🔴

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 155

  • @zainabukimolo5827
    @zainabukimolo5827 5 หลายเดือนก่อน +26

    Momo ana busara mnoo na kinachomsaidia ni hyo hofu ya mungu,msikilizeni vzr mtamuelewa❤ allah akupe maisha ya furaha wew na mkewe mpk mzikane inshaalah

    • @MimahMimah-b7k
      @MimahMimah-b7k 5 หลายเดือนก่อน +3

      Ni kweli kabisa na wanaume wa namna hii ndio wanapata wanawake visirani maskini

    • @fauziasultanikilewa7602
      @fauziasultanikilewa7602 5 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@MimahMimah-b7kbwanaweee umenena

    • @deborahsamwel5833
      @deborahsamwel5833 5 หลายเดือนก่อน +1

      Shida ni kuwa bado anampenda malaika ila malaika mwenyewe sasa kawa mdada wa mjini hatari. Afu momo mpole

    • @MayaAlamari
      @MayaAlamari 5 หลายเดือนก่อน

      @@zainabukimolo5827 aaminy yaarab

    • @khadijaamur6032
      @khadijaamur6032 5 หลายเดือนก่อน +1

      Mm mwenyewe nimesema hivyo

  • @gasperlugaila2076
    @gasperlugaila2076 5 หลายเดือนก่อน +17

    smart sana momo mwanamke akipiga kelele silence is the best answer . saf momo

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 5 หลายเดือนก่อน +10

    Mashaallah mungu akujaalie hivo hivo uwe kiongozi juu ya family yako inshallah

  • @LatifaMwandu
    @LatifaMwandu 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah kaka una busara sana.wanaume wengi wangekuwa hivi...ingependeza sana.mwenyezi mungu awabariki ktk ndoa yenu

  • @ZuhuraHamadi-py4cu
    @ZuhuraHamadi-py4cu 5 หลายเดือนก่อน +3

    Pole momo , jipanguse hiyo roho ya kukataliwa hadharani isiendelee, 😢so pain full muachie mungu atakupa faraja yako yakudumu

  • @CatySungula
    @CatySungula 5 หลายเดือนก่อน +7

    Hongera Sana Momo, Mungu akujaalie ndoa yenye heri jamani. Hongera pia Mungu kukuepusha na Hilo limwanamke lishetani. Hakuna malaika hapo ni shetani

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mashaallah nafurahi kumsikia ulimi wake anaongea maneno ya kheri mungu atakustiri inshallah na akupe furaha na maskilizano na mke wako ameen

  • @Ruu974
    @Ruu974 5 หลายเดือนก่อน +17

    Momo ni wazi anampenda malaika sema malaika wameshindwana tabia

    • @GiftAbduly
      @GiftAbduly 5 หลายเดือนก่อน

      Kabisaaaaa

    • @shanibaniyas6308
      @shanibaniyas6308 5 หลายเดือนก่อน

      Kabisaa😔

    • @lifeonearth94
      @lifeonearth94 5 หลายเดือนก่อน

      Kapenda tako, simlaumu malaika kumuacha mana kila mwanaume atampendea hilo tako

    • @GiftAbduly
      @GiftAbduly 5 หลายเดือนก่อน

      @@lifeonearth94 alikua hana ata tako la ivyo huyo kaenda zake kuongezea

    • @lifeonearth94
      @lifeonearth94 5 หลายเดือนก่อน

      @@GiftAbduly ila ni wazi upendo huo mnaousema upo sababu ya hilo tako
      Litoke na huo upendo unapotea ghafla

  • @KanteNgoro-p5u
    @KanteNgoro-p5u 2 หลายเดือนก่อน +1

    Umetisha sana momo

  • @rahmasalim1989
    @rahmasalim1989 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ricadomomo mpe nasaha mdogo wako Diamond aweze kumrudia mungu wake, amuoe zuchu na kuliko hiki wanachokifanya, zinaa. Halafu wazazi wanaangalia uchafu huu. Inatakiwa wakemee.

  • @firdaussheikh4817
    @firdaussheikh4817 5 หลายเดือนก่อน +8

    Aibu sana mwanamke akufedheheshe hivo. Momo sura imemshuka 😢 🇬🇧

    • @Mina.15
      @Mina.15 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 5 หลายเดือนก่อน +11

    The switch imeanza kuwa tamu sana siku hizi jamani!!!!!

