WAZEE WA YANGA WAMUHARIBIA DIVA THE BAWSE SIKU, AGEUKA MBOGO - "HELA HAWANA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 162

  • @alexandernkwamah5905
    @alexandernkwamah5905 หลายเดือนก่อน +5

    Hata watakaoisikiliza hiyo kesi na kuwaelewa wazee hao watakuwa punguwani au WAMETUMWA kuivuruga YANGA. Wananchi tuwashtukie. Mnanielewa, tuwashtukie. Huyu dada anasema kweli.

  • @saliieking7279
    @saliieking7279 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe diva ni mwananchi safi sanaaaaaaaaaaaaaa

  • @jumaamohamed2815
    @jumaamohamed2815 หลายเดือนก่อน +3

    Wazee wamemuharibia Mood kila mtu aisee, hata mimi cjalala kabisa aisee

    • @TheSalama2525
      @TheSalama2525 หลายเดือนก่อน +1

      Haikubaliki hiyo hukumu

  • @ibrahimmtoni1863
    @ibrahimmtoni1863 หลายเดือนก่อน +4

    Hawa wazee kwa nini mambo ya mpira yapelekwe mahakamani wao walitakiwa wshitaki kwenye vyombo vya michechezo wana sheria zao hili seala ni batili mgoja tusubiri kdg mtapata ukweli na hiyo kesi kwa nini ijulikane wakat wa hukumu tu ilitakiwa iwe wazi na watuhumiwa waitwe hamna kitu hapo

  • @seiphomary834
    @seiphomary834 หลายเดือนก่อน +3

    Mahakama kwan kesi ya yanga ipo mahakaman kuna kesi mbaya dunian kama kesi ya ushoga unataka hiv mahakama kuwa tass zetu zote hawajafksha swala hl mahakaman kwel je hapa unapata tafsr gan kwenye stability ss tunabomoa kwenye ujinga tuna imarisha # tuna uliza mwenye hii timu ni nan wakat mwengine ndio unaona mungu kionyesha ujinga unaishia kwenye ujinga sizan hii kesi ilihtaj hata airtime mahakaman kuna hak hapo ya msng kwel #

  • @JackSanga-fw9xt
    @JackSanga-fw9xt หลายเดือนก่อน +3

    Hao wazee watuachie yanga yetu tumewachoka jmn kila ck wao tuu 🙏🙏🏻🙏🙏mungu ibariki yanga yetu

  • @Adrianolaurian
    @Adrianolaurian หลายเดือนก่อน +4

    Wazee hatuwataki 💪

  • @JumanneTitto
    @JumanneTitto หลายเดือนก่อน +1

    Team ilipo kaa kwenye njia dowakajuwa kunasheria au wanataka turudi kwenye bakuri wao wazee wamekua wakatfute pakujipoza siokuogoza Team

  • @Mwenjala
    @Mwenjala หลายเดือนก่อน +6

    Naitwa Aboubakar Hawa wazee wa yanga Wangalieni Wana matatizo ya akili

  • @jimmymhina1264
    @jimmymhina1264 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe sijui Diva sijui na hicho Kingereza chako mmh hebu acha unajua, wewe ni mtangazaji hii radio husikiluzwa na wanajua Kiswahili na wasiyo jua.Diamond fungua idara ya Kingereza mpeleke huko binafsi sijapenda.

  • @iddibishinaba644
    @iddibishinaba644 หลายเดือนก่อน +2

    Hello there mimi naitwa Iddi kutoka Marekani. Dada yangu kazi nzuri unayo fanya ila nataka kutowa ufafanizi kidogo. Kinachomfanya mchezaji alipwe kiwango kikubwa na service yake anayo towa kwa timu wala sio mtu. Kinachosajiliwa sio mtu bali nikilile unacho fanya. Mbona feiso analopwa mpunga wakutosha nikwasababu yakile anacho honyesha uwanjani.

