Yanga SC 0-0 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 30/04/2022

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 เม.ย. 2022
  • KARIAKOO DERBY: Kwa mara ya pili msimu huukwenye ligi kuu ya NBC Tanzania Bara, derby ya Kariakoo, Yanga na Simba inamalizika bila goli lolote kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
    Licha ya kutokuwepo mabao.... ilikuwa ni mechi dume .... Tazama highlights uone baadhi ya matukio muhimu yaliyojiri kwenye mchezo huo.
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 388

  • @issasalim7688
    @issasalim7688 2 ปีที่แล้ว +8

    From Mozambique 🇲🇿 I love Simb fc they are very good 👍 ♥ 👌

  • @sixteenyussufchampin7264
    @sixteenyussufchampin7264 2 ปีที่แล้ว +7

    Walai sijaona watu wanaopendana na wenye ukarimu kama WATANZANIA❤️💯🤲🏾. Much love from Kenya

  • @rojasjonas6451
    @rojasjonas6451 2 ปีที่แล้ว +23

    Wanayanga tutambe hapa kwa kugonga like hapa

  • @manzitite6036
    @manzitite6036 2 ปีที่แล้ว +3

    This is match kbs from today am going to follow all match btn Simba na yanga Tanzania you are the best thank you for highlight us🙏

  • @reinherdomondi8424
    @reinherdomondi8424 2 ปีที่แล้ว +2

    Am from kenya and i really love watching this derby

  • @authorepiscopereemmanuel964
    @authorepiscopereemmanuel964 2 ปีที่แล้ว +25

    Yanga wame jitaidi sana one love from Canada 🇨🇦

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 ปีที่แล้ว +9

    Jifunze quran kwa hukmu kuswali kwa vitendo gusa picha yang mara 2 hapo kama hautojli

  • @lovenesskalenge2683
    @lovenesskalenge2683 2 ปีที่แล้ว +6

    Kocha mkuu hayupo lakini tupo fiti Yanga Tamu💛💛💛💛💚💚💚💚

    • @estergeorge8841
      @estergeorge8841 2 ปีที่แล้ว

      Sio kweli👹👺👹👺❤️❤️❤️ Simba tamu asikwambie mtutuu Simba tmu

    • @dihnadeusi4733
      @dihnadeusi4733 2 ปีที่แล้ว

      Kumbe nakocha huwa anacheza pia🤔

    • @lovenesskalenge2683
      @lovenesskalenge2683 2 ปีที่แล้ว

      @@dihnadeusi4733 hapan. Kocha anakua anakula tuu bhas🤣🤣🤣

    • @lovenesskalenge2683
      @lovenesskalenge2683 2 ปีที่แล้ว

      @@estergeorge8841 sio mbaya😂😂😂😂

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 2 ปีที่แล้ว +6

    What a mechi...Well done my team💚💛💚✊ #timuyawananchi

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 2 ปีที่แล้ว +3

    21 Matches,unbeaten --- this is Young Africans.

  • @pastorbaharia598
    @pastorbaharia598 2 ปีที่แล้ว +10

    Yesu ni Mwokozi,Mkubari Upate ondoleo la dhambi.

  • @shahamemwidani8808
    @shahamemwidani8808 2 ปีที่แล้ว +4

    Yanga SC kiboko yao 👍👍👍👍👍

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 2 ปีที่แล้ว +3

    Mashaallah nimependa Marefa wanakunywa maji huku wamekaa,na hiyo ndio sunna ya Mtume

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 2 ปีที่แล้ว +7

    Mikia wanafurahia sare jamani 😂😂😂

  • @allyrajabu3854
    @allyrajabu3854 2 ปีที่แล้ว +3

    Wa kwanza hapaaa

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 2 ปีที่แล้ว +2

    Simba na Yanga huwa kuna tension sana🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Rasi.wooden
    @Rasi.wooden 2 ปีที่แล้ว +2

