Momo ana busara mnoo na kinachomsaidia ni hyo hofu ya mungu,msikilizeni vzr mtamuelewa❤ allah akupe maisha ya furaha wew na mkewe mpk mzikane inshaalah
Ricadomomo mpe nasaha mdogo wako Diamond aweze kumrudia mungu wake, amuoe zuchu na kuliko hiki wanachokifanya, zinaa. Halafu wazazi wanaangalia uchafu huu. Inatakiwa wakemee.
All in all ,,momo anatakiwa hajitahidi ku move on...jaman mapenzi yasikie kwa mwenzako tu, yakikukuta utajua ni kwa nn wengine wanagoma kuachana. Haata kama wanaona kabsa, hawahitajiki....
Ila huyu kaka , hakubaliani Na hili , yote hayo bado hujatoa talaka , wewe ndo unaonekana bado hukubali , mwanamke anazurura Na wanaume kila kukicha bado wewe unasema ni mume wake mbona unashindwa kummudu mwanamke akatulia , Na yeye kashajua atafanya mambo yake kwake hupindui , unazalilika kila kukicha mitandaoni , dini unaijua lakin umefeli kwenye kufanya maamuzi.
Mambo 3 katika dini hayatakiwi kucheleweshwa no 1 ndoa no2 mtu akitaka kubadili dini no 3 mtu akifa awahishwe kuzikwa kila la kher likado momo ikawe ya kher inshallah
dah ya ricardo momo yamewahi kunikuta nikapenda pisi kali sana mzuri sana ila ana matukio balaa akaniacha ila mimi bado ,ngumu kumove on hasikuambie mtu ila nashukuru hatukufunga ndoa na hatukuwa tunaishi pamoja. lakini hii ikukuta kwenye ndoa ndio aibu kubwa,namuelewa riicardo sana anachopitia sana na najua kabisa bado moyoni hajakubali kabisa kuachwa mpaka ipite miaka mingi.
Sasa momo ulimuomba mungu akubadilishie furaha yako au akupe nyingn kakupa furaha nyingn lakn bado una nga'ng'ania ya zamani ni nini??? Ila malaika mhmmm kupanic kwann sasa😂 ..........
Wanaume wa Africa kwanini huwa amu move on?kwanini umuongeleee?ongea mambo yako ongelea mke wako mpya usimuongelee ameongea vizuri usimuongelee anamahusiano yake
Wewee momo usipomkazia huyo malaika ataendelea kukuzuzua 😮😮😮 hata kama bado unampenda na mmezaa kuwa na msimamo 😮😮😮 ukiendelea kuwa goigoi hata huyo mtashindwana
Ipo ivi mungu amesema ivi mwanaume atakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa jasho..mwanamke pesa yake ni yakwake azawaiz aamue yeye mwanamke kwa hiyari yake ila sio sheria na sio by forcing...mwanaume inatakiwa awajibike kama mwanaume ...lil om acha kulelewa uko nikupingana na mungu...zawadi kwa wanawake kummpa mwanamke kwa hiyar sawa ila sio dhambi wala lazima akiacha kufanya ivyo ..kwaiyo habar ndo iyo lil om
Malaika kapaniki ni kama kapanik Momo bora umeoa na shikilia hapo hapo usigeze shingo nyuma. Rikado usimuongelee tena huyo Malaika ukitaka kulinda ndoa yako mpya. Kwanza hana adabu, yeye anajua unampenda bado ndio maana anataka kukutia stress za kuwa ana mwanamme mwengine. Acha na huyo hakufai
Ipo iv mwanamke atazaa kwa uchungu mwanaume atakula kwa jasho lil om..usipende kulelewa ..sio sheria wala by forcing mwanamke kulipa or kuhudumia mwanaume nooo..big noo..lil om mwanaume ndo anapay bil kwa mwanamke wake...kama hela huna na mwanamke kaomba mtoko na wewe mwanaume haupo powa basi panga wewe..ila kwa matumizi usitegeemee za mwanamke...mana mungu ndo kasema ivyo pesa za mwanamke ni zakwake labda aamue kutumia dhidi yako kwa hiyar yake..sio by forcing..umeelewa lil om
Isee jmn mapenz yanaumiza mm ingekua kuna njia nyengine yakupata watoto bila kuolewa nisende olewa sema unaogopa kuzini lzm uolewe kuepuka uzinifu * mm naona wanaume ndio wanaumiza jmn
MIMI NI MWANAMKE NINAE JITEGEMEA,NINACHOSHAURI WANAUME ,UKITAKA KUWA NA MKE BORA ACHA KUMPA UHURU ULIOPATILIZA,WANAWAKE WANAHITAJI KIONGOZI KWENYE NDOA, EITHER MWANAMKE NA ELIMU OR PESA,MKE NI MKE,NA MUME NI MUME,HATUFANANI.
