Juice zinaletwa mkononi na si kwa trei? Maisha ya mastaar tuyaone tu kwenye mitandao tukimaliza kuangalia turudini kwenye maisha yetu ya furaha na amani
Yani hiyo pesa angeichsnga kwa miaka miwili tu angejenga nyumba yake nzuri zaidi ya hii kuliko kulipa million 36 Kwa mwaka kedho na keshokutwa mnaomba msaada kwa sisi masikin
Ingekua yake tungecoment vizur na sio pango Baba mwenye nyumba Leo na kesho anakuja kukugongea Kwa kulipa Koddi yaan badala ya kupambania future yako unapambania kulipa Kodi mambo gn ayo
Nyinyi wasaniii ni walimu wa sanaaa kwa uwongo mtu hutambi kama huna chako Sasa nyie mnakaa nyumba za kukodi maisha feki acheni kutia mambo yenu mitandaoni mtajifedhehesha bure
Yaan Wabongo izo ndio pigo zenu kutaka Maisha ya juu yaan unajiumiza ili tyu jamii ikuone Una Maisha flan achen kufake Maisha izo ela unazolipa apo ungejenga kwako au kwenu ingekuaje?? All in all Kila mtu na Maisha yake
HUYU MKEEE AUU MKEKAA ? MAANA HUVYO ALIVYO JILETA HAPO KULETA HUYO JUICE MHH. YAANA KAMA KAJA HAPO KUJIUZA YAARABY ATUSITIR. NA MIKAHANA HAWA. HIVYO KUJILETA MBELE YA MWANAUME UTUPU NAMNA HIVYO. NA MBELE YA MUMEOO AATI MUME NA MKE 🙆🏻♀️🙆🏻♀️🙆🏻♀️
Mwanamme huyu ? Siamini kama mwanamme hebu kijana tafuta kiwanja ujenge pili mwanamme wa kweli hashindani na mwanamke public acha usenge unatutia aibu wanaume wenzio
umpongeze kwa nyumba ya kupanga!?? haiwezekani ajenge ya kwake .hivi!!? anajitambua kweli? wazazi wake nao kawapangishia? hebu acha ujinga huo jenga yako wanao wajivunie, faraja kwenye nyumba ya kupanga !!.
Lukamba umechemka wewe mtoto mzuri mashallah Kila mke unaemchukuwa wanashinda kwa ubovu chagua kitu watu wakufahamu sada hapo ukizaa mtoto unategemea nini labda akufate sura Yako na rangi mambo engine tizameni msiingie tu mitaroni
Hovyoooo, ametembea na ameshakitana na wengi na amepita nao wengi, sasa wewe unataka aoe slay qn baada ya mwezi ameachwa hauoni haji manara ameachwa na wake zake wote wawili na dula makabila ameoa mwanamke alieachwa ndani ya mwezi mmoja na yeye akamuoa akadumu nae mwezi mmoja ameachwa sasa yupo na manara na jamaa amenogewa ametangaza ndoa, sisi tunachoangalia ni utulivu wa mwanamke baasi uzuri kama mtaji basi mkanunue ndege mfanye biashara.
Muache ujinga Kodi M3 kwani ukipanga Cha 50 Hadi laki' unapungukiwa nini hizo Hela simkusanye mjengo yenu' kwahiyo kwa Mwaka mnatoa M36*Miaka 3 Jml M78 hutapata nyumba
Mafanikio hawa vijana wanayo ila jambo hilo wengine hujisahau. Ni vizuri waandishi wa habari wawakumbushe kwa kuchomekea maswala bima ya maisha na funeral cover. Nchi za wenzetu(hasa southern African countries) husikii mambo ya michango. Sio maswali comfortable kuuliza lakini ndio hivyo.
Wapate wapi hiyo hela ya kulipia tokea lini wasanii wakawa na pesa hizo ni show of tu, anataka kushindana na mondi hawezi ,ukute analinda nyumba ya mtu
Juice zinaletwa mkononi na si kwa trei? Maisha ya mastaar tuyaone tu kwenye mitandao tukimaliza kuangalia turudini kwenye maisha yetu ya furaha na amani
Kwan tray inaliwa pia?