    This is the best dabi in eastafrica

  • @mustafamzee2399
    @mustafamzee2399 2 ปีที่แล้ว +3

    Simba tunahitaji nguvu zaidi sehemu ya ushambuliaji na viungo

  • @kiangoneema2979
    @kiangoneema2979 2 ปีที่แล้ว +4

    Pongezi nyingi nyingi mno kwa Simba Sc nyinyi ndio nyinyi wala hakuna mwingine 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @salehngwebaldinhos
    @salehngwebaldinhos 2 ปีที่แล้ว +4

    Yanga big up

  • @johnbupimali5019
    @johnbupimali5019 2 ปีที่แล้ว +1

    Kuna watu wanateseka kweli! 💚✅✅✅✅

  • @jumakassim8718
    @jumakassim8718 2 ปีที่แล้ว +4

    Daaah makolo mna bahati sana 💚💛

  • @isaackiswaga3736
    @isaackiswaga3736 2 ปีที่แล้ว +2

    Unbeaten matches 21 we are Young Africans sc 💛💚

  • @gavethhans5242
    @gavethhans5242 2 ปีที่แล้ว +2

    Mashabiki wa yanga sisi maboya sana tumeshindwa kujaza uwanja

  • @eliacmkoko6620
    @eliacmkoko6620 2 ปีที่แล้ว +4

    Tunawataka simba fainal ya fa

  • @wamakolo1963
    @wamakolo1963 2 ปีที่แล้ว +4

    Yanga bingwa

  • @johnbupimali5019
    @johnbupimali5019 2 ปีที่แล้ว +2

    Mwizi Nje, Fundi wao nje, msokota ugoro Nje, hapa nicheke kwanza😂😂😂😂😂💚💚💚💚✅✅✅✅

  • @allykaisi2520
    @allykaisi2520 2 ปีที่แล้ว +4

    simba ndoo kilakitu 💪💪💪

  • @angelkavishe5240
    @angelkavishe5240 2 ปีที่แล้ว +3

    Inonga Umejua Kunikabia Mayele leo 🥰🥰🥰🥰🥰🥰♥♥♥♥

    • @nadymhamad2655
      @nadymhamad2655 2 ปีที่แล้ว

      najuw mlifurahi san ndio ushind wenu

    • @godfreyfredrickmbajo1147
      @godfreyfredrickmbajo1147 2 ปีที่แล้ว

      Hapo ndipo Uwezo wenu ulipoishia

    • @saimonijonas1471
      @saimonijonas1471 2 ปีที่แล้ว

      Hakika Simba imepoteza mvuto.Timu nzima na mashabiki wote wanacheza na Mayele.Hakika Simba yote mpaka muwekezaji, Mayele anawatosha.

    • @fatumasophu5855
      @fatumasophu5855 2 ปีที่แล้ว

      @@godfreyfredrickmbajo1147 nyie uwezo wenu umeishia wapi

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 ปีที่แล้ว

      @@nadymhamad2655 VP LILE DENI ANALODAIWA KALIPA??? MAMA YOOYOOYOO FC NYINYI.

  • @wanyooshetv9987
    @wanyooshetv9987 2 ปีที่แล้ว +3

    🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁
    #NguvuMoja

  • @manager_bambo5974
    @manager_bambo5974 2 ปีที่แล้ว +3

    Simba🦁

  • @migeto4721
    @migeto4721 2 ปีที่แล้ว +1

    Highlight nzuri inatakiwa imezidi Sana dakika 9. Unaweza ukawa unairudia rudia hata sio hzo dakika 19 Tena zingine zina 27. Mnakera

  • @chamballaally8767
    @chamballaally8767 2 ปีที่แล้ว +2

    Huyu Nkane atulize mapepe katujima ushindi !!

  • @mbuxhiekimoda4421
    @mbuxhiekimoda4421 2 ปีที่แล้ว +3

    Ufalume kwenye mech hii ni wa Henock Inongo, Vallane kwa mambo anayofany bhna hatar xna, bakar nondo akasome !!!!

