Highlights | Yanga 0-1 Rivers United - CAFCL 12/09/2021
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
- Tazama mambo yalivyokuwa wakati Yanga ikimenyana na Rivers United kwenye mtanange wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga imepoteza mchezo kwa kufungwa bao 0-1.
Ni mchezo wa raundi ya kwanza hatua ya awali.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Waliokuja kuutazama huu mchezo baada ya kupangwa tena na rivers nipeni like zangu
Tuliokuja kwa ajili ya Okwa tujuane🔥🔥
Kama Nawewe ulikua ukisubirii hizi highlights za Azam gonga like tujuane
Wangapi tuliokuja kumuangalia okwa vizuri baada ya kusikia anakuja unyamani?
tulio kuja kwa ajil ya okwa tujuan
Al kisasi Haqi
Mtajua hamjui..Mlituonea sana kwenu Kenge Nyie.
Yaaan mafaraaaa hawa wamejileta mdomo wa Mamba, uhakika n nje ndani mbwa hawa
Uto mnatukana nn, Tim yenu mbovu,
Yanga..
Mkitulia hii timu Nageria mtawapiga..
Sio wazur sana..
Mngefunga nisingeangalia ila naangalia tu sababu mmefungwa 😂😂😂utoploooooooo oyeeeeeee
Nipo apa kwa ajili ya Okwa tu
Azam mnazingua sana Highlits mnachelewesha hadi tunaangalia video za kurekodiwa na tecno kwenye vi medear uchwara
Kila jambo linakua na mwanzo na mwisho wake, Sasa KAZI yetu wana yanga ni kuujaza uwanja, na kuweka record yetu mpya, ya kuchukua mataji
Daah! GSM ana kazi sn... kusem ukwl hii Mechi Yanga wamejiabisha sn
Nipo hapa kumwangalia Okwa
Tupo haps
WAMELALAAA YOOOOOOOOOOO😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐵🐵🐵🐵🐒🐒 MLIKUA MNAZICHUKULIA POA TEAM ZINAZOSHIRIKI CLUB BINGWA NA UO NI MWANZO TU MANINA ZENU
Time ni nzuri sema kinamakosa madogo sana yani
ALLAH atujalie yanga tuweze kumfungu huyu Rivers
Simba level ingine kbisaa
Never give up Alota continues
Mbona Wamepata nafasi nyingi af wamezichezea hv...daah! aisee Yanga wanastahili wachapwe Viboko
Mwemwe poleni sna utopolo tatizo mmesajili waimba kwaya wengi
Nilifurahia Sana utopolo kufungwa hii mechi
Hongereni sana River kwenu naamini kbisa mtawapiga zaidi lbda wajipange sana Utopolo
Nna uchungu sana kila nikikumbuka, jamaa walitunyanyasa sana hawa....watakiona kivumbi na jasho....
Mamaaaaa!! kumbe ukiangalia marudio yanga wanafungwa tena
Hamna cha manara wala mzee pili hapo :D. This is genuine football OG
hawa tutawachapa nche ndani kumbafu zao
Angekuwepo kuwepo king 👑 mayele kwa nafasi izo asinge wa acha salama kama alivyo wafanyia sasa
Yanga mpira upo safi,umakini tu........fei toto amepoteza nafasi na wengine wengi.Tumefungwa ila nimeridhika na perfomance ya Yanga.
na wao wameivuruga saf yenu ya ulinzi mara ngap shukur mola mngetiwa vitatu halali au vinne na kule mnaenda kukalia msumar wa moto😂😂😂😂😂😂🐸🐸🐸🐸🐸🐸
Hakuna kitu pale, umejifaraji tu Yanga ilikuwa wakufunga kabisa lakini wametobanga inakuwa wacheza mpara wakubahatisha
Kama walitufunga 1 na King mayele nakuchezea Dr aucho hakucheza Juma shaban hakucheza je safari hii kikosi kimekamilika watatuweza??😂😂😂😂😂
Aaa wapi...labda watuletee tena chuki zao.. Lkn mungu fundi.
