Yao itaondolea soma Biblia na hiyo itafanyika wakati wa dhiki kuu yani great tribulation Rudi usome Ramans 11
Umeanza ghafla kuchambua Sma leo lakini binafsi nakukubali sana kwa uchambuzi mnzuri na but swali langu gumu leo, Je Israel kuingia vitani na Hezbollah ni kutafuta kufilisika au kupoteza kwenye vita?
Projector ni nzuri ila ina limitations zake, kuanzia distance inayo hitajikakuwekewa, resolution,kufanya kazi vizuri gizani tu, na mwngineyo mengi, tv is the best option
Sikia unaongea tu. lakin Urusi ameishiwa na silaha zake. Hivi sasa silaha anazitumia ni za kutoka Iran. Urus amebakiwa na nyuklia tu. Pia wanajeshi wa Urus wengi wamekufa zaidi kuliko wa ukraine.
I respect dj smaa he is very smart when it comes to Millitary issues without forgetting Geo politics this guy is expert .Heshima yako mkuu.
Hi DJ ESMA how are you? Am in 🇨🇦 ningependa kutoa mchango wa pesa kwa Smart TV how unaweza receive money? Asante
Mcheki kwenye namba yake wasap hapa itakuwa kazi Sana yeye kuona hii comment
Tuma kwenye namba huwa anaitoa kwa wanahitaji kuchangia
I Really Respect Ya Hommie 🎉..
Dj Smaa Keep It Up 🙏
Mungu awabariki sana Kwa staili ya muongozo Hadi screen kubwa Kwa ajili ya kutuonyesha picha hali na Hali halisia ya vita inavyo endelea mie Nina Imani mna tizama na watu wakubwa zaidi ya wakubwa na wenye vyeo vyao wakichota point nyingi sana Kwa KUPITIA SNS Mungu awabariki sana🙏🙏🙏
Muumba atutangulie kupata elimu Kila mara2 ❤ djsma
Kazi nzuri Sma. Marekebisho kidgo kwenye taa
Kweli kabisa.
Nice tunaendelea kuangalia ila bado nasubilia makala na history ya Israel na Palestine na makabila 12 ya Israel ❤❤ nakubali Sana DJ smaa
Mzee mm nipo uku ila tunaogopa ata kusema kitu wala kuchat coz tunahic watatuhack charting mm nafatilia xana izi GPS smaa ni nooma xana
@@salummassoud9876Uko wapi,?😂😂😂😂
Kuna siku Mwinuka alisema, Hata huu uchambuzi tunaoufanya wanaangalia, hawa jamaa ni noma sana. Bora uwe makini hivyohivyo. 😅😅😅😅
Respect dj sma from nairobi count in Kenya home Kilimanjaro Tanzania 💪🇹🇿
DJ smaaa nomaaa inaafaa upate kazi national defence jwzt
Napenda kila kitu kwenu ila zaidi Mimi napendaga dj sm anavyomtanguliza Mungu
Ogopa sana watu wanaomtanguliza Mungu kwa maneno na sio vitendo.kumbuka hata watawala wetu huapa kwa vitabu vitakatifu lakini huiba kura.pia kumbuka hata waumini wengi huenda kwenye nyumba za ibada lakini wanaunga mkono maovu na waovu.
Sijawahr ku comment humu Ila inshort nyie jamaa mnajuaa aisee
Genius
Me nimecheka ety tayari keshapigwa
Sema nni I like your analysis brother, you are best for your level.
🙏🤣
Smaa nakukubali sana. Niko mwanza tanzania
Mimi nipo Zanzibar, huku nafatilia ni hatariiiii😂😂😂3
Kazi nzuri sanaa Dj Smaaa💥💥💥
Asante sana FBI djsma
Chacha, nimecheka sanaaa😂😂😂😂 FBI
Much respect bro
Dj smar uko vizuri sana tupe madini we sio mtangazaji ww soecist wa mambo ya vita
Dj Esma ktk hili eneo la ufahamu wa haya mambo uko peke yako hapa nchini! Unatufurahisha sana! Tuhamasishe mashabiki wote tuendelee kukoboresha hiki kipindi
Unajua kuchambua kaka dj sm👍👍👍👍👍
umetisha dj sma
Mashaallah, vizuri sana. from Iringa
Much respect sana Dj smaa kwa uchambuzi mzuri..Big up SNS
Kutoka kilimanjaro, tunakupata vizuri na tunajifunza vitu vingi kutoka kwako mungu akuongoze
Nomaa Sana smaa
Asante sana dj smaa nimefulahi juuya mawaitha kwa police wote kutumia drone kuodoa wakola, niko kenya
Dj upo vizuri
Mashaallah dj
From kiambu Kenya,mwas
Pia advantage ya Drone inaweza kusaidia kuhusu majangiri wanao angamiza tembo na faru wetu katika misitu ya inchi zetu za Africa.