  • @gototheantyousluggard2035
    @gototheantyousluggard2035 2 ปีที่แล้ว +2

    I'm from South Africa and I enjoy watching these two Tanzanian FCs
    It seems like I'm leaning more the green n yellow one , maybe because I support mamelodi Sundowns with similar colours 🤦🙏🏿🤦🙏🏿

  • @jumakassim8718
    @jumakassim8718 2 ปีที่แล้ว +5

    Daaah tumewakosa sana makolo 💛💛💚💚

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 ปีที่แล้ว

      MAMA YOOYOOYOO MIMBA INAKUSUMBUWA HUONI.

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 2 ปีที่แล้ว

      @@salimmalaka256 kuwa na adabu na timu za watu kolo wewe

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 ปีที่แล้ว +1

      @@jumakassim8718 MIMBA NDWII HASIRA JUU JUU BQDO KULA UDONGO 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 2 ปีที่แล้ว +10

    Yani leo nimeamini mayele ni mkubwa sana na ni mshambuliaji ambae hajawahi kutokea bongo😁 yani watu wanashindwa kuongelea habari nyingine za mechi wamekazana eti ooo mayele kashindwa kufunga leo ni kama vile ilikuwa ni mayele vs simba na sio yanga vs simba😁😁😁😁😁

    • @oscarkilangi1187
      @oscarkilangi1187 2 ปีที่แล้ว +1

      Yeye ndy alijisifu atafunga ndy maana wanamsema

    • @japhetrobert1728
      @japhetrobert1728 2 ปีที่แล้ว

      Mti wenye matunda ndio unapigwa mawe.

    • @jtv3494
      @jtv3494 2 ปีที่แล้ว +2

      Uwezo wamayere niwakawaida sana kutokana kucheza gemu zote na idadi ya magol aliyo nayo bado hajawafikia washambuliaji wote walio cheza simba na yanga

    • @safinagasper6698
      @safinagasper6698 2 ปีที่แล้ว

      Ndo alieibeba yanga mayelee

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 ปีที่แล้ว

      SIMBA VS MAMA YOOYOOYOO LEO.

  • @shushubaby5097
    @shushubaby5097 2 ปีที่แล้ว +3

    Simba huwa hkamii kumfunga yanga anachoangalia ni kucheza mpira ili aende kujitangaza kimataifa zaidi kuroga mmeloga na sare tumetoka uchawi bila kiwango ni bure 🤣🤣🤣🤣

  • @crownseven7889
    @crownseven7889 2 ปีที่แล้ว +4

    Derby mbovu sijawai ona

  • @kinyanyaonline3658
    @kinyanyaonline3658 2 ปีที่แล้ว

    Alhamdulillah

  • @maghfirachambale9000
    @maghfirachambale9000 2 ปีที่แล้ว +2

    Hi

  • @ramsonramadhan4156
    @ramsonramadhan4156 2 ปีที่แล้ว +2

    Ni wa Mwanzo Kukoment Leo..🤣😅#Simba nguvu moja

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 2 ปีที่แล้ว +5

    Beki Bora Msimu huu ni INONGA BAKA 😆😆😆😆😆

    • @directorrey8665
      @directorrey8665 2 ปีที่แล้ว +1

      Kwa kumkaba mayele ndo awe bora??? Hahahaaa hapo kwanza ncheke

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 2 ปีที่แล้ว +1

      KAKORE, sio Ligi hii tu, hata kwao ndie aliekuwa BORA msimu uliopita. UTOPOLO wanajua ila wanajishebedua 😀😁😂🤣😃🙄😅😄😂💪💪💪

    • @fatumasophu5855
      @fatumasophu5855 2 ปีที่แล้ว +1

      @@directorrey8665 asa ulitaka amkabe referee au kumkaba mayele ndo kazi alotakiwa kufanya na ame win asilimia zote big up kwake

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 ปีที่แล้ว

      @@directorrey8665 MAYELE SI MUME WENU NYIE NG'OMBE FC.