  • @jasperyassin1708
    @jasperyassin1708 5 หลายเดือนก่อน +1

    Momo umetisha San Big up san

  • @BernardMgimba
    @BernardMgimba 5 หลายเดือนก่อน +2

    Jamaa anaongea point sana 🫡

  • @isirlyissa8684
    @isirlyissa8684 5 หลายเดือนก่อน +12

    Momo anampenda sana malaika anateseka sana maskin 😢mapensi mamae 😂😂

    • @PendoPeter-rr4jk
      @PendoPeter-rr4jk 5 หลายเดือนก่อน +7

      😂😂hata huyo aliye olewa ajipange kuishi na mtu anaye mpenda mtu mwingine kz sanaa

    • @Ruu974
      @Ruu974 5 หลายเดือนก่อน +5

      Malaika ana jua momo ana mpenda ata mtesa sana maskini

    • @ThomasfrancisMvella
      @ThomasfrancisMvella 5 หลายเดือนก่อน

      All in all ,,momo anatakiwa hajitahidi ku move on...jaman mapenzi yasikie kwa mwenzako tu, yakikukuta utajua ni kwa nn wengine wanagoma kuachana. Haata kama wanaona kabsa, hawahitajiki....

    • @MerryRenatus-ck4lz
      @MerryRenatus-ck4lz 5 หลายเดือนก่อน

      Umewaza kama mimi😢​@@PendoPeter-rr4jk

  • @zuwanahemedy9170
    @zuwanahemedy9170 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu akujaliye mkwe wangu hphp kamatiya kwenye dini

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 5 หลายเดือนก่อน

    Wallai Momo Iman ya Dini imetulia sana Big up mashaa Allah

  • @نجمةموبيبي
    @نجمةموبيبي 5 หลายเดือนก่อน +20

    Ila huyu kaka , hakubaliani Na hili , yote hayo bado hujatoa talaka , wewe ndo unaonekana bado hukubali , mwanamke anazurura Na wanaume kila kukicha bado wewe unasema ni mume wake mbona unashindwa kummudu mwanamke akatulia , Na yeye kashajua atafanya mambo yake kwake hupindui , unazalilika kila kukicha mitandaoni , dini unaijua lakin umefeli kwenye kufanya maamuzi.

    • @Ruu974
      @Ruu974 5 หลายเดือนก่อน +2

      Yanaitwa mapenzi

  • @RamadhaniChamuange
    @RamadhaniChamuange 5 หลายเดือนก่อน +3

    MOMO NI MAN OF THE MATCH, huo ndio uwanaume na hiyo ndio type ya wanawake tulokua nao eeeh mungu tupe hekima waalah

  • @flonahshimungah7758
    @flonahshimungah7758 5 หลายเดือนก่อน +10

    Nimemchukia Malaika... she didn't have to do that... tabia mbaya!

  • @worldentertainment9865
    @worldentertainment9865 5 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa mbna huyo malaika amepanick hvyo, inaonekana amekasirishwa na momo kuoa mke mwingne wanawake bana😂😂😂😂😂😂

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 5 หลายเดือนก่อน +17

    Unavyojinyenyekesha ndio anapata kichwa kuona huja move on

  • @chifkeef5000
    @chifkeef5000 5 หลายเดือนก่อน +5

    eti na mahusiano yangu!! asiseme mwanaume wangu aseme wanaume wangu 😂😂😂😂😂

  • @Mina.15
    @Mina.15 5 หลายเดือนก่อน

    Pole kaka 😂😂

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 5 หลายเดือนก่อน +7

    Mambo 3 katika dini hayatakiwi kucheleweshwa no 1 ndoa no2 mtu akitaka kubadili dini no 3 mtu akifa awahishwe kuzikwa kila la kher likado momo ikawe ya kher inshallah

  • @mlelwatv5831
    @mlelwatv5831 5 หลายเดือนก่อน +3

    Hao wanapendana na demu kwanini apige simu 😂😂

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 5 หลายเดือนก่อน +3

    Sijapenda

  • @MayaAlamari
    @MayaAlamari 5 หลายเดือนก่อน +1

    Allah awape masikizano wanangu ndoa mawarda wa rahma awaruzuku kizazi chema yaarab

  • @KhamisBoss
    @KhamisBoss 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera san bro yote maisha

  • @michaelprofessional7574
    @michaelprofessional7574 5 หลายเดือนก่อน +2

    dah ya ricardo momo yamewahi kunikuta nikapenda pisi kali sana mzuri sana ila ana matukio balaa akaniacha ila mimi bado ,ngumu kumove on hasikuambie mtu ila nashukuru hatukufunga ndoa na hatukuwa tunaishi pamoja. lakini hii ikukuta kwenye ndoa ndio aibu kubwa,namuelewa riicardo sana anachopitia sana na najua kabisa bado moyoni hajakubali kabisa kuachwa mpaka ipite miaka mingi.

