"KAKA NAOMBA NILALE GETO KWAKO USIKU WA LEO TU, BWANA ANGU KANIFUKUZA/SINA PA KWENDA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
- "KAKA NAOMBA NILALE GETO KWAKO USIKU WA LEO TU, BWANA ANGU KANIFUKUZA/SINA PA KWENDA"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Tanzanian are very loyal and trustable.God bless them to continue with their kindness and peace keeping.
Huyu mzee ana hekima sana ..kaona usalama wa binti bora achukue namba za wote kijana akifanya chochote ajue namna ya kumsaidia binti🎉
Nimempenda saana huyu mzee🔥🔥🔥🔥
Watanzania wana roho za kipekee sana wana uafrica saaana Mungu atubariki
Hiyo ni oungo bhan hakunaaa angekua mwanaume iingukua vita
Amen
Nimesisimka Asante Sana Tanzania uyu mwingi walah🙏
Hii inaonesha vijana wengi bado wana maisha magumu sana. Wote hao hakuna mwenye geto lake mwenyewe.
Mhuni hawezi kabidhiwa chombo kikubwa kama wasafi, wasafi ni kubwa sana. Maneno ya mzee
Nahir anajuw mpak anajuw tenaa yani anajifanya mpol utazani ni kweli🥰🥰🥰🤗🤗
Kipindi fulani kulitokea matatizo shuleni kwetu nikatoroka nilipofika Sumbawanga nilisaidiwa kwa watu wasionifahamu na niliishi kama mtoto wao' Tanzania yetu
Ulishawahi kwenda kuwapelekea chochote kitu, au kuwasalimia tu Hadi hivi sasa??.... Vijana wetu bhana 🤦
Rudi siku moja uwasalimie.
Sumbawanga sehem gani, napia karibu sana ufipani uku
Kanta boy wew co bure😄😄😄
M banah imekuwa ikinitkokea mala Kwa mala kusaidiwa na mpka ssa na wazazi zaid ya 5 walio nisev na hata ssa wengi wanajua mm n mtoto wao
Tanzania 🇹🇿 ninchi ya watu wakalimu Sana imeshanitokea nilifukuzwaga nyumbani nikasaidiwa na watu baki nilikaa almost one week mzee akanipigia cm nirudi nyumbani mtihani asee omba yasikukute aloo😭😭😭
Yalinitokea pia ila nilisaidiwa nilikua Zaid ya miez 4 nikienda kazini narud kwa mama wa rafik japo hakua sana rafiki ila nataman siku moja nikamtembelee manake huu ni mwaka wa sita na kitu sijamuona.. Kuna watu wanamoyo sana jaman
@@mamuoman7849 so sorry MAMU ndio maisha Ila ujitaidi usije kuwafukuza watoto wako au wanje yandoa
Sema Pisi inavyojielezea iko vizuriiii..
Unbelievable demonstration of kindness of us African people who have almost nothing for ourselves but always ready to share whatever little we have with others. Inapendeza, yaani inaliza. Hapa Ulaya hili haliwezi tokea abadan! The guy in yellow is ready to introduce a stranger to his mother and even risk his marriage to help a stranger. What about that! Africans are very special people.
For sure, We have that spirit especially here in TZ kindness and hospitality is our culture to everyone even strangers
@@alexkitundu2413 Absolutely impressive
Acha zako bwana
Tena watu maskini kabisa... Kwa matajiri ni nadra sana kusaidia mtu stranger... Ila ndio yale kafia geto.
