Yanga SC 0-0 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 30/04/2022
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 เม.ย. 2022
- KARIAKOO DERBY: Kwa mara ya pili msimu huukwenye ligi kuu ya NBC Tanzania Bara, derby ya Kariakoo, Yanga na Simba inamalizika bila goli lolote kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Licha ya kutokuwepo mabao.... ilikuwa ni mechi dume .... Tazama highlights uone baadhi ya matukio muhimu yaliyojiri kwenye mchezo huo. - กีฬา
From Mozambique 🇲🇿 I love Simb fc they are very good 👍 ♥ 👌
Walai sijaona watu wanaopendana na wenye ukarimu kama WATANZANIA❤️💯🤲🏾. Much love from Kenya
Wanayanga tutambe hapa kwa kugonga like hapa
This is match kbs from today am going to follow all match btn Simba na yanga Tanzania you are the best thank you for highlight us🙏
Am from kenya and i really love watching this derby
Yanga wame jitaidi sana one love from Canada 🇨🇦
Canada ya konyo
@@agnesskalima3731 uuuj
@@agnesskalima3731 uuuuuujuuuujuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
@@agnesskalima3731 ujuuuuuu
@@agnesskalima3731 uujuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuiuuju
Juuuuuu
Jifunze quran kwa hukmu kuswali kwa vitendo gusa picha yang mara 2 hapo kama hautojli
Kocha mkuu hayupo lakini tupo fiti Yanga Tamu💛💛💛💛💚💚💚💚
Sio kweli👹👺👹👺❤️❤️❤️ Simba tamu asikwambie mtutuu Simba tmu
Kumbe nakocha huwa anacheza pia🤔
@@dihnadeusi4733 hapan. Kocha anakua anakula tuu bhas🤣🤣🤣
@@estergeorge8841 sio mbaya😂😂😂😂
What a mechi...Well done my team💚💛💚✊ #timuyawananchi
21 Matches,unbeaten --- this is Young Africans.
Yesu ni Mwokozi,Mkubari Upate ondoleo la dhambi.
We amekuokoa wapi acha upumbavu wako
Acha wewe
@@busta_malik5971 mbona unamshambulia mtu bila sababu
Amina
@@benjamindanielduday1542 MUOKOZI NI MUNGU SIO BINADAMU.
Yanga SC kiboko yao 👍👍👍👍👍
Mashaallah nimependa Marefa wanakunywa maji huku wamekaa,na hiyo ndio sunna ya Mtume
Mikia wanafurahia sare jamani 😂😂😂
Timu bila kupiga shuti langoni ?
Wa kwanza hapaaa
Simba na Yanga huwa kuna tension sana🇰🇪🇰🇪🇰🇪
This is the best dabi in eastafrica
Simba tunahitaji nguvu zaidi sehemu ya ushambuliaji na viungo
Pongezi nyingi nyingi mno kwa Simba Sc nyinyi ndio nyinyi wala hakuna mwingine 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
a wap simba hamn ktu
Enonga
Yanga big up
Kuna watu wanateseka kweli! 💚✅✅✅✅
Daaah makolo mna bahati sana 💚💛
AHSANTE MAMA YOOYOOYOO.
Unbeaten matches 21 we are Young Africans sc 💛💚
Na hatupigwi tenaaaaa
KWELI MAMA YOOYOOYOO.
Mashabiki wa yanga sisi maboya sana tumeshindwa kujaza uwanja
Tunawataka simba fainal ya fa
Yanga bingwa
Mwizi Nje, Fundi wao nje, msokota ugoro Nje, hapa nicheke kwanza😂😂😂😂😂💚💚💚💚✅✅✅✅
simba ndoo kilakitu 💪💪💪
Inonga Umejua Kunikabia Mayele leo 🥰🥰🥰🥰🥰🥰♥♥♥♥
najuw mlifurahi san ndio ushind wenu
Hapo ndipo Uwezo wenu ulipoishia
Hakika Simba imepoteza mvuto.Timu nzima na mashabiki wote wanacheza na Mayele.Hakika Simba yote mpaka muwekezaji, Mayele anawatosha.
@@godfreyfredrickmbajo1147 nyie uwezo wenu umeishia wapi
@@nadymhamad2655 VP LILE DENI ANALODAIWA KALIPA??? MAMA YOOYOOYOO FC NYINYI.
🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁
#NguvuMoja
Simba🦁
Highlight nzuri inatakiwa imezidi Sana dakika 9. Unaweza ukawa unairudia rudia hata sio hzo dakika 19 Tena zingine zina 27. Mnakera
Huyu Nkane atulize mapepe katujima ushindi !!
Ufalume kwenye mech hii ni wa Henock Inongo, Vallane kwa mambo anayofany bhna hatar xna, bakar nondo akasome !!!!
I'm from South Africa and I enjoy watching these two Tanzanian FCs
It seems like I'm leaning more the green n yellow one , maybe because I support mamelodi Sundowns with similar colours 🤦🙏🏿🤦🙏🏿
💛💚😻😻💥💥
Daaah tumewakosa sana makolo 💛💛💚💚
MAMA YOOYOOYOO MIMBA INAKUSUMBUWA HUONI.
@@salimmalaka256 kuwa na adabu na timu za watu kolo wewe
@@jumakassim8718 MIMBA NDWII HASIRA JUU JUU BQDO KULA UDONGO 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yani leo nimeamini mayele ni mkubwa sana na ni mshambuliaji ambae hajawahi kutokea bongo😁 yani watu wanashindwa kuongelea habari nyingine za mechi wamekazana eti ooo mayele kashindwa kufunga leo ni kama vile ilikuwa ni mayele vs simba na sio yanga vs simba😁😁😁😁😁
Yeye ndy alijisifu atafunga ndy maana wanamsema
Mti wenye matunda ndio unapigwa mawe.
Uwezo wamayere niwakawaida sana kutokana kucheza gemu zote na idadi ya magol aliyo nayo bado hajawafikia washambuliaji wote walio cheza simba na yanga
Ndo alieibeba yanga mayelee
SIMBA VS MAMA YOOYOOYOO LEO.
Simba huwa hkamii kumfunga yanga anachoangalia ni kucheza mpira ili aende kujitangaza kimataifa zaidi kuroga mmeloga na sare tumetoka uchawi bila kiwango ni bure 🤣🤣🤣🤣
Derby mbovu sijawai ona
Alhamdulillah
Hi
Ni wa Mwanzo Kukoment Leo..🤣😅#Simba nguvu moja
Beki Bora Msimu huu ni INONGA BAKA 😆😆😆😆😆
Kwa kumkaba mayele ndo awe bora??? Hahahaaa hapo kwanza ncheke
KAKORE, sio Ligi hii tu, hata kwao ndie aliekuwa BORA msimu uliopita. UTOPOLO wanajua ila wanajishebedua 😀😁😂🤣😃🙄😅😄😂💪💪💪
@@directorrey8665 asa ulitaka amkabe referee au kumkaba mayele ndo kazi alotakiwa kufanya na ame win asilimia zote big up kwake
@@directorrey8665 MAYELE SI MUME WENU NYIE NG'OMBE FC.
Ntibazonkiza 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sawa
simba is 🔥🔥🔥🔥🔥
Yanga tuko vizuri
daa yanga raha sana
tatizo mpila haujuwi ila upo upande wa timu Simba ndo walioucheza mpila
Highlight ya Leo ya hovyo sana
Mshamba ww
Kwa hizi mechi zilizobaki Yanga akipigwa mechi 3, halafu Simba akishinda zote Simba Bingwa.
Atakuw anakuzid point 1 bado
Mahesabu ya kishamba sana
Wew jp hsbu mbovu. Kwaiyo simb yey atshnda zote 😂😂.. Ht uwanze kumuhsbia yanga. Maan simb kadro n poles Tanzania 😂😂
Ndoto za mchana
Mpumbav we kaa na mahesabu yako ya kisenge
Highlights ya hovyo sana hii...kama hamjajipanga si mngetoa hata kesho
Tatizo sio highlight. Mpira ukochezwa kiujumla ni mbovu
Ivi mumeona Henock Inonga alivyo mtolea mayele mpira mguuni 😂😂😂
Hivi Man united inasubiri nn Kwa INONGA BAKA? Si wamsajili wapunguze Vipigo
@@kakorejrboyz6447 kwa kweli yaan wamchukue tu anastahili
Sijaona sababu ya kocha kumtoa chama pamoja na kwamba bwaliya alikuwa mzuri pia
Chama ni mtu wa slow sana mwalimu alikuwa sahihi kumtoa dabi hii ilikuwa Kasi mnoo ilihitaji mtu mwenyemguv na ambaye hajivuti yuko fasta hukuon alipotoka tu yeye na Morrison mpira ukawa wa Kasi Zaid bira hivyo tungefungwa
Sasa wewe mtangazaji hiyo royal tour unailetaje humu mpirani? Ama kweli Tz bado sana
We ndo huna akili kwani mpira unachezeka taifa analoliongoza nani na hiyo royal tour anaifanya nani? Huoni akiitaja hapa ataitangaza kwa asiejua akahamasika kutaka kujua ni nini. Acha ushamba wa kuitoa akili nchi yako
Ramadhani Kayoko pia ana damu na nyama kwahiyo pamoja na sheria 17 za mpira wa miguu lkn bado anao mwili mimi mechi za Yanga zikichezeshwa na Kayoko sinaga imani na yeye kuna maamuzi anayafanya yanakupa kukufikirisha unakosa majibu.