  • @edyicoyigombeye5120
    @edyicoyigombeye5120 2 ปีที่แล้ว +1

    Ntibazonkiza 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @chazzvannylaurent3677
    @chazzvannylaurent3677 2 ปีที่แล้ว +2

    Sawa

  • @joramgobness5281
    @joramgobness5281 2 ปีที่แล้ว +1

    simba is 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @worldstartz
    @worldstartz 2 ปีที่แล้ว +3

    Yanga tuko vizuri

    • @rejinakweka2469
      @rejinakweka2469 2 ปีที่แล้ว

      daa yanga raha sana

    • @omaryomary8745
      @omaryomary8745 2 ปีที่แล้ว

      tatizo mpila haujuwi ila upo upande wa timu Simba ndo walioucheza mpila

  • @benjaminchakwe9815
    @benjaminchakwe9815 2 ปีที่แล้ว +1

    Highlight ya Leo ya hovyo sana

    • @mamaan26
      @mamaan26 2 ปีที่แล้ว

      Mshamba ww

  • @raymondlivigha4015
    @raymondlivigha4015 2 ปีที่แล้ว +4

    Kwa hizi mechi zilizobaki Yanga akipigwa mechi 3, halafu Simba akishinda zote Simba Bingwa.

    • @hermanjulius3709
      @hermanjulius3709 2 ปีที่แล้ว

      Atakuw anakuzid point 1 bado

    • @chaliiyawenger2331
      @chaliiyawenger2331 2 ปีที่แล้ว

      Mahesabu ya kishamba sana

    • @abdulaabdula2631
      @abdulaabdula2631 2 ปีที่แล้ว

      Wew jp hsbu mbovu. Kwaiyo simb yey atshnda zote 😂😂.. Ht uwanze kumuhsbia yanga. Maan simb kadro n poles Tanzania 😂😂

    • @bupomwamwala1402
      @bupomwamwala1402 2 ปีที่แล้ว

      Ndoto za mchana

    • @mussamakange7421
      @mussamakange7421 2 ปีที่แล้ว

      Mpumbav we kaa na mahesabu yako ya kisenge

  • @ackimibrahim2973
    @ackimibrahim2973 2 ปีที่แล้ว +1

    Highlights ya hovyo sana hii...kama hamjajipanga si mngetoa hata kesho

    • @allynguzo1209
      @allynguzo1209 2 ปีที่แล้ว +1

      Tatizo sio highlight. Mpira ukochezwa kiujumla ni mbovu

  • @anithajaphet4587
    @anithajaphet4587 2 ปีที่แล้ว +3

    Ivi mumeona Henock Inonga alivyo mtolea mayele mpira mguuni 😂😂😂

    • @kakorejrboyz6447
      @kakorejrboyz6447 2 ปีที่แล้ว

      Hivi Man united inasubiri nn Kwa INONGA BAKA? Si wamsajili wapunguze Vipigo

    • @anithajaphet4587
      @anithajaphet4587 2 ปีที่แล้ว

      @@kakorejrboyz6447 kwa kweli yaan wamchukue tu anastahili

  • @benjamindanielduday1542
    @benjamindanielduday1542 2 ปีที่แล้ว +2

    Sijaona sababu ya kocha kumtoa chama pamoja na kwamba bwaliya alikuwa mzuri pia

    • @salmamustapher5611
      @salmamustapher5611 2 ปีที่แล้ว

      Chama ni mtu wa slow sana mwalimu alikuwa sahihi kumtoa dabi hii ilikuwa Kasi mnoo ilihitaji mtu mwenyemguv na ambaye hajivuti yuko fasta hukuon alipotoka tu yeye na Morrison mpira ukawa wa Kasi Zaid bira hivyo tungefungwa

  • @zaidyabdalah3691
    @zaidyabdalah3691 2 ปีที่แล้ว +3

    Sasa wewe mtangazaji hiyo royal tour unailetaje humu mpirani? Ama kweli Tz bado sana