MALAIKA AMA SHWETWAN😂😂😂MWENYEWE ANAONA MAISHA KAYAPATIA.SHAME ON HER😢 RICADOMOMO MUHESHIMU MKE WAKO WA SASA.ACHANA NA UYO SHWETWAN KUMZUNGUMZIA HAUONI UNAMUUMIZA MKEO?UMEONYESHA UDHAIFU WW KIDUME.NAONA SHWETWAN AKIPGWA MATUKIO ATARUD NA UTAMPOKEA😢JIREKEBISHE DEALS NA WIFE WAKO
MAONI YANGU NI KUWA OMMY SIKU HIZI ANAKUWA KWENYE SIMU SANA ZAIDI YA KUHOST INTERVIEW. NAONA HAIVUTII WATU HAWA INTERVIEW YA DI VOICE! JARIBU KU BALANCE!
Yani anaongea momo lakini aibu naona mimi,momo anapinda pinda lakini ukweli bado anampenda malaika,mana utetezi wake momo kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kuelewa.momo move on kaka,huyo malaika mwenyew shepu kama kabandikwa na gundi au cement,haina ushirikiano na viungo vingine.
Momo.ww ni mwanaume haswaa kaka familia inahitaji siri aina haja ya kuongea kumalizia utafika mbali kaka kwenye maisha ...umeelewwka vizuriii maana kuna baadhi ya wanaume wa sasa uwiii siri za ndani zote akiguswa kidogo tu kqmaliza yooote mda uhuu aliyopewa kuongea 😂😂 kwa mwanaume asiye na hekma angemaliza
Wewe ni shetani wee dodoma halafu unajifanya unajua dini mwanamke tusema umakuwa wazim sana au unadanganywa na hayo matako au kwa vile msomali au nini maana mwanamke amazing mwanake anatembea uchi na wewe unasema hujamuacha huoni kunabeba dhambi zote anazofanya au ndo ujinga ulionao vile ukimuona njiani unajisifu mke wangu s8jamyacha wacha uhanisi ati unajua dini dini gani hiyo
Labda kwa Africa ila hapa ulaya mkitoka lazima wote mlipe nusu nusu sio mpaka usubiri mwanaume alipie nyote mnafanya kazi why mpaka ulipiwe kwani wewe kiwete?