Big up, hata Kama tumefungwa
Rivers mmenipa Raha Sana
subir ya kwenu
Yani huyu kocha anataka kutuaminisha kuwa nchimbi ana maajabu kuliko kaseke, bangala na saido🤣🤣🤣
Hii mechi tuliwakosakosa sana hawa jamaa safari hii tunawakanda nje ndani
Poleni sana watani zetu mkajaribu kupindua meza huko Nigeria kilala kheri watani
Lakini wamejitahidi kufungwa gol moja na livers pool mabingwa wa ulaya wamejitahidi sana
Wee vipi unawatakia kila kheri kwani wewe uwa wanakutakiaga kheri ....wakomeee wakomeeee wapuuuuzi
@@rithadonatus8110 😂😂😂doooh utaki ujinga
*bcs of okwa am here hata kama sijui kinge ila nimeeleweka kudadeki*
Yanga ni timu yangu lakini inasikitisha kikweli
Nimeirudia hii match kmmmk wataona moto hawa wasenge
Kumbe tuko wengi😂😂
😂😂
😆😆😆😆😆
Na tutawatolea zasira zote hadi za Makolo.
Rive wako vizuri sana wajitahidi kuoasiana mipira na kucheza kwa upendo watapata magoli mengi snaa
Okwa mtu kazi
Hakika.kisasi.kitaripwa.yanga.tamuuu
Bahati haikuwa Tanzania Jana tujipenge TM iko Poa
Timu nzuri sana haikuwa bahati yetu tu
Ila hata hawakupokelewa kwa uzuri poleni sana waliwachukia kweli River nfo maana wameamua kuwatenda zaidi duhu
Wamelala Yoooooo
Popote ulipo shabiki wa YANGA jipige kifuani kwko na useme Mimi ni Falaa🥴😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@aishachambo8663 #hajismanara tumemkuta chooni akicheka😆
mwanangu wa moro umenichekesha sana kaka tatzo lao utopolo ule mwiko nyuma unawasumbua sana kk nipo moro mzinga
Manara ana dhambi et Tim inafungwa anaenda kuchekea chooon,lakin Ii nchi ndg mda utafika tutakupiga mawe this uto🐸🐸🐸🐸
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tz mwache mpira wa midomo na magazeti mpira ni uwajani
Ninyi wenyewe acheni pia kazaneni ,timu za kenya nazo tia maji tia maji tu
@@emmadora7848 Wewe sijakuelewa,watz wenzako wanasemaje?
MAREHEMU ALIKUA NA TATIZO LA MDOMO MREFU
Bado Ana uliza mshale umepitaje
Tumelala Yooooo
Waje tumalizane
Mlisema Simba anashinda kwakua kuna Corona kwan vip Corona imeisha
Nasubiri matokeo ya Nigeria
Highlight imechelewa sana aisee
Baada ya mechi kipa wao RIVERS UTD AMEIPONDA sana MISUKULE FC eke MIGONGO WAZI FC na kuipa VYEO SIMBASCTZ eke MNYAMAA MKALI 🦁🦁🦁💪💪💪
Hahahahaha na Akina bangala mlianzaje kutolewaaa jaman duuuu
CAF wana wimbo mzuri sana.YNWA
Wahooo safi sana Giper wa River tumpateje huyo dah yuko poa sanaaa
Bora sisi ni kamchezo kakirafiki huwii sasa nyie utopolo jmn mwanzoni kbisa mwa ligi mshatolewa huwiii hta hmjacheza. Mara mbili duhu utopolo mwaka huu mtaishia tu na manara wenu
Kisasi ni haki tunakuj kwen mtaon wenyew
Vive Yanga
Viazi FC noma
Hapo nafasi ya kaseke ilikuwa inahitajika sana
Nimekuja Kumtumainia okwa nelson
🤣🤣🤣
Yani mm ni msimbazi Ila nimeumia Sana.. Hawa rivers FC ..watakuaa kijito FC subr tuwafuate hukohuko gonga 3.. viva Tanzania
Huyu Fesal ilo goli alilokosa dah ila ndo wachezaji wetu walivyo hawana nidham na mpira leo atakuchezea vizuri alafu kesho anacheza Blanda kama izo tatizo wana mazoea sana 😂😂😂
Yani young alivyo fungwa hii mechi ameenda kumlamba simba kwenye ngao nimependa sana
Kikos haikuwa na quality kbs
Lakini Yanga walipambana.
Huwii hilooo Manara tunalala yooo Yanga wamelala yoooo
Kwanza hapo ngoja nicheke
Manara Yuko wapi
Hahahaha huku kwetu tunakula kuku kwa mlija Utooooo Return of huzan matatzo maumivu kuteseka 🤪
Manara yukowapi cameraman?
