LUKAMBA ANAISHI KAMA MFALME GHOROFA LAKE KAMA HEKALU/ANALIPA MILIONI 36 KWA MWAKA -

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ส.ค. 2023
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" TH-cam channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi #showbizz
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 262

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous1636 9 หลายเดือนก่อน +19

    Juice zinaletwa mkononi na si kwa trei? Maisha ya mastaar tuyaone tu kwenye mitandao tukimaliza kuangalia turudini kwenye maisha yetu ya furaha na amani

    • @Noah-zt5zf
      @Noah-zt5zf 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kwan tray inaliwa pia?

  • @lisauroble31
    @lisauroble31 3 หลายเดือนก่อน +1

    Safii sana nyumba hatariii nzuri mnoo

  • @tikaeddie7284
    @tikaeddie7284 8 หลายเดือนก่อน +7

    Wakiumwa wanaanza kuomba michango! Wekezeni mali lukamba ni baba!! Anafikiri hazeeki eh shauriyoooo

  • @user-ml9yi5sd6o
    @user-ml9yi5sd6o 8 หลายเดือนก่อน +4

    Jaman Zamarad Tv boresheni Camera zenu maana hazina U Quality sana

  • @husnaameen9309
    @husnaameen9309 9 หลายเดือนก่อน +4

    Eti jiko na kitchen 😂😂😂 wabongo tunakazi mungu akuongoze uhenge uwache ufahari kimfacho mtu ni chake

  • @christinatemba
    @christinatemba 9 หลายเดือนก่อน +2

    Good life❤

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul3212 9 หลายเดือนก่อน +3

    Lukamba yuwaokota Mapokosh" wakimlea kumueka kisha akisha kosana nao wakae wakimbonga😂😂😂😂😂

  • @wahidaabeid5712
    @wahidaabeid5712 9 หลายเดือนก่อน +5

    Lukamba umechemka wewe mtoto mzuri mashallah Kila mke unaemchukuwa wanashinda kwa ubovu chagua kitu watu wakufahamu sada hapo ukizaa mtoto unategemea nini labda akufate sura Yako na rangi mambo engine tizameni msiingie tu mitaroni

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz 9 หลายเดือนก่อน +2

      Unaambiwa Lilia bahati,Sio uzuri.

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 5 หลายเดือนก่อน

      Hovyoooo, ametembea na ameshakitana na wengi na amepita nao wengi, sasa wewe unataka aoe slay qn baada ya mwezi ameachwa hauoni haji manara ameachwa na wake zake wote wawili na dula makabila ameoa mwanamke alieachwa ndani ya mwezi mmoja na yeye akamuoa akadumu nae mwezi mmoja ameachwa sasa yupo na manara na jamaa amenogewa ametangaza ndoa, sisi tunachoangalia ni utulivu wa mwanamke baasi uzuri kama mtaji basi mkanunue ndege mfanye biashara.

    • @salmabasil385
      @salmabasil385 5 หลายเดือนก่อน

      Lukamba anapenda wanao weza kumlea

  • @husnaameen9309
    @husnaameen9309 9 หลายเดือนก่อน +48

    Yani hiyo pesa angeichsnga kwa miaka miwili tu angejenga nyumba yake nzuri zaidi ya hii kuliko kulipa million 36 Kwa mwaka kedho na keshokutwa mnaomba msaada kwa sisi masikin

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 9 หลายเดือนก่อน +3

      milioni 36 mchezoo

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 9 หลายเดือนก่อน +5

      Akili huwa hawana wanakalia ubishoo tu

    • @modycombo7421
      @modycombo7421 9 หลายเดือนก่อน +3

      labda kapewa alinde😂😂

    • @binaljabirmshihirzanzibar8369
      @binaljabirmshihirzanzibar8369 9 หลายเดือนก่อน +1

