Ahmed Ally afunguka mashine tatu watakazotangaza leo
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally amefungua ‘code’ za wachezaji watatu ambao watawatangaza leo.
Mmoja ni mashine mtoa roho ambaye ni kiungo mkabaji anayetokea katika nchi iliyopo kati ya Afrika Magharibi na Afrika Kaskazini.
Mwingine ni mashine katili ambaye ni kiungo mchezeshaji atakayetambulishwa saa 12:00 jioni na baadae usiku watatambulisha mwingine.
Ahmed amezungumza na mtangazaji Mahmoud Zubeir kwa njia ya #WhatsAppCall kupitia kipindi cha #SportsAM
#SimbaSC #SportsAM #AhmedAlly
semaji mungu akuweke baba
Hapo safi, namba 6 na 8 🔥
Mashine za kazi
Simba ya mwaka huu ni moto❤
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Semaji dua muhm wachezaji muwazindke someni dua
Thank you ya jobe lini
😂😂😂 daaaah semaje una Tisha mkuu
ahamed ally upo sahihi sana
Op😊
❤❤❤❤ semaji km nakuona Simba day
Mashine ya kuongea
Engineer Hersi anawaloga sana wachezaji wetu ni mshenzi sana anaamini ushirikina Ili mambo yake yaende
@@thehustlerafrica4368 mnajiroga wenyewe sasa unamuacha top scorer wa club yako anaekupa 10 + Kila msimu Kisha unaenda kumchukua Omar Omar kweli ? Unamleta manzoki 🤣 kwenye mkutano mkuu Kisha uwanjani wakamkuta sawadogo kweli mnarogwa nyie au mnajiroga ? Mna game na alhy Cairo mnaenda kuifadhili interview ya mayele mpo serious kweli nyiee ?? Wenzenu wanasajili nyie mmekazana drama tumemteka namba 6 airport 🤣🤣🤣, nyie ndo mnajiroga ... Unamuacha Baleke Unamleta jobe kweli kabisaaa??? Una muuza Inonga Unamleta lameck kwel 🤣, usajili wa akina Omar Omar ndo mnapata ujasiri wa kupayuka ???
1. Dube
2.chama
3. Baleke
4. Boka
Then unapata ujasiri wa kuropoka huogopiiii 🤣🤣🤣🤣
semaji huna baya
Kitu cha maana kingine mlikchofanya ni kutambulisha bench la ufundi mapema sio kocha anakuja wakati ligi imeanza anaishia kujaribisha wachezaj kwenye mechi za ushindani
@@bestman8182 kaka wambie kocha apewe muda wa kusuka timu kwanza .... Sio kafumuliwa 3 mnaanza kutukana 🤣🤣🤣
Deborah Mavambo fernandez huyo
Augustine okajepha huyo mi mashine vbya mnoo
Simba kama simba semaji kama semaji 😂😂😂😂😂❤❤❤
🦁
Someni Dua Kuwalinda Wachezaji na Benchi la Ufundi mahasidi ni wengi
Hio ya mwisho ni equitorial guinea nchi pekee inayoongea spanish
Semani la kimataifa hongera unatupa laha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Balaaa
Namuona fei saa moja
WACHEZAJI WAKIJA WANAUMIYA HAMUWAEKEI KINGA YA ALBADIRI HALAFU WANAROGWA NA AKINA MZEE MPILI SHAURI YENU
Tafuta hela kulogwa unalogwa ww tyu
Sasa kama viongozi waliwaacha akina Phiri na baleke then unaleta akija jobe na Fred kweli ?? Kwaiyo manzoki mlimlinda kwenye mkutano mkuuu 😂😂😂😂
@@officialdana5114 UNATETEA SABABU BABAKO NDIO MCHAWI ANAEROGA WATU WASHIRIKINA NYIE MACHOGO FC ATAKUFA MWAKA HUU DADEKI ZENU
@@mwanangusana MWAKA HUU MTAKUFA KAMA DAGAA WACHAWI NYIE
@@salimmalaka256 uchawiii ni kumleta Manzoki Kisha kwenye usajili unamkuta Sawadogo 🤣😂
Simba ❤❤❤
Semaji langu la simbaaaaa
😂😂😂😂 ila semaji
Kama mtafunga usajili bila beki wa kushoto tutafungwa sana
😂😂😂semaji bwana
Kispanyola kinazungumzwa Equatorial Guinea .....Gine ya Ikweta tu hapa Africa. So, is the guy coming from EG?
