Highlights | Yanga 0-1 Rivers United - CAFCL 12/09/2021

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
  • Tazama mambo yalivyokuwa wakati Yanga ikimenyana na Rivers United kwenye mtanange wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga imepoteza mchezo kwa kufungwa bao 0-1.
    Ni mchezo wa raundi ya kwanza hatua ya awali.
    Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

ความคิดเห็น • 337

  • @NellyWaKidato
    @NellyWaKidato ปีที่แล้ว +24

    Waliokuja kuutazama huu mchezo baada ya kupangwa tena na rivers nipeni like zangu

  • @KidotiTwiga
    @KidotiTwiga 2 ปีที่แล้ว +6

    Tuliokuja kwa ajili ya Okwa tujuane🔥🔥

  • @gervasalvine6804
    @gervasalvine6804 3 ปีที่แล้ว +23

    Kama Nawewe ulikua ukisubirii hizi highlights za Azam gonga like tujuane

  • @zanmedia5225
    @zanmedia5225 2 ปีที่แล้ว +22

    Wangapi tuliokuja kumuangalia okwa vizuri baada ya kusikia anakuja unyamani?

  • @Othman496
    @Othman496 2 ปีที่แล้ว +7

    tulio kuja kwa ajil ya okwa tujuan

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 ปีที่แล้ว +1

    Al kisasi Haqi
    Mtajua hamjui..Mlituonea sana kwenu Kenge Nyie.

  • @julianashani9408
    @julianashani9408 ปีที่แล้ว +5

    Yaaan mafaraaaa hawa wamejileta mdomo wa Mamba, uhakika n nje ndani mbwa hawa

  • @joshuanyonyi3313
    @joshuanyonyi3313 3 ปีที่แล้ว +2

    Yanga..
    Mkitulia hii timu Nageria mtawapiga..
    Sio wazur sana..

  • @emmanueljoseph2576
    @emmanueljoseph2576 3 ปีที่แล้ว +6

    Mngefunga nisingeangalia ila naangalia tu sababu mmefungwa 😂😂😂utoploooooooo oyeeeeeee

  • @danielmwakalebela5812
    @danielmwakalebela5812 2 ปีที่แล้ว +4

    Nipo apa kwa ajili ya Okwa tu

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 3 ปีที่แล้ว +4

    Azam mnazingua sana Highlits mnachelewesha hadi tunaangalia video za kurekodiwa na tecno kwenye vi medear uchwara

  • @yussufbakarhaji7114
    @yussufbakarhaji7114 ปีที่แล้ว +2

    Kila jambo linakua na mwanzo na mwisho wake, Sasa KAZI yetu wana yanga ni kuujaza uwanja, na kuweka record yetu mpya, ya kuchukua mataji

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 3 ปีที่แล้ว +3

    Daah! GSM ana kazi sn... kusem ukwl hii Mechi Yanga wamejiabisha sn

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 2 ปีที่แล้ว +3

    Nipo hapa kumwangalia Okwa

  • @daudsam3146
    @daudsam3146 3 ปีที่แล้ว +4

    WAMELALAAA YOOOOOOOOOOO😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐵🐵🐵🐵🐒🐒 MLIKUA MNAZICHUKULIA POA TEAM ZINAZOSHIRIKI CLUB BINGWA NA UO NI MWANZO TU MANINA ZENU

  • @mohamedkigwehe4025
    @mohamedkigwehe4025 3 ปีที่แล้ว +1

    Time ni nzuri sema kinamakosa madogo sana yani

  • @mudylipawaga5362
    @mudylipawaga5362 ปีที่แล้ว +1

    ALLAH atujalie yanga tuweze kumfungu huyu Rivers

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 3 ปีที่แล้ว +2

    Simba level ingine kbisaa

  • @saadjuma4609
    @saadjuma4609 3 ปีที่แล้ว +4

    Never give up Alota continues

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 3 ปีที่แล้ว +5

    Mbona Wamepata nafasi nyingi af wamezichezea hv...daah! aisee Yanga wanastahili wachapwe Viboko