      Upo sahihi maneno yako na una kili sana2

    • @stevensimon5642
      @stevensimon5642 9 หลายเดือนก่อน

      @@sabihaibrahim143umeona eee wanalopokaga tu, angeipata hiyo wala asikuwa hapo

  • @hamisahamisa5896
    @hamisahamisa5896 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hii ni nyumba ya huyu dada anaijua vizuri

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 8 หลายเดือนก่อน +7

    Hapo ukienda kwenye account yake hana hata million. Hawa watu kwa maisha fake eeh Mungu

  • @NancyBrayan-wi2lr
    @NancyBrayan-wi2lr 6 หลายเดือนก่อน +2

    Kma happy wa sug sema happy sio chiz kma huy

  • @wahidaabeid5712
    @wahidaabeid5712 9 หลายเดือนก่อน +8

    Nyinyi wasaniii ni walimu wa sanaaa kwa uwongo mtu hutambi kama huna chako Sasa nyie mnakaa nyumba za kukodi maisha feki acheni kutia mambo yenu mitandaoni mtajifedhehesha bure

    • @Ndiminijunior
      @Ndiminijunior 9 หลายเดือนก่อน

      Wewe unaumia na nini Sasa hapo Kuna hela unampatia ya kuongezea Kodi?

    • @babiddi8620
      @babiddi8620 9 หลายเดือนก่อน +1

      Tatizo wakeshaanza na matatizo wanachangisha

    • @joycechaz2840
      @joycechaz2840 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kumbe nyumba inaweza kua yako afu usijue vyumba viko vingapi mpaka ufikirie🤔

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q 9 หลายเดือนก่อน +6

    Halafu huyu lukamba wanawake zake anawatoa kimboka nini mmh😮 mbona hawaeleweki

  • @user-qb3hx2ku9v
    @user-qb3hx2ku9v 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mazingira tu yanaonyesha bado sana maisha naona kagari moja au mengine yameenda shopping ghorofa la kupanga au

    • @mypsychology185
      @mypsychology185 3 หลายเดือนก่อน

      We una magari mangapi?

  • @user-ky7mz7qh1o
    @user-ky7mz7qh1o 3 หลายเดือนก่อน +1

    Acha upuuz umepanga floo ya juu tuu hapo kuna walamgani 4 mboma sifs za kijongaa ww.mm mwenyew .naish hapa hapa

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 5 หลายเดือนก่อน

    Kwaiyo ujaona pakuaa au😊😊😊

  • @aishamossile6336
    @aishamossile6336 9 หลายเดือนก่อน +3

    Demu ana kiherehere

  • @bimkubwaali1605
    @bimkubwaali1605 9 หลายเดือนก่อน +1

    ushambaaaaa😢😢hardd 😅😅

  • @hamisahamisa5896
    @hamisahamisa5896 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mwenye nyumba hapo anaitazama 😂😂😂😂😂😂😂😂 anaogea na moyo

    • @abdillahrashidnassor7973
      @abdillahrashidnassor7973 4 หลายเดือนก่อน

      Anawaambia malizeni kisha mnipe kodi yangu 😂😂😂😂

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 9 หลายเดือนก่อน +6

    Wanawake mnaendekeza zinaa hivo astaghfirullah kesho muwe tayari kuulizwa maswali na muumba wetu

    • @Lululemon55
      @Lululemon55 9 หลายเดือนก่อน +7

      Sio wanawake tu!!! Hata wanaume hawatanusurika siku hiyo

    • @stevensimon5642
      @stevensimon5642 9 หลายเดือนก่อน +4

      @@Lululemon55hapo umenena kwani mwanamke anajifanya mwenyewe, yaani wanaume wanatuonaga sisi ni malaya sana utafikiri tunajifanyaga wenyewe

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mwajuma ndala ndefu

  • @bigthedon2021
    @bigthedon2021 9 หลายเดือนก่อน +5

    Nyumba ya dada uyo maana anaijua kuliko lukamba alafu lukamba hajiamini😂

  • @kerryestomic8099
    @kerryestomic8099 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mwanamke ndo Ana hela hapo