    • @DM_15
      @DM_15 หลายเดือนก่อน

      Nikweli kulipwa pesa nyingi nikutokananskazi unayo fanya but hii hapa tz imeanzajuzituu wakati simba ikifanya transformation. Nyumahuko wachezaji walikua waburudishajituu hawakua wanalipwa pesanyingi hata uwe star, unakumbuka akina Alex masawe pawasa akina chumila mogela chuji wotehao wengiwao waliendesha maishayao kwa biasharanyingine nje yampira walioweza kujipanga mbakaleo wana maisha angalau wengine walipoteakabusa. Hivyo diva hajakosea

  • @JumaMusa-q4y
    @JumaMusa-q4y หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana INJINIA

  • @EnessioRhumba
    @EnessioRhumba หลายเดือนก่อน +2

    Ongea kiswahili

  • @AbubakarmadaiAbubakarmad-qo3cq
    @AbubakarmadaiAbubakarmad-qo3cq หลายเดือนก่อน +1

    Siwapingi wasaf

  • @sakinamsafiri8660
    @sakinamsafiri8660 หลายเดือนก่อน +1

    Yaani....yaani...wazee tulikuwa tunawaheahimu lkn mimi naomba kuanzia leo wapite hivi👉

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np หลายเดือนก่อน +3

    Siasa na mpira wapi na wapi

  • @samben4442
    @samben4442 หลายเดือนก่อน +1

    Team inakuwa na wazee kwani ni ukoo huo, waache mambo yao

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 หลายเดือนก่อน +1

    Anaharibu kipindi huyu dada jamani mpira wanasikiliza hata wasio soma lugha tangaza kiswahili mhuuu

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 หลายเดือนก่อน +1

    Vimetumwa hivyo vizee

  • @remmymkhumbi3095
    @remmymkhumbi3095 หลายเดือนก่อน +4

    Diva unaongea na watanzania hicho kiingereza chako nawe tutakupeleka mahakamani 😅

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx หลายเดือนก่อน +3

    Hawako kwa maendeleo walitka wachangishe pesa hovyo hovyo ili wapate chakula kupitia Logo ya timu

  • @DutuPaul
    @DutuPaul หลายเดือนก่อน +2

    Hawa wazee maskini wanaweza kuendesha tim tuwalaani waachie timu yetu wakaae mbali na umaskini wao huko

  • @RoseMnyampanda
    @RoseMnyampanda หลายเดือนก่อน +1

    Hao wazee wasitutimbue

  • @fadhilindunguru7946
    @fadhilindunguru7946 หลายเดือนก่อน +1

    Wazee Day

  • @jimmymhina1264
    @jimmymhina1264 หลายเดือนก่อน +1

    Nyie waandishi mkiwa mna ongea na mteja mumsikiluze Kwa makini na siyo pale Penye point yenu mnayo itaka,Mzee kasema amekubali maendeleo ya Yanga .Lakini hayo maendeleo aliyo leta yasifanye kukukuka taratibu yaani katiba

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 หลายเดือนก่อน +2

    Kwakwel hili taifa letu linamambo ya ajabu sanaaa...! si hasa imekaa vibaya sana kwa tanzania hiii...!

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani Kwan wao ni nani hasa katika YANGA hiii

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 หลายเดือนก่อน +4

    Tunaomba majina ya wazee hao please. Tulikuwa tunasikia waarabu wanamaamzi magumu sasa wakati unaenda kufka

  • @ezekielabel5843
    @ezekielabel5843 หลายเดือนก่อน +2

    Hajui sheruhi,

  • @JumbeOjaso
    @JumbeOjaso หลายเดือนก่อน +2

    Hii kesi ilifunguliwa lini na kwa nini vyombo vya habari havikuiripoti?
    Hukumu ya mahakama ya kisutu itakatiwa Rufaa na maisha ya kawaida yataendelea, wala Hukumu hii isiwatie hofu, kwani, wanachama wa yanga % 99 wanaikubali yanga hii na hakuna zaidi ya.
    Kuweni na amani hizi ni kelele za muda tu.