@@AbuuAbdilRahmaan inashangaza. wasio na kitu ndio walio na moyo wakusaidia wengine
Uyuninaira wajuwakali mrembo mashallah
Mm nlisaidiwa seem nikakaa week2 nakula na kulala tu then na kaz nikatafutiwa hadi leo hii nafanya kaz tangia 2016 nashkru mungu pia baqdh ya watz wana rohonzur sana pia na wao walinpendasana kwa loyalty yangu
Usiseme baadhi asilimia kubwa watu wana roho nzuri tusitishwe na wachache wamitandaoni
Mnajitahidi sana ipo siku mtafanya makubwa, ubunifu upo hapa
Nenda Nairobi kama utapewa sehemu ya kulala. Wabongo tuko na upendo sana wabongo big up
Ila jamaa wa mwisho nimemuelewa sana kuanzia kauli zake hadi roho yake👍
Huyo mzee Ana hekima Sana big up
"Utayaweza kweli maisha ya uswahilini maana mtu mwenyew unavoonekana dah"
SubhanaAllah mweyeeee 😢😢😢maskini huyo mze ana moyo wakusaidia na kaka wa njano
Wabongo tupo loyal sana, ready to help kwa namna yoyote💪
Wapi huyo demu kuwa wewe uone 😂😂😂😂😂
@@santosdanny9243 😂😂😂
nimempenda sana uyo baba
Mtoeni japo 100K mwamba ana moyo sana
You Guys Mnatakiwa Kuwa Serious Muwaige Wenzenu Wanavyofanya
Inabidi Mpange Na Mtenge Kifungu Kabisa Kwamba Atakayetoa Msaada Au Atakayeonyesha Moyo Mnampa Kiasi Cha Pesa Show Some Appreciation Sio Mnatoa Content Watu Wanadeliver Mnawaacha Ivyo Sijapenda 🇹🇿🇹🇿
Kweli kabisa mnawapotezea muda wao pia!
Kweli kabsa ndugu
Woord...
Kweli
Wabongo kwa kunyonyana utawaweza....
Kavile naila wa jua kali!! Ila wabongo 2na roho , za kibinadam nimepnda xna hii
Nimegundua hapa town watu wapo kwa ndugu zao kumbe wanaojitegemea ni wachache sana tupige makofi kwa tunaojitegemea🤲🤲🤲
👏👏👏
Nilicho jifunza kuwa watanzania wastaarabu kwel kweli
Sanya broo , huwezi kosa zawadi ya kuwapa ambao waneonyesha moyo wa ukarimu, wape hata kianzio cha beti yenu tena
Kipindi kizuri kinahamasisha , pamoja na matatizo lkn tuko pamoja, keep it up brothe
Kipindi cha leo....serikali ingekitumia ili kupata takwimu za raia wake wanavyoishi na ukame,shida ili kuweza kuendeleza jamii na kukuza ajira
Mzee ana hekima sana masha Allha
MashaAllah naira
Mwamba wa mwisho mngemtoa ata 10k ako humble
Unyama ni mwingi sana kwenye nafasi Yako kaka mo
Hawa wana wametisha sana 😀😀😀😀😀😀
Sema mo town introduction unaongea sana bhn.....🥹🥹🥹🔥🔥🔥
Nlichogundua dar watuweng hukaa kwandugu najamaa.. ingekua chuga ungefrai na,show...😁
Sanya nakubali mwamba
Good job
Naira wetu wa jua Kali ♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Sanya nyoko sana kabla ya kuwa mtangazaji alikuwa muigizaj awasaidie bongo movie 🤣🤣🤣
Wanaume tunacare sana bas tu yani
Sema da nimecheka sana
Sio kweli
Aisee. Tuliokuwa na maghetto tuheshimiwee. Wengi waishi kwa kuungaungaa sana aiseee dah
BIG UP brother wa njano👌👌
11:35 wasafi tv ni chombo kikubwa😂😂😂
Motown nembo ya mtaa
Kwanza uwongo wasafi ni no one
Tz tunaroh nzur sana nimependa
Wehu mnashindwa hata kumpa buku sio gud
Umeua boss
Ila kelele kipindi kipo Safi sana ila sauti
Hahaha kweli watu wa dar n matatizo at pakulala akunaaa
🔥🔥🔥bonge la show
Mwanzo nilijua ni mim tu ndy sina hata alfu tatu,kumbe tupo wengi🤣😂🤣
Mpeni pesa uyo Jamaa wa mwisho
Usiposuka unapendeza motown
Mimi nadhani Kw kua mmechukua Muhusika wa kike tena Smart Embu Chukuen wa kiume avae uhalisia wa kawaida...
ssna umetisha sana kaka
Ningeomba mlete hii kipindi huku kwetu Kenya team wasafi online.