  • @hamisahamisa5896
    @hamisahamisa5896 5 หลายเดือนก่อน

    Kweli huyu dada mja mzito

  • @NaseebMgono-wl3bu
    @NaseebMgono-wl3bu 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona kma sio kwake yn the way anavyomuonyesha kma sehem hazijui vzr

    • @barakatabdul3212
      @barakatabdul3212 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂 kweli

  • @user-bj8gi2hn4l
    @user-bj8gi2hn4l 9 หลายเดือนก่อน +1

    Watangazaji wanachekaga tuh😅😅😅😅

  • @user-jk3or1xw2d
    @user-jk3or1xw2d 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mwana ana mvuto jaman lukamba uwaga ukitongza unavumbga macho au😂😂

  • @upendommbaga7070
    @upendommbaga7070 4 หลายเดือนก่อน

    Nani kasikia becon😂😂😂 badala ya balcony😂😂😂

  • @ndrwdotts4347
    @ndrwdotts4347 9 หลายเดือนก่อน

    Wasanii bwana😂😂😂😂😂

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 2 หลายเดือนก่อน

    Wigi la kijani khaaa😂😂😂

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid3743 6 หลายเดือนก่อน +4

    Ni vile tu mambo ya mjini ila dada ana ka u wife Material flani hivi......... amelelewa kiasi

  • @hasani565
    @hasani565 9 หลายเดือนก่อน +8

    Hongera lukamba ..ingawa kuna Roho za korosho hawazezi Hata kukupa hongera zako .

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz 7 หลายเดือนก่อน

      Roho za korosho wapi wewe!! Yaani roho ya korosho Kisa kuolewa ndio watu wamuonee wivu!!! Tchaaaa

    • @sarahmcharo1548
      @sarahmcharo1548 6 หลายเดือนก่อน +1

      kwasababu pia ni usanii na uongo mtupu

    • @rosemarykipesha4242
      @rosemarykipesha4242 6 หลายเดือนก่อน

      Kweli bwana hongera zake kwakutokua namahesabu

  • @zenachuo2963
    @zenachuo2963 9 หลายเดือนก่อน +4

    Alafu huyu dem sindoameshoot nae ile move ya azam tv jeraha au macho yangu

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 2 หลายเดือนก่อน

    Dada amekauka km mimi😂😂

  • @5Multpurpose
    @5Multpurpose 9 หลายเดือนก่อน

    Hana akiri uyo😅😅😅😂

  • @user-jy8hi7lf4m
    @user-jy8hi7lf4m 3 หลายเดือนก่อน

    Xaxa mbona kama anajibebisha sana kwa salehe jaman

  • @hidayadaymiss4386
    @hidayadaymiss4386 8 หลายเดือนก่อน

    Mm nilijua jumbo Lao!!!

  • @pilimwanza8117
    @pilimwanza8117 9 หลายเดือนก่อน +3

    Nimependa kumuona Harmonize kwa TV na miss Bantu😅😅😅😅 mambo ya kodi ya mil 36 kwa mwaka hayanihusu. Uwezo wao wenyewe 😅

    • @salmanassor8732
      @salmanassor8732 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

  • @adamkisheta8439
    @adamkisheta8439 6 หลายเดือนก่อน +1

    Beconi wangap mmesikia kama Mimi gonga like😂

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 6 หลายเดือนก่อน

    Mbona wasanii wa b ongo wanaigiza ma isha sana yani

  • @user-bd2hl6yo5j
    @user-bd2hl6yo5j 5 หลายเดือนก่อน

    Mbona kama imesimama😂😊

  • @everlyne8595
    @everlyne8595 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nyumb kubwa haina furniture bora ungepangisha nyumba ya kawaida