    • @KTMediatv
      @KTMediatv 2 ปีที่แล้ว

      We ndo huna akili kwani mpira unachezeka taifa analoliongoza nani na hiyo royal tour anaifanya nani? Huoni akiitaja hapa ataitangaza kwa asiejua akahamasika kutaka kujua ni nini. Acha ushamba wa kuitoa akili nchi yako

  • @majeshinyamihela3514
    @majeshinyamihela3514 2 ปีที่แล้ว +2

    Ramadhani Kayoko pia ana damu na nyama kwahiyo pamoja na sheria 17 za mpira wa miguu lkn bado anao mwili mimi mechi za Yanga zikichezeshwa na Kayoko sinaga imani na yeye kuna maamuzi anayafanya yanakupa kukufikirisha unakosa majibu.

    • @harounkiyungi7288
      @harounkiyungi7288 2 ปีที่แล้ว

      Uzuri Leo alikutwa amefunga ilikuwa vigumu kuendelea angeharibu swaumu yake tumshukuru mungu mechi hii imepagwa kipindi Cha Ramadhani

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 2 ปีที่แล้ว +7

    Still unbeaten!
    Kweli kwenye mpira kila mtu ana kipaumbele chake,
    Yanga anaumia kutopata point 3, ila Simba anashangilia mayele hajafunga!
    Hongera sana Kibwana shomari tafadhali upewe ulinzi maadui ni wengi

    • @ahmedame9336
      @ahmedame9336 2 ปีที่แล้ว +1

      Ni kweli kipaumbele cha yanga 0.5 ni kuifunga simba 28

    • @ibrahimchatila4945
      @ibrahimchatila4945 2 ปีที่แล้ว +1

      Yaani team ambayo haujapiga ht shot moja on target ukasirike kutoa sare. Team iliyopgwa mashuti makasrike. Dunia ina vtuko hii

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 2 ปีที่แล้ว

      @@ibrahimchatila4945 tena vituko haswaaaaa, hawa jamaa wasipoangalia msimu huu tena mapema watarudi kuwa mapokezi

    • @damianocostantine9042
      @damianocostantine9042 2 ปีที่แล้ว

      Yanga ni mafala tu hamna kitu subirien kupokea wageni

    • @ahmedame9336
      @ahmedame9336 2 ปีที่แล้ว

      @@damianocostantine9042 ukiwachunguza wananch utabaini kuna sehem wamepungukiwa na uwelewa lkn bado tunapaswa kuwavumilia kwn ukisema wananchi bado utayagusa makundi yote ya wenye akili na wale punguani

  • @ministereliwafrica8715
    @ministereliwafrica8715 2 ปีที่แล้ว +3

    yani washabiki wasimba awafulaihii yangu kutowa nao sare wanacho furahi nikwamba mayeree ajafunga😂😂😂😂😂

  • @betramraphael7219
    @betramraphael7219 2 ปีที่แล้ว +6

    ipo siku moja kipigo cha gori 4-1 cha 2020 kitarudia tena kwa yanga tutawafundisha adabu mana mnaongea sana yanga subiri wakati wa simba kufurahi utafika tu

    • @estergeorge8841
      @estergeorge8841 2 ปีที่แล้ว

      Kama Leo mmetushindwa B's amta Pata nafasi hiii tena ndugu yangu Pol sna😆😅😆

    • @cutebaby3247
      @cutebaby3247 2 ปีที่แล้ว

      @@estergeorge8841 akakojoe alale😂😂😂😂

    • @patrickmukundichalamila3038
      @patrickmukundichalamila3038 2 ปีที่แล้ว

      Chukua ubingwa uchekwe

    • @subiramussa1428
      @subiramussa1428 2 ปีที่แล้ว

      Maneno ya mkosaji hayo😄

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 ปีที่แล้ว +1

      @@cutebaby3247 WE USHAKOJOWA.

