LIVE: AHMED ALLY ANAONGEA MUDA HUU | NI FEITOTO.? | HATMA YA AYOUB SIMBA SC | KUHUSU PRE SEASON..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ค. 2024
  • Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
    Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 101

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 12 วันที่ผ่านมา +9

    Wasafir salama wachezaji wetu mungu awape wepesi

  • @AbdulhazizHasani
    @AbdulhazizHasani 12 วันที่ผ่านมา +14

    Mungu ibariki simba wafike salama wote wajiandae vzr na waendelee kuwaa na afya njema warudi wafanye kazi yao ipasavyo simba nguvu moja

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 12 วันที่ผ่านมา +16

    MUNGU IBARIKI CHAMALANGU AMBALO NAMBA 6 BARANI AFRICA ,SIMBA NGUVU MOJA

  • @SarahOlesendeka
    @SarahOlesendeka 11 วันที่ผ่านมา +6

    Naipenda Simba daima

  • @Agnesssefu
    @Agnesssefu 11 วันที่ผ่านมา +9

    Wanasimba wote wenye mapenz na timu yet tusikose kuiombea timu yet jmn❤❤❤❤

  • @tiffan2807
    @tiffan2807 11 วันที่ผ่านมา +4

    Munguu awatangulieee🙏🙏🙏

  • @joanchuma4903
    @joanchuma4903 11 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu walinde simba yetu katika safari yao

  • @AnjelaPhilipo
    @AnjelaPhilipo 11 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu naomba watangulie Simba katika safari yao Wasari salama na warudi salama wote wakiwa na afyanjema

  • @MwanakomboDaud
    @MwanakomboDaud 11 วันที่ผ่านมา

    Mungu wabariki wachezaji wasimba wawe namuunganiko mzuri naipenda Simba daima milele

