Ahmed Ally afunguka mashine tatu watakazotangaza leo

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
  • Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally amefungua ‘code’ za wachezaji watatu ambao watawatangaza leo.
    Mmoja ni mashine mtoa roho ambaye ni kiungo mkabaji anayetokea katika nchi iliyopo kati ya Afrika Magharibi na Afrika Kaskazini.
    Mwingine ni mashine katili ambaye ni kiungo mchezeshaji atakayetambulishwa saa 12:00 jioni na baadae usiku watatambulisha mwingine.
    Ahmed amezungumza na mtangazaji Mahmoud Zubeir kwa njia ya #WhatsAppCall kupitia kipindi cha #SportsAM
    #SimbaSC #SportsAM #AhmedAlly

ความคิดเห็น • 93

  • @mwanaishamasoud
    @mwanaishamasoud 3 หลายเดือนก่อน +3

    semaji mungu akuweke baba

  • @youngsir5809
    @youngsir5809 3 หลายเดือนก่อน +3

    Hapo safi, namba 6 na 8 🔥

  • @mr_kajomba_og5719
    @mr_kajomba_og5719 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mashine za kazi

  • @RichardWema
    @RichardWema 3 หลายเดือนก่อน +2

    Simba ya mwaka huu ni moto❤

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 3 หลายเดือนก่อน +2

    SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @fatumahassan8425
    @fatumahassan8425 2 หลายเดือนก่อน

    Semaji dua muhm wachezaji muwazindke someni dua

  • @MarryCharles-rc6ei
    @MarryCharles-rc6ei 3 หลายเดือนก่อน +1

    Thank you ya jobe lini

  • @asanterabimunuo5855
    @asanterabimunuo5855 3 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂 daaaah semaje una Tisha mkuu

  • @michaelnsingija
    @michaelnsingija 3 หลายเดือนก่อน +2

    ahamed ally upo sahihi sana

  • @ZakariaSimon-gp1gr
    @ZakariaSimon-gp1gr 3 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤ semaji km nakuona Simba day

  • @mwalimulucas3522
    @mwalimulucas3522 3 หลายเดือนก่อน +5

    Mashine ya kuongea

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 3 หลายเดือนก่อน +1

    Engineer Hersi anawaloga sana wachezaji wetu ni mshenzi sana anaamini ushirikina Ili mambo yake yaende

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@thehustlerafrica4368 mnajiroga wenyewe sasa unamuacha top scorer wa club yako anaekupa 10 + Kila msimu Kisha unaenda kumchukua Omar Omar kweli ? Unamleta manzoki 🤣 kwenye mkutano mkuu Kisha uwanjani wakamkuta sawadogo kweli mnarogwa nyie au mnajiroga ? Mna game na alhy Cairo mnaenda kuifadhili interview ya mayele mpo serious kweli nyiee ?? Wenzenu wanasajili nyie mmekazana drama tumemteka namba 6 airport 🤣🤣🤣, nyie ndo mnajiroga ... Unamuacha Baleke Unamleta jobe kweli kabisaaa??? Una muuza Inonga Unamleta lameck kwel 🤣, usajili wa akina Omar Omar ndo mnapata ujasiri wa kupayuka ???
      1. Dube
      2.chama
      3. Baleke
      4. Boka
      Then unapata ujasiri wa kuropoka huogopiiii 🤣🤣🤣🤣

  • @Hassanmuhidin-77
    @Hassanmuhidin-77 3 หลายเดือนก่อน +4

    semaji huna baya

  • @bestman8182
    @bestman8182 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kitu cha maana kingine mlikchofanya ni kutambulisha bench la ufundi mapema sio kocha anakuja wakati ligi imeanza anaishia kujaribisha wachezaj kwenye mechi za ushindani

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@bestman8182 kaka wambie kocha apewe muda wa kusuka timu kwanza .... Sio kafumuliwa 3 mnaanza kutukana 🤣🤣🤣

  • @victorcharles1732
    @victorcharles1732 3 หลายเดือนก่อน +2

    Deborah Mavambo fernandez huyo

  • @alitante4279
    @alitante4279 3 หลายเดือนก่อน +3

    Augustine okajepha huyo mi mashine vbya mnoo

  • @suleimankhamis2771
    @suleimankhamis2771 3 หลายเดือนก่อน +8

    Simba kama simba semaji kama semaji 😂😂😂😂😂❤❤❤

  • @isackcharles6086
    @isackcharles6086 3 หลายเดือนก่อน +2

    🦁

  • @billalicool9430
    @billalicool9430 3 หลายเดือนก่อน +1

    Someni Dua Kuwalinda Wachezaji na Benchi la Ufundi mahasidi ni wengi

  • @simonmilinga2070
    @simonmilinga2070 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hio ya mwisho ni equitorial guinea nchi pekee inayoongea spanish

  • @MudiMajid
    @MudiMajid 3 หลายเดือนก่อน +1

    Semani la kimataifa hongera unatupa laha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 3 หลายเดือนก่อน +2