  • @kefaJmalimali
    @kefaJmalimali 3 ปีที่แล้ว +1

    Mwemwe poleni sna utopolo tatizo mmesajili waimba kwaya wengi

  • @emmanuelmasse6219
    @emmanuelmasse6219 2 ปีที่แล้ว +2

    Nilifurahia Sana utopolo kufungwa hii mechi

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 3 ปีที่แล้ว

    Hongereni sana River kwenu naamini kbisa mtawapiga zaidi lbda wajipange sana Utopolo

  • @selemanmussa3459
    @selemanmussa3459 ปีที่แล้ว +2

    Nna uchungu sana kila nikikumbuka, jamaa walitunyanyasa sana hawa....watakiona kivumbi na jasho....

  • @christerlaurent8580
    @christerlaurent8580 3 ปีที่แล้ว +4

    Mamaaaaa!! kumbe ukiangalia marudio yanga wanafungwa tena

  • @adifar89
    @adifar89 3 ปีที่แล้ว

    Hamna cha manara wala mzee pili hapo :D. This is genuine football OG

  • @bysergabriel1934
    @bysergabriel1934 ปีที่แล้ว +2

    hawa tutawachapa nche ndani kumbafu zao

  • @buimohammed1255
    @buimohammed1255 ปีที่แล้ว

    Angekuwepo kuwepo king 👑 mayele kwa nafasi izo asinge wa acha salama kama alivyo wafanyia sasa

  • @chizashungu1236
    @chizashungu1236 3 ปีที่แล้ว +4

    Yanga mpira upo safi,umakini tu........fei toto amepoteza nafasi na wengine wengi.Tumefungwa ila nimeridhika na perfomance ya Yanga.

    • @daudsam3146
      @daudsam3146 3 ปีที่แล้ว +1

      na wao wameivuruga saf yenu ya ulinzi mara ngap shukur mola mngetiwa vitatu halali au vinne na kule mnaenda kukalia msumar wa moto😂😂😂😂😂😂🐸🐸🐸🐸🐸🐸

    • @karago88
      @karago88 3 ปีที่แล้ว

      Hakuna kitu pale, umejifaraji tu Yanga ilikuwa wakufunga kabisa lakini wametobanga inakuwa wacheza mpara wakubahatisha

  • @hamidayanga8224
    @hamidayanga8224 ปีที่แล้ว +2

    Kama walitufunga 1 na King mayele nakuchezea Dr aucho hakucheza Juma shaban hakucheza je safari hii kikosi kimekamilika watatuweza??😂😂😂😂😂

    • @femidayahaya4882
      @femidayahaya4882 ปีที่แล้ว

      Aaa wapi...labda watuletee tena chuki zao.. Lkn mungu fundi.

  • @emmanueldonald9985
    @emmanueldonald9985 3 ปีที่แล้ว +1

    Big up, hata Kama tumefungwa

  • @yusuphabsaid8151
    @yusuphabsaid8151 3 ปีที่แล้ว +4

    Rivers mmenipa Raha Sana

  • @saimonseleka2311
    @saimonseleka2311 3 ปีที่แล้ว +3

    Yani huyu kocha anataka kutuaminisha kuwa nchimbi ana maajabu kuliko kaseke, bangala na saido🤣🤣🤣

  • @martinswai239
    @martinswai239 ปีที่แล้ว +1

    Hii mechi tuliwakosakosa sana hawa jamaa safari hii tunawakanda nje ndani

  • @josephjohn7003
    @josephjohn7003 3 ปีที่แล้ว +3

    Poleni sana watani zetu mkajaribu kupindua meza huko Nigeria kilala kheri watani

    • @allymtungunyu2425
      @allymtungunyu2425 3 ปีที่แล้ว

      Lakini wamejitahidi kufungwa gol moja na livers pool mabingwa wa ulaya wamejitahidi sana

