LUKAMBA ANAISHI KAMA MFALME GHOROFA LAKE KAMA HEKALU/ANALIPA MILIONI 36 KWA MWAKA -

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" TH-cam channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi #showbizz

ความคิดเห็น • 261

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous1636 ปีที่แล้ว +21

    Juice zinaletwa mkononi na si kwa trei? Maisha ya mastaar tuyaone tu kwenye mitandao tukimaliza kuangalia turudini kwenye maisha yetu ya furaha na amani

    • @Noah-zt5zf
      @Noah-zt5zf ปีที่แล้ว +1

      Kwan tray inaliwa pia?

  • @tikaeddie7284
    @tikaeddie7284 ปีที่แล้ว +8

    Wakiumwa wanaanza kuomba michango! Wekezeni mali lukamba ni baba!! Anafikiri hazeeki eh shauriyoooo

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 2 หลายเดือนก่อน +1

    Unalipa kod hujui nyumba ina nini na nini eti jiko sijui kitchen 😂

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 ปีที่แล้ว +7

    Hapo ukienda kwenye account yake hana hata million. Hawa watu kwa maisha fake eeh Mungu

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid3743 10 หลายเดือนก่อน +4

    Ni vile tu mambo ya mjini ila dada ana ka u wife Material flani hivi......... amelelewa kiasi

  • @husnaameen9309
    @husnaameen9309 ปีที่แล้ว +48

    Yani hiyo pesa angeichsnga kwa miaka miwili tu angejenga nyumba yake nzuri zaidi ya hii kuliko kulipa million 36 Kwa mwaka kedho na keshokutwa mnaomba msaada kwa sisi masikin

  • @MwarafiaAbdi
    @MwarafiaAbdi ปีที่แล้ว +4

    Jaman Zamarad Tv boresheni Camera zenu maana hazina U Quality sana

  • @SimbaJumanne
    @SimbaJumanne 7 หลายเดือนก่อน +1

    Acha upuuz umepanga floo ya juu tuu hapo kuna walamgani 4 mboma sifs za kijongaa ww.mm mwenyew .naish hapa hapa

  • @AshuraSalum-d6q
    @AshuraSalum-d6q 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mwana ana mvuto jaman lukamba uwaga ukitongza unavumbga macho au😂😂

  • @sumecute2513
    @sumecute2513 ปีที่แล้ว +3

    Samahi huyo dada mbn anamuegemea mtangazaji hivyo?kwa mumewe huyo mbn unakua huru kiasi hicho

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 ปีที่แล้ว +6

    Wanawake mnaendekeza zinaa hivo astaghfirullah kesho muwe tayari kuulizwa maswali na muumba wetu

    • @Lululemon55
      @Lululemon55 ปีที่แล้ว +7

      Sio wanawake tu!!! Hata wanaume hawatanusurika siku hiyo

    • @stevensimon5642
      @stevensimon5642 ปีที่แล้ว +4

      @@Lululemon55hapo umenena kwani mwanamke anajifanya mwenyewe, yaani wanaume wanatuonaga sisi ni malaya sana utafikiri tunajifanyaga wenyewe

  • @Maryam-kl6gj
    @Maryam-kl6gj ปีที่แล้ว +2

    watanzania acheni wivuwamaendeleo kukomenti vibaya nidhambi.

    • @khamisbk8569
      @khamisbk8569 ปีที่แล้ว

      Ingekua yake tungecoment vizur na sio pango Baba mwenye nyumba Leo na kesho anakuja kukugongea Kwa kulipa Koddi yaan badala ya kupambania future yako unapambania kulipa Kodi mambo gn ayo

  • @wahidaabeid5712
    @wahidaabeid5712 ปีที่แล้ว +8

    Nyinyi wasaniii ni walimu wa sanaaa kwa uwongo mtu hutambi kama huna chako Sasa nyie mnakaa nyumba za kukodi maisha feki acheni kutia mambo yenu mitandaoni mtajifedhehesha bure

    • @Ndiminijunior
      @Ndiminijunior ปีที่แล้ว

      Wewe unaumia na nini Sasa hapo Kuna hela unampatia ya kuongezea Kodi?