  • @chany9950
    @chany9950 9 หลายเดือนก่อน +3

    Ona kafriji jmn😂

  • @SUZANSUZAN-fb9bh
    @SUZANSUZAN-fb9bh 9 หลายเดือนก่อน

    Yani daaa wanatakaga kutupa Dhabi tu

  • @msolekaonlinemedia
    @msolekaonlinemedia 3 หลายเดือนก่อน

    cha ajabu mama yake anaishi kwenye pagala pale uvinza😂😂😂😂😂😂😂

  • @hashymharun9337
    @hashymharun9337 6 หลายเดือนก่อน +1

    Muongo mamaee🤣🤣

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q 9 หลายเดือนก่อน +2

    Huo muwigi kama jini kash kash fyuuu hovyoooo

  • @zahra5267
    @zahra5267 7 หลายเดือนก่อน +2

    Decoration sifuri kabisa!!

    • @sarahmcharo1548
      @sarahmcharo1548 6 หลายเดือนก่อน

      kama akili zao tu ahhaha

  • @WlkmkeissBriana
    @WlkmkeissBriana 4 หลายเดือนก่อน

    Nimechek na uyo dada

  • @sumecute2513
    @sumecute2513 9 หลายเดือนก่อน +3

    Samahi huyo dada mbn anamuegemea mtangazaji hivyo?kwa mumewe huyo mbn unakua huru kiasi hicho

  • @deboramartin8111
    @deboramartin8111 9 หลายเดือนก่อน +1

    Wigi mweeee 😂

  • @Maryam-kl6gj
    @Maryam-kl6gj 9 หลายเดือนก่อน +2

    watanzania acheni wivuwamaendeleo kukomenti vibaya nidhambi.

    • @khamisbk8569
      @khamisbk8569 8 หลายเดือนก่อน

      Ingekua yake tungecoment vizur na sio pango Baba mwenye nyumba Leo na kesho anakuja kukugongea Kwa kulipa Koddi yaan badala ya kupambania future yako unapambania kulipa Kodi mambo gn ayo

  • @user-ml9yi5sd6o
    @user-ml9yi5sd6o 8 หลายเดือนก่อน

    Camera mbovu sana jamani

  • @user-rh2ei5wg8x
    @user-rh2ei5wg8x 8 หลายเดือนก่อน

    Haa wasanii asa hawana akili ee asa izo pesa c angejenga yak😅😂

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 4 หลายเดือนก่อน

    Kwanini usinjenge gholofa lako,hizo pesa unazolipa nyingi sana mbona unapata nyumba hata 3.Duh.

  • @ikramalmas7039
    @ikramalmas7039 9 หลายเดือนก่อน +2

    Hizo nywele sasa

  • @akiraaudreille6043
    @akiraaudreille6043 7 หลายเดือนก่อน

    naona Aibu apo mwisho ulivo mshika huyo mkaka duuu😮

  • @fawzalbusayid7232
    @fawzalbusayid7232 7 หลายเดือนก่อน

    Bongo kwa kujie ekti izo nywele 😂😂

  • @neemasabarabridalissa8336
    @neemasabarabridalissa8336 5 หลายเดือนก่อน

    Hiyo pesa ni bora ajenge

  • @faithfaith-zr6gz
    @faithfaith-zr6gz 9 หลายเดือนก่อน +2

    Weee acha kujishaua eti nani anavaa nywele ya millon moja,, weee zipo sana tena OG. zinavaliwa vzr tu.

  • @sitiabubakar2892
    @sitiabubakar2892 9 หลายเดือนก่อน

    Mama kijacho Ndio anaitwa nani

  • @mrsawadh5716
    @mrsawadh5716 9 หลายเดือนก่อน +3

    Wigi la manyasi sijapenda kwa kweli

    • @sarahedwin9841
      @sarahedwin9841 9 หลายเดือนก่อน

      Jmn khaa 🤣🤣🤣

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @sarapy3163
      @sarapy3163 7 หลายเดือนก่อน