Wakiumwa wanaanza kuomba michango! Wekezeni mali lukamba ni baba!! Anafikiri hazeeki eh shauriyoooo
Unalipa kod hujui nyumba ina nini na nini eti jiko sijui kitchen 😂
Hapo ukienda kwenye account yake hana hata million. Hawa watu kwa maisha fake eeh Mungu
Ni vile tu mambo ya mjini ila dada ana ka u wife Material flani hivi......... amelelewa kiasi
Yani hiyo pesa angeichsnga kwa miaka miwili tu angejenga nyumba yake nzuri zaidi ya hii kuliko kulipa million 36 Kwa mwaka kedho na keshokutwa mnaomba msaada kwa sisi masikin
milioni 36 mchezoo
Akili huwa hawana wanakalia ubishoo tu
labda kapewa alinde😂😂
Upo sahihi maneno yako na una kili sana2
@@sabihaibrahim143umeona eee wanalopokaga tu, angeipata hiyo wala asikuwa hapo
Jaman Zamarad Tv boresheni Camera zenu maana hazina U Quality sana
Acha upuuz umepanga floo ya juu tuu hapo kuna walamgani 4 mboma sifs za kijongaa ww.mm mwenyew .naish hapa hapa
Mwana ana mvuto jaman lukamba uwaga ukitongza unavumbga macho au😂😂
Samahi huyo dada mbn anamuegemea mtangazaji hivyo?kwa mumewe huyo mbn unakua huru kiasi hicho
Wanawake mnaendekeza zinaa hivo astaghfirullah kesho muwe tayari kuulizwa maswali na muumba wetu
Sio wanawake tu!!! Hata wanaume hawatanusurika siku hiyo
@@Lululemon55hapo umenena kwani mwanamke anajifanya mwenyewe, yaani wanaume wanatuonaga sisi ni malaya sana utafikiri tunajifanyaga wenyewe
watanzania acheni wivuwamaendeleo kukomenti vibaya nidhambi.
Ingekua yake tungecoment vizur na sio pango Baba mwenye nyumba Leo na kesho anakuja kukugongea Kwa kulipa Koddi yaan badala ya kupambania future yako unapambania kulipa Kodi mambo gn ayo
Nyinyi wasaniii ni walimu wa sanaaa kwa uwongo mtu hutambi kama huna chako Sasa nyie mnakaa nyumba za kukodi maisha feki acheni kutia mambo yenu mitandaoni mtajifedhehesha bure
Wewe unaumia na nini Sasa hapo Kuna hela unampatia ya kuongezea Kodi?
Tatizo wakeshaanza na matatizo wanachangisha
Kumbe nyumba inaweza kua yako afu usijue vyumba viko vingapi mpaka ufikirie🤔
Eti jiko na kitchen 😂😂😂 wabongo tunakazi mungu akuongoze uhenge uwache ufahari kimfacho mtu ni chake
Mwenye nyumba hapo anaitazama 😂😂😂😂😂😂😂😂 anaogea na moyo
Anawaambia malizeni kisha mnipe kodi yangu 😂😂😂😂
Kma happy wa sug sema happy sio chiz kma huy
Yaan Wabongo izo ndio pigo zenu kutaka Maisha ya juu yaan unajiumiza ili tyu jamii ikuone Una Maisha flan achen kufake Maisha izo ela unazolipa apo ungejenga kwako au kwenu ingekuaje?? All in all Kila mtu na Maisha yake
Lukamba yuwaokota Mapokosh" wakimlea kumueka kisha akisha kosana nao wakae wakimbonga😂😂😂😂😂
Kumshika uko kwiyoo
Huo muwigi kama jini kash kash fyuuu hovyoooo
Alafu huyu dem sindoameshoot nae ile move ya azam tv jeraha au macho yangu
Ndy
Ndo yeye huyoooo😅😅😅😅😅
Jesca wa jaraha
Wakiumwa wanataka mchango saizi wanaonekana mastaa chamana mwisho wakiumwa mchango wanataka..
HUYU MKEEE AUU MKEKAA ? MAANA HUVYO ALIVYO JILETA HAPO KULETA HUYO JUICE MHH. YAANA KAMA KAJA HAPO KUJIUZA YAARABY ATUSITIR. NA MIKAHANA HAWA. HIVYO KUJILETA MBELE YA MWANAUME UTUPU NAMNA HIVYO. NA MBELE YA MUMEOO AATI MUME NA MKE 🙆🏻♀️🙆🏻♀️🙆🏻♀️
Mazingira tu yanaonyesha bado sana maisha naona kagari moja au mengine yameenda shopping ghorofa la kupanga au
We una magari mangapi?