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 5 หลายเดือนก่อน +5

    momo ujamov on pole sanaa

    • @Ruu974
      @Ruu974 5 หลายเดือนก่อน +3

      Anampenda malaika na malaika anaitumia kama fiimbo ya kumchapia maskini anatia imani

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 5 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@Ruu974Au ni ulimbukeni wake tu kwa huyo mwanamke asiyejiheshimu .

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 5 หลายเดือนก่อน +1

    Momo mke wako asipokuheshimu ata pata tabu sana mimi naomba mungu akusimamie awape kheri

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 5 หลายเดือนก่อน +11

    Background music is too loud

  • @williepedro5295
    @williepedro5295 5 หลายเดือนก่อน +2

    Men we need to be treated well too with our ladies. Yay😎

  • @KelvinChana-bt4kz
    @KelvinChana-bt4kz 5 หลายเดือนก่อน +2

    momo ameongea point

  • @chifkeef5000
    @chifkeef5000 5 หลายเดือนก่อน +2

    eti naenda brasil ku host 😂😂😂 client kapatikana ibiza huko!!

    • @KwizeraBeathe
      @KwizeraBeathe 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @BerthaModest
      @BerthaModest 5 หลายเดือนก่อน

      Yan mbona kuhost

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 5 หลายเดือนก่อน

    🎉Momo very smart wallai

  • @chemstry409
    @chemstry409 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mdogo wango Momo kweli upo KWENYE MSITU MAANA MMEACHANA LAKINI WEWE BADO UNAONA MPO PAMOJA...duuuhh pole sana kaka ndio ukubwa huo......😢

  • @rizikiplatnumz5575
    @rizikiplatnumz5575 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nipo kwenye inter vew 😂😂😂 momo bwana

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 5 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa momo ulimuomba mungu akubadilishie furaha yako au akupe nyingn kakupa furaha nyingn lakn bado una nga'ng'ania ya zamani ni nini??? Ila malaika mhmmm kupanic kwann sasa😂 ..........

  • @flonahshimungah7758
    @flonahshimungah7758 5 หลายเดือนก่อน +19

    Nimemchukia malaika.. she didn't have to do that. Momo angeingia mashamshamu hio simu ipigwe lokole akiwepo.. 😂

    • @angelinakajana2795
      @angelinakajana2795 5 หลายเดือนก่อน +2

      Kweli Yani hii interview ingenoga zaidi kwenye mashamsham😂😂

    • @GloriaNikiza
      @GloriaNikiza 5 หลายเดือนก่อน

      Kesho atakuepo

    • @franksaga3413
      @franksaga3413 5 หลายเดือนก่อน

      Kalinda ugali wake kwa danga.

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda6039 5 หลายเดือนก่อน +5

    Malaika AMEPANIC JAMANIIII 😂😂😂😂😂

  • @KulwaMbeko
    @KulwaMbeko 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi ni mwanamke ila nawaogopa wanawake 😢😢

  • @RahmaRadjabu
    @RahmaRadjabu 5 หลายเดือนก่อน +14

    Momo bado anampenda malaika

  • @lissaseif4744
    @lissaseif4744 5 หลายเดือนก่อน +2

    Momo bado haja move on 😢😢😢

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official 5 หลายเดือนก่อน +3

    Wanaume wa Africa kwanini huwa amu move on?kwanini umuongeleee?ongea mambo yako ongelea mke wako mpya usimuongelee ameongea vizuri usimuongelee anamahusiano yake

  • @dizzomontana7219
    @dizzomontana7219 5 หลายเดือนก่อน

    Malaika roho ina muuma sana 😅😅😅😅

  • @modestsanga6043
    @modestsanga6043 5 หลายเดือนก่อน +2

    Momo nimwamba mnoo ila Dem anaonekana ameumia mwamba kuoa ukisikiliza anavyozungumzaa

