Juice zinaletwa mkononi na si kwa trei? Maisha ya mastaar tuyaone tu kwenye mitandao tukimaliza kuangalia turudini kwenye maisha yetu ya furaha na amani
Lukamba umechemka wewe mtoto mzuri mashallah Kila mke unaemchukuwa wanashinda kwa ubovu chagua kitu watu wakufahamu sada hapo ukizaa mtoto unategemea nini labda akufate sura Yako na rangi mambo engine tizameni msiingie tu mitaroni
Hovyoooo, ametembea na ameshakitana na wengi na amepita nao wengi, sasa wewe unataka aoe slay qn baada ya mwezi ameachwa hauoni haji manara ameachwa na wake zake wote wawili na dula makabila ameoa mwanamke alieachwa ndani ya mwezi mmoja na yeye akamuoa akadumu nae mwezi mmoja ameachwa sasa yupo na manara na jamaa amenogewa ametangaza ndoa, sisi tunachoangalia ni utulivu wa mwanamke baasi uzuri kama mtaji basi mkanunue ndege mfanye biashara.
Yani hiyo pesa angeichsnga kwa miaka miwili tu angejenga nyumba yake nzuri zaidi ya hii kuliko kulipa million 36 Kwa mwaka kedho na keshokutwa mnaomba msaada kwa sisi masikin
Nyinyi wasaniii ni walimu wa sanaaa kwa uwongo mtu hutambi kama huna chako Sasa nyie mnakaa nyumba za kukodi maisha feki acheni kutia mambo yenu mitandaoni mtajifedhehesha bure
Ingekua yake tungecoment vizur na sio pango Baba mwenye nyumba Leo na kesho anakuja kukugongea Kwa kulipa Koddi yaan badala ya kupambania future yako unapambania kulipa Kodi mambo gn ayo
Yaan Wabongo izo ndio pigo zenu kutaka Maisha ya juu yaan unajiumiza ili tyu jamii ikuone Una Maisha flan achen kufake Maisha izo ela unazolipa apo ungejenga kwako au kwenu ingekuaje?? All in all Kila mtu na Maisha yake
Muache ujinga Kodi M3 kwani ukipanga Cha 50 Hadi laki' unapungukiwa nini hizo Hela simkusanye mjengo yenu' kwahiyo kwa Mwaka mnatoa M36*Miaka 3 Jml M78 hutapata nyumba
Wapate wapi hiyo hela ya kulipia tokea lini wasanii wakawa na pesa hizo ni show of tu, anataka kushindana na mondi hawezi ,ukute analinda nyumba ya mtu
Juice zinaletwa mkononi na si kwa trei? Maisha ya mastaar tuyaone tu kwenye mitandao tukimaliza kuangalia turudini kwenye maisha yetu ya furaha na amani
Kwan tray inaliwa pia?
Safii sana nyumba hatariii nzuri mnoo
Wakiumwa wanaanza kuomba michango! Wekezeni mali lukamba ni baba!! Anafikiri hazeeki eh shauriyoooo
Jaman Zamarad Tv boresheni Camera zenu maana hazina U Quality sana
Eti jiko na kitchen 😂😂😂 wabongo tunakazi mungu akuongoze uhenge uwache ufahari kimfacho mtu ni chake
Good life❤
Lukamba yuwaokota Mapokosh" wakimlea kumueka kisha akisha kosana nao wakae wakimbonga😂😂😂😂😂
Lukamba umechemka wewe mtoto mzuri mashallah Kila mke unaemchukuwa wanashinda kwa ubovu chagua kitu watu wakufahamu sada hapo ukizaa mtoto unategemea nini labda akufate sura Yako na rangi mambo engine tizameni msiingie tu mitaroni
Unaambiwa Lilia bahati,Sio uzuri.
Hovyoooo, ametembea na ameshakitana na wengi na amepita nao wengi, sasa wewe unataka aoe slay qn baada ya mwezi ameachwa hauoni haji manara ameachwa na wake zake wote wawili na dula makabila ameoa mwanamke alieachwa ndani ya mwezi mmoja na yeye akamuoa akadumu nae mwezi mmoja ameachwa sasa yupo na manara na jamaa amenogewa ametangaza ndoa, sisi tunachoangalia ni utulivu wa mwanamke baasi uzuri kama mtaji basi mkanunue ndege mfanye biashara.
Lukamba anapenda wanao weza kumlea
Yani hiyo pesa angeichsnga kwa miaka miwili tu angejenga nyumba yake nzuri zaidi ya hii kuliko kulipa million 36 Kwa mwaka kedho na keshokutwa mnaomba msaada kwa sisi masikin
milioni 36 mchezoo
Akili huwa hawana wanakalia ubishoo tu
labda kapewa alinde😂😂
Upo sahihi maneno yako na una kili sana2
@@sabihaibrahim143umeona eee wanalopokaga tu, angeipata hiyo wala asikuwa hapo
Hii ni nyumba ya huyu dada anaijua vizuri
Hapo ukienda kwenye account yake hana hata million. Hawa watu kwa maisha fake eeh Mungu
Kma happy wa sug sema happy sio chiz kma huy
Nyinyi wasaniii ni walimu wa sanaaa kwa uwongo mtu hutambi kama huna chako Sasa nyie mnakaa nyumba za kukodi maisha feki acheni kutia mambo yenu mitandaoni mtajifedhehesha bure
Wewe unaumia na nini Sasa hapo Kuna hela unampatia ya kuongezea Kodi?
