Huu wimbo wakati unatoka nilikuwa ndo nimeanza kupanga baada kumaliza form four na kuamua kutoka kwetu, muda huo chumba nalipia kodi elf10 kwa mwezi hakina siment wala signboard maeneo ya kileruu mabatini mwanza😂😂😂😂 muda huo nimenunua kiswaswadu changu cha line3 nausikiliza huu wimbo na kuuimba mchana kutwa slay queen sindo mimi utanambia nini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 daah natamani hata kulia kila nikikumbuka enzi hizo ilikuwa raha sana japo nilikuwa nalala chini🫣🫣😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
Nani anasikiliza 2024 weka like hapa
Tupo tupo😂😂😂
❤❤❤❤❤
🎉🎉
Pamoja sana 😂😂
Yuko wap msanii
Ngoma kali sana ❤❤
Samiri umepotea kaka 2023 naipenda hii nyimbo nakumbuka kipindi namlea mwanagu saiv yupo na miaka 10
Yuko wapi huyu bro
Kwl ama unamuinjoy
Bro kabula sijajua chocho duniani nasikiliza ngoma zako ❤❤❤❤❤
Nakumbuka dadangu alikua akipenda sana hii song ,,Rest easy my lovely Siz 😭😭😭
Bado na views hapa ni 2024
Mungu ametuweka hai nausikiliza nw 2024
Tupoooooo❤
11/10/2024.
Tupoooo
Moja ya Ngoma iliyo teka bongo flavor 2011 ilikuwa ya 🔥🔥🔥🔥
Hatar kipindi nipo shule natoroka naenda kuiangalia😅
Jamani mi namuombea mungu afungue macho arudi kwenye game jamaa anajuaaa kuimba mi nampenda hata Sasa wimbo unanijaza mwoyo
😢😢 kwani ana matatizo ya macho
Samir ulipotelea wap kka ua nmber one fun ..hii song nikiwa class 5 m ndio nliluwa nikiimba class mbele😢
Ngoma Kali, should have over millions views
Hii Ngoma ilifanya vizuri Sana
Nani mpka sai anasikizaa ii 2020
Napenda nyimbo zako zazamani❤❤❤❤
Hizi ndo Ngoma zilizotulia ❤❤🇰🇪
nipo zangu kijijin kwetu huko Moro...utatuambia nini kipind hiko watoto wa moro na samir wetu
Ngoma poa nafurahia from kenya kisii
Enzi hizo umetisha aisee umepoteleya Wapi? Rudi game jamani!
Naupendaga saaaaana huu wimbo 🎉nipo hapa nasikiliza 31/07/2024
Kudadadeki hii ngoma hatar sana.."
Nipo kwa hapa nasikiliza 2024
ngom ni kal mnooh 😂😂😂
Hadi sasa 2025 nauangalia inshallah
ngoma kali sna nakbali
Huu wimbo wakati unatoka nilikuwa ndo nimeanza kupanga baada kumaliza form four na kuamua kutoka kwetu, muda huo chumba nalipia kodi elf10 kwa mwezi hakina siment wala signboard maeneo ya kileruu mabatini mwanza😂😂😂😂 muda huo nimenunua kiswaswadu changu cha line3 nausikiliza huu wimbo na kuuimba mchana kutwa slay queen sindo mimi utanambia nini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 daah natamani hata kulia kila nikikumbuka enzi hizo ilikuwa raha sana japo nilikuwa nalala chini🫣🫣😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
hahaaaaa😂😂😂😂😂😂😂
😘😘😘😘😘mpaka sasa me naupenda sana 2021
Samira Rudi mjini tumekumis😭😭😭
Wanangu wa 2024
Pamoja sana 2024
kaka upo wapi Kaka
Mm nazipinda San kila siku nasikiliza
Nyimbo yangu pendwa,samir Rudi bc tumekumiss😢
😍😍😍 kula mbakishie baba Kula mbakishie mama
😂😂😂
Mm hapa 2024
Had laha kipind hicho hamna Mac up
Uyu jamaaa fundi sanaaa
2024 tujuane hapaaa kwa likee.
Huu wimbo unanikumbusha kipindi nilipotolewa bikra..😭🤦🏽♀️ nilikua nausikikiza kila muda aisee kwenye kasimu changu flan hivi kadunchuu..😆
uwiiiii
😂
😂
😂😂 au nlikutoa mm??🎉
tunao upenda uu wimbo tunasikiliza 14/8/2024
Pado hii na tamba
My song always ,,,,,,I like it walai
Hit song
Nani yupa hapa baada ya kuona maujiano ya video geen wa daimond wa mbagala
jamaa unajua Kwa hisia
Nimemic sn samiry
Samir mbona kimya au upo maka
2024 here🎉
2024 still watching it
Wale wa 2024 mpooooo
What does "kinyulinyuli" mean in English?
😢😢
Its children’s game where kids put their hand on top of each other, like here 1:46
My best song 2011❤😅
4/24 on fire
Mim nimeokoka lakini nasikiliza Ngoma hii
Ilikuwa dedication from my Ex boyfriend 😂 2013
❤😊
❤❤❤
🎉❤❤❤2024
Nasikiliza mzigo
❤
2024 naipend
2024
2024❤
hatal xan taixon cris 😂
Eeeee kidal
Good
Audio
❤❤❤❤❤❤
nakubar
Iv yupo wap
Safi
Oww
This man got voice en he needs to let it out
Mimi ap
danilod
Kali sana
Kuna nyingineee inaitwaa darling
❤❤❤