    • @babiddi8620
      @babiddi8620 ปีที่แล้ว +1

      Tatizo wakeshaanza na matatizo wanachangisha

    • @joycechaz2840
      @joycechaz2840 ปีที่แล้ว +1

      Kumbe nyumba inaweza kua yako afu usijue vyumba viko vingapi mpaka ufikirie🤔

  • @husnaameen9309
    @husnaameen9309 ปีที่แล้ว +4

    Eti jiko na kitchen 😂😂😂 wabongo tunakazi mungu akuongoze uhenge uwache ufahari kimfacho mtu ni chake

  • @hamisahamisa5896
    @hamisahamisa5896 9 หลายเดือนก่อน +3

    Mwenye nyumba hapo anaitazama 😂😂😂😂😂😂😂😂 anaogea na moyo

    • @abdillahrashidnassor7973
      @abdillahrashidnassor7973 8 หลายเดือนก่อน

      Anawaambia malizeni kisha mnipe kodi yangu 😂😂😂😂

  • @NancyBrayan-wi2lr
    @NancyBrayan-wi2lr 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kma happy wa sug sema happy sio chiz kma huy

  • @khamisbk8569
    @khamisbk8569 ปีที่แล้ว +1

    Yaan Wabongo izo ndio pigo zenu kutaka Maisha ya juu yaan unajiumiza ili tyu jamii ikuone Una Maisha flan achen kufake Maisha izo ela unazolipa apo ungejenga kwako au kwenu ingekuaje?? All in all Kila mtu na Maisha yake

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul3212 ปีที่แล้ว +3

    Lukamba yuwaokota Mapokosh" wakimlea kumueka kisha akisha kosana nao wakae wakimbonga😂😂😂😂😂

  • @DorisTrywellMaganga
    @DorisTrywellMaganga 8 หลายเดือนก่อน

    Kumshika uko kwiyoo

  • @Lulualshagri
    @Lulualshagri ปีที่แล้ว +2

    Huo muwigi kama jini kash kash fyuuu hovyoooo

  • @zenachuo2963
    @zenachuo2963 ปีที่แล้ว +4

    Alafu huyu dem sindoameshoot nae ile move ya azam tv jeraha au macho yangu

  • @FestinaMlelwa
    @FestinaMlelwa ปีที่แล้ว +3

    Wakiumwa wanataka mchango saizi wanaonekana mastaa chamana mwisho wakiumwa mchango wanataka..

  • @rayaali7551
    @rayaali7551 6 หลายเดือนก่อน

    HUYU MKEEE AUU MKEKAA ? MAANA HUVYO ALIVYO JILETA HAPO KULETA HUYO JUICE MHH. YAANA KAMA KAJA HAPO KUJIUZA YAARABY ATUSITIR. NA MIKAHANA HAWA. HIVYO KUJILETA MBELE YA MWANAUME UTUPU NAMNA HIVYO. NA MBELE YA MUMEOO AATI MUME NA MKE 🙆🏻‍♀️🙆🏻‍♀️🙆🏻‍♀️

  • @Yolanda-n3x
    @Yolanda-n3x 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mazingira tu yanaonyesha bado sana maisha naona kagari moja au mengine yameenda shopping ghorofa la kupanga au

    • @mypsychology185
      @mypsychology185 6 หลายเดือนก่อน

      We una magari mangapi?