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 หลายเดือนก่อน +3

    MAKOLO WAMEFURAHIIIIII SANA KUSIKIA ENGENEER HERISI SAIDI ANATOKA HA HA HA HAAA MAKOLO HOYEEER KWELI LEO NIMEAMINI SIMBA WOOTE NI MAKOLO ILA MTAMBUE YANGA ATOKI MTUUU WANGA NYINYI 😂😂😂😂

    • @TheSalama2525
      @TheSalama2525 หลายเดือนก่อน

      Hatoki Mtu yoyote Hao Wazee tutawachoma moto.

  • @TheSalama2525
    @TheSalama2525 หลายเดือนก่อน +2

    Hao Wazee ni Wachawi lazima mulifahamu...Haikubaliki hivi wanavyotaka...kusudio Lao kuchafua Nchi yetu..... Wasaidizi wa Mama mpelekeeni Habari hiyo mbaya asione ajabu Jangwani tukakugeuza Nairobi.. tujuane Wananchi wote.

  • @majaliwamussa1343
    @majaliwamussa1343 หลายเดือนก่อน +2

    HAO WAZEE NI WACHAWI

  • @Mwenjala
    @Mwenjala หลายเดือนก่อน +3

    Hawa wazee wamerogwa

  • @user-gj1bx9ow3u
    @user-gj1bx9ow3u หลายเดือนก่อน +1

    Mimi nikijana nitakua mzee ila sio mzee wa hovyohovyo kama wazee wa yanga ingawa sio wote

  • @SaidMbande
    @SaidMbande หลายเดือนก่อน +1

    Kwan lazima kuwa yanga wanatakiwa wajue njaa mbaya awatakiwi kuvumiliwa hata kidogo

  • @sittandaki2135
    @sittandaki2135 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani hawa wazee wamehongwa tu hawana haya

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 หลายเดือนก่อน +6

    Mafanikio ya yanga yamevuruga stability ya simba... na hakuna team ya kufunga yanga, ni mahakama tu.. hiyo hukumu ni kuhamisha agenda ya nchi,tuache kufuatilia issues za wafanyabiashara wa tz na yanayoendelea Kenya

    • @SaidiMkome-qq7hy
      @SaidiMkome-qq7hy หลายเดือนก่อน +1

      Leo team kwakuwa yamewakuta sio ivi Kuna team inazungumziwa tz hii kma simba wazee mgeni nn Aya mambo ya kawaida tyuu na yakitokea ndiyo kma ivi na sio mara ya kwanza au mgeni ndugu kwenye soka Ili ndugu izo ndiyo simba na yangu karibu acha kujaa upepo🙌

    • @emanuelikisanga7513
      @emanuelikisanga7513 หลายเดือนก่อน

      0​@@SaidiMkome-qq7hy

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi หลายเดือนก่อน

      Msianze kusingizia Simba, tangu mwanzo mliambiwa mambo ya kupitisha MTU bila kupingwa. ( Lengo lilikua Zuri, kiongozi Ni mzuri ila shida katiba yenu hamjaifuata). Hawasema kiongozi ni mbaya. " UTARATIBU MLIOJIWEKEA UFUATWE". Mpira wa Bongo bado ujanja mwingi. Migogoro ya Ndani hiyo. Na hiyo kesi imefunguliwa tangu 2022 Wala sio Leo 😂😂

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 หลายเดือนก่อน

      Sio kweli wanazuiaje we usiangalie yanaendelea kenya kwa utandawazi huu, hiyo kesi imeenda kortini hata kabla ya hiyo uprising ya kenya haya mambo yako tz kwa vila Hivi huu ni upuuzi ambao upo since time immemorial