  • @AllyswalehAllyswaleh
    @AllyswalehAllyswaleh 12 วันที่ผ่านมา +4

    Amin mungu aibariki simba yenye mafanikio

  • @ramadhannjolesti
    @ramadhannjolesti 11 วันที่ผ่านมา +2

    Bora ange baki mgunda tu🏃🏃

  • @BellaTuyi-hd7tw
    @BellaTuyi-hd7tw 9 วันที่ผ่านมา

    Simba nguvu moja
    ✍️ Mabetu &Co

  • @lemamolelilemamoleli7740
    @lemamolelilemamoleli7740 11 วันที่ผ่านมา

    Munguibariki simba

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h 11 วันที่ผ่านมา

    Simba nguvu moja💪💪💪 semaji la dunia

  • @ShagyMadenge
    @ShagyMadenge 12 วันที่ผ่านมา +3

    Nakukubar kaka

  • @user-hj7tu2hq8t
    @user-hj7tu2hq8t 11 วันที่ผ่านมา

    Vp kuhusu kramoo kaka

  • @zarinatv2024
    @zarinatv2024 11 วันที่ผ่านมา

    Simba yangu jaman, ligi ianze tu😊🔥🔥🔥

  • @salimukiluwa
    @salimukiluwa 11 วันที่ผ่านมา

    mungu ibaliki simba yetuuuuuuu ❤❤❤❤

  • @PaschalYohana-ub7mu
    @PaschalYohana-ub7mu 11 วันที่ผ่านมา +1

    Nawatakia maandaliz mazur

  • @user-jn3nf7uw1w
    @user-jn3nf7uw1w 11 วันที่ผ่านมา

    Dr nlopokaji kazini..
    7 toa 2..pale pale

  • @user-cp2fr6ct5g
    @user-cp2fr6ct5g 11 วันที่ผ่านมา +1

    Simba nguvu moja

  • @bin.Ali_boy
    @bin.Ali_boy 12 วันที่ผ่านมา +2

    Ayoma kwa video hii 😢😢😢 hamna mlichofanya kabisa

    • @salmaally8461
      @salmaally8461 11 วันที่ผ่านมา

      Bwege wewe subir kazi

  • @francisphilipo5749
    @francisphilipo5749 12 วันที่ผ่านมา +1

    Simba ya msm ujao haitafungika itamaliza lig bila kufungwa

  • @MosesIsack-jb7ti
    @MosesIsack-jb7ti 11 วันที่ผ่านมา +1

    Sauti haieleweki kabisa inakata sana

  • @MomopauloKetoni
    @MomopauloKetoni 12 วันที่ผ่านมา +1

    ❤ wewe unaongea utopor mshon mwa lig utazaa kuomba raziii

  • @abuusaidy1506
    @abuusaidy1506 12 วันที่ผ่านมา +3

    Aaaaah rama mbona unawahii😂😂😂

    • @user-jy5ll6mp6v
      @user-jy5ll6mp6v 11 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂Rama ana haraka kama kimbunga hidaya🙌🙌

  • @user-vm4vy5ix1r
    @user-vm4vy5ix1r 11 วันที่ผ่านมา

    Naipenda Simba

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s 11 วันที่ผ่านมา

    Shida hapo ni kuvunja mikataba ya kina jobe....Sasahivi tajiri anaprocess mkopo ndo muwape thenkyuu😂

  • @OptimisticHusky-fg6mn
    @OptimisticHusky-fg6mn 12 วันที่ผ่านมา +1

    God bless 🙏

  • @GASPARYALEX-mc6kj
    @GASPARYALEX-mc6kj 11 วันที่ผ่านมา

    Tajiri wetu Mo amsajiri FEI toto afu ndo aje atambulishwe Simba days na sio kwenye mtandao kama hivi iwe ni surprise kwetu

  • @abuusaidy1506
    @abuusaidy1506 12 วันที่ผ่านมา +1

    Isogezee hii kidgo nitailaa😅😅😅😅

  • @WinnersonMahali
    @WinnersonMahali 12 วันที่ผ่านมา

    Hongereni viongozi wote na Boss Mohammed ...Ila muwape viapo wachezaji wasituletee malinji linji ,hatutaki kuumizwa tena kama mapenzi bhanaaa 😅😅😅😅😅 . Mufike salama

    • @user-mg1yl2rl8s
      @user-mg1yl2rl8s 11 วันที่ผ่านมา

      Kwa timu hii labda mvunje mikataba ya wachezaji wenu mliosajiri na msajiri tena ndo kidogo mtapunguza kuumia😂

  • @JamesNashon-l8w
    @JamesNashon-l8w 11 วันที่ผ่านมา

    Kibu dens sijamuona

  • @DaruweshAkida
    @DaruweshAkida 11 วันที่ผ่านมา

    Kero saauti

  • @SophiaWanene
    @SophiaWanene 11 วันที่ผ่านมา

    HUYO NI LAIGWANANI WA SIMBA

  • @KokoloLambinguni
    @KokoloLambinguni 12 วันที่ผ่านมา

    Kramo vp au ndo mnataka kupoteza bahati jamani simba tusifanye ujinga kumuacha kramo

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s 11 วันที่ผ่านมา

    Semaji la muungano ulituambia mmemuuza Inonga FAR Rabati hebu tudanganye mlimuuza sh..ngapi?😂

  • @Bigkassim
    @Bigkassim 12 วันที่ผ่านมา

    Simba timu yetu naitakia mafanikio

  • @KokoloLambinguni
    @KokoloLambinguni 12 วันที่ผ่านมา

    Vp kramo yupo kwenye kikosi au

  • @KidoBanks
    @KidoBanks 12 วันที่ผ่านมา +1

    Kwani yanga hamuogopi jamn 😂😂 ❤simba

    • @salumualoyce5620
      @salumualoyce5620 11 วันที่ผ่านมา

      Tunaogopa

    • @KidoBanks
      @KidoBanks 11 วันที่ผ่านมา

      @@salumualoyce5620 😂😂😂

  • @fiedogameslinks2833
    @fiedogameslinks2833 11 วันที่ผ่านมา

    Safari njema

  • @zarafimnyamafitv
    @zarafimnyamafitv 12 วันที่ผ่านมา

    🎉🎉🎉🎉

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 11 วันที่ผ่านมา

    Anarecord gani huyo kocha.