Tatizo wakeshaanza na matatizo wanachangisha
Kumbe nyumba inaweza kua yako afu usijue vyumba viko vingapi mpaka ufikirie🤔
Halafu huyu lukamba wanawake zake anawatoa kimboka nini mmh😮 mbona hawaeleweki
😂😂😂
Hehehee kwakweli
Hahahah jamni
Mazingira tu yanaonyesha bado sana maisha naona kagari moja au mengine yameenda shopping ghorofa la kupanga au
We una magari mangapi?
Acha upuuz umepanga floo ya juu tuu hapo kuna walamgani 4 mboma sifs za kijongaa ww.mm mwenyew .naish hapa hapa
Kwaiyo ujaona pakuaa au😊😊😊
Demu ana kiherehere
ushambaaaaa😢😢hardd 😅😅
Mwenye nyumba hapo anaitazama 😂😂😂😂😂😂😂😂 anaogea na moyo
Anawaambia malizeni kisha mnipe kodi yangu 😂😂😂😂
Wanawake mnaendekeza zinaa hivo astaghfirullah kesho muwe tayari kuulizwa maswali na muumba wetu
Sio wanawake tu!!! Hata wanaume hawatanusurika siku hiyo
@@Lululemon55hapo umenena kwani mwanamke anajifanya mwenyewe, yaani wanaume wanatuonaga sisi ni malaya sana utafikiri tunajifanyaga wenyewe
Mwajuma ndala ndefu
Nyumba ya dada uyo maana anaijua kuliko lukamba alafu lukamba hajiamini😂
lukamba ana lelewa😂
Mwanamke ndo Ana hela hapo
Kweli huyu dada mja mzito
Mbona kma sio kwake yn the way anavyomuonyesha kma sehem hazijui vzr
😂😂😂😂😂 kweli
Watangazaji wanachekaga tuh😅😅😅😅
Mwana ana mvuto jaman lukamba uwaga ukitongza unavumbga macho au😂😂
Nani kasikia becon😂😂😂 badala ya balcony😂😂😂
Wasanii bwana😂😂😂😂😂
Wigi la kijani khaaa😂😂😂
Ni vile tu mambo ya mjini ila dada ana ka u wife Material flani hivi......... amelelewa kiasi
Hongera lukamba ..ingawa kuna Roho za korosho hawazezi Hata kukupa hongera zako .
Roho za korosho wapi wewe!! Yaani roho ya korosho Kisa kuolewa ndio watu wamuonee wivu!!! Tchaaaa
kwasababu pia ni usanii na uongo mtupu
Kweli bwana hongera zake kwakutokua namahesabu
Alafu huyu dem sindoameshoot nae ile move ya azam tv jeraha au macho yangu
Ndy
Ndo yeye huyoooo😅😅😅😅😅
Jesca wa jaraha
Dada amekauka km mimi😂😂
Hana akiri uyo😅😅😅😂
Xaxa mbona kama anajibebisha sana kwa salehe jaman
Mm nilijua jumbo Lao!!!
Nimependa kumuona Harmonize kwa TV na miss Bantu😅😅😅😅 mambo ya kodi ya mil 36 kwa mwaka hayanihusu. Uwezo wao wenyewe 😅
😂😂😂😂😂
Beconi wangap mmesikia kama Mimi gonga like😂
Mbona wasanii wa b ongo wanaigiza ma isha sana yani
Mbona kama imesimama😂😊
Nyumb kubwa haina furniture bora ungepangisha nyumba ya kawaida
Ona kafriji jmn😂
Yani daaa wanatakaga kutupa Dhabi tu
cha ajabu mama yake anaishi kwenye pagala pale uvinza😂😂😂😂😂😂😂
Muongo mamaee🤣🤣
Huo muwigi kama jini kash kash fyuuu hovyoooo
Decoration sifuri kabisa!!
kama akili zao tu ahhaha
Nimechek na uyo dada
Samahi huyo dada mbn anamuegemea mtangazaji hivyo?kwa mumewe huyo mbn unakua huru kiasi hicho
Wigi mweeee 😂
watanzania acheni wivuwamaendeleo kukomenti vibaya nidhambi.