Uzuri Leo alikutwa amefunga ilikuwa vigumu kuendelea angeharibu swaumu yake tumshukuru mungu mechi hii imepagwa kipindi Cha Ramadhani
Still unbeaten!
Kweli kwenye mpira kila mtu ana kipaumbele chake,
Yanga anaumia kutopata point 3, ila Simba anashangilia mayele hajafunga!
Hongera sana Kibwana shomari tafadhali upewe ulinzi maadui ni wengi
Ni kweli kipaumbele cha yanga 0.5 ni kuifunga simba 28
Yaani team ambayo haujapiga ht shot moja on target ukasirike kutoa sare. Team iliyopgwa mashuti makasrike. Dunia ina vtuko hii
@@ibrahimchatila4945 tena vituko haswaaaaa, hawa jamaa wasipoangalia msimu huu tena mapema watarudi kuwa mapokezi
Yanga ni mafala tu hamna kitu subirien kupokea wageni
@@damianocostantine9042 ukiwachunguza wananch utabaini kuna sehem wamepungukiwa na uwelewa lkn bado tunapaswa kuwavumilia kwn ukisema wananchi bado utayagusa makundi yote ya wenye akili na wale punguani
yani washabiki wasimba awafulaihii yangu kutowa nao sare wanacho furahi nikwamba mayeree ajafunga😂😂😂😂😂
Ndio nawashangaa
ipo siku moja kipigo cha gori 4-1 cha 2020 kitarudia tena kwa yanga tutawafundisha adabu mana mnaongea sana yanga subiri wakati wa simba kufurahi utafika tu
Kama Leo mmetushindwa B's amta Pata nafasi hiii tena ndugu yangu Pol sna😆😅😆
@@estergeorge8841 akakojoe alale😂😂😂😂
Chukua ubingwa uchekwe
Maneno ya mkosaji hayo😄
@@cutebaby3247 WE USHAKOJOWA.
kibwana shomari=Morison +sakho+kibu Denis
Inonga mmoja sawa na nyeto, bangala, aucho
Instrumental song ya CAF nackia kwa mbali... Ina maana NBC pl hawana nyimbo yso 😢
ile imepigwa ndani uwanjani ni jambo la kawaida ila kwenye video hii unayoiangalia mwishon utaona instrumental ya NBC
Yani. Hapo kutoka Morrison na kanute na chama. Mngekoma basi mmemroga kocha wetu awayowe kiboko yenu
Ni bahati mbaya kwa MAYALE kwamba,alikosa huduma nzuri.nadhani Luna baadhi ya wachezaji wenzake hawjaielewa mikimbio yake,mfano,Nkane na Djuma shabani,walipaswa kumpa V -- pass-- zilikuwa no nafasi ambazo angeweza kupata goli.
Kwer sitaika wetu Leo akua napahat
Umeongea kitu sahihi, sio kama hawajui tatizo ukubwa wa mechi walikua na tamaa ya kutaka wafunge. Mipira ya kutoa V pass wao wanapiga golini
KUMBE MAMA YOOYOOYOO FC NYOTE MA COCHA 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwakweli kulikua na uhaba wa v-pass Mayele angefunga, sasa hapo kila mmoja alitaka kufunga mwenyewe, kosa kubwa Sana kitimu
Mayele na makambo walipaswa kucheza pamoja mbele
Niatar
Ifahamike tu huyu mtangazaji ni zaidi ya mpenja
Manila it is man
Hatali
hv hawa wachezaj wa simba kwa nn wanakua wanaleta hasira uwanjan?? yan kun mda djuma anapiga mpira morison anakimbia kwenda kweny miguu yake kwa nguvu na djuma akamkandamiza na miguvu lakn hakubweka sialiona huyo sio wa kutania😂😂😂😆😆😆
Kwan kocha wao humuoni?