      😂😂

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 5 หลายเดือนก่อน

    Iyo hela analipa kws mwaka angejenga nyumba yake

  • @NancyBrayan-wi2lr
    @NancyBrayan-wi2lr 6 หลายเดือนก่อน

    Mtafut mtu w decoration dad nyumb imepoa san

  • @user-lq3bg6lj3h
    @user-lq3bg6lj3h 4 หลายเดือนก่อน

    Nyumba ina furniture 10 sijui

  • @user-qb3hx2ku9v
    @user-qb3hx2ku9v 5 หลายเดือนก่อน

    Mke wa mtu ameshika paja la mtangazaji kweli 😅😅😅 alafu million hizo zote bora upange Kanyuma tu pesa ujengee😅😅

  • @Yunis-hn9hn
    @Yunis-hn9hn 9 หลายเดือนก่อน +2

    Huo mkao waliokaliana jamani😂😂😂

  • @ashminaabdulla8946
    @ashminaabdulla8946 7 หลายเดือนก่อน

    Maana hamuna hata vitu alafu mnakaa kwenye horofa 🙄😜

  • @ummukulthummohd5403
    @ummukulthummohd5403 9 หลายเดือนก่อน +3

    Uyu dada sjui kavaa nn 😢

  • @AishaFerous-jp8oq
    @AishaFerous-jp8oq 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ila uyu dada kachemcha katuvalia nguo ya club home .

    • @mariammpamka
      @mariammpamka 5 หลายเดือนก่อน

      😂yaani nilitaka niseme ivyo ata ajapendeza angevaa dira tu kwani angeonekanaje jamani

  • @ruu6592
    @ruu6592 6 หลายเดือนก่อน

    Kakodisha kwa mda gani😮

  • @dottomsuya6597
    @dottomsuya6597 5 หลายเดือนก่อน

    Hizi wanapewa bure wakae hana pesa hiyo

  • @Kharua-pw8fw
    @Kharua-pw8fw 4 หลายเดือนก่อน

    Wasenge hao

  • @zenachuo2963
    @zenachuo2963 9 หลายเดือนก่อน +5

    Najiulizaga lukamba ni mzuri kuliko wanaake zake kwakweli anapendaga kuchukua namba A

    • @user-vv1te9fu8q
      @user-vv1te9fu8q 9 หลายเดือนก่อน

      Duuh na A ndio nini 😂😂😂

    • @Yunis-hn9hn
      @Yunis-hn9hn 9 หลายเดือนก่อน

      Hahaaa😂😂😂

    • @Yunis-hn9hn
      @Yunis-hn9hn 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂Wooyii

    • @user-fz8cq4ff6i
      @user-fz8cq4ff6i 9 หลายเดือนก่อน

      Kumbe yale mapenz ya jeraha yamekuwa kweli

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@user-fz8cq4ff6itulijua wanadanganya kumbe kweli

  • @angelmaige-yc5gb
    @angelmaige-yc5gb 7 หลายเดือนก่อน

    Kwa kifupi jumba wamepanga kubwa lakini halina maajabu kabsa halina vitu hata furniture za ma'an liko tupu

  • @taturajabukhalfani7953
    @taturajabukhalfani7953 7 หลายเดือนก่อน +3

    Kunajiko na kitchen!!!!kazi ipo mwaka huu!!!!

    • @Mina.15
      @Mina.15 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 หลายเดือนก่อน

    Limwanamke libaya

  • @deborahsamwel-ss2wb
    @deborahsamwel-ss2wb 9 หลายเดือนก่อน

    Yani nunueni furniture jmn mnatia aibu

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 5 หลายเดือนก่อน

    Nguo uliovaa sio ya nyumbani. Mshambarera sana. Wigi mmmh halijakuvaa umelivaa tu wewe

  • @zahra5267
    @zahra5267 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee wa kulelewa

  • @kudrasslaybeautybar8779
    @kudrasslaybeautybar8779 2 หลายเดือนก่อน

    Hii niabu mtuu hujuwi kwako kuna vyumba ngapi

  • @ShekhaAzizi-yb1ow
    @ShekhaAzizi-yb1ow 3 หลายเดือนก่อน

    Umasikini huwa tunautaka yani iyo hela angejenga au kununua nyumba maana uwezo anao dah ujiga mwig