  • @givenMwakalindile-nd8tp
    @givenMwakalindile-nd8tp หลายเดือนก่อน +5

    Watangusha watu presha hao wazee

    • @TheSalama2525
      @TheSalama2525 หลายเดือนก่อน

      Mandamus tu Jangwani

  • @ghulamhaji7856
    @ghulamhaji7856 หลายเดือนก่อน

    The Best footballers je ni wa kwenu Tanzania kwann msitengeneze the best footballers wa Kitanzania

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 หลายเดือนก่อน

    Nyinyi waandishi msigeuke kuwa washabiki fanyeni utafiti kisha ndio mtoe maelezo ndio maana sasa watu wanawskimbia

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 หลายเดือนก่อน

    Mpe nafasi mwenzio pia aonger

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 หลายเดือนก่อน

    Makombe hayahalalishi batili, na pesa sio kigezo cha kuvunja sheria, Mzee Magoma yupo sahihi na ndio maana Mahakama imetoa hiyo hukumu.

  • @kambalekambale541
    @kambalekambale541 หลายเดือนก่อน +4

    Mh raisi fukuza hao mahakim watatuharibia nchi

    • @TheSalama2525
      @TheSalama2525 หลายเดือนก่อน

      WANANCHI HATUWATAKI HAO WAZEE WACHAWI

  • @sittandaki2135
    @sittandaki2135 หลายเดือนก่อน +1

    Wachawi wa yanga wanachangia kuharibu timu za hapa Tanzania hao wazeee wapuuzweee tu hawanauwezo wakuiongoza Timu wanataka kuirudisha yanga ilipotoka

  • @oigenmwaya6018
    @oigenmwaya6018 หลายเดือนก่อน

    Hiv huwezi kuzungumza kiswahili vizuri au kujishaua uongozi wa wcb mtafutieni kipindi cha kiingereza tu kuliko kuchanganya lugha ovyoo kabisaa

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 หลายเดือนก่อน

    Mahakama ndio chombo kinachotafsiri sheria sasa kama mna tatizo na hukumu mnatakiwa muende Mahakamani na sio kumzonga Mzee Magoma.

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 หลายเดือนก่อน

    Ina maana hoyo kesi toka imefinguliwa mpaka hukumu inatolewa mahakama haikuweza kuujulisha uongozi? Iweje wanachama hatujui kama tunakesi? Vipi watu wawili watuamulie maelfu ya wanachama?

  • @TheSalama2525
    @TheSalama2525 หลายเดือนก่อน

    Hii hukumu Wananchi hatuibali kabisa,, wasisababishe Uvunjifu wa Amani.... Mama Samia kila leo unasisitiza Amani,,, Mbona hawa Wazee wanataka Machafuko makubwa Daresalam??

  • @piussimtala5111
    @piussimtala5111 หลายเดือนก่อน

    Mahakamani tena?

  • @miangijunior4358
    @miangijunior4358 หลายเดือนก่อน

    KUNAWAKATI TUNAHITAJI KUSIKIA MAWAZO YA HUYO UNAEFANYANAE KIPINDI ILA TATIZO DIVA UNAONGEA SANA UNATAKA KUSIKIKA WEWE TU MWEZIO AKIONGEA KIDOGO TU UNAMKATISA WHY UNABOA ETI!"

  • @user-cr4th9lr6b
    @user-cr4th9lr6b หลายเดือนก่อน +2

    Mimi ningekuwa mdhamini ningewaachia team hao wazee

    • @29WavesTV
      @29WavesTV หลายเดือนก่อน

      UMEWAZA EXACTLY KAMA MIMI waachie klabu nyngne ianzishwe

    • @rashididotto277
      @rashididotto277 หลายเดือนก่อน

      😂😂bora ulivokosa kuwa ndugu yangu.maana ungetuchanganya sanna. yan unajuwa kuna watu wengine wamekaa kuvuruga hal ya hewa, hawapend kuona sehem kuna aman. najarbu kujiuliza ao wazee wakipewa iyo team wanaweza kufanya zaid ya alivyofanya ghalib na gsm yake😂. yan uwez amin asilimia 99 yA wana yanga naiman hawatakuwa pamoja na ao wazee muda walio anzisha ili jambo sio sahh watafute muda mwengine lakin sasahv hakuna mwanayanga mpenda maendeleo atakae kubal hersi said aondoke madarakan kwa upumbav wa watu wachache.