Kwani umelewa ww
Still unbeaten
sawa
Wanabahat yao
Yanga wanajua wametengeneza nafasi nyingi sana ila bahati ya nafasi kuwa magoli haikuwepo
Kuna watu wamecomment hapa siyo watu wa mpira ni mashabiki wa mpira
Nimepanda sana
Simbaaaa,,💪💪💪💪
SIMBA SC 🔥
Morrison utaolewa na Yanga ukileta hashuo. Hapo upo kwa wananchi
Wa pili
Makolo et wakapewa 50:50 Kipindi Cha kwacha make hapa nicheke kwanza😂😂😂😂😂😂😂 kwa Mpira gani waliocheza
Derby ya viwango
Inonga analeta burudani sana 😃😃😃
Burdan tena kwa HERUFI kubwa. Mechi ya pili MAYELE ametolewa ili akaswage NG'OMBE wake kaingia Shamba la Mkulima. Chezea INONGA weweeeee💪💪💪💪💪
Sawasss
Daah mpira umechezwa
Mayele hawez kufunga goli pale Onyango na Inonga wakiwa pamoja
Makolo Leo wanabahat
AHSANTE MAMA YOOYOOYOO.
Yanga oeeeeeeee.....!! Naona tulivyowachezech mchaka mchaka hao wazembe
Hamna timu ya kushindana mnatimu ya fujo hata Ali mayai kakuoneni
Yanga ndiyo mmechezewa mpaka mkaanza kulala lala hovyo
@@victorsanga2229 😃😃 Nyie Haya tu Simba wabishi
nyie akati mchezo tumeuona wote.
Tungewafunga kwanza ndie Msengesema sana
Mayele kamlinda ndugu yake mkongo kwa kutomsababishia madhara ya kuondolewa simba kwani yupo hatarini kupoteza kibarua chake kwa kukosa penati na Orlando. Jaman tafadhali sitaki post ya matusi huu ni mtazamo wangu tu.
Mbn uwezo wako ni mdogo sana kutambua vitu
penalty alikosa inonga tu😅😅😅 ww ni 🚮🚮🚮
Kabisa
Namunuamin Sana Nabi, malizia azabu yako tuendeleze ushindi wetu
Varane
Cha ajabu Simba ndo waliojaza uwanja kushinda mwenyeji
Aziza mihungo
Mabingwa wameandaliwa na gsm
Yanga msimu huu pia kimataifa mapema mtarudi
Sawasawa Mtabiri
Sawa mfalme ndovu .chefuuuu
Fyuuuu
Yanga Amna kituleombk mayele ,, amekabwa na baby sio pw yanga amtuwezi jmn 🙆🙆🙆
@@estergeorge8841 haya kakojoe ukalale basi😂😂😂😂
Waamuzi wameharibu dabi
Sasa waamuz wameharibu nn hapo na nyie mashabik daaah hamjawah kosa lawama yaan mm Kama shabiki wasimba nasema waamuz walikua vizur kiwahi kutokea katika gemu za derby,mwamuz kachezesha vizur sana
Huyu dogo kayoko hanagashida sana hata kama anayo ni kidogo sana anawashinda hata waamuzi wazee!
Wachezaji wanaotakiwa kuondoka simba. Ni chama , bwalia, wawa, kagere , mugaru , boko
waje wakina nani ili tungurume?
Naona umetumwa Mtu wa kuondoka hapo n Mugalu na wawa tu
Makolo wamepigwa pira la maana jamn mkumbuke hii ni mech ya 6 mzunguko wa pili na hatujafungwa hadi sasa🤣🤣🤣🤣
Huo mpira wa hatar labda umeuonea kwenye Ndoto
HAMIDA MAMA YOOYOOYOO MIMBA INAKUSUMBUWA.
iyo atat
Mazoeziyanga
Mabo poa simba
Sasa wimbo wa caf unapigwaje kwnye league yetu
Fa cup yanga 1
morrison nataman siku moja upate kipigo mbwa ww unaleta ubabe nyoso alitaka kukupiga ukaponea
Unateseka ukiwa wapi
Yn mi ndo cmuelewagi ht kdg Morrison
@@jaribiwarungwe1925 🤣🤣kuteseka tena
Pumziiiiiii..... 'fei voiceee'