  • @salumhiyari8906
    @salumhiyari8906 2 ปีที่แล้ว +3

    kibwana shomari=Morison +sakho+kibu Denis

    • @ramahaji2395
      @ramahaji2395 2 ปีที่แล้ว +1

      Inonga mmoja sawa na nyeto, bangala, aucho

  • @mtazisalum2984
    @mtazisalum2984 2 ปีที่แล้ว +1

    Instrumental song ya CAF nackia kwa mbali... Ina maana NBC pl hawana nyimbo yso 😢

    • @KTMediatv
      @KTMediatv 2 ปีที่แล้ว

      ile imepigwa ndani uwanjani ni jambo la kawaida ila kwenye video hii unayoiangalia mwishon utaona instrumental ya NBC

  • @zunnahmohammed4719
    @zunnahmohammed4719 2 ปีที่แล้ว +1

    Yani. Hapo kutoka Morrison na kanute na chama. Mngekoma basi mmemroga kocha wetu awayowe kiboko yenu

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 2 ปีที่แล้ว +5

    Ni bahati mbaya kwa MAYALE kwamba,alikosa huduma nzuri.nadhani Luna baadhi ya wachezaji wenzake hawjaielewa mikimbio yake,mfano,Nkane na Djuma shabani,walipaswa kumpa V -- pass-- zilikuwa no nafasi ambazo angeweza kupata goli.

    • @misungwimpanduji2336
      @misungwimpanduji2336 2 ปีที่แล้ว

      Kwer sitaika wetu Leo akua napahat

    • @KTMediatv
      @KTMediatv 2 ปีที่แล้ว

      Umeongea kitu sahihi, sio kama hawajui tatizo ukubwa wa mechi walikua na tamaa ya kutaka wafunge. Mipira ya kutoa V pass wao wanapiga golini

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 ปีที่แล้ว

      KUMBE MAMA YOOYOOYOO FC NYOTE MA COCHA 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @emmanuelkasoga8194
      @emmanuelkasoga8194 2 ปีที่แล้ว

      Kwakweli kulikua na uhaba wa v-pass Mayele angefunga, sasa hapo kila mmoja alitaka kufunga mwenyewe, kosa kubwa Sana kitimu

    • @chb5367
      @chb5367 2 ปีที่แล้ว

      Mayele na makambo walipaswa kucheza pamoja mbele

  • @michaelmichael7095
    @michaelmichael7095 2 ปีที่แล้ว +2

    Niatar

  • @CHITUS
    @CHITUS 2 ปีที่แล้ว +3

    Ifahamike tu huyu mtangazaji ni zaidi ya mpenja

  • @faridahassan106
    @faridahassan106 2 ปีที่แล้ว +1

    Manila it is man

  • @titomakanda993
    @titomakanda993 2 ปีที่แล้ว +2

    Hatali

  • @sarhafrancis8824
    @sarhafrancis8824 2 ปีที่แล้ว +5

    hv hawa wachezaj wa simba kwa nn wanakua wanaleta hasira uwanjan?? yan kun mda djuma anapiga mpira morison anakimbia kwenda kweny miguu yake kwa nguvu na djuma akamkandamiza na miguvu lakn hakubweka sialiona huyo sio wa kutania😂😂😂😆😆😆

  • @mbisajafar7601
    @mbisajafar7601 2 ปีที่แล้ว +1

    Still unbeaten

  • @hamdanabdallaslum4165
    @hamdanabdallaslum4165 2 ปีที่แล้ว

    sawa

  • @petertembo2341
    @petertembo2341 2 ปีที่แล้ว +3

    Wanabahat yao

  • @salmakhalifa4793
    @salmakhalifa4793 2 ปีที่แล้ว +1

    Yanga wanajua wametengeneza nafasi nyingi sana ila bahati ya nafasi kuwa magoli haikuwepo