  • @Zuberigangisa-dk9ne
    @Zuberigangisa-dk9ne หลายเดือนก่อน

    Kuna watu wamekosa fikra Sana, timu hiyo ya wananchi na sio ya mzee, niko NAMTUMBO

  • @sarahmichael1327
    @sarahmichael1327 หลายเดือนก่อน

    Hao wazee wametumwa jamani yani dah

  • @BashiruShawed
    @BashiruShawed หลายเดือนก่อน

    Kwani kiswahili amukijuwi nyinyi

  • @SmilingBirdwingButterfly-yq3he
    @SmilingBirdwingButterfly-yq3he หลายเดือนก่อน

    Hao wazee wamezoea kujinufaisha wao sasa naona njia za kujinufaisha zimefungwa sasa wanataka kumtia ili waendelee kujinufaisha wao

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 หลายเดือนก่อน

    kipindi cha wazungu maaana ni kingereza kitupu tu hapa kinaongelewa

  • @martinkasera1642
    @martinkasera1642 หลายเดือนก่อน

    Wedada mtangazaji unaboa kiswangilish ni lugha ganihiyo uchagae kutumia lugha unayoijua

  • @ghulamhaji7856
    @ghulamhaji7856 หลายเดือนก่อน

    Mpaka leo wachezaji wazawa wanalipwa very low hatuthamini wachezaji wetu

  • @AmidaNdeu
    @AmidaNdeu หลายเดือนก่อน +1

    Wana nch tuandamane hakuna kuachia

    • @cngeze
      @cngeze หลายเดือนก่อน

      Mwambie Hersi afuate sheria basi

    • @Adrianolaurian
      @Adrianolaurian หลายเดือนก่อน

      ​@@cngezesheria gani,

  • @elizabetty-rt7py
    @elizabetty-rt7py หลายเดือนก่อน

    Hawa wazeee awana akili, timu kwa Sasa Iko vizulii hao wazeee wanataka Nini, wazee mtoke yanga msitulenteee mauchawi yenu tokeni yanga, na plizsidet wa yanga atoki msutualibie timu, hiii sio timu ya mtaani, tokeni Yani mmetulibia siku sana, Yani haya mazee ndio yaleyale matumbo mfoko tokeni mkalishwe na watoto wenu,

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g หลายเดือนก่อน

    Usitumie mabavu kunyonya wengine pesa yakoisikufanye kunyonya wengine utaratibu nikituchamusingi sana

  • @user-qe7gw2ox2k
    @user-qe7gw2ox2k หลายเดือนก่อน

    Wewe mbona kimombo kingi

  • @BensonDickson-xf1ge
    @BensonDickson-xf1ge หลายเดือนก่อน

    Mbona mnalia sasa!