  • @khamisbk8569
    @khamisbk8569 8 หลายเดือนก่อน +1

    Yaan Wabongo izo ndio pigo zenu kutaka Maisha ya juu yaan unajiumiza ili tyu jamii ikuone Una Maisha flan achen kufake Maisha izo ela unazolipa apo ungejenga kwako au kwenu ingekuaje?? All in all Kila mtu na Maisha yake

  • @user-py4xj9cw8r
    @user-py4xj9cw8r 4 หลายเดือนก่อน

    Amna kitu

  • @adamkisheta8439
    @adamkisheta8439 6 หลายเดือนก่อน

    Daaah imbomboo ngafuuu

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 4 หลายเดือนก่อน

    hahaha wigi la huyo dada kama spika wa bunge la zamani

  • @pinkyg8861
    @pinkyg8861 9 หลายเดือนก่อน

    Milonjo hiyo

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 5 หลายเดือนก่อน

    Watu wanapenda kupanga nyumba za galama hawajengi zao wasanii hawana hakiri si ungepanga nyumba ndogo ili mjenge yenu

  • @zenawahindi2425
    @zenawahindi2425 9 หลายเดือนก่อน +4

    pazuri hongera zenu jamani chumba kama nyumba zima huku kwetu

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 9 หลายเดือนก่อน +2

    😢😢😢😢😢 Hyanihusu lakin yananiuma

    • @rehemakimambo5363
      @rehemakimambo5363 9 หลายเดือนก่อน

      Sifa nyingine bwana. Unapanga halafu unajisifu una akili. Hiyo hela sitayari angekua Na nyumba yake

    • @modestajamada3496
      @modestajamada3496 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@rehemakimambo5363mm nika juwakwake 😂

  • @AishaFerous-jp8oq
    @AishaFerous-jp8oq 5 หลายเดือนก่อน

    Ila uyu dada tapeli wa mapenzi jaaamani.

  • @zenawahindi2425
    @zenawahindi2425 9 หลายเดือนก่อน

    Mhhhhhhhh x hata kama one fling then mkaatemana huyu ni x maana mlikuwa na bond ila not strong bond

  • @priscajohn6090
    @priscajohn6090 9 หลายเดือนก่อน

    Muache ujinga Kodi M3 kwani ukipanga Cha 50 Hadi laki' unapungukiwa nini hizo Hela simkusanye mjengo yenu' kwahiyo kwa Mwaka mnatoa M36*Miaka 3 Jml M78 hutapata nyumba

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 9 หลายเดือนก่อน

    Mkiumwa Muombe MICHANGO

  • @IreneMwenda-nl2hu
    @IreneMwenda-nl2hu 9 หลายเดือนก่อน

    Yan mjinga huy ela yot hiiii ameshindwa kujenga hiyoela sianapat kiwanja hata mbez bech

    • @stevensimon5642
      @stevensimon5642 9 หลายเดือนก่อน

      Wapate wapi hiyo hela ya kulipia tokea lini wasanii wakawa na pesa hizo ni show of tu, anataka kushindana na mondi hawezi ,ukute analinda nyumba ya mtu

  • @ngwaleseif8586
    @ngwaleseif8586 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu demu si uliigiza nae tamthiliya Moja?

  • @husnazahorohusna3905
    @husnazahorohusna3905 7 หลายเดือนก่อน

    Huyu mdada si yule jesca aliigizwa bwana wake lukamba danga lake single mtambalike au?

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 9 หลายเดือนก่อน

    Sio yake wamepanga kwaiyo msitufoke ok si ajenge pesa mnatumia nyingi kwa nyumba za watu mngeweka si kwa mwaka unapata yako

  • @AbelMagava-uq8dz
    @AbelMagava-uq8dz 6 หลายเดือนก่อน

    Na kigodoro chake sura kengeza