😆😆😆😆
😄😄😄😄we motown siku utakuja kuua mtu yan me huyo ungenipata ningetoa msaada ila uyo dada nae yumo et asije akantangaza kwenye ma tv mtu mwenyew muun muun
Oy...Motown sanya..pamba...zako...unanunuaga...wapi....nazikubaliii....sana👊
Kama hizo pia tunazo tufollow insta gram @Malindostore_ tupo dsm tegeta
Mwamba wanjano katisha sana nimeipenda
Good idea 💡 👏 motown sanya
Kawaida saana hyo kwa mimii kuwasaidiaa
Kazii kaziii mbuzii kafiaa kwa muuzaa supu
Dar mtihani tuu bongo ☺️🤣🤣🤣
Danya hapana hua unawatoaga pesa. Huyu mwana. Alie kubali hukamtoa🧐
uyu n nailaa
Karibuni Chicago Illinois USA tuko pomoja
Really bro, mi niko LA ma nigga karibu bro
Oya Motown umezingua kinyama ungemuacha mpaka home mkamuona hata mother yake ju mama amemfundisha mwanae na ameelewa kusaidia wahitaji. Jeff fro from doha catar
Isingekua rahisi coz yule jamaa angeshtuka zile camela zinavyoendelea kuwafuata🤣🤣🤣🤣
Hiyo Nywele hatujaizoea utafkr 20 Pasenty
Huyo morio, alijipa si aty nini!!! Lakini mumemkatsia mbaya
Naira
Daaah etiiii chuma ichooo hapooo
'' ... daah, mitihani tu Bongo hapa ..''. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Vijana wa hovyo huwa tupo tyr muda wwt 😃😃
Mshikaji ananusa kinoma mbona kama unani enjoy😅😅😅
Asante studios
Ambacho sitaki kukikosa kwanza ni kula😂
Umeshawahi kuona wapi demu kama huyo akakosa msada halafu msaada wakulala wew hapo hamna msaada wowote jaribu uweke mwanaume uone kama kuna mwenye atamsaadia
Sahihi kabisa
Kabisa
mo town nakufatilihaka sana kutoka Cape town South Africa 🇿🇦 kesington..una mambo jamawangu wewe
Jalibu kufanya cama hii na mwanaume, maana watu wasiwe anafanya kwasababu ni demu
Mwanaume unalalamika vip hauna Makazi BoB au wew umezaliwa Dar 🤭#JOKE
Ila mwanaume hawez sema au kulalamika atakufa nalo moyoni na ndiy kitakachomtia hasira ya kutafuta chapaa🫂
Motown Sanya tumiye pesa tujuwe WCB kuna pesa awo munadanganya tuuuu Mutu nakubali kusayidiya but kipindi kinakeisha akuna shukruna ata buku 5000
Tukusaidie wew kwanz urudi shule ujue kusoma ndugu yetu
😂😂😂mi sina ghetto niko kwa Boss....
Kuna mbu utaweza kweli😒😂
Fanya hivi nikuconnectie basi 😂
aje siku moja tabata ndo ungejua malaya wako wengi
Wenu nyinyi niupuuzi lazima ummpe mtu zawadi kaonesha roho SAFI alaf umempotezea mdawake kuendesha kipindi chako
🤣🤣🤣🤣🤣🤣broo uko fireeeeee
🎉
😀😀 mwamba alikuwa anaenda kupaka vumbi
😂😂
Big up 🎉🎉🎉🎉
Motown Sanya miyeyushO kweLi Hahahaa 😄 😄 😄
Yani hawa wote hawana mageto wapuuz sana yni kila mtu anaish kwa ndugu mara kwa boss yni hovyo hovyo
🤣
Watu wanaogopa matatizo akija kukufia
Mzee anachezesha dimba la kati🤣🤣
Mzee kaua sana🤣🤣🤣
hii ni dalili tusha ya kuwa wabongo %kubwa wanauweza ukuwaxi
Daslam Daslam Daslam......
Daaah hatariiii
Dah sio fresh kudhalilishana sio poa
Mlicho kosea dada uyo kapendeza sana na kingine asinge kuwa anawafata mnavo ongea asubiri mpaka aondoke
Ase kweli pamoto watu mnaishi kwa ndugu jamaa na marafi alafu mkija mikoani mnavimba na kubonga ukuda