Limwanamke libaya
Ona kafriji jmn😂
Nyumb kubwa haina furniture bora ungepangisha nyumba ya kawaida
Mwanamke ndo Ana hela hapo
Nimependa kumuona Harmonize kwa TV na miss Bantu😅😅😅😅 mambo ya kodi ya mil 36 kwa mwaka hayanihusu. Uwezo wao wenyewe 😅
😂😂😂😂😂
Halafu huyu lukamba wanawake zake anawatoa kimboka nini mmh😮 mbona hawaeleweki
😂😂😂
Hehehee kwakweli
Hahahah jamni
Mwanamme huyu ? Siamini kama mwanamme hebu kijana tafuta kiwanja ujenge pili mwanamme wa kweli hashindani na mwanamke public acha usenge unatutia aibu wanaume wenzio
Milion 36 tunajenga nyumba kubwa tu tatzo napenda Kiki na misifa, mkiumwa ananza. Kutaka mchango, 😢nyooooooo kufen tu akuna mchango mpumbavu
Hahaha
Kwetu lugoba unapata eneo milioni 4
@@RacherBakari-qh2gx haswaaa
umpongeze kwa nyumba ya kupanga!?? haiwezekani ajenge ya kwake .hivi!!? anajitambua kweli? wazazi wake nao kawapangishia? hebu acha ujinga huo jenga yako wanao wajivunie, faraja kwenye nyumba ya kupanga !!.
Lukamba umechemka wewe mtoto mzuri mashallah Kila mke unaemchukuwa wanashinda kwa ubovu chagua kitu watu wakufahamu sada hapo ukizaa mtoto unategemea nini labda akufate sura Yako na rangi mambo engine tizameni msiingie tu mitaroni
Unaambiwa Lilia bahati,Sio uzuri.
Hovyoooo, ametembea na ameshakitana na wengi na amepita nao wengi, sasa wewe unataka aoe slay qn baada ya mwezi ameachwa hauoni haji manara ameachwa na wake zake wote wawili na dula makabila ameoa mwanamke alieachwa ndani ya mwezi mmoja na yeye akamuoa akadumu nae mwezi mmoja ameachwa sasa yupo na manara na jamaa amenogewa ametangaza ndoa, sisi tunachoangalia ni utulivu wa mwanamke baasi uzuri kama mtaji basi mkanunue ndege mfanye biashara.
Lukamba anapenda wanao weza kumlea
Beconi wangap mmesikia kama Mimi gonga like😂
Mke wa mtu ameshika paja la mtangazaji kweli 😅😅😅 alafu million hizo zote bora upange Kanyuma tu pesa ujengee😅😅
Demu ana kiherehere
Kwanini usinjenge gholofa lako,hizo pesa unazolipa nyingi sana mbona unapata nyumba hata 3.Duh.
Nguo uliovaa sio ya nyumbani. Mshambarera sana. Wigi mmmh halijakuvaa umelivaa tu wewe
cha ajabu mama yake anaishi kwenye pagala pale uvinza😂😂😂😂😂😂😂
Safii sana nyumba hatariii nzuri mnoo
Huyu jamaaa muongo haiwezekani nyumba yake alafu hajuw kuna vyumba vingapi
Ila uyu dada kachemcha katuvalia nguo ya club home .
😂yaani nilitaka niseme ivyo ata ajapendeza angevaa dira tu kwani angeonekanaje jamani
Lukamba anapenda kuokota okota nae kah
Banae dah huyu vimbi labda hanaueezo wakutongoza warembo
😂😂😂
Uozo
Kwakwer kbaya kdada 😂😂
Fake life hujuw ata itadi ya room so iyo house sio yako 😁😁😁😁 mweny nyumbaa ajuw nyumbaa yake 😀😀🛑
Muongo huyo mwanamke ndiyo kapanga hapo na amesema mwenyewe anataka wanawake wenye pesa tu
Mbona kma sio kwake yn the way anavyomuonyesha kma sehem hazijui vzr
😂😂😂😂😂 kweli
Umasikini huwa tunautaka yani iyo hela angejenga au kununua nyumba maana uwezo anao dah ujiga mwig
Hii ni nyumba ya huyu dada anaijua vizuri
Muongo mamaee🤣🤣
Jenga nyie... wacha kumpa mtu na uwezo unao
Muache ujinga Kodi M3 kwani ukipanga Cha 50 Hadi laki' unapungukiwa nini hizo Hela simkusanye mjengo yenu' kwahiyo kwa Mwaka mnatoa M36*Miaka 3 Jml M78 hutapata nyumba
Hii niabu mtuu hujuwi kwako kuna vyumba ngapi
Watangazaji wanachekaga tuh😅😅😅😅
Watu wanapenda kupanga nyumba za galama hawajengi zao wasanii hawana hakiri si ungepanga nyumba ndogo ili mjenge yenu
Hizo nywele sasa
Ujinga mtupu,yani muna ona niraha kulipa iyo hela,wakatu wa tatizo ina zuwa gumzo,ohhh hamja changia msani mwenzenu😮
Lulamba mrudia mke wako wa Kwanza.