Anatoka yacouba anaingia nchimbi 🤥🤥 au ndio nchimbi amemloga kocha🤣🤣
KWANI VYETI VYA PROFESSA NABI HAVIJAIPA YANGA MATOKEO?
Okwa kanleta hapaaa
namie ndio nemekuja tyr
@@masoudimsomali7450 tupo wengi naamin huu n mwaka wa neema kwetu wanasimbaa
Hii mechi walizingua tuu wachezaj wa yanga lkn ushindi ulikuwa wazi kabsaa
yule alie nunua Jez ya simba n yupi Kati ya Hao wote😅
jamaa anaitwa uche anavaa jersey no 32
Kibwana, Mauya, Adeuy wote hawafai kuanza kwa game yyte, kfupi hao ndo waifersha Yanga SC, Yanga SC naiamin sana nguvu na Taifa moja, 2tasonga mbele
msonge wap mna gem mbil zijazo mkikojolewa kwaheri 😂😂😂😂😂🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐵
@@daudsam3146 🤓🤓🤓🤓🤓
Dah makambo ulimi ni tai
😂😂😂😂 wanaaibisha nchi tu hao
USIKU WA LEO NIMEOTA "UTTO UNITED" WAMELIWA TATU UGENINI, HALAFU BONGO WAMETOKA SARE SARE
Acha ujinga.wewe...hii siyo Makolo...
Kwani huwo police hapo anafanyanini au ndo kamatu ya ulinzi 😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤷🏿♀️
Jamani jamani tuna timu nzuri kuliko midimu miwili iliyopita muhimu Sana Sana kwa kipindi hichi ni kuwapa sapoti wachezaji,daima mbele nyuma mwiko
Maneno ya ujinga tu mbele uko hamuendi mnaongea utopolo tu mdomoni mnazidi kurud nyuma kama hujui hiv sasa mmekalia jezi jezi jezi hadi wachezaji mmewatia usukule wenu walikua wanashangaa jezi wakafungwa sasa yanga tim ya kuongelea jezi kweli mwezi mzima had Ridhiwan kikwete kaingilia kati kuona hawa watu vip nyie mifuniko fc
Huku kunawenyewe
Huyu golikeeper wa rivers ni mpuuzi sana
Umeuwona mshale huo😂😂 maneno ya mpenja
Daah hawa jamaa walikuwa wa kawaida sana.. Laiti wangekuta Yanga hii daah.
umeona eeh
Yanga ipi mzee. Mfungaji mnae mmoja akibanwa mnatepeta.
Rivers watachezea port harcourt yanga wame wazidi vingi
Wanajua kulinda sana River ulinzi Imara sanaa Yanga bdo sanaaaaaaaa yaani ni maneno tu uwanjani sifuri Aibu tu mnaipakaza nchi yetu
Simba kajitahid kuwabeba lakin wap pumbavu sana
uyo adeyum wa nn sasa jaman
😂😂😂
😂😂😂
Yanga marudio tunashinda uhakika kwa uwezo wa mungu
utopolo tatzo lao kinachowasumbua zaidi ni ule mwiko nyuma🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nani atawachomolea jmn
😂😂😂😂😂😂jamani nimecheka hivi mnawazaga nn
@@monicaalvin8209 ahahaàaaaaaa hawa watan wetu mwiko walowekewaa nyumaa inawasumbuaaa kiukwel🤣🤣🤣🤣
@@monicaalvin8209 tucheke tufurah mama maisha yenyewee ndo haya hayA
😂😂😂😂😂😂😂
@@khadijahali4837 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
The return of utopolo.., vipigo viendelee n,,!😂😂
tunajipanga!!
Tuna beba mijitu isiyobebeka kabisa Bora Namungo
Kabisa yaani
Bora wangelipileka uko uko shirikisho mijitu misukule hata akili haina imeshikilia jezi jezi wenzao wanaandaa tim wao wapo na jezi tu mashabiki ziro wachezaji ziro msemaji ziro ovyooo kalaleni uko watoto kweli mtoto yake makopo.
Pointi nyingine za rivers waperekeeni kwao
Nilichogundua wachezaji wote wa UTOPOLO viwango vyao haviruhusu kucheza michuano mikubwa kama hii
Shida yanga hipo kwenye beki safi ya ulinzi haina mfumo mzuri wanapoteana sana
Mabeki walikua wanatazama jezi ndio sera ya klabu
Kosa ni Kocha hana mbinu yetote hakuna tofauti waliotoka.