💯
Vizuri sana Dj Smaa
King dj sma
Mimi ni msikilizaji wenu Toka Kigoma Tz DJ Sma akika naelimika sana na Makala zenu Naitwa Roger
Good job dj smal
Africa we should adopt this technology to protect our Continent,already Burkina Faso has this technology
Hongera dj smaa kwa kuitafuta kweli, na kweli itatuweka huru
Sns ni zaidi ya chuo asee mungu awabariki san na mfikie melengo na nia yenu thabit ya kutoa elimu
Somo zuri na hasa kwa vyombo vya ulinzi.
Leo WA Kwanza kuweka comment Aisee mko deep sana
Sasa kupresent hivi ndio fresh kwa picha ni nooma smaa
🙏
Dj mashaallah❤❤❤❤🤝🤝🤜
DJ SMAA 🔥🔥🔥
TUNASUBIRI SANA HIYO MAKALA DJSMA255 UNAJUA SANA BRO SANA SANA YANI MIMI BINAFSI NIMEKUWA SHABIKI WA SNS SABABU YA CONTENT ZAKO INSHALLAH MFANYE MAKUBWA NA SKYWALKER .10yrs to Come Inshallah
Assnte sana
Uishi sana Abeid Samir
🤲
@@djsma255 fanya siku utuelekeze kuhusu kazi ya vifaru (tanks) vitani..
FBI @@djsma255
Nimeona picture hapo mwishonii, makondoo wa Russia na USA wanapeana mikono,ndoo itakavyokuwa kule ukrainaaaaa😮
Vizuri SANA
Tunaconect dots dj ❤
saf sana
DJ SMAA UNAFAA UWE RAIS WA TANZANIA ☺️🙌🏾
Yes Dj Smaa kwa kweli machambuzi yako unajaribu lakini Ukisema twambia kam Ukraine haipigani yenyew kumbuk kam tunajua vizur kam murusi hapigani pekeya iyo tunajua saana..
Brow uko vizuri sana hii ni nzuri sana, yakua makomando 20 walio funzwa kisasa na wakawa na silaha na vifaa vya kisasa ni bora. Na wanaweza kudondosha wanajeshi 200 daah hii inanifanya nione inawezekana sn siku za usoni kutafuta Uhuru wetu wa kweli.
Halafu nilikua nawaza kama serekali ingezungusha fance visiwa vyote ili kuzuia uhalifu na kujilinda.
Nakuzikiza nikiwa Qatar appreciate Sana kwa ilimu 🙏
Jamaa mwongo sana yani dron zimeingia mossco putin analalama wewe unatwambia yeye ndo anazo nzur alipiga wapi na izo au bangi
Dj smaa🎯🇪🇦
Shule Nzuri Sana Unaitoa Brother
Ushauri nzuri kwa maendeleo ya taifa letu Ila hao wezi magaidi magendo ubakaj utekaj udhalilishaji vyote vinafadhiliwa na wakubwa awataweza kuona umuhimu wa hili Jambo Ila itakuwa ni minyororo ya Moto kwao wenyew
Dj mwenyewe smaa
Mwanangu nakuamini hadi natamani nikuone
Putin ni masterplan
Ndugu uko perfect xna , umezungumza vituu muhimu
Hususani kwenye nchi yetuu, usalama wa kutumia drone, nimuhim , kma hvi maswala ya michakato ya 2024- 2025
Simply to make substitution from massive manpower to invest more in technology is achieve competitive advantages over competitors.
Also to avoid the cost of operation with a high winning advantage.
Upo vzuri kaka
Best sana hii
👍🇩🇰
From DRCongo na shangaa kwanini government ya TZ aijakupa ministeri
sout africa wanazitumia izo drones brother
Djsma255 tuombe ufanye mabadiliko kwl yani ukiwa hapo kwenye tv sauti kuna namna inakakitu fulani ukiwa na earphones kuna kakitu hakako sawa
Sawa, kila siku nazidi kuboresha, hio video nmerokodi kwa simu ya yizamani, ila tutafika tu
Ukrane strong
Dj Sma nataka utueleze ni jinsi gani LaWS(Laser) zinavyofanya kazi pamoja na radioactive flamethrower
1 kidume
Hapo kwenye mlipuko mkubwa ni drone imeonyesha target kikundi atilary then ina lock then wale wanafire kwenye cordinal ya target
Ikiwa mapigano ni Baina ya urusi na NATO mpaka mda huu itakuwa NATO wameshindwa urusi anauwezo mkubwa
Kaka iyo makara Palestina na Israel nakuombeya uimalize mapema maana naona yesu yupo karibu kuludi
Ni dj smaa mwenyewe❤❤👏
KINGEREZA KINATUPA TAABU KUELEWA, TAFADHALI NDUGU MTANGAZAJI TUNAKUOMBA UTUMIE KISWAHILI KWA KUELEWA VIZURI.
Sawa, ila nikiongea kingereza hua naitafsiri
Brother nakukubali sana, mpaka gafla nkatani niwe mjeda😂
😂
Na msisahau pia Russian yupo na marafiki zake sio yeye pekee asingetoboa. Iran,N Korea, Belarus, China n.k. kwangu naona marekani kapata kichaka Cha kufanyia majaribio siraha zake 😅. Congratulations Smaa👑
hebu tafuten hansan the rising dragon (Korean film) ndo mtaelewa anachokiongelea dj Sama. ...Japan Navy army kubwa Kuliko Korea Ila alikula kichapo Ni film inayoengela vitaa yakweli iliyotokea 15c
Ukweli strategic za vita zimebadilika kwa ukubwa sana, yale mambo ya kubebeshana mabegi ya kilo 200 na kujitia makaa usoni naona yameshapitwa na wakati, kuna mengi ya kujifunza hapa.