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 5 หลายเดือนก่อน

    Limwanamke libaya

  • @chany9950
    @chany9950 ปีที่แล้ว +3

    Ona kafriji jmn😂

  • @everlyne8595
    @everlyne8595 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nyumb kubwa haina furniture bora ungepangisha nyumba ya kawaida

  • @kerryestomic8099
    @kerryestomic8099 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mwanamke ndo Ana hela hapo

  • @pilimwanza8117
    @pilimwanza8117 ปีที่แล้ว +3

    Nimependa kumuona Harmonize kwa TV na miss Bantu😅😅😅😅 mambo ya kodi ya mil 36 kwa mwaka hayanihusu. Uwezo wao wenyewe 😅

    • @salmanassor8732
      @salmanassor8732 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

  • @Lulualshagri
    @Lulualshagri ปีที่แล้ว +5

    Halafu huyu lukamba wanawake zake anawatoa kimboka nini mmh😮 mbona hawaeleweki

  • @samihamansour1893
    @samihamansour1893 6 หลายเดือนก่อน

    Mwanamme huyu ? Siamini kama mwanamme hebu kijana tafuta kiwanja ujenge pili mwanamme wa kweli hashindani na mwanamke public acha usenge unatutia aibu wanaume wenzio

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 ปีที่แล้ว +3

    Milion 36 tunajenga nyumba kubwa tu tatzo napenda Kiki na misifa, mkiumwa ananza. Kutaka mchango, 😢nyooooooo kufen tu akuna mchango mpumbavu

  • @anoldamkumba3208
    @anoldamkumba3208 ปีที่แล้ว +1

    umpongeze kwa nyumba ya kupanga!?? haiwezekani ajenge ya kwake .hivi!!? anajitambua kweli? wazazi wake nao kawapangishia? hebu acha ujinga huo jenga yako wanao wajivunie, faraja kwenye nyumba ya kupanga !!.

  • @wahidaabeid5712
    @wahidaabeid5712 ปีที่แล้ว +5

    Lukamba umechemka wewe mtoto mzuri mashallah Kila mke unaemchukuwa wanashinda kwa ubovu chagua kitu watu wakufahamu sada hapo ukizaa mtoto unategemea nini labda akufate sura Yako na rangi mambo engine tizameni msiingie tu mitaroni

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz ปีที่แล้ว +2

      Unaambiwa Lilia bahati,Sio uzuri.

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 9 หลายเดือนก่อน

      Hovyoooo, ametembea na ameshakitana na wengi na amepita nao wengi, sasa wewe unataka aoe slay qn baada ya mwezi ameachwa hauoni haji manara ameachwa na wake zake wote wawili na dula makabila ameoa mwanamke alieachwa ndani ya mwezi mmoja na yeye akamuoa akadumu nae mwezi mmoja ameachwa sasa yupo na manara na jamaa amenogewa ametangaza ndoa, sisi tunachoangalia ni utulivu wa mwanamke baasi uzuri kama mtaji basi mkanunue ndege mfanye biashara.

    • @salmabasil385
      @salmabasil385 9 หลายเดือนก่อน

      Lukamba anapenda wanao weza kumlea

  • @adamkisheta8439
    @adamkisheta8439 9 หลายเดือนก่อน +1

    Beconi wangap mmesikia kama Mimi gonga like😂

  • @Yolanda-n3x
    @Yolanda-n3x 9 หลายเดือนก่อน

    Mke wa mtu ameshika paja la mtangazaji kweli 😅😅😅 alafu million hizo zote bora upange Kanyuma tu pesa ujengee😅😅

  • @aishamossile6336
    @aishamossile6336 ปีที่แล้ว +3

    Demu ana kiherehere

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 8 หลายเดือนก่อน

    Kwanini usinjenge gholofa lako,hizo pesa unazolipa nyingi sana mbona unapata nyumba hata 3.Duh.