    Balaaa

  • @JumaBakari-ld5rr
    @JumaBakari-ld5rr 3 หลายเดือนก่อน +2

    Namuona fei saa moja

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 3 หลายเดือนก่อน +13

    WACHEZAJI WAKIJA WANAUMIYA HAMUWAEKEI KINGA YA ALBADIRI HALAFU WANAROGWA NA AKINA MZEE MPILI SHAURI YENU

    • @officialdana5114
      @officialdana5114 3 หลายเดือนก่อน

      Tafuta hela kulogwa unalogwa ww tyu

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 หลายเดือนก่อน +1

      Sasa kama viongozi waliwaacha akina Phiri na baleke then unaleta akija jobe na Fred kweli ?? Kwaiyo manzoki mlimlinda kwenye mkutano mkuuu 😂😂😂😂

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@officialdana5114 UNATETEA SABABU BABAKO NDIO MCHAWI ANAEROGA WATU WASHIRIKINA NYIE MACHOGO FC ATAKUFA MWAKA HUU DADEKI ZENU

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@mwanangusana MWAKA HUU MTAKUFA KAMA DAGAA WACHAWI NYIE

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@salimmalaka256 uchawiii ni kumleta Manzoki Kisha kwenye usajili unamkuta Sawadogo 🤣😂

  • @RamadhanMohd-q8l
    @RamadhanMohd-q8l 3 หลายเดือนก่อน +2

    Simba ❤❤❤

  • @lukiaanatory4598
    @lukiaanatory4598 3 หลายเดือนก่อน +1

    Semaji langu la simbaaaaa

  • @tuntumzazi
    @tuntumzazi 3 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂😂 ila semaji

  • @SimonJoseph-h4e
    @SimonJoseph-h4e 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kama mtafunga usajili bila beki wa kushoto tutafungwa sana

  • @zakayomgaya2758
    @zakayomgaya2758 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂semaji bwana

  • @bestman8182
    @bestman8182 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kispanyola kinazungumzwa Equatorial Guinea .....Gine ya Ikweta tu hapa Africa. So, is the guy coming from EG?

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 3 หลายเดือนก่อน +1

    Equator Guinea wanaongea Kihispania ndiyo taifa pekee Africa kuongea lugha hiyo

  • @georgejulius3315
    @georgejulius3315 3 หลายเดือนก่อน

    Nigeria

  • @Msangoboy
    @Msangoboy 3 หลายเดือนก่อน +1

    Vyuma kwelikweli

  • @absm8084
    @absm8084 3 หลายเดือนก่อน

    Usajili ndo ukute tumemaliza😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @lukiaanatory4598
    @lukiaanatory4598 3 หลายเดือนก่อน +1

    Semaji unabaya

  • @allyanyigulilemlaghilajumb5829
    @allyanyigulilemlaghilajumb5829 3 หลายเดือนก่อน +1

    Namibia ni nchi pekee Afrika wanakozungumza Kijerumani. CODE hiyo

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 3 หลายเดือนก่อน

      Namibia haiiongei kijerumani

    • @allyanyigulilemlaghilajumb5829
      @allyanyigulilemlaghilajumb5829 3 หลายเดือนก่อน

      @@FahadAbubakari
      labda huijui Namibia. ngoja tusubiri

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 3 หลายเดือนก่อน

      @@allyanyigulilemlaghilajumb5829 nmekaa Namibia Windhoek more than 3 yrs so sihitataji kuambiwa kweli walitawaliwa na wajerumani at some points na ushahidi upo , later walichukua makaburu , lugha zinazozungumzwa ni oshiwambo au ovambo iyo ndio ka kiswahili karibu weusi wengi huongea khoekhoe , Afrikaans na herero kwangali na of course English kwa mijini na walosoma Kuna shule zinafundisha kijerumani kama zilivoshule zinafundisha kifaransa tz na Kuna Jamii ya hao wazungu wakijerumani wako idadi kubwa kidogo ila si kwamba kijerumani ni lugha inayozungumzwa pale

  • @OnesmoMabena
    @OnesmoMabena 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mpanzu pls

  • @allyanyigulilemlaghilajumb5829
    @allyanyigulilemlaghilajumb5829 3 หลายเดือนก่อน

    NAMIBIA

  • @khalifasultan2677
    @khalifasultan2677 3 หลายเดือนก่อน

    Mmeshindwa Kutuletea Feisal??

  • @AshaAmiri-l2g
    @AshaAmiri-l2g 3 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani wana simba hv mbadala wa shomari katangazwa au tuendelee kumuamini dogo mwenda mana msimu uliopita kwa shomar walipita sana

    • @madukaj.j.6999
      @madukaj.j.6999 3 หลายเดือนก่อน

      Hepa ndo tatizo linaanzia. Sijui hawaoni hili?