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 5 หลายเดือนก่อน +1

    malaika kapanic sana

  • @Mwanatanga
    @Mwanatanga 5 หลายเดือนก่อน +1

    Malaika amtake nani namatako hyoo mabaya bhn😅😅😅 mahusiano fake hayoo😅😅😅😅

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 5 หลายเดือนก่อน

    Wewee momo usipomkazia huyo malaika ataendelea kukuzuzua 😮😮😮 hata kama bado unampenda na mmezaa kuwa na msimamo 😮😮😮 ukiendelea kuwa goigoi hata huyo mtashindwana

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 5 หลายเดือนก่อน

    Ipo ivi mungu amesema ivi mwanaume atakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa jasho..mwanamke pesa yake ni yakwake azawaiz aamue yeye mwanamke kwa hiyari yake ila sio sheria na sio by forcing...mwanaume inatakiwa awajibike kama mwanaume ...lil om acha kulelewa uko nikupingana na mungu...zawadi kwa wanawake kummpa mwanamke kwa hiyar sawa ila sio dhambi wala lazima akiacha kufanya ivyo ..kwaiyo habar ndo iyo lil om

  • @YunisJerald
    @YunisJerald 5 หลายเดือนก่อน +6

    Ana sauti kama ya baba Tiffa jamani

    • @rutibatinya
      @rutibatinya 5 หลายเดือนก่อน +1

      Les Nyanges😘 the same DNA!!

    • @rosehaule6765
      @rosehaule6765 5 หลายเดือนก่อน

      Yaan copy hawa ndgu kabisa na Monday ahiitaji DNAnimeamini walichisemaga kuwa wao ni ndgu

  • @unbreakableteam8225
    @unbreakableteam8225 5 หลายเดือนก่อน

    Hekma nyingi sana .. momo nakubali

  • @l.marley_2542
    @l.marley_2542 5 หลายเดือนก่อน

    Momo uko sahihi kabisa

  • @josephineosen7337
    @josephineosen7337 5 หลายเดือนก่อน +1

    Momo anaakili saaana

  • @issampenjage9960
    @issampenjage9960 5 หลายเดือนก่อน +6

    Momo ni mwalim mzuri wa vijn kweny upande wa mahusiano

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 5 หลายเดือนก่อน +2

    Malaika kapaniki ni kama kapanik Momo bora umeoa na shikilia hapo hapo usigeze shingo nyuma. Rikado usimuongelee tena huyo Malaika ukitaka kulinda ndoa yako mpya. Kwanza hana adabu, yeye anajua unampenda bado ndio maana anataka kukutia stress za kuwa ana mwanamme mwengine. Acha na huyo hakufai

  • @unbreakableteam8225
    @unbreakableteam8225 5 หลายเดือนก่อน +2

    Watu wenye hekma tumemuelewa momo

  • @nickysubaru2108
    @nickysubaru2108 5 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu jamaa ana akili mnoo

  • @GloriaNikiza
    @GloriaNikiza 5 หลายเดือนก่อน +1

    Momo bado anampenda malaika bado oooh

  • @StanMobileMagic
    @StanMobileMagic 5 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu mwamba anateswa na mapenzi

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen 5 หลายเดือนก่อน

      💯🤝🤝🤝✍🏽

  • @GhaniaAli-t7o
    @GhaniaAli-t7o 5 หลายเดือนก่อน +2

    Inaonekana haachika Badoo huyu na hajapewa talaka kakimbia tu nyumba

  • @HusseinRamadhani-tu3ld
    @HusseinRamadhani-tu3ld 5 หลายเดือนก่อน

    Huyo malaika kwanza hajafunzika kiadabu hata kidgo huwez kuzingumza maneno ya hvo kwa mtu aliefunzwa kiadabu

  • @NuruCleopa
    @NuruCleopa 5 หลายเดือนก่อน +1

    Malaika ndio anampenda momo mbona anspanic vitu vdogo

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 5 หลายเดือนก่อน

    Ipo iv mwanamke atazaa kwa uchungu mwanaume atakula kwa jasho lil om..usipende kulelewa ..sio sheria wala by forcing mwanamke kulipa or kuhudumia mwanaume nooo..big noo..lil om mwanaume ndo anapay bil kwa mwanamke wake...kama hela huna na mwanamke kaomba mtoko na wewe mwanaume haupo powa basi panga wewe..ila kwa matumizi usitegeemee za mwanamke...mana mungu ndo kasema ivyo pesa za mwanamke ni zakwake labda aamue kutumia dhidi yako kwa hiyar yake..sio by forcing..umeelewa lil om