    • @rithadonatus8110
      @rithadonatus8110 3 ปีที่แล้ว

      Wee vipi unawatakia kila kheri kwani wewe uwa wanakutakiaga kheri ....wakomeee wakomeeee wapuuuuzi

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 3 ปีที่แล้ว

      @@rithadonatus8110 😂😂😂doooh utaki ujinga

  • @shadrackjuliuskaboya5239
    @shadrackjuliuskaboya5239 2 ปีที่แล้ว +1

    *bcs of okwa am here hata kama sijui kinge ila nimeeleweka kudadeki*

  • @japharyewalla3565
    @japharyewalla3565 3 ปีที่แล้ว +2

    Yanga ni timu yangu lakini inasikitisha kikweli

  • @khloevibe7569
    @khloevibe7569 ปีที่แล้ว +3

    Nimeirudia hii match kmmmk wataona moto hawa wasenge

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 3 ปีที่แล้ว

    Rive wako vizuri sana wajitahidi kuoasiana mipira na kucheza kwa upendo watapata magoli mengi snaa

  • @suphianyahya1781
    @suphianyahya1781 2 ปีที่แล้ว +1

    Okwa mtu kazi

  • @maikokapelo5508
    @maikokapelo5508 ปีที่แล้ว +1

    Hakika.kisasi.kitaripwa.yanga.tamuuu

  • @poulndimila4588
    @poulndimila4588 3 ปีที่แล้ว +3

    Bahati haikuwa Tanzania Jana tujipenge TM iko Poa

  • @HamicKauno255
    @HamicKauno255 3 ปีที่แล้ว +2

    Timu nzuri sana haikuwa bahati yetu tu

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 3 ปีที่แล้ว +2

    Ila hata hawakupokelewa kwa uzuri poleni sana waliwachukia kweli River nfo maana wameamua kuwatenda zaidi duhu

  • @salimtweyale1699
    @salimtweyale1699 3 ปีที่แล้ว +1

    Wamelala Yoooooo

  • @wamoroboy8963
    @wamoroboy8963 3 ปีที่แล้ว +6

    Popote ulipo shabiki wa YANGA jipige kifuani kwko na useme Mimi ni Falaa🥴😂😂😂

    • @aishachambo8663
      @aishachambo8663 3 ปีที่แล้ว +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @wamoroboy8963
      @wamoroboy8963 3 ปีที่แล้ว +1

      @@aishachambo8663 #hajismanara tumemkuta chooni akicheka😆

    • @kasmirypaschal2228
      @kasmirypaschal2228 3 ปีที่แล้ว +2

      mwanangu wa moro umenichekesha sana kaka tatzo lao utopolo ule mwiko nyuma unawasumbua sana kk nipo moro mzinga

  • @naizertelisha1863
    @naizertelisha1863 3 ปีที่แล้ว +5

    Manara ana dhambi et Tim inafungwa anaenda kuchekea chooon,lakin Ii nchi ndg mda utafika tutakupiga mawe this uto🐸🐸🐸🐸

  • @ericksonodhiambo9964
    @ericksonodhiambo9964 3 ปีที่แล้ว +6

    Tz mwache mpira wa midomo na magazeti mpira ni uwajani

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 3 ปีที่แล้ว

      Ninyi wenyewe acheni pia kazaneni ,timu za kenya nazo tia maji tia maji tu

    • @ericksonodhiambo9964
      @ericksonodhiambo9964 3 ปีที่แล้ว

      @@emmadora7848 Wewe sijakuelewa,watz wenzako wanasemaje?