  • @user-xz7fm3sf7z
    @user-xz7fm3sf7z หลายเดือนก่อน

    Katiba inasemaje

  • @husseinfundikira3616
    @husseinfundikira3616 หลายเดือนก่อน

    Tuwajue ao wazee au mzee unataka nni ukae miaka yote

  • @Zenny89
    @Zenny89 หลายเดือนก่อน

    Wazee Ndo wakina Nani? Wananini?…Njaa tuuu😂

  • @habibukassam9702
    @habibukassam9702 หลายเดือนก่อน +1

    Wazee wachawi utawajua tu wakafirwe na watt wao

  • @IgyMafene
    @IgyMafene หลายเดือนก่อน

    Wanazingua wataenda kuangalia hizo mechi wenyewe

  • @SixtusSperatus
    @SixtusSperatus หลายเดือนก่อน

    Kwanza sheria zime wekwa ili zivunje

  • @JuniorMbando
    @JuniorMbando หลายเดือนก่อน

    Ongea kiswahili au kingereza ungea hatukuelewi unachanganya nn sasa

  • @seiphomary834
    @seiphomary834 หลายเดือนก่อน

    Ss hatuna haja ya sheria tunataka wazee watuambia wao wanataka nn harafu tuwape timu yao wazee ss tutaacha jina lao tutanunua singida fc harafu tutahamia huko harafu tutawaacha na jina lao yanga kuna wakat sio mfumo kuna nyakat sheria zinabadilika sana tena sheria za kibinaadamu tumeshuhudia mengi kwenye chama uwe wa kwanza kula za maono unakuta wa tatu kapewa kiti kwenye jimbo unakuta wa nne katangazwa bas tuwe fair enough mahakama mkiona sehemu kuko stable ebu tuache ujinga tufanye mambo mengine mnataka timu ziende mbele mnataka mafanikio nyny mna haribu mifumo tena kwel nch yetu tunapenda ujinga sio reality

  • @sairshelly
    @sairshelly หลายเดือนก่อน

    Diva huna ujuwalo. Yani sifa zote hizo na top 10 kwa yanga bila kuitaja Simba? Unajuwa ka.a Simba ipo top 7? Yanga haipo top 10. Afrika ipi inazungumzia usajili wa Tz? Au hapo wasafi unaona ndiyo Afrika nzima? Fanya mambo ya mapenzi ndiyo fani yako mbibi

  • @hamzahabibu1050
    @hamzahabibu1050 หลายเดือนก่อน

    Hao wazee wanatutafuta ubayaaa

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 หลายเดือนก่อน

    Kwanza wazee hao mambumbumbu kiukweli Kwa wazee hao hakuna hata mmoja mwenye uwezo wa kuiendesha hiyo timu na naamini hao wamepewa mpunga ili watuharibie timu yetu na ni washamba sana walianza na manji afu wanakuja Kwa huyu GSM ,hivi hawaoni Aibu hata Kwa mafanikio tuliyonayo ??? Wamepigwa na kitu kizito!!!

  • @user-jk3qx3dt6c
    @user-jk3qx3dt6c หลายเดือนก่อน

    Hebu tumuulize Mwanasheria wa Yanga, anasemaje juu ya jambo Hilo?

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 หลายเดือนก่อน

    case sio kumudu garama case ni uhalali wa uwepo wao tuu

  • @meshajohn8713
    @meshajohn8713 หลายเดือนก่อน +2

    Wazee ndonini? Kumalamamazao?,mmbwa Hawa?

    • @kassidpandu866
      @kassidpandu866 หลายเดือนก่อน

      umesahau leo Wazee Day?

  • @ephulaemsengo2816
    @ephulaemsengo2816 หลายเดือนก่อน

    Hao wazee mikuma ya mama zao

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh หลายเดือนก่อน

    Ambacho hamkijui hao wazee wanashawishiwa na simba kuivuruga yanga ipoteze muelekeo

  • @khamisassan9556
    @khamisassan9556 หลายเดือนก่อน

    Wewe diva ni mshamba

  • @seiphomary834
    @seiphomary834 หลายเดือนก่อน

    Watu huko mpaka sasa hatujui tunapata vp viongoz wa serikal za mitaa katika mfumo upi wa sheria mnaenda sehemu zilizo kuwa stable hebu tuache ujanja ujanja nchi yetu

  • @VoiceLions-xu7uf
    @VoiceLions-xu7uf หลายเดือนก่อน

    Wazee wanahalibu timu hawatakiwi kuwepo kwenye yanga yetu

  • @user-yr4pv2vj7m
    @user-yr4pv2vj7m หลายเดือนก่อน +3

    Ao wazeee nyumba zao tuta pija moto waache warete njaaaaa zao izoo

  • @chidtec4485
    @chidtec4485 หลายเดือนก่อน

    Issue ni utaratibu haujafuatwa aende tu

    • @HorebuKasuku-zz8cj
      @HorebuKasuku-zz8cj หลายเดือนก่อน

      Myaka hii yote sababu gani walikuwa kimya?