Ingekua yake tungecoment vizur na sio pango Baba mwenye nyumba Leo na kesho anakuja kukugongea Kwa kulipa Koddi yaan badala ya kupambania future yako unapambania kulipa Kodi mambo gn ayo
Camera mbovu sana jamani
Haa wasanii asa hawana akili ee asa izo pesa c angejenga yak😅😂
Kwanini usinjenge gholofa lako,hizo pesa unazolipa nyingi sana mbona unapata nyumba hata 3.Duh.
Hizo nywele sasa
naona Aibu apo mwisho ulivo mshika huyo mkaka duuu😮
Bongo kwa kujie ekti izo nywele 😂😂
Hiyo pesa ni bora ajenge
Weee acha kujishaua eti nani anavaa nywele ya millon moja,, weee zipo sana tena OG. zinavaliwa vzr tu.
Mama kijacho Ndio anaitwa nani
Wigi la manyasi sijapenda kwa kweli
Jmn khaa 🤣🤣🤣
😂😂😂
😂😂
Iyo hela analipa kws mwaka angejenga nyumba yake
Mtafut mtu w decoration dad nyumb imepoa san
Nyumba ina furniture 10 sijui
Mke wa mtu ameshika paja la mtangazaji kweli 😅😅😅 alafu million hizo zote bora upange Kanyuma tu pesa ujengee😅😅
Huo mkao waliokaliana jamani😂😂😂
😂😂😂
Maana hamuna hata vitu alafu mnakaa kwenye horofa 🙄😜
Uyu dada sjui kavaa nn 😢
Kituko 😂😂
Ila uyu dada kachemcha katuvalia nguo ya club home .
😂yaani nilitaka niseme ivyo ata ajapendeza angevaa dira tu kwani angeonekanaje jamani
Kakodisha kwa mda gani😮
Hizi wanapewa bure wakae hana pesa hiyo
Wasenge hao
Najiulizaga lukamba ni mzuri kuliko wanaake zake kwakweli anapendaga kuchukua namba A
Duuh na A ndio nini 😂😂😂
Hahaaa😂😂😂
😂😂😂😂😂😂Wooyii
Kumbe yale mapenz ya jeraha yamekuwa kweli
@@user-fz8cq4ff6itulijua wanadanganya kumbe kweli
Kwa kifupi jumba wamepanga kubwa lakini halina maajabu kabsa halina vitu hata furniture za ma'an liko tupu
Kunajiko na kitchen!!!!kazi ipo mwaka huu!!!!
😂😂😂😂😂😂😂
Limwanamke libaya
Yani nunueni furniture jmn mnatia aibu
Nguo uliovaa sio ya nyumbani. Mshambarera sana. Wigi mmmh halijakuvaa umelivaa tu wewe
Mzee wa kulelewa
Hii niabu mtuu hujuwi kwako kuna vyumba ngapi
Umasikini huwa tunautaka yani iyo hela angejenga au kununua nyumba maana uwezo anao dah ujiga mwig
Yaan Wabongo izo ndio pigo zenu kutaka Maisha ya juu yaan unajiumiza ili tyu jamii ikuone Una Maisha flan achen kufake Maisha izo ela unazolipa apo ungejenga kwako au kwenu ingekuaje?? All in all Kila mtu na Maisha yake
Amna kitu
Daaah imbomboo ngafuuu
hahaha wigi la huyo dada kama spika wa bunge la zamani
😂😂😂😂😂 wewe ni fala
Milonjo hiyo
Watu wanapenda kupanga nyumba za galama hawajengi zao wasanii hawana hakiri si ungepanga nyumba ndogo ili mjenge yenu
pazuri hongera zenu jamani chumba kama nyumba zima huku kwetu
😢😢😢😢😢 Hyanihusu lakin yananiuma
Sifa nyingine bwana. Unapanga halafu unajisifu una akili. Hiyo hela sitayari angekua Na nyumba yake
@@rehemakimambo5363mm nika juwakwake 😂
Ila uyu dada tapeli wa mapenzi jaaamani.
Mhhhhhhhh x hata kama one fling then mkaatemana huyu ni x maana mlikuwa na bond ila not strong bond
Muache ujinga Kodi M3 kwani ukipanga Cha 50 Hadi laki' unapungukiwa nini hizo Hela simkusanye mjengo yenu' kwahiyo kwa Mwaka mnatoa M36*Miaka 3 Jml M78 hutapata nyumba
Mkiumwa Muombe MICHANGO
Yan mjinga huy ela yot hiiii ameshindwa kujenga hiyoela sianapat kiwanja hata mbez bech
Wapate wapi hiyo hela ya kulipia tokea lini wasanii wakawa na pesa hizo ni show of tu, anataka kushindana na mondi hawezi ,ukute analinda nyumba ya mtu
Huyu demu si uliigiza nae tamthiliya Moja?
Huyu mdada si yule jesca aliigizwa bwana wake lukamba danga lake single mtambalike au?
Sio yake wamepanga kwaiyo msitufoke ok si ajenge pesa mnatumia nyingi kwa nyumba za watu mngeweka si kwa mwaka unapata yako
Na kigodoro chake sura kengeza