Tunataka review ya chechnya one and two
Sawa
Ukosawa .
Uchambuz saf
Abed samir abed samir Abed samir......How many times did i call your Name.....Toa taarifa mbn west wanapenda KENYA. Kuna kitu gani chini ya kitheri
Burundi tunakukubali sana
Assnteni na mm nakukubalini
Tuangazie suala la mashariki ya kati kwa muujibu wa maandiko
Mwamba unatisha sn
Duh yani watu wanapigana vita wakiwa play station
Yaann wewe upon juu ktk uchambuzi .Afrika tusome .
nimeelewa hapo yani jeshi linakuwa na watu wengi pia wana second generation ni ngumu kupambana na nchi ambazo wana 4fourth generation weapons
Mshamba urusi amepiga ndege ya abiria wamekufa eti alizani dron ya ucraine kwaiyo kaua watu wake
Jeshi la bongo wanazo zipi?
Uchambuzi mzuri Ila kimombo kimezidi sana.
Hayo mambo yamekuwa developed from western ko inalugha ya kimombo. Ko jikaze
Hahaha! la saba tatizo
@@WebsonMwamnyasi 😂😂😂👍
Mimi huwa ni team Israel mwanzo mwisho....hao waliobaki akina Rasia na USA wala sitaki kujua atakae shinda nani... Israel forever 🇮🇱🇮🇱❤️
Hawa Israel wako wanalindwa na Marekani.Hana lolote zaidi ya kuua watu aliowadhulumu(tangu 1917/1948),watu wasiokuwa na jeshi(Wapalestina)Hawa maisrael Yako ni mazayuni,ni majitu yaliyookotwaokotwa Ulaya na kuja kupora ardhi ya PALESTINA.Hawa mazayuni(Israel)ni Mashoga.Nchi Yao(waliyoinyang'anya kutoka kwa Wapalestina)rasmi imeruhusu ushoga.Hawa Israel wako wa Sasa sio taifa teule ni Sinagogi la shetani.Nenda kasome ufunuo(biblia)
@@SwedyMohamed-vt5zm Hawa Israel ndo wenye ardhi rudi Kwa vitabu vya historia na vya dini..hata hiyo Quran yako inakiri kuwa ardhi hiyo ni ya wayahudi na walitawanyika kwenye mataifa mbalimbali na wakarudi kama unabii ulivyotabiri....hawa wayahudi Mungu aliweka agano na babu zao kuwa atawalinda na yeyote atakayewalaani naye atawalaani na atakaye wabariki naye atawabariki....hawa ni kweli ushoga umekithiri nchini Israel na hiyo ni kwasababu ya wengi wao bado hawamuamini Yesu na ndo maana wanapitia changamoto hizo zote...nikweli kuna watu wanaosema kuwa ni waisraeli ila ni wa synagogue ya Shetani na hao ni wayahudi walioslimu maana msikini ni dhehebu la Shetani...hao waisraeli dhambi Yao itaondolea soma Biblia na hiyo itafanyika wakati wa dhiki kuu yani great tribulation Rudi usome Ramans 11
Taifa letu yan na ww linaangamia wa2 wanatekwa nyinyi una2ambia mambo ya ulaya? Wakat ww
Umeanza ghafla kuchambua Sma leo lakini binafsi nakukubali sana kwa uchambuzi mnzuri na but swali langu gumu leo, Je Israel kuingia vitani na Hezbollah ni kutafuta kufilisika au kupoteza kwenye vita?
Kama hujui kiswahili unachambua nini sasa😂😂😂
Wewe mwanangu ufaa kututengeneza silaha
@Dj smaa vp kuhusu projector? Nayo ni nzuri kwa customize size unayotaka na ni cheap compared to flat screen
Projector ni nzuri ila ina limitations zake, kuanzia distance inayo hitajikakuwekewa, resolution,kufanya kazi vizuri gizani tu, na mwngineyo mengi, tv is the best option
Nikushauli akhui unajua sana kuongelea jambo na unapangilia maneno yko kuliko waongeaji wengi
Hii sns nilikuaga siiangali kabsa ww ndo umenifanya niwe naangalia nikuomba embu fungua Chanel yko ya youtub utakujaa kunishukulu
HUYU NAE ANAONGEA SANA WAKATI UKRAINE 🇺🇦 WANAKUFA KAMA KUKU VIFAA VYOTE VINAARIBIWA
Daaah 😂
Putin afe
Sikia unaongea tu. lakin Urusi ameishiwa na silaha zake. Hivi sasa silaha anazitumia ni za kutoka Iran. Urus amebakiwa na nyuklia tu. Pia wanajeshi wa Urus wengi wamekufa zaidi kuliko wa ukraine.
Mmm hizo ni taarifa za bbc