  • @samwelmangi843
    @samwelmangi843 3 ปีที่แล้ว +5

    MAREHEMU ALIKUA NA TATIZO LA MDOMO MREFU

  • @elifasinimpagaritse7902
    @elifasinimpagaritse7902 3 ปีที่แล้ว +2

    Bado Ana uliza mshale umepitaje

  • @tanzanianews2558
    @tanzanianews2558 3 ปีที่แล้ว +3

    Tumelala Yooooo

  • @dianajeremiah1547
    @dianajeremiah1547 ปีที่แล้ว +2

    Waje tumalizane

  • @harunasaidmussa8585
    @harunasaidmussa8585 3 ปีที่แล้ว +3

    Mlisema Simba anashinda kwakua kuna Corona kwan vip Corona imeisha

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 ปีที่แล้ว +2

    Nasubiri matokeo ya Nigeria

  • @mohamedidd7385
    @mohamedidd7385 3 ปีที่แล้ว

    Highlight imechelewa sana aisee

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight2957 3 ปีที่แล้ว +2

    Baada ya mechi kipa wao RIVERS UTD AMEIPONDA sana MISUKULE FC eke MIGONGO WAZI FC na kuipa VYEO SIMBASCTZ eke MNYAMAA MKALI 🦁🦁🦁💪💪💪

  • @elikanamyula1667
    @elikanamyula1667 2 ปีที่แล้ว +3

    Hahahahaha na Akina bangala mlianzaje kutolewaaa jaman duuuu

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 3 ปีที่แล้ว

    CAF wana wimbo mzuri sana.YNWA

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 3 ปีที่แล้ว

    Wahooo safi sana Giper wa River tumpateje huyo dah yuko poa sanaaa

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 3 ปีที่แล้ว +3

    Bora sisi ni kamchezo kakirafiki huwii sasa nyie utopolo jmn mwanzoni kbisa mwa ligi mshatolewa huwiii hta hmjacheza. Mara mbili duhu utopolo mwaka huu mtaishia tu na manara wenu

  • @MaryamNassor-yz2ds
    @MaryamNassor-yz2ds ปีที่แล้ว +3

    Kisasi ni haki tunakuj kwen mtaon wenyew

  • @authorepiscopereemmanuel964
    @authorepiscopereemmanuel964 3 ปีที่แล้ว +1

    Vive Yanga

  • @johnsonjulius7832
    @johnsonjulius7832 3 ปีที่แล้ว +1

    Viazi FC noma

  • @amenyemwansile631
    @amenyemwansile631 3 ปีที่แล้ว +1

    Hapo nafasi ya kaseke ilikuwa inahitajika sana

  • @djrichsingelifreva8245
    @djrichsingelifreva8245 2 ปีที่แล้ว +7

    Nimekuja Kumtumainia okwa nelson

    • @Akida-t9k
      @Akida-t9k 2 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣

  • @flova7022
    @flova7022 3 ปีที่แล้ว +1

    Yani mm ni msimbazi Ila nimeumia Sana.. Hawa rivers FC ..watakuaa kijito FC subr tuwafuate hukohuko gonga 3.. viva Tanzania

  • @007-h9m
    @007-h9m 3 ปีที่แล้ว +3

    Huyu Fesal ilo goli alilokosa dah ila ndo wachezaji wetu walivyo hawana nidham na mpira leo atakuchezea vizuri alafu kesho anacheza Blanda kama izo tatizo wana mazoea sana 😂😂😂

  • @swamweliteobady4496
    @swamweliteobady4496 2 ปีที่แล้ว +1

    Yani young alivyo fungwa hii mechi ameenda kumlamba simba kwenye ngao nimependa sana

  • @herrysonk.edward609
    @herrysonk.edward609 ปีที่แล้ว

    Kikos haikuwa na quality kbs

  • @isacklyanga1250
    @isacklyanga1250 ปีที่แล้ว +1

    Lakini Yanga walipambana.

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 3 ปีที่แล้ว +1

    Huwii hilooo Manara tunalala yooo Yanga wamelala yoooo

  • @nuranzubail8134
    @nuranzubail8134 2 ปีที่แล้ว +2

    Kwanza hapo ngoja nicheke

  • @ashahasan8441
    @ashahasan8441 ปีที่แล้ว +1

    Manara Yuko wapi

  • @issaally4364
    @issaally4364 3 ปีที่แล้ว +2

    Hahahaha huku kwetu tunakula kuku kwa mlija Utooooo Return of huzan matatzo maumivu kuteseka 🤪

  • @malmavoice8989
    @malmavoice8989 3 ปีที่แล้ว +1

    Manara yukowapi cameraman?