  • @AsiaOmar-mr7bk
    @AsiaOmar-mr7bk 5 หลายเดือนก่อน

    Isee jmn mapenz yanaumiza mm ingekua kuna njia nyengine yakupata watoto bila kuolewa nisende olewa sema unaogopa kuzini lzm uolewe kuepuka uzinifu * mm naona wanaume ndio wanaumiza jmn

  • @MwasuKhamis
    @MwasuKhamis 5 หลายเดือนก่อน +4

    Alotoa idea ya date ndo jukumu lake kulipa

  • @Said_Abdul
    @Said_Abdul 5 หลายเดือนก่อน +5

    Malaika's phone call a sign of a injured animal. She is not happy momo to have a wife.

  • @rasmbegu
    @rasmbegu 5 หลายเดือนก่อน +1

    Husiano wa binadamu unachagamoto sana ni atari momo kaza damu yangu sisi wote ni wa dhaifu cha mhimu twende tuishi damu yangu

  • @SaidiMushi-h2k
    @SaidiMushi-h2k 5 หลายเดือนก่อน +1

    Tafsiri ya neno mwanaume ni kichwa cha familia huwa mnaitazamaje?

  • @Teresia-e8w
    @Teresia-e8w 5 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂kwenye hii dunia wanaoweza kushaur mahusiano ni navikenzo peke yao

  • @keifatuke99
    @keifatuke99 5 หลายเดือนก่อน +1

    MIMI NI MWANAMKE NINAE JITEGEMEA,NINACHOSHAURI WANAUME ,UKITAKA KUWA NA MKE BORA ACHA KUMPA UHURU ULIOPATILIZA,WANAWAKE WANAHITAJI KIONGOZI KWENYE NDOA, EITHER MWANAMKE NA ELIMU OR PESA,MKE NI MKE,NA MUME NI MUME,HATUFANANI.

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 5 หลายเดือนก่อน +2

    MALAIKA AMA SHWETWAN😂😂😂MWENYEWE ANAONA MAISHA KAYAPATIA.SHAME ON HER😢
    RICADOMOMO MUHESHIMU MKE WAKO WA SASA.ACHANA NA UYO SHWETWAN KUMZUNGUMZIA HAUONI UNAMUUMIZA MKEO?UMEONYESHA UDHAIFU WW KIDUME.NAONA SHWETWAN AKIPGWA MATUKIO ATARUD NA UTAMPOKEA😢JIREKEBISHE DEALS NA WIFE WAKO

  • @erikamartin2655
    @erikamartin2655 5 หลายเดือนก่อน

    MAONI YANGU NI KUWA OMMY SIKU HIZI ANAKUWA KWENYE SIMU SANA ZAIDI YA KUHOST INTERVIEW. NAONA HAIVUTII WATU HAWA INTERVIEW YA DI VOICE! JARIBU KU BALANCE!

  • @husseinmkongomkongo8447
    @husseinmkongomkongo8447 5 หลายเดือนก่อน

    Yani anaongea momo lakini aibu naona mimi,momo anapinda pinda lakini ukweli bado anampenda malaika,mana utetezi wake momo kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kuelewa.momo move on kaka,huyo malaika mwenyew shepu kama kabandikwa na gundi au cement,haina ushirikiano na viungo vingine.

  • @mwamvuaiddy9868
    @mwamvuaiddy9868 5 หลายเดือนก่อน

    sasa mmeachana na Taraka haujampa na dini yetu kama haujatoa Taraka ndoa bado ipo

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 5 หลายเดือนก่อน +3

    MALAIKA SIKU MOJA UTATAMANI KUFUTA HII KAULI!!!!! ITAKUA TOO LATE!!!!

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 5 หลายเดือนก่อน

    Sasa momo anasema talaka momo anasema hajatoa talaka bado anampenda

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 5 หลายเดือนก่อน +3

    SAUTI NA DAIMOND COPY NA PASTE

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 5 หลายเดือนก่อน

    Momo ushaowa sasa kwq nini unamuongeleya x?