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g 11 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @fiedogameslinks2833
    @fiedogameslinks2833 11 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤

  • @Thelouismalekan
    @Thelouismalekan 11 วันที่ผ่านมา

    Sauti inakata kata kunashida gan

  • @user-on1mg5ng6n
    @user-on1mg5ng6n 12 วันที่ผ่านมา

    Tunawasubri mukirud kichapo kipo paleple😂😂

  • @AmanAbdalah-cx5fq
    @AmanAbdalah-cx5fq 11 วันที่ผ่านมา

    Charles mpogolo😂😂

  • @saidbakari7998
    @saidbakari7998 12 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂ila Ahmed ally

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 11 วันที่ผ่านมา

    Hawa wakirudi ni kuwagonga goli zakutosha 😂😂😂😂

  • @magesadani9058
    @magesadani9058 11 วันที่ผ่านมา

    Kumbe hakuna cha fei toto wala mpanzu hapo

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 12 วันที่ผ่านมา

    Mpira hauna rongorongo, mpira ni mchezo wa wazi.

  • @JonhEmanuel-ld6hl
    @JonhEmanuel-ld6hl 12 วันที่ผ่านมา

    Vp kuhusu kramo

  • @geofreymwamengo
    @geofreymwamengo 11 วันที่ผ่านมา

    Hv jaman nauliza kramo ameonekana hapo

  • @nikky4757
    @nikky4757 12 วันที่ผ่านมา

    Channel kumbwa mnashindwa kuwa na mfumo wa uhakika wa sauti tena channel ya habari mnatoa aibu

  • @salumualoyce5620
    @salumualoyce5620 11 วันที่ผ่านมา

    Mbona inakatakata?

  • @MackrinyDonard
    @MackrinyDonard 11 วันที่ผ่านมา

    Litakufa jitu msimu huu😂

  • @sandalakabalo5442
    @sandalakabalo5442 12 วันที่ผ่านมา

    Mbona saut inakata

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 12 วันที่ผ่านมา

    Sawa semaji letum la fifa hunabaya

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 12 วันที่ผ่านมา

    Wewe shangilia tuuu.

  • @Nufaila442
    @Nufaila442 11 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂 ila ahmed wewe 😂😂😂😂

  • @alitante4279
    @alitante4279 12 วันที่ผ่านมา

    Mike zenu mbovu au mnazingua

  • @barackmoses7003
    @barackmoses7003 12 วันที่ผ่านมา

    Muwe mna edit video kabla hamja Post

  • @shabaniramadhani8026
    @shabaniramadhani8026 12 วันที่ผ่านมา +1

    Tu nashukuru chama usaliti wake umezaa matunda

    • @JemaChoga
      @JemaChoga 11 วันที่ผ่านมา

      kwani Chama ndo aliesajiri Hadi apewe shukrani?

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 11 วันที่ผ่านมา

      Kuondoka kwake kumeboost

  • @taucdulle7460
    @taucdulle7460 12 วันที่ผ่านมา

    Sasa mnaupload video ina saunti mbovuuu….halaf seem muhim za semaji hazipo😢

  • @smartgangempire6136
    @smartgangempire6136 11 วันที่ผ่านมา

    Mic inakatakata

  • @salmaally8461
    @salmaally8461 11 วันที่ผ่านมา

    Fei vp????

  • @SalimAbdallah-mi1wc
    @SalimAbdallah-mi1wc 11 วันที่ผ่านมา

    Lamek law Ni mchezaji wetu Halali Wa coastal union Na tuko njiani tunakija nae Dar kwajili ya michuano ya kagame twasemaje Hyo imeisha nyie endeleeni kuwadanganya wandishi Wa habar😂

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s 11 วันที่ผ่านมา

    Wala usidanganye kama mwalimu alishiriki kusajiri mlishasema mo ndo anasajiri na istoshe ligi ikianza tu basi tutajua nani kasajiri😅😅😅😅😅