  • @Mtituboy
    @Mtituboy หลายเดือนก่อน

    Heshimuni Sheria utopolo

  • @allyramadhanikazi2416
    @allyramadhanikazi2416 หลายเดือนก่อน

    Hawa wazee wangefukuzwa wasijihusishe na Moira hadi wanakufa

  • @chidtec4485
    @chidtec4485 หลายเดือนก่อน

    Feisal mzimu wake unafanya kaz sasa

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j หลายเดือนก่อน

    Yanga inapenda izungumzwe kwenye media inatengeneza taharuki siku hizi kwa makusudi ili ivume mitandaoni, nyie ham juii🤐🤐

  • @omarifadhili651
    @omarifadhili651 หลายเดือนก่อน

    Kuna wazee Hawana akili sijui wamehongwa ili waiharbu timu ama vp

  • @salvatorymushi2038
    @salvatorymushi2038 หลายเดือนก่อน

    Hao wazee ni akina nani tunataka tuwajue
    Wazeeee wazeee ....sisi tunajuà wazeee wamechoka ...au ndo masuala ya ugali??
    Hapo kutakuwa Kuna wazee wachache tu wanataka kuivuruga yanga yetu ...wanajivunia uchawi tu hakuna kitu hao

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m หลายเดือนก่อน

    Yanga wanapata laana zurumaaa

  • @usatoenglandvegas4046
    @usatoenglandvegas4046 หลายเดือนก่อน

    Sisi waki mtowa Hersi sisi tuta wa fuata kwao Yanga sio ya mtu wajuwe hayo

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 หลายเดือนก่อน

    Haihusu hivi wewe una kiwanja Huna uwezo wa kujenga mtu mwenginekakichukua sasa eti sababu wewe huwezi kujenga si sawa tengenezeni taratibu kanuni na sheria mnazoweza kuzifuata siyo kufanya uhuni

    • @ekimnkande2873
      @ekimnkande2873 หลายเดือนก่อน

      Yanga ni timu kubwa haitakiwi madudu mara mfungiwe mara mahakamani kesi mmeshindwa mara Fei toto morisoni very Sad

  • @jimmymhina1264
    @jimmymhina1264 หลายเดือนก่อน

    Namsiongee km watu wa Mtani nyinyi ni waelimishaji ,timu ya wananchi hii laugha ni ya kimtaa ,kishabiki wananchi wapi? Siyo wananchi wote,lugha sahihi sema timu ya Wanachama wa Yanga, pia usiongelee Jambo km km hulijui eti bad guy, ooh sijui nanini yule wewe kipindi hakikufai.

  • @DoreenTesha-kk2kw
    @DoreenTesha-kk2kw หลายเดือนก่อน

    Iyo siasa ni uchawi kwenye soka ,,wapuuzi hawa

  • @SylivesterKilunga
    @SylivesterKilunga หลายเดือนก่อน

    Kikubwa katiba ifuatwe wanayanga wenzangu

  • @ephulaemsengo2816
    @ephulaemsengo2816 หลายเดือนก่อน

    Laana ata pata mama ako

  • @saidkhadija7557
    @saidkhadija7557 หลายเดือนก่อน

    huyo onesmo hajui kitu

  • @RoseMnyampanda
    @RoseMnyampanda หลายเดือนก่อน

    Mh rais ingilia Hilo swala nyie wazeeeee