  • @petro8010
    @petro8010 3 หลายเดือนก่อน

    Ninyi Azam mnazingua sana kuhusu mechi za Euro cup jana kwa nini hamkuonesha mechi ya France na Portugal. Mkaonesha Moja why acheni hizo

  • @HoseaPaul-w8o
    @HoseaPaul-w8o 15 วันที่ผ่านมา

    Pw semaji la kafu

  • @jumamtatiro6358
    @jumamtatiro6358 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kireno hicho

  • @BoniphaceMbapula
    @BoniphaceMbapula 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hauna baya semaji tunakutegemea

  • @FrankKashamakula-xb1pc
    @FrankKashamakula-xb1pc 3 หลายเดือนก่อน +1

    Equatorial Guinea ndio anatoka io Mashine ya pili sijui nani uyo

  • @mrgujarat8391
    @mrgujarat8391 3 หลายเดือนก่อน

    Hizi ndo zile clip ambazo akizitizama anacheka mwenyewe

  • @petro8010
    @petro8010 3 หลายเดือนก่อน

    Mechi za Euro cup onesheni zote acheni ubabaishaji

  • @Khalidniya380
    @Khalidniya380 3 หลายเดือนก่อน +1

    EQUATORIAL GUINNEA

  • @flova7022
    @flova7022 3 หลายเดือนก่อน

    Urenoo na angolaa

    • @josephjohn2114
      @josephjohn2114 3 หลายเดือนก่อน

      Msumbiji pia wanatumia kireno

  • @petro8010
    @petro8010 3 หลายเดือนก่อน

    Mechi za Euro cup onesheni zote

  • @mrgujarat8391
    @mrgujarat8391 3 หลายเดือนก่อน

    Kiufupi zilaili yani

  • @AlexNgonyani-s1q
    @AlexNgonyani-s1q 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mashine ya tatu mpanzu tuuu

  • @HalidiKilale-i8i
    @HalidiKilale-i8i 3 หลายเดือนก่อน

    Semaji huna Bayaa....

  • @ProsperSantos
    @ProsperSantos 3 หลายเดือนก่อน +1

    Azam wasenge sana yani match ya Euro inaonesha 1 afu mnasema buludani Kwa wote nyie vipo nyie ichi kisimbuzi Cha kitoto sana

    • @emmanuelmayunga1518
      @emmanuelmayunga1518 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kwel kabisa wanazingua sana

    • @petro8010
      @petro8010 3 หลายเดือนก่อน

      Mimi wananiudhi basi tu

  • @LeonceFedhanane
    @LeonceFedhanane 3 หลายเดือนก่อน

    Wambiye

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 3 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu Ahmed Aly bonge moja lamuongeaji kuna comedy flan uki brand sio .ushatoka maisha haya ni babu kubwa anafurahisha sana .Simba kazeni mitakavyo kaza nyie muelekeo hamuna sababu ni moja tu uongozi wacha tuwape chance lakini msimu haumaliziki mutapigana kwa sababu simba wote wanafiki omba omba wa babujiiiii jikomboeni mujimiliki mazumbukuku nyie

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 หลายเดือนก่อน +1

      NA WEWE NI NGURUWE MLA MIHOGO HAYA KUHUSU MACHOGO FC WASHONA MAGODORO NYIE KENGE WA KIJANI WEWE 😂😂😂😂

    • @BADAWY575
      @BADAWY575 3 หลายเดือนก่อน

      @@salimmalaka256 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wakufa ni wakufa tu

  • @GeorgeJusto-y4v
    @GeorgeJusto-y4v 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wesema mashine alafu utulete utumbo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 หลายเดือนก่อน +1

      KWANI YEYE NDIO ANAOWALETA??? YEYE NI MSEMAJI TU

  • @Mwanzaboy255
    @Mwanzaboy255 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mpamzu

  • @absm8084
    @absm8084 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @HassaniMakidanga
    @HassaniMakidanga 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂

  • @SaidySaidysalum
    @SaidySaidysalum 3 หลายเดือนก่อน

    😅😅😅😅❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @BeniYaredy
    @BeniYaredy 3 หลายเดือนก่อน

    Uyo mnampa ujinga nyie mana meakajana hakuita watu majina wakina funga funga ukuta wa yeliko mbona Leo hamhoji tumekuzowea we chiz

    • @OnesmoJulius-fi1qg
      @OnesmoJulius-fi1qg 3 หลายเดือนก่อน +2

      Bishana na radio sasa😂😂😂😂😂

    • @waltermfikwa4361
      @waltermfikwa4361 3 หลายเดือนก่อน +3

      Chizi wew unataka kubishana na radio.... Na huyo hawahusu nyie hvyo mwache kama alivyo na afanye km anavyotaka coz anatuhusu sisi Wana SSC. Na sio UTOPOLO 😂😂😂

    • @SITTASIMON
      @SITTASIMON 3 หลายเดือนก่อน +2

      Hii ni simba we dada sijui ni dada au kaka, utajua mwenyewe, peleka coment yako ya kibano cha kunya kwa utopolo

  • @DaxydizzyChristopher
    @DaxydizzyChristopher 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mashine ya kuongea

  • @SimonJoseph-h4e
    @SimonJoseph-h4e 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kama mtafunga usajili bila beki wa kushoto tutafungwa sana

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@SimonJoseph-h4e mbona unaanza kuogopa mapema ndugu yanguuu

  • @petro8010
    @petro8010 3 หลายเดือนก่อน

    Mechi za Euro cup onesheni zote