  • @hassanmakame4382
    @hassanmakame4382 12 วันที่ผ่านมา

    Koshotoni kwa semaji Jamaa lenye kipara linainjioy Ahmed unapoongea

  • @JonhEmanuel-ld6hl
    @JonhEmanuel-ld6hl 12 วันที่ผ่านมา

    Ayoma mbona hamumulizi kuhusu kramo

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 11 วันที่ผ่านมา

      Kramo ameachwa

  • @elickemanuel8393
    @elickemanuel8393 11 วันที่ผ่านมา

    Achana na simba yetu ww

    • @jumahamad9463
      @jumahamad9463 11 วันที่ผ่านมา

      SIMBA YENU AU SIMBA YA MOO NA MANGUNGU

  • @user-to1it9hk2z
    @user-to1it9hk2z 12 วันที่ผ่านมา

    Kw hvyo walio sajiliwa sio chaguo la mwalim bali ni nyiny mlimchagulia mwalim....
    Hyo ni tabir mbaya mwalim ndio anafaa apendekeze kisha management itoe donge asijiliwe ..
    Baadhi ya klabu umchagulia wachezaji wakt wa kusajili ama mwalim asajili wachezaji kisha klabu iseme huyu anafaa kucheza huyu hafai.
    Yote kw yote watani wetu tunawaombea kila la kheir....
    Hakuna hutani mzuri kama wa Comedian wa Caf Ahmad Ally na msemaji wa Caf Ally shaaban kamwe...

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 11 วันที่ผ่านมา

    Mashine ya kusaga maji au.

    • @jumahamad9463
      @jumahamad9463 11 วันที่ผ่านมา

      NDIO HIVYO NIMASHINE YAKUBOWA MAHINDI

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 11 วันที่ผ่านมา

    Anaitwa Debora bhana nac kusoma tunajua.

    • @muniramtoy8280
      @muniramtoy8280 11 วันที่ผ่านมา

      Kuna shida gani akiitwa Deborah,mbona yanga Kuna joice Lumalisa

    • @sosomacharles9920
      @sosomacharles9920 11 วันที่ผ่านมา

      @@muniramtoy8280 Umeangalia kikosi cha Yanga ukaona kuna Joice.Mwambieni ajiangalie watu watanyandua,watu hawawezi kukaa na ukwio muda mrefu kambini wakati kuna binti Debora🤣🤣🤣🤣🤣

  • @allykeys5939
    @allykeys5939 11 วันที่ผ่านมา

    Kpotezeni pesa yanga tam

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 11 วันที่ผ่านมา

      Wakipoteza si za kwao wewe unateseka nini?

  • @chidampiri1012
    @chidampiri1012 12 วันที่ผ่านมา

    Elia mpanzu

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s 11 วันที่ผ่านมา

    Mnafikia tena kwenye yale madarasa mweeh😂

  • @TwalibuSaidi-w6s
    @TwalibuSaidi-w6s 11 วันที่ผ่านมา

    uyu mwaka hamzinduwi jezi au mtaavaaa kamwanya

  • @AbdulhazizHasani
    @AbdulhazizHasani 12 วันที่ผ่านมา

    Mungu ibariki simba wafike salama wote wajiandae vzr na waendelee kuwaa na afya njema warudi wafanye kazi yao ipasavyo simba nguvu moja

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h 11 วันที่ผ่านมา

    Simba nguvu moja💪💪💪 semaji la dunia

  • @AbdulhazizHasani
    @AbdulhazizHasani 12 วันที่ผ่านมา

    Mungu ibariki simba wafike salama wote wajiandae vzr na waendelee kuwaa na afya njema warudi wafanye kazi yao ipasavyo simba nguvu moja

  • @AbdulhazizHasani
    @AbdulhazizHasani 12 วันที่ผ่านมา

    Mungu ibariki simba wafike salama wote wajiandae vzr na waendelee kuwaa na afya njema warudi wafanye kazi yao ipasavyo simba nguvu moja

  • @AbdulhazizHasani
    @AbdulhazizHasani 12 วันที่ผ่านมา

    Mungu ibariki simba wafike salama wote wajiandae vzr na waendelee kuwaa na afya njema warudi wafanye kazi yao ipasavyo simba nguvu moja

  • @AbdulhazizHasani
    @AbdulhazizHasani 12 วันที่ผ่านมา

    Mungu ibariki simba wafike salama wote wajiandae vzr na waendelee kuwaa na afya njema warudi wafanye kazi yao ipasavyo simba nguvu moja