  • @saimonseleka2311
    @saimonseleka2311 3 ปีที่แล้ว +1

    Anatoka yacouba anaingia nchimbi 🤥🤥 au ndio nchimbi amemloga kocha🤣🤣

  • @beaugosseadam6831
    @beaugosseadam6831 3 ปีที่แล้ว +3

    KWANI VYETI VYA PROFESSA NABI HAVIJAIPA YANGA MATOKEO?

  • @zuhuramohamed3424
    @zuhuramohamed3424 2 ปีที่แล้ว +2

    Okwa kanleta hapaaa

    • @masoudimsomali7450
      @masoudimsomali7450 2 ปีที่แล้ว +1

      namie ndio nemekuja tyr

    • @zuhuramohamed3424
      @zuhuramohamed3424 2 ปีที่แล้ว

      @@masoudimsomali7450 tupo wengi naamin huu n mwaka wa neema kwetu wanasimbaa

  • @herrysonk.edward609
    @herrysonk.edward609 ปีที่แล้ว

    Hii mechi walizingua tuu wachezaj wa yanga lkn ushindi ulikuwa wazi kabsaa

  • @oscarjohn477
    @oscarjohn477 3 ปีที่แล้ว +2

    yule alie nunua Jez ya simba n yupi Kati ya Hao wote😅

    • @daudsam3146
      @daudsam3146 3 ปีที่แล้ว

      jamaa anaitwa uche anavaa jersey no 32

  • @yacenharuna380
    @yacenharuna380 3 ปีที่แล้ว +5

    Kibwana, Mauya, Adeuy wote hawafai kuanza kwa game yyte, kfupi hao ndo waifersha Yanga SC, Yanga SC naiamin sana nguvu na Taifa moja, 2tasonga mbele

    • @daudsam3146
      @daudsam3146 3 ปีที่แล้ว

      msonge wap mna gem mbil zijazo mkikojolewa kwaheri 😂😂😂😂😂🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐵

    • @rashidjoseph2624
      @rashidjoseph2624 3 ปีที่แล้ว

      @@daudsam3146 🤓🤓🤓🤓🤓

    • @shatindebarcelona1223
      @shatindebarcelona1223 3 ปีที่แล้ว

      Dah makambo ulimi ni tai

  • @allyhamisi6394
    @allyhamisi6394 3 ปีที่แล้ว +2

    😂😂😂😂 wanaaibisha nchi tu hao

  • @israelkisserei524
    @israelkisserei524 ปีที่แล้ว +1

    USIKU WA LEO NIMEOTA "UTTO UNITED" WAMELIWA TATU UGENINI, HALAFU BONGO WAMETOKA SARE SARE

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwani huwo police hapo anafanyanini au ndo kamatu ya ulinzi 😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤷🏿‍♀️

  • @imbamohamed358
    @imbamohamed358 3 ปีที่แล้ว

    Jamani jamani tuna timu nzuri kuliko midimu miwili iliyopita muhimu Sana Sana kwa kipindi hichi ni kuwapa sapoti wachezaji,daima mbele nyuma mwiko

    • @mahengomwenyewe4204
      @mahengomwenyewe4204 3 ปีที่แล้ว

      Maneno ya ujinga tu mbele uko hamuendi mnaongea utopolo tu mdomoni mnazidi kurud nyuma kama hujui hiv sasa mmekalia jezi jezi jezi hadi wachezaji mmewatia usukule wenu walikua wanashangaa jezi wakafungwa sasa yanga tim ya kuongelea jezi kweli mwezi mzima had Ridhiwan kikwete kaingilia kati kuona hawa watu vip nyie mifuniko fc

  • @ellylanda5314
    @ellylanda5314 2 ปีที่แล้ว +3

    Huku kunawenyewe

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu golikeeper wa rivers ni mpuuzi sana

  • @fettynassibu5304
    @fettynassibu5304 3 ปีที่แล้ว +1

    Umeuwona mshale huo😂😂 maneno ya mpenja

  • @alexiswamillazo6520
    @alexiswamillazo6520 2 ปีที่แล้ว +5

    Daah hawa jamaa walikuwa wa kawaida sana.. Laiti wangekuta Yanga hii daah.