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 9 หลายเดือนก่อน

    Nguo uliovaa sio ya nyumbani. Mshambarera sana. Wigi mmmh halijakuvaa umelivaa tu wewe

  • @msolekaonlinemedia
    @msolekaonlinemedia 7 หลายเดือนก่อน

    cha ajabu mama yake anaishi kwenye pagala pale uvinza😂😂😂😂😂😂😂

  • @lisauroble31
    @lisauroble31 7 หลายเดือนก่อน +1

    Safii sana nyumba hatariii nzuri mnoo

  • @BarakaMkalimbe
    @BarakaMkalimbe 9 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaaa muongo haiwezekani nyumba yake alafu hajuw kuna vyumba vingapi

  • @AishaFerous-jp8oq
    @AishaFerous-jp8oq 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ila uyu dada kachemcha katuvalia nguo ya club home .

    • @mariammpamka
      @mariammpamka 9 หลายเดือนก่อน

      😂yaani nilitaka niseme ivyo ata ajapendeza angevaa dira tu kwani angeonekanaje jamani

  • @ummukulthummohd5403
    @ummukulthummohd5403 ปีที่แล้ว +4

    Lukamba anapenda kuokota okota nae kah

  • @issamaulidi8860
    @issamaulidi8860 9 หลายเดือนก่อน

    Fake life hujuw ata itadi ya room so iyo house sio yako 😁😁😁😁 mweny nyumbaa ajuw nyumbaa yake 😀😀🛑

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 8 หลายเดือนก่อน

    Muongo huyo mwanamke ndiyo kapanga hapo na amesema mwenyewe anataka wanawake wenye pesa tu

  • @NaseebMgono-wl3bu
    @NaseebMgono-wl3bu ปีที่แล้ว +1

    Mbona kma sio kwake yn the way anavyomuonyesha kma sehem hazijui vzr

  • @ShekhaAzizi-yb1ow
    @ShekhaAzizi-yb1ow 7 หลายเดือนก่อน

    Umasikini huwa tunautaka yani iyo hela angejenga au kununua nyumba maana uwezo anao dah ujiga mwig

  • @hamisahamisa5896
    @hamisahamisa5896 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hii ni nyumba ya huyu dada anaijua vizuri

  • @hashymharun9337
    @hashymharun9337 10 หลายเดือนก่อน +1

    Muongo mamaee🤣🤣

  • @aystv5998
    @aystv5998 8 หลายเดือนก่อน

    Jenga nyie... wacha kumpa mtu na uwezo unao

  • @priscajohn6090
    @priscajohn6090 ปีที่แล้ว

    Muache ujinga Kodi M3 kwani ukipanga Cha 50 Hadi laki' unapungukiwa nini hizo Hela simkusanye mjengo yenu' kwahiyo kwa Mwaka mnatoa M36*Miaka 3 Jml M78 hutapata nyumba

  • @kudrasslaybeautybar8779
    @kudrasslaybeautybar8779 6 หลายเดือนก่อน

    Hii niabu mtuu hujuwi kwako kuna vyumba ngapi

  • @CleoadyHaji
    @CleoadyHaji ปีที่แล้ว +1

    Watangazaji wanachekaga tuh😅😅😅😅

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 9 หลายเดือนก่อน

    Watu wanapenda kupanga nyumba za galama hawajengi zao wasanii hawana hakiri si ungepanga nyumba ndogo ili mjenge yenu

  • @ikramalmas7039
    @ikramalmas7039 ปีที่แล้ว +2

    Hizo nywele sasa

  • @solangebagal149
    @solangebagal149 ปีที่แล้ว

    Ujinga mtupu,yani muna ona niraha kulipa iyo hela,wakatu wa tatizo ina zuwa gumzo,ohhh hamja changia msani mwenzenu😮

  • @mwana4599
    @mwana4599 ปีที่แล้ว +1

    Lulamba mrudia mke wako wa Kwanza.

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 8 หลายเดือนก่อน

    Nimependa mjengo kwandani nafasi kubwa mpaka jikoni

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 8 หลายเดือนก่อน

    mwili wenyewe mbovu alafu unakaa uchi

  • @zahra5267
    @zahra5267 10 หลายเดือนก่อน +2

    Decoration sifuri kabisa!!