  • @salmakhalifa4793
    @salmakhalifa4793 2 ปีที่แล้ว +1

    Kuna watu wamecomment hapa siyo watu wa mpira ni mashabiki wa mpira

  • @jamesjigalu9146
    @jamesjigalu9146 2 ปีที่แล้ว

    Nimepanda sana

  • @harounmbwana4890
    @harounmbwana4890 2 ปีที่แล้ว

    Simbaaaa,,💪💪💪💪

  • @fralex_1276
    @fralex_1276 2 ปีที่แล้ว

    SIMBA SC 🔥

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 2 ปีที่แล้ว

    Morrison utaolewa na Yanga ukileta hashuo. Hapo upo kwa wananchi

  • @deniselias6890
    @deniselias6890 2 ปีที่แล้ว +2

    Wa pili

  • @johnbupimali5019
    @johnbupimali5019 2 ปีที่แล้ว +1

    Makolo et wakapewa 50:50 Kipindi Cha kwacha make hapa nicheke kwanza😂😂😂😂😂😂😂 kwa Mpira gani waliocheza

  • @doyentv
    @doyentv 2 ปีที่แล้ว +2

    Derby ya viwango

  • @simonjnrmabula3785
    @simonjnrmabula3785 2 ปีที่แล้ว +3

    Inonga analeta burudani sana 😃😃😃

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 2 ปีที่แล้ว

      Burdan tena kwa HERUFI kubwa. Mechi ya pili MAYELE ametolewa ili akaswage NG'OMBE wake kaingia Shamba la Mkulima. Chezea INONGA weweeeee💪💪💪💪💪

  • @fredikayenze4219
    @fredikayenze4219 2 ปีที่แล้ว

    Sawasss

  • @prriya507
    @prriya507 2 ปีที่แล้ว +3

    Daah mpira umechezwa

  • @gaudencehaule7398
    @gaudencehaule7398 ปีที่แล้ว

    Mayele hawez kufunga goli pale Onyango na Inonga wakiwa pamoja

  • @mariamrashidkarubirashid5893
    @mariamrashidkarubirashid5893 2 ปีที่แล้ว +3

    Makolo Leo wanabahat

  • @leilahasani3118
    @leilahasani3118 2 ปีที่แล้ว +2

    Yanga oeeeeeeee.....!! Naona tulivyowachezech mchaka mchaka hao wazembe

    • @jikelasimba4178
      @jikelasimba4178 2 ปีที่แล้ว

      Hamna timu ya kushindana mnatimu ya fujo hata Ali mayai kakuoneni

    • @victorsanga2229
      @victorsanga2229 2 ปีที่แล้ว

      Yanga ndiyo mmechezewa mpaka mkaanza kulala lala hovyo

    • @leilahasani3118
      @leilahasani3118 2 ปีที่แล้ว

      @@victorsanga2229 😃😃 Nyie Haya tu Simba wabishi
      nyie akati mchezo tumeuona wote.
      Tungewafunga kwanza ndie Msengesema sana

  • @kibokutiwanatanyika1540
    @kibokutiwanatanyika1540 2 ปีที่แล้ว +3

    Mayele kamlinda ndugu yake mkongo kwa kutomsababishia madhara ya kuondolewa simba kwani yupo hatarini kupoteza kibarua chake kwa kukosa penati na Orlando. Jaman tafadhali sitaki post ya matusi huu ni mtazamo wangu tu.

    • @mkamaboy2016
      @mkamaboy2016 2 ปีที่แล้ว

      Mbn uwezo wako ni mdogo sana kutambua vitu
      penalty alikosa inonga tu😅😅😅 ww ni 🚮🚮🚮