  • @enlightenedoness2228
    @enlightenedoness2228 3 ปีที่แล้ว +1

    Rivers watachezea port harcourt yanga wame wazidi vingi

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 3 ปีที่แล้ว

    Wanajua kulinda sana River ulinzi Imara sanaa Yanga bdo sanaaaaaaaa yaani ni maneno tu uwanjani sifuri Aibu tu mnaipakaza nchi yetu

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 3 ปีที่แล้ว +3

    Simba kajitahid kuwabeba lakin wap pumbavu sana

  • @asyamakame734
    @asyamakame734 3 ปีที่แล้ว

    Yanga marudio tunashinda uhakika kwa uwezo wa mungu

  • @kasmirypaschal2228
    @kasmirypaschal2228 3 ปีที่แล้ว +3

    utopolo tatzo lao kinachowasumbua zaidi ni ule mwiko nyuma🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nani atawachomolea jmn

    • @monicaalvin8209
      @monicaalvin8209 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂jamani nimecheka hivi mnawazaga nn

    • @kasmirypaschal2228
      @kasmirypaschal2228 3 ปีที่แล้ว

      @@monicaalvin8209 ahahaàaaaaaa hawa watan wetu mwiko walowekewaa nyumaa inawasumbuaaa kiukwel🤣🤣🤣🤣

    • @kasmirypaschal2228
      @kasmirypaschal2228 3 ปีที่แล้ว

      @@monicaalvin8209 tucheke tufurah mama maisha yenyewee ndo haya hayA

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 3 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @kasmirypaschal2228
      @kasmirypaschal2228 3 ปีที่แล้ว

      @@khadijahali4837 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @yahayasetembo5375
    @yahayasetembo5375 3 ปีที่แล้ว +1

    The return of utopolo.., vipigo viendelee n,,!😂😂

  • @Rugemalilatv1994
    @Rugemalilatv1994 3 ปีที่แล้ว +1

    tunajipanga!!

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 3 ปีที่แล้ว +2

    Tuna beba mijitu isiyobebeka kabisa Bora Namungo

    • @amirymsati2491
      @amirymsati2491 3 ปีที่แล้ว

      Kabisa yaani

    • @mahengomwenyewe4204
      @mahengomwenyewe4204 3 ปีที่แล้ว

      Bora wangelipileka uko uko shirikisho mijitu misukule hata akili haina imeshikilia jezi jezi wenzao wanaandaa tim wao wapo na jezi tu mashabiki ziro wachezaji ziro msemaji ziro ovyooo kalaleni uko watoto kweli mtoto yake makopo.

  • @omaryregga5315
    @omaryregga5315 3 ปีที่แล้ว +2

    Pointi nyingine za rivers waperekeeni kwao

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 3 ปีที่แล้ว +1

    Nilichogundua wachezaji wote wa UTOPOLO viwango vyao haviruhusu kucheza michuano mikubwa kama hii

  • @nemesdavid6699
    @nemesdavid6699 3 ปีที่แล้ว +2

    Shida yanga hipo kwenye beki safi ya ulinzi haina mfumo mzuri wanapoteana sana

    • @mahengomwenyewe4204
      @mahengomwenyewe4204 3 ปีที่แล้ว +1

      Mabeki walikua wanatazama jezi ndio sera ya klabu

    • @karago88
      @karago88 3 ปีที่แล้ว

      Kosa ni Kocha hana mbinu yetote hakuna tofauti waliotoka.