Huu wimbo wakati unatoka nilikuwa ndo nimeanza kupanga baada kumaliza form four na kuamua kutoka kwetu, muda huo chumba nalipia kodi elf10 kwa mwezi hakina siment wala signboard maeneo ya kileruu mabatini mwanza😂😂😂😂 muda huo nimenunua kiswaswadu changu cha line3 nausikiliza huu wimbo na kuuimba mchana kutwa slay queen sindo mimi utanambia nini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 daah natamani hata kulia kila nikikumbuka enzi hizo ilikuwa raha sana japo nilikuwa nalala chini🫣🫣😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
Enzi hizo umetisha aisee umepoteleya Wapi? Rudi game jamani!
Pamoja sana 2024
❤😊
Had laha kipind hicho hamna Mac up
Pado hii na tamba
Ngoma Kali, should have over millions views
Hii Ngoma ilifanya vizuri Sana
kaka upo wapi Kaka
Hit song
Samira Rudi mjini tumekumis😭😭😭
🎉❤❤❤2024
ngoma kali sna nakbali
nipo zangu kijijin kwetu huko Moro...utatuambia nini kipind hiko watoto wa moro na samir wetu
Mm nazipinda San kila siku nasikiliza
2024 here🎉
Mm hapa 2024
❤❤❤
Hizi ndo Ngoma zilizotulia ❤❤🇰🇪
❤
Iv yupo wap
nakubar
Nakumbuka dadangu alikua akipenda sana hii song ,,Rest easy my lovely Siz 😭😭😭
Nani yupa hapa baada ya kuona maujiano ya video geen wa daimond wa mbagala
Wale wa 2024 mpooooo
Huu wimbo wakati unatoka nilikuwa ndo nimeanza kupanga baada kumaliza form four na kuamua kutoka kwetu, muda huo chumba nalipia kodi elf10 kwa mwezi hakina siment wala signboard maeneo ya kileruu mabatini mwanza😂😂😂😂 muda huo nimenunua kiswaswadu changu cha line3 nausikiliza huu wimbo na kuuimba mchana kutwa slay queen sindo mimi utanambia nini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 daah natamani hata kulia kila nikikumbuka enzi hizo ilikuwa raha sana japo nilikuwa nalala chini🫣🫣😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
hahaaaaa😂😂😂😂😂😂😂
tunao upenda uu wimbo tunasikiliza 14/8/2024
My best song 2011❤😅
My song always ,,,,,,I like it walai
2024❤
2024 still watching it
Hadi sasa 2025 nauangalia inshallah
Naupendaga saaaaana huu wimbo 🎉nipo hapa nasikiliza 31/07/2024
2024 tujuane hapaaa kwa likee.
Mimi ap
Mim nimeokoka lakini nasikiliza Ngoma hii
Nyimbo yangu pendwa,samir Rudi bc tumekumiss😢
2024 naipend
Safi
❤❤❤❤❤❤
Nasikiliza mzigo
Samir ulipotelea wap kka ua nmber one fun ..hii song nikiwa class 5 m ndio nliluwa nikiimba class mbele😢
hatal xan taixon cris 😂
Eeeee kidal
❤❤❤
Samir mbona kimya au upo maka
Nipo kwa hapa nasikiliza 2024
ngom ni kal mnooh 😂😂😂
4/24 on fire
2024
Huu wimbo unanikumbusha kipindi nilipotolewa bikra..😭🤦🏽♀️ nilikua nausikikiza kila muda aisee kwenye kasimu changu flan hivi kadunchuu..😆
uwiiiii
😂
😂
😂😂 au nlikutoa mm??🎉
Wanangu wa 2024