    • @sarahmcharo1548
      @sarahmcharo1548 10 หลายเดือนก่อน

      kama akili zao tu ahhaha

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 ปีที่แล้ว

    Sasa pesa ambazo mnapanga majumba makubwa ivyo kwann msijipange ukusanye hizo pesa ujenge yako ? Àisee

  • @Lulualshagri
    @Lulualshagri ปีที่แล้ว +1

    Ujinga mtupu

  • @husnazahorohusna3905
    @husnazahorohusna3905 11 หลายเดือนก่อน

    Huyu mdada si yule jesca aliigizwa bwana wake lukamba danga lake single mtambalike au?

  • @ngwaleseif8586
    @ngwaleseif8586 9 หลายเดือนก่อน

    Huyu demu si uliigiza nae tamthiliya Moja?

  • @zahra5267
    @zahra5267 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee wa kulelewa

  • @everinamhagama2961
    @everinamhagama2961 9 หลายเดือนก่อน

    Mkiumwa mnaomba misahada ila wasanii mnamambo

  • @zenawahindi2425
    @zenawahindi2425 ปีที่แล้ว

    Mhhhhhhhh x hata kama one fling then mkaatemana huyu ni x maana mlikuwa na bond ila not strong bond

  • @MwarafiaAbdi
    @MwarafiaAbdi ปีที่แล้ว

    Yani nyumba unaishi wewe halafu hujui ina vyumba vingapi duuuh

  • @upendommbaga7070
    @upendommbaga7070 8 หลายเดือนก่อน

    Nani kasikia becon😂😂😂 badala ya balcony😂😂😂

  • @yahayatwaha2750
    @yahayatwaha2750 ปีที่แล้ว

    Usungo tu unaonyeshaj chumba cha mumeo hadharan

  • @angelmaige-yc5gb
    @angelmaige-yc5gb 11 หลายเดือนก่อน

    Kwa kifupi jumba wamepanga kubwa lakini halina maajabu kabsa halina vitu hata furniture za ma'an liko tupu

  • @NancyBrayan-wi2lr
    @NancyBrayan-wi2lr 10 หลายเดือนก่อน

    Mtafut mtu w decoration dad nyumb imepoa san

  • @Yunis-hn9hn
    @Yunis-hn9hn ปีที่แล้ว +2

    Huo mkao waliokaliana jamani😂😂😂

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 9 หลายเดือนก่อน

    Iyo hela analipa kws mwaka angejenga nyumba yake

  • @ummukulthummohd5403
    @ummukulthummohd5403 ปีที่แล้ว +3

    Uyu dada sjui kavaa nn 😢

  • @Ginna-i3v
    @Ginna-i3v 7 หลายเดือนก่อน

    Nyumba ina furniture 10 sijui

  • @NuruKilembuka
    @NuruKilembuka 7 หลายเดือนก่อน

    Xaxa mbona kama anajibebisha sana kwa salehe jaman

  • @rayaali7551
    @rayaali7551 6 หลายเดือนก่อน

    Mhhh nahilo tumbo lilivyo kukupepeta kwa chini mhhh AIBU wallaahi aati MKE WA LUKAMBA. NAHUYU LUKAMBA. HUWA HUBURUZA GIZANI HIVI VIJANAJIKEE ?

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 ปีที่แล้ว

    Sio yake wamepanga kwaiyo msitufoke ok si ajenge pesa mnatumia nyingi kwa nyumba za watu mngeweka si kwa mwaka unapata yako

  • @akiraaudreille6043
    @akiraaudreille6043 11 หลายเดือนก่อน

    naona Aibu apo mwisho ulivo mshika huyo mkaka duuu😮

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 ปีที่แล้ว

    Mkiumwa Muombe MICHANGO

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 10 หลายเดือนก่อน

    Siamin labda kwa ndg yake kaona afanyie interview

  • @dottomsuya6597
    @dottomsuya6597 9 หลายเดือนก่อน

    Hizi wanapewa bure wakae hana pesa hiyo

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 ปีที่แล้ว +2

    Akiumwa wanataka mchango lkn uongo ndio wao

    • @nassirmohamed8492
      @nassirmohamed8492 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😊

    • @kiatu
      @kiatu 9 หลายเดือนก่อน

      Mafanikio hawa vijana wanayo ila jambo hilo wengine hujisahau. Ni vizuri waandishi wa habari wawakumbushe kwa kuchomekea maswala bima ya maisha na funeral cover. Nchi za wenzetu(hasa southern African countries) husikii mambo ya michango. Sio maswali comfortable kuuliza lakini ndio hivyo.