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7s 5 หลายเดือนก่อน +4

    Mbona Malaika kapanic au anaogopa ataachwa na bwana mpya 😂😂😂

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 5 หลายเดือนก่อน

    Malaika amekunywa 🍺

  • @nassibunassoro389
    @nassibunassoro389 5 หลายเดือนก่อน

    R and L ni tatizo kwa watu wengi saana

  • @chifkeef5000
    @chifkeef5000 5 หลายเดือนก่อน +1

    bbl really pays 😂😂😂

    • @Ruu974
      @Ruu974 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen 5 หลายเดือนก่อน

      🤣😂🫣and stinky 🫣🤪😂

  • @MOHAMEDMEDHAMIS
    @MOHAMEDMEDHAMIS 5 หลายเดือนก่อน

    Momo Kafail Kumzungumzia Malaika Kwa Hii Interview...!

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 5 หลายเดือนก่อน

    Momo.ww ni mwanaume haswaa kaka familia inahitaji siri aina haja ya kuongea kumalizia utafika mbali kaka kwenye maisha ...umeelewwka vizuriii maana kuna baadhi ya wanaume wa sasa uwiii siri za ndani zote akiguswa kidogo tu kqmaliza yooote mda uhuu aliyopewa kuongea 😂😂 kwa mwanaume asiye na hekma angemaliza

  • @ebbychipa8010
    @ebbychipa8010 5 หลายเดือนก่อน +1

    Momo zee la kudele

  • @Quran-mk01
    @Quran-mk01 5 หลายเดือนก่อน

    omy hao vyuma mabahili

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 5 หลายเดือนก่อน

    Wewe ni shetani wee dodoma halafu unajifanya unajua dini mwanamke tusema umakuwa wazim sana au unadanganywa na hayo matako au kwa vile msomali au nini maana mwanamke amazing mwanake anatembea uchi na wewe unasema hujamuacha huoni kunabeba dhambi zote anazofanya au ndo ujinga ulionao vile ukimuona njiani unajisifu mke wangu s8jamyacha wacha uhanisi ati unajua dini dini gani hiyo

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 5 หลายเดือนก่อน

    Asitafute mzunguko sana anashindwa kusema anaogopa kusema ukweli anaona malaika atakasirika kiufupu kwa alikurupuka mwanamke sio hajatulia muhuni pili mavazi anatafuta wanaume wenyewe pesa

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 3 หลายเดือนก่อน

    I have learnt something 🎉

  • @ShaeebMohammed-e1h
    @ShaeebMohammed-e1h 5 หลายเดือนก่อน

    Kama mamaake diamond amemtia sumu diamond kumuambia mzee abdull sio babake ili asirithi mali

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 5 หลายเดือนก่อน +1

    Malaika ana 🧠 kama ya 🦟

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 5 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂

  • @seiphomary834
    @seiphomary834 5 หลายเดือนก่อน

    Muda gan unahtajka kuelekea kuoa ukiwa na mtu #

  • @RamlaJuma-ct9jb
    @RamlaJuma-ct9jb 5 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂

  • @abdallahamad7841
    @abdallahamad7841 5 หลายเดือนก่อน

    Mimi wewe ni mtu wa dini kwani humumbia mkondo akiwa na yeye apate kuachana na mambo ya ajabu

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 5 หลายเดือนก่อน

    Momo unaonekana dhaifu. Nyoosha maelezo hata watoto waeleze ukweli.usiwe mtumwa wa mapenzi.

  • @Naju645
    @Naju645 5 หลายเดือนก่อน +3

    Kama mm namwenzangu tumebakiza mwez tufunge ndoa hatuna mawasiliano Leo inaenda week yapili sijui ndio forever maana naona hakuna wakujishusha

    • @lucymtui8680
      @lucymtui8680 5 หลายเดือนก่อน

      Poleeee

    • @Urbanwastecollectors
      @Urbanwastecollectors 5 หลายเดือนก่อน +2

      Kama umelielewa Hilo nakushauri jishushe ili mtatue tofauti zenuu ..na pia kwenye maisha ya ndoa mara nyingi mkiwa wote juu hamna kitakachoenda

    • @NinaMon-b1y
      @NinaMon-b1y 5 หลายเดือนก่อน

      Mmmmh

    • @NinaMon-b1y
      @NinaMon-b1y 5 หลายเดือนก่อน +1

      Jishushe

    • @SekelaJakson-ls7dd
      @SekelaJakson-ls7dd 5 หลายเดือนก่อน

      Jishushe mwaya

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official 5 หลายเดือนก่อน

    Labda kwa Africa ila hapa ulaya mkitoka lazima wote mlipe nusu nusu sio mpaka usubiri mwanaume alipie nyote mnafanya kazi why mpaka ulipiwe kwani wewe kiwete?