Momo ana busara mnoo na kinachomsaidia ni hyo hofu ya mungu,msikilizeni vzr mtamuelewa❤ allah akupe maisha ya furaha wew na mkewe mpk mzikane inshaalah
Ni kweli kabisa na wanaume wa namna hii ndio wanapata wanawake visirani maskini
@@MimahMimah-b7kbwanaweee umenena
Shida ni kuwa bado anampenda malaika ila malaika mwenyewe sasa kawa mdada wa mjini hatari. Afu momo mpole
@@zainabukimolo5827 aaminy yaarab
Mm mwenyewe nimesema hivyo
smart sana momo mwanamke akipiga kelele silence is the best answer . saf momo
Mashaallah mungu akujaalie hivo hivo uwe kiongozi juu ya family yako inshallah
Mashaallah kaka una busara sana.wanaume wengi wangekuwa hivi...ingependeza sana.mwenyezi mungu awabariki ktk ndoa yenu
Pole momo , jipanguse hiyo roho ya kukataliwa hadharani isiendelee, 😢so pain full muachie mungu atakupa faraja yako yakudumu
Hongera Sana Momo, Mungu akujaalie ndoa yenye heri jamani. Hongera pia Mungu kukuepusha na Hilo limwanamke lishetani. Hakuna malaika hapo ni shetani
Mashaallah nafurahi kumsikia ulimi wake anaongea maneno ya kheri mungu atakustiri inshallah na akupe furaha na maskilizano na mke wako ameen
Momo ni wazi anampenda malaika sema malaika wameshindwana tabia
Kabisaaaaa
Kabisaa😔
Kapenda tako, simlaumu malaika kumuacha mana kila mwanaume atampendea hilo tako
@@lifeonearth94 alikua hana ata tako la ivyo huyo kaenda zake kuongezea
@@GiftAbduly ila ni wazi upendo huo mnaousema upo sababu ya hilo tako
Litoke na huo upendo unapotea ghafla
Umetisha sana momo
Ricadomomo mpe nasaha mdogo wako Diamond aweze kumrudia mungu wake, amuoe zuchu na kuliko hiki wanachokifanya, zinaa. Halafu wazazi wanaangalia uchafu huu. Inatakiwa wakemee.
Aibu sana mwanamke akufedheheshe hivo. Momo sura imemshuka 😢 🇬🇧
😂😂😂
The switch imeanza kuwa tamu sana siku hizi jamani!!!!!
Momo umetisha San Big up san
Jamaa anaongea point sana 🫡
Momo anampenda sana malaika anateseka sana maskin 😢mapensi mamae 😂😂
😂😂hata huyo aliye olewa ajipange kuishi na mtu anaye mpenda mtu mwingine kz sanaa
Malaika ana jua momo ana mpenda ata mtesa sana maskini
All in all ,,momo anatakiwa hajitahidi ku move on...jaman mapenzi yasikie kwa mwenzako tu, yakikukuta utajua ni kwa nn wengine wanagoma kuachana. Haata kama wanaona kabsa, hawahitajiki....
Umewaza kama mimi😢@@PendoPeter-rr4jk
Mungu akujaliye mkwe wangu hphp kamatiya kwenye dini
Wallai Momo Iman ya Dini imetulia sana Big up mashaa Allah
Ila huyu kaka , hakubaliani Na hili , yote hayo bado hujatoa talaka , wewe ndo unaonekana bado hukubali , mwanamke anazurura Na wanaume kila kukicha bado wewe unasema ni mume wake mbona unashindwa kummudu mwanamke akatulia , Na yeye kashajua atafanya mambo yake kwake hupindui , unazalilika kila kukicha mitandaoni , dini unaijua lakin umefeli kwenye kufanya maamuzi.
Yanaitwa mapenzi
MOMO NI MAN OF THE MATCH, huo ndio uwanaume na hiyo ndio type ya wanawake tulokua nao eeeh mungu tupe hekima waalah
Nimemchukia Malaika... she didn't have to do that... tabia mbaya!