  • @AbelMagava-uq8dz
    @AbelMagava-uq8dz 10 หลายเดือนก่อน

    Na kigodoro chake sura kengeza

  • @AgnethaKapinga
    @AgnethaKapinga ปีที่แล้ว

    Msisahau kuna mahatma wanatakiwa wasaidiwe mbwa nyie acheni uongo akiumwa mwezi wanaomba msaada

  • @mrsawadh5716
    @mrsawadh5716 ปีที่แล้ว +3

    Wigi la manyasi sijapenda kwa kweli

  • @bimkubwaali1605
    @bimkubwaali1605 ปีที่แล้ว +1

    ushambaaaaa😢😢hardd 😅😅

  • @MamodelPark
    @MamodelPark 9 หลายเดือนก่อน

    Hii nyumba mbn iko empty

  • @AishaFerous-jp8oq
    @AishaFerous-jp8oq 9 หลายเดือนก่อน

    Ila uyu dada tapeli wa mapenzi jaaamani.

  • @Mb0g0z
    @Mb0g0z ปีที่แล้ว +1

    Lukamba sijui anawatoa wap hawa wanawake 😅

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo ปีที่แล้ว

    Uyu demu aliachwa na ney wa mitego kwa umalaya

  • @SuraiyaAli-c6t
    @SuraiyaAli-c6t ปีที่แล้ว

    Haa wasanii asa hawana akili ee asa izo pesa c angejenga yak😅😂

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 ปีที่แล้ว +1

    Mwajuma ndala ndefu

  • @upendojames5378
    @upendojames5378 ปีที่แล้ว +2

    😂😂😂Alie ona kafrijii kadogo dogo Nani jamn

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar ปีที่แล้ว +2

    Sote ni Wa ALLAH na kwake tutarejea

    • @jamilfuad6847
      @jamilfuad6847 ปีที่แล้ว

      Aacha roho mbyq Nani asie jua atakufa

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt 9 หลายเดือนก่อน

      Mwisho yote kaburini ndo mwisho wa mwanadamu😥😥😥😥

  • @IreneMwenda-nl2hu
    @IreneMwenda-nl2hu ปีที่แล้ว

    Yan mjinga huy ela yot hiiii ameshindwa kujenga hiyoela sianapat kiwanja hata mbez bech

    • @stevensimon5642
      @stevensimon5642 ปีที่แล้ว

      Wapate wapi hiyo hela ya kulipia tokea lini wasanii wakawa na pesa hizo ni show of tu, anataka kushindana na mondi hawezi ,ukute analinda nyumba ya mtu

  • @Manswabu
    @Manswabu ปีที่แล้ว +1

    Ila uyu jamaa hajawahi kua na mwanamke mzuri hyuu😅

    • @maryrich
      @maryrich ปีที่แล้ว

      Kwn nyie amjui kuwa wanawake wabaya ndo watamu jmniii lukamba anataka utamu kuenjoy so kuoneshaa mwanamke mzurii😂😂😂

    • @tausimohammed4286
      @tausimohammed4286 10 หลายเดือนก่อน

      Wakaka wazuri wanakuwaga nashida gan sjui😂😂😂

  • @ashminaabdulla8946
    @ashminaabdulla8946 11 หลายเดือนก่อน

    Maana hamuna hata vitu alafu mnakaa kwenye horofa 🙄😜