ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
onana wa nini bwana..tushamwona anacheza soft sana
Onana sio mchezaji wa kusaidia timu aondoke ajui mpira utoto na ubishoo mwingi tafuteni mchezaji mwingine
labda huo upumbavu wko wazan bila onana ht hio robo final tungeingia acha ufala
@@halidimgonza5945 Kamwambie mama ako kufunga sio tija yeyote anaweza kufunga ila currently anafanya nini
Bora kramo kuliko onana . Kramo abaki simba
Sarut umeongea ukweli wachezaji utoto utoto mashabiki hatutaki
Onana anakipaji anaitaji usaidizi wa makocha tu na atakuwa star
Jaman mbona simba hawako siriaz na usajili kama wanababaika vile maneno tu ndio mengi
Nyie mnataka mfanyiwe nn ila
Onana hapana kramo abaki
Onana wa nn tena jamani mbona ilitakiwa streka wa maana hapo mbele
Inachekesha, inasikitisha hivi Onana na Jobe wanatofauti yeyote? Nashauri tumrudie Kramo badala ya Onana. Onana hajawahi kunivutia anaubishoo uliopitiliza
Jamani Kramo namkubali sana Obama mhh sijui
mbona simba inarud nyuma onana tushamwona jipya lipi
Onana ni mchezaj hodari ndye aliyetupeleka robo final acheni upumbav
@@halidimgonza5945 pumbav ni wewe na yanga wenzio
@@halidimgonza5945 kutupelekq robo fainali ndo nini
onana wa nini bwana..tushamwona anacheza soft sana
Onana sio mchezaji wa kusaidia timu aondoke ajui mpira utoto na ubishoo mwingi tafuteni mchezaji mwingine
labda huo upumbavu wko wazan bila onana ht hio robo final tungeingia acha ufala
@@halidimgonza5945
Kamwambie mama ako kufunga sio tija yeyote anaweza kufunga ila currently anafanya nini
Bora kramo kuliko onana . Kramo abaki simba
Sarut umeongea ukweli wachezaji utoto utoto mashabiki hatutaki
Onana anakipaji anaitaji usaidizi wa makocha tu na atakuwa star
Jaman mbona simba hawako siriaz na usajili kama wanababaika vile maneno tu ndio mengi
Nyie mnataka mfanyiwe nn ila
Onana hapana kramo abaki
Onana wa nn tena jamani mbona ilitakiwa streka wa maana hapo mbele
Inachekesha, inasikitisha hivi Onana na Jobe wanatofauti yeyote? Nashauri tumrudie Kramo badala ya Onana. Onana hajawahi kunivutia anaubishoo uliopitiliza
Jamani Kramo namkubali sana Obama mhh sijui
mbona simba inarud nyuma onana tushamwona jipya lipi
Onana ni mchezaj hodari ndye aliyetupeleka robo final acheni upumbav
@@halidimgonza5945 pumbav ni wewe na yanga wenzio
@@halidimgonza5945 kutupelekq robo fainali ndo nini