Sasa mbna huyo malaika amepanick hvyo, inaonekana amekasirishwa na momo kuoa mke mwingne wanawake bana😂😂😂😂😂😂
Unavyojinyenyekesha ndio anapata kichwa kuona huja move on
Ukweli huu kk
eti na mahusiano yangu!! asiseme mwanaume wangu aseme wanaume wangu 😂😂😂😂😂
Pole kaka 😂😂
Mambo 3 katika dini hayatakiwi kucheleweshwa no 1 ndoa no2 mtu akitaka kubadili dini no 3 mtu akifa awahishwe kuzikwa kila la kher likado momo ikawe ya kher inshallah
Hao wanapendana na demu kwanini apige simu 😂😂
Sijapenda
Allah awape masikizano wanangu ndoa mawarda wa rahma awaruzuku kizazi chema yaarab
Hongera san bro yote maisha
dah ya ricardo momo yamewahi kunikuta nikapenda pisi kali sana mzuri sana ila ana matukio balaa akaniacha ila mimi bado ,ngumu kumove on hasikuambie mtu ila nashukuru hatukufunga ndoa na hatukuwa tunaishi pamoja. lakini hii ikukuta kwenye ndoa ndio aibu kubwa,namuelewa riicardo sana anachopitia sana na najua kabisa bado moyoni hajakubali kabisa kuachwa mpaka ipite miaka mingi.
momo ujamov on pole sanaa
Anampenda malaika na malaika anaitumia kama fiimbo ya kumchapia maskini anatia imani
@@Ruu974Au ni ulimbukeni wake tu kwa huyo mwanamke asiyejiheshimu .
Momo mke wako asipokuheshimu ata pata tabu sana mimi naomba mungu akusimamie awape kheri
Background music is too loud
Men we need to be treated well too with our ladies. Yay😎
momo ameongea point
eti naenda brasil ku host 😂😂😂 client kapatikana ibiza huko!!
😂😂😂
Yan mbona kuhost
🎉Momo very smart wallai
Mdogo wango Momo kweli upo KWENYE MSITU MAANA MMEACHANA LAKINI WEWE BADO UNAONA MPO PAMOJA...duuuhh pole sana kaka ndio ukubwa huo......😢
Nipo kwenye inter vew 😂😂😂 momo bwana
Itakuwa ajamuaga😅
Sasa momo ulimuomba mungu akubadilishie furaha yako au akupe nyingn kakupa furaha nyingn lakn bado una nga'ng'ania ya zamani ni nini??? Ila malaika mhmmm kupanic kwann sasa😂 ..........
Nimemchukia malaika.. she didn't have to do that. Momo angeingia mashamshamu hio simu ipigwe lokole akiwepo.. 😂
Kweli Yani hii interview ingenoga zaidi kwenye mashamsham😂😂
Kesho atakuepo
Kalinda ugali wake kwa danga.
Malaika AMEPANIC JAMANIIII 😂😂😂😂😂
Mimi ni mwanamke ila nawaogopa wanawake 😢😢
😂😂😂😂😂
Momo bado anampenda malaika
Momo bado haja move on 😢😢😢
Wanaume wa Africa kwanini huwa amu move on?kwanini umuongeleee?ongea mambo yako ongelea mke wako mpya usimuongelee ameongea vizuri usimuongelee anamahusiano yake
Malaika roho ina muuma sana 😅😅😅😅
Momo nimwamba mnoo ila Dem anaonekana ameumia mwamba kuoa ukisikiliza anavyozungumzaa
malaika kapanic sana
Malaika amtake nani namatako hyoo mabaya bhn😅😅😅 mahusiano fake hayoo😅😅😅😅
Wewee momo usipomkazia huyo malaika ataendelea kukuzuzua 😮😮😮 hata kama bado unampenda na mmezaa kuwa na msimamo 😮😮😮 ukiendelea kuwa goigoi hata huyo mtashindwana
Ipo ivi mungu amesema ivi mwanaume atakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa jasho..mwanamke pesa yake ni yakwake azawaiz aamue yeye mwanamke kwa hiyari yake ila sio sheria na sio by forcing...mwanaume inatakiwa awajibike kama mwanaume ...lil om acha kulelewa uko nikupingana na mungu...zawadi kwa wanawake kummpa mwanamke kwa hiyar sawa ila sio dhambi wala lazima akiacha kufanya ivyo ..kwaiyo habar ndo iyo lil om
Ana sauti kama ya baba Tiffa jamani
Les Nyanges😘 the same DNA!!