Nimependa mjengo kwandani nafasi kubwa mpaka jikoni
mwili wenyewe mbovu alafu unakaa uchi
Decoration sifuri kabisa!!
kama akili zao tu ahhaha
Sasa pesa ambazo mnapanga majumba makubwa ivyo kwann msijipange ukusanye hizo pesa ujenge yako ? Àisee
Ujinga mtupu
Huyu mdada si yule jesca aliigizwa bwana wake lukamba danga lake single mtambalike au?
Huyu demu si uliigiza nae tamthiliya Moja?
Mzee wa kulelewa
Mkiumwa mnaomba misahada ila wasanii mnamambo
Mhhhhhhhh x hata kama one fling then mkaatemana huyu ni x maana mlikuwa na bond ila not strong bond
Yani nyumba unaishi wewe halafu hujui ina vyumba vingapi duuuh
Nani kasikia becon😂😂😂 badala ya balcony😂😂😂
Usungo tu unaonyeshaj chumba cha mumeo hadharan
Kwa kifupi jumba wamepanga kubwa lakini halina maajabu kabsa halina vitu hata furniture za ma'an liko tupu
Mtafut mtu w decoration dad nyumb imepoa san
Huo mkao waliokaliana jamani😂😂😂
😂😂😂
Iyo hela analipa kws mwaka angejenga nyumba yake
Uyu dada sjui kavaa nn 😢
Kituko 😂😂
Nyumba ina furniture 10 sijui
Xaxa mbona kama anajibebisha sana kwa salehe jaman
Mhhh nahilo tumbo lilivyo kukupepeta kwa chini mhhh AIBU wallaahi aati MKE WA LUKAMBA. NAHUYU LUKAMBA. HUWA HUBURUZA GIZANI HIVI VIJANAJIKEE ?
Sio yake wamepanga kwaiyo msitufoke ok si ajenge pesa mnatumia nyingi kwa nyumba za watu mngeweka si kwa mwaka unapata yako
naona Aibu apo mwisho ulivo mshika huyo mkaka duuu😮
Mkiumwa Muombe MICHANGO
Siamin labda kwa ndg yake kaona afanyie interview
Hizi wanapewa bure wakae hana pesa hiyo
Akiumwa wanataka mchango lkn uongo ndio wao
😂😂😂😊
Mafanikio hawa vijana wanayo ila jambo hilo wengine hujisahau. Ni vizuri waandishi wa habari wawakumbushe kwa kuchomekea maswala bima ya maisha na funeral cover. Nchi za wenzetu(hasa southern African countries) husikii mambo ya michango. Sio maswali comfortable kuuliza lakini ndio hivyo.
Na kigodoro chake sura kengeza
Msisahau kuna mahatma wanatakiwa wasaidiwe mbwa nyie acheni uongo akiumwa mwezi wanaomba msaada
Wigi la manyasi sijapenda kwa kweli
Jmn khaa 🤣🤣🤣
😂😂😂
😂😂
ushambaaaaa😢😢hardd 😅😅
Hii nyumba mbn iko empty
Ila uyu dada tapeli wa mapenzi jaaamani.
Lukamba sijui anawatoa wap hawa wanawake 😅
Aaaaaaniiiii
Uyu demu aliachwa na ney wa mitego kwa umalaya
Haa wasanii asa hawana akili ee asa izo pesa c angejenga yak😅😂
Mwajuma ndala ndefu
😂😂😂Alie ona kafrijii kadogo dogo Nani jamn
Kma vya motels 😂
Ghorofa kubwa vitu hawanaaa
Sote ni Wa ALLAH na kwake tutarejea
Aacha roho mbyq Nani asie jua atakufa
Mwisho yote kaburini ndo mwisho wa mwanadamu😥😥😥😥
Yan mjinga huy ela yot hiiii ameshindwa kujenga hiyoela sianapat kiwanja hata mbez bech
Wapate wapi hiyo hela ya kulipia tokea lini wasanii wakawa na pesa hizo ni show of tu, anataka kushindana na mondi hawezi ,ukute analinda nyumba ya mtu
Ila uyu jamaa hajawahi kua na mwanamke mzuri hyuu😅
Kwn nyie amjui kuwa wanawake wabaya ndo watamu jmniii lukamba anataka utamu kuenjoy so kuoneshaa mwanamke mzurii😂😂😂
Wakaka wazuri wanakuwaga nashida gan sjui😂😂😂
Maana hamuna hata vitu alafu mnakaa kwenye horofa 🙄😜