    • @enockabumba7513
      @enockabumba7513 2 ปีที่แล้ว

      Kabisa

  • @graceyohana1733
    @graceyohana1733 2 ปีที่แล้ว +1

    Namunuamin Sana Nabi, malizia azabu yako tuendeleze ushindi wetu

  • @richarddavid7667
    @richarddavid7667 2 ปีที่แล้ว

    Varane

  • @azizamihungo9659
    @azizamihungo9659 2 ปีที่แล้ว +1

    Cha ajabu Simba ndo waliojaza uwanja kushinda mwenyeji

  • @saumsaum1916
    @saumsaum1916 2 ปีที่แล้ว +2

    Mabingwa wameandaliwa na gsm

  • @emmadora7848
    @emmadora7848 2 ปีที่แล้ว +2

    Yanga msimu huu pia kimataifa mapema mtarudi

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 2 ปีที่แล้ว

      Sawasawa Mtabiri

    • @hidayamakuka7876
      @hidayamakuka7876 2 ปีที่แล้ว

      Sawa mfalme ndovu .chefuuuu

    • @fortunatafelician5625
      @fortunatafelician5625 2 ปีที่แล้ว

      Fyuuuu

    • @estergeorge8841
      @estergeorge8841 2 ปีที่แล้ว +1

      Yanga Amna kituleombk mayele ,, amekabwa na baby sio pw yanga amtuwezi jmn 🙆🙆🙆

    • @cutebaby3247
      @cutebaby3247 2 ปีที่แล้ว

      @@estergeorge8841 haya kakojoe ukalale basi😂😂😂😂

  • @electronicsermon6589
    @electronicsermon6589 2 ปีที่แล้ว +3

    Waamuzi wameharibu dabi

    • @ezeedi871
      @ezeedi871 2 ปีที่แล้ว

      Sasa waamuz wameharibu nn hapo na nyie mashabik daaah hamjawah kosa lawama yaan mm Kama shabiki wasimba nasema waamuz walikua vizur kiwahi kutokea katika gemu za derby,mwamuz kachezesha vizur sana

    • @jumamahamoud2022
      @jumamahamoud2022 2 ปีที่แล้ว

      Huyu dogo kayoko hanagashida sana hata kama anayo ni kidogo sana anawashinda hata waamuzi wazee!

  • @eliakimemily4139
    @eliakimemily4139 2 ปีที่แล้ว +3

    Wachezaji wanaotakiwa kuondoka simba. Ni chama , bwalia, wawa, kagere , mugaru , boko

    • @wanyooshetv9987
      @wanyooshetv9987 2 ปีที่แล้ว +1

      waje wakina nani ili tungurume?

    • @009biafra8
      @009biafra8 2 ปีที่แล้ว +1

      Naona umetumwa Mtu wa kuondoka hapo n Mugalu na wawa tu

  • @hamidayanga8224
    @hamidayanga8224 2 ปีที่แล้ว +3

    Makolo wamepigwa pira la maana jamn mkumbuke hii ni mech ya 6 mzunguko wa pili na hatujafungwa hadi sasa🤣🤣🤣🤣

    • @shaabansungura3205
      @shaabansungura3205 2 ปีที่แล้ว

      Huo mpira wa hatar labda umeuonea kwenye Ndoto

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 ปีที่แล้ว

      HAMIDA MAMA YOOYOOYOO MIMBA INAKUSUMBUWA.

  • @JacksonMbilo-pb4tq
    @JacksonMbilo-pb4tq หลายเดือนก่อน

    iyo atat

  • @lameckmaduka9793
    @lameckmaduka9793 2 ปีที่แล้ว

    Mazoeziyanga

  • @lazaromamasita2264
    @lazaromamasita2264 2 ปีที่แล้ว

    Mabo poa simba

  • @6thedj-255
    @6thedj-255 2 ปีที่แล้ว

    Sasa wimbo wa caf unapigwaje kwnye league yetu

  • @josephjulius8194
    @josephjulius8194 2 ปีที่แล้ว

    Fa cup yanga 1

  • @ashabakari1448
    @ashabakari1448 2 ปีที่แล้ว +2

    morrison nataman siku moja upate kipigo mbwa ww unaleta ubabe nyoso alitaka kukupiga ukaponea

  • @BigDreamsWorldwide
    @BigDreamsWorldwide 2 ปีที่แล้ว

    Pumziiiiiii..... 'fei voiceee'