Yaan copy hawa ndgu kabisa na Monday ahiitaji DNAnimeamini walichisemaga kuwa wao ni ndgu
Hekma nyingi sana .. momo nakubali
Momo uko sahihi kabisa
Momo anaakili saaana
Momo ni mwalim mzuri wa vijn kweny upande wa mahusiano
Malaika kapaniki ni kama kapanik Momo bora umeoa na shikilia hapo hapo usigeze shingo nyuma. Rikado usimuongelee tena huyo Malaika ukitaka kulinda ndoa yako mpya. Kwanza hana adabu, yeye anajua unampenda bado ndio maana anataka kukutia stress za kuwa ana mwanamme mwengine. Acha na huyo hakufai
Watu wenye hekma tumemuelewa momo
Huyu jamaa ana akili mnoo
Momo bado anampenda malaika bado oooh
Huyu mwamba anateswa na mapenzi
💯🤝🤝🤝✍🏽
Inaonekana haachika Badoo huyu na hajapewa talaka kakimbia tu nyumba
Huyo malaika kwanza hajafunzika kiadabu hata kidgo huwez kuzingumza maneno ya hvo kwa mtu aliefunzwa kiadabu
Malaika ndio anampenda momo mbona anspanic vitu vdogo
Ipo iv mwanamke atazaa kwa uchungu mwanaume atakula kwa jasho lil om..usipende kulelewa ..sio sheria wala by forcing mwanamke kulipa or kuhudumia mwanaume nooo..big noo..lil om mwanaume ndo anapay bil kwa mwanamke wake...kama hela huna na mwanamke kaomba mtoko na wewe mwanaume haupo powa basi panga wewe..ila kwa matumizi usitegeemee za mwanamke...mana mungu ndo kasema ivyo pesa za mwanamke ni zakwake labda aamue kutumia dhidi yako kwa hiyar yake..sio by forcing..umeelewa lil om
Isee jmn mapenz yanaumiza mm ingekua kuna njia nyengine yakupata watoto bila kuolewa nisende olewa sema unaogopa kuzini lzm uolewe kuepuka uzinifu * mm naona wanaume ndio wanaumiza jmn
Alotoa idea ya date ndo jukumu lake kulipa
Malaika's phone call a sign of a injured animal. She is not happy momo to have a wife.
Husiano wa binadamu unachagamoto sana ni atari momo kaza damu yangu sisi wote ni wa dhaifu cha mhimu twende tuishi damu yangu
Tafsiri ya neno mwanaume ni kichwa cha familia huwa mnaitazamaje?
😂😂😂kwenye hii dunia wanaoweza kushaur mahusiano ni navikenzo peke yao
MIMI NI MWANAMKE NINAE JITEGEMEA,NINACHOSHAURI WANAUME ,UKITAKA KUWA NA MKE BORA ACHA KUMPA UHURU ULIOPATILIZA,WANAWAKE WANAHITAJI KIONGOZI KWENYE NDOA, EITHER MWANAMKE NA ELIMU OR PESA,MKE NI MKE,NA MUME NI MUME,HATUFANANI.
MALAIKA AMA SHWETWAN😂😂😂MWENYEWE ANAONA MAISHA KAYAPATIA.SHAME ON HER😢
RICADOMOMO MUHESHIMU MKE WAKO WA SASA.ACHANA NA UYO SHWETWAN KUMZUNGUMZIA HAUONI UNAMUUMIZA MKEO?UMEONYESHA UDHAIFU WW KIDUME.NAONA SHWETWAN AKIPGWA MATUKIO ATARUD NA UTAMPOKEA😢JIREKEBISHE DEALS NA WIFE WAKO
MAONI YANGU NI KUWA OMMY SIKU HIZI ANAKUWA KWENYE SIMU SANA ZAIDI YA KUHOST INTERVIEW. NAONA HAIVUTII WATU HAWA INTERVIEW YA DI VOICE! JARIBU KU BALANCE!