Equator Guinea wanaongea Kihispania ndiyo taifa pekee Africa kuongea lugha hiyo
Nigeria
Vyuma kwelikweli
Usajili ndo ukute tumemaliza😢😢😢😢😢😢😢😢
Semaji unabaya
Namibia ni nchi pekee Afrika wanakozungumza Kijerumani. CODE hiyo
Namibia haiiongei kijerumani
@@FahadAbubakari
labda huijui Namibia. ngoja tusubiri
@@allyanyigulilemlaghilajumb5829 nmekaa Namibia Windhoek more than 3 yrs so sihitataji kuambiwa kweli walitawaliwa na wajerumani at some points na ushahidi upo , later walichukua makaburu , lugha zinazozungumzwa ni oshiwambo au ovambo iyo ndio ka kiswahili karibu weusi wengi huongea khoekhoe , Afrikaans na herero kwangali na of course English kwa mijini na walosoma Kuna shule zinafundisha kijerumani kama zilivoshule zinafundisha kifaransa tz na Kuna Jamii ya hao wazungu wakijerumani wako idadi kubwa kidogo ila si kwamba kijerumani ni lugha inayozungumzwa pale
Mpanzu pls
NAMIBIA
Mmeshindwa Kutuletea Feisal??
Jamani wana simba hv mbadala wa shomari katangazwa au tuendelee kumuamini dogo mwenda mana msimu uliopita kwa shomar walipita sana
Hepa ndo tatizo linaanzia. Sijui hawaoni hili?
Ninyi Azam mnazingua sana kuhusu mechi za Euro cup jana kwa nini hamkuonesha mechi ya France na Portugal. Mkaonesha Moja why acheni hizo
Pw semaji la kafu
Kireno hicho
Hauna baya semaji tunakutegemea
Equatorial Guinea ndio anatoka io Mashine ya pili sijui nani uyo
Anachez namba gan?
@@NathanLukambinga sijajua pia bado tusubiri
Hizi ndo zile clip ambazo akizitizama anacheka mwenyewe
Mechi za Euro cup onesheni zote acheni ubabaishaji
EQUATORIAL GUINNEA
Urenoo na angolaa
Msumbiji pia wanatumia kireno
Mechi za Euro cup onesheni zote
Kiufupi zilaili yani
Mashine ya tatu mpanzu tuuu
Semaji huna Bayaa....
Azam wasenge sana yani match ya Euro inaonesha 1 afu mnasema buludani Kwa wote nyie vipo nyie ichi kisimbuzi Cha kitoto sana
Kwel kabisa wanazingua sana
Mimi wananiudhi basi tu
Wambiye
Huyu Ahmed Aly bonge moja lamuongeaji kuna comedy flan uki brand sio .ushatoka maisha haya ni babu kubwa anafurahisha sana .Simba kazeni mitakavyo kaza nyie muelekeo hamuna sababu ni moja tu uongozi wacha tuwape chance lakini msimu haumaliziki mutapigana kwa sababu simba wote wanafiki omba omba wa babujiiiii jikomboeni mujimiliki mazumbukuku nyie
NA WEWE NI NGURUWE MLA MIHOGO HAYA KUHUSU MACHOGO FC WASHONA MAGODORO NYIE KENGE WA KIJANI WEWE 😂😂😂😂
@@salimmalaka256 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wakufa ni wakufa tu
Wesema mashine alafu utulete utumbo
KWANI YEYE NDIO ANAOWALETA??? YEYE NI MSEMAJI TU
Mpamzu
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂
😅😅😅😅❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Uyo mnampa ujinga nyie mana meakajana hakuita watu majina wakina funga funga ukuta wa yeliko mbona Leo hamhoji tumekuzowea we chiz
Bishana na radio sasa😂😂😂😂😂
Chizi wew unataka kubishana na radio.... Na huyo hawahusu nyie hvyo mwache kama alivyo na afanye km anavyotaka coz anatuhusu sisi Wana SSC. Na sio UTOPOLO 😂😂😂
Hii ni simba we dada sijui ni dada au kaka, utajua mwenyewe, peleka coment yako ya kibano cha kunya kwa utopolo
Mashine ya kuongea
Kama mtafunga usajili bila beki wa kushoto tutafungwa sana
@@SimonJoseph-h4e mbona unaanza kuogopa mapema ndugu yanguuu
Mechi za Euro cup onesheni zote