Yani anaongea momo lakini aibu naona mimi,momo anapinda pinda lakini ukweli bado anampenda malaika,mana utetezi wake momo kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kuelewa.momo move on kaka,huyo malaika mwenyew shepu kama kabandikwa na gundi au cement,haina ushirikiano na viungo vingine.
sasa mmeachana na Taraka haujampa na dini yetu kama haujatoa Taraka ndoa bado ipo
MALAIKA SIKU MOJA UTATAMANI KUFUTA HII KAULI!!!!! ITAKUA TOO LATE!!!!
Sasa momo anasema talaka momo anasema hajatoa talaka bado anampenda
SAUTI NA DAIMOND COPY NA PASTE
Momo ushaowa sasa kwq nini unamuongeleya x?
Mbona Malaika kapanic au anaogopa ataachwa na bwana mpya 😂😂😂
Malaika amekunywa 🍺
R and L ni tatizo kwa watu wengi saana
bbl really pays 😂😂😂
😂😂😂
🤣😂🫣and stinky 🫣🤪😂
Momo Kafail Kumzungumzia Malaika Kwa Hii Interview...!
Momo.ww ni mwanaume haswaa kaka familia inahitaji siri aina haja ya kuongea kumalizia utafika mbali kaka kwenye maisha ...umeelewwka vizuriii maana kuna baadhi ya wanaume wa sasa uwiii siri za ndani zote akiguswa kidogo tu kqmaliza yooote mda uhuu aliyopewa kuongea 😂😂 kwa mwanaume asiye na hekma angemaliza
Momo zee la kudele
omy hao vyuma mabahili
Wewe ni shetani wee dodoma halafu unajifanya unajua dini mwanamke tusema umakuwa wazim sana au unadanganywa na hayo matako au kwa vile msomali au nini maana mwanamke amazing mwanake anatembea uchi na wewe unasema hujamuacha huoni kunabeba dhambi zote anazofanya au ndo ujinga ulionao vile ukimuona njiani unajisifu mke wangu s8jamyacha wacha uhanisi ati unajua dini dini gani hiyo
Asitafute mzunguko sana anashindwa kusema anaogopa kusema ukweli anaona malaika atakasirika kiufupu kwa alikurupuka mwanamke sio hajatulia muhuni pili mavazi anatafuta wanaume wenyewe pesa
I have learnt something 🎉
Kama mamaake diamond amemtia sumu diamond kumuambia mzee abdull sio babake ili asirithi mali
Sio bb yke unaladhimisha
Malaika ana 🧠 kama ya 🦟
😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂
Muda gan unahtajka kuelekea kuoa ukiwa na mtu #
😂😂😂😂😂
Mimi wewe ni mtu wa dini kwani humumbia mkondo akiwa na yeye apate kuachana na mambo ya ajabu
Momo unaonekana dhaifu. Nyoosha maelezo hata watoto waeleze ukweli.usiwe mtumwa wa mapenzi.
Kama mm namwenzangu tumebakiza mwez tufunge ndoa hatuna mawasiliano Leo inaenda week yapili sijui ndio forever maana naona hakuna wakujishusha
Poleeee
Kama umelielewa Hilo nakushauri jishushe ili mtatue tofauti zenuu ..na pia kwenye maisha ya ndoa mara nyingi mkiwa wote juu hamna kitakachoenda
Mmmmh
Jishushe
Jishushe mwaya
Labda kwa Africa ila hapa ulaya mkitoka lazima wote mlipe nusu nusu sio mpaka usubiri mwanaume alipie nyote mnafanya kazi why mpaka ulipiwe kwani wewe kiwete?
😂😂😂😂😂