MIAKA 30 JELA, MTEGO WA MADAWA YA KULEVYA WANASA | HIVI NI KWELI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ส.ค. 2022
- KIJANA Huyu au yeyote aliyeonekana kwenye video hii hausiki na biashara ya madawa ya kulevya. Video hii ni igizo kama sehemu ya kipindi cha Hivi Ni Kweli cha Wasafi TV na haina uhalisia wowote.
MIAKA 30 JELA, MTEGO WA MADAWA YA KULEVYWA WANASA | HIVI NI KWELI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - บันเทิง
Nimempenda kijana ana hofu ya Mungu Mashaallah 🥰🥰hongera nyingi kwa wazazi wake🙏
kweli kabisa 🙏
Ndio kabisa hadi raha Masha'Allah
Hakika
Hiki kipindi kimetoa mafunzo mengi sana wazazi tujitahidi kulea watoto wetu katika maadili mema kama huyu kijana badala ya kuanza kubishana ovyo yeye kamkumbuka Mungu kuwa ndiye msaada pekee🙏
Kabisa
😭😭😭
Ukishasema Allahu akbaru tayari umemaliza Kama ni Jambo baya kwa kuwa umemuita aliyeumba mema na yasiyo mema basi huwa anaitikia wito na kuwa karibu na wewe na kukisikia kilio chako Allah atujaalie kauli thabiti tupatwapo na Jambo baya
@@kajugaa4537 Ameeen
Ooh Yani mpaka nimelia😢😢😢kama kwer
Kwa kweli Sanya huendi mbinguni 🤣🤣🤣 hii ya leo imeniuma sana aisee 😭 much love from CONGO 🇨🇩♥️
Dogo mcha Mungu sana....yapasa kujifunza hata pale tunapofikwa na mazito Allah pekee ndio kimbilio letu....Hongera sana dogo kwa kumtumainia Mwenyezi Mungu!
Sanya unazingua sana mwenetuuu 😂😂😂😂 The boy is very humble n God fearing person 🙏🏾
Daaaaaaah Dogo Anamlilia Allah Amsaidie Allah Ndio kila kitu Mpaka Machoz Yamenitoka Jamani😭😭
Ndio kabisa yani nimelia
😢😢😢😢Allah Akbar yy ndiyo kila kitu ktk maisha yetu
hakuna zaidi ya Allah ,dogo anamlilia Allah wake amsaidie 😭😭🙏
Kabisa kaka MUNGU ndo kila kitu🙏🏻
Exactky AllAH ndo kika kitu kwenye ulimwengu wetu
Allah akbar
Exactly brother
Although I'm not understanding but the story is highly good.more love from US🇺🇲🇺🇲🇺🇲
Hey there
I'm watching this from America 🇺🇸 i really enjoy this show Mr sanya your so creative much love to all my Tanzanian people 🇹🇿💞
Amna baya wasafi tv mnafunza japo inaumiza hongereni sana ila inaumiza. Kazi nzuri sanya
Hadi huruma, hizi nyengine si zakufanya fanyeni za kawaida mtakuja kuuwa watu kwa pressure kila mtu na hali yake, mtafuteni uyo kijana mumuongeze hela, Kijana MashaAllah ana hofu ya Mungu
Mo Sanya uendii mbinguni na uyoo mwanaoo 😭😭 Eeeeh mwenyewezi mung 🙏nisaidiee mjaa wako dah.. anaimanii sana
😭😭😭😭😭😭😭
Dah!! Wallah dogo alivyoanza kumuomba M/Mungu nimejikuta nadondosha chozi ghafla tu😭😭😭😭😭😭😭.
N:B
Sanya cku mkikutana na mwana sheria bobez hawezi kukubali huu upuuzi lazima aruke nanyi tu.
😭😭😭imenliza pale jamaa anaomba Dua e mwenyezimungu nsaidie unanjua wew
Dah! Rayvany akifokewa na diamond kama mtoto mdg👇👇👇
th-cam.com/video/s3Z4iLM_TIc/w-d-xo.html
th-cam.com/video/s3Z4iLM_TIc/w-d-xo.html
Kila mwenye chembe ya imani lazima alie kipande hichi
@@habibmringi9498 😭😭😭
Masha Allah I loved the kid he is so humble
Allah Akbar, jamaa imemuumiza sana
Am tz 🇹🇿Masikin kaniliza mpaka mm 😭😭😭kijana ana maadili na malezi mazur naipenda nchi yang MOO SANYA UNGEMPIGA ZA UZO JAPO KILO ELF3O angerudisha nguvu🤩💋❤
Kweli haswaa kipindi chote kakinogesha dogo
Ila nawaapia Wallah Billah Thumma wallah mm Samy baro msanii wa Bob junior Mm kama mm Mtego wenu haunipati Ng'oooooooh Nimeshajua Mbinu zenu zooote #Motown
Nielimu...ila itafanya wema wasisaidike ..kingine dogo ni mcha mungu sana na ameliza wengi
Nimejikuta nalia yarabii😭😭😭😭
Sema moh Town una ubunifu sana bro 😅😅😅😅upewe Uwezo kbsa 🇨🇩🇨🇩🇺🇬🇺🇬✌🏻✌🏻🎉
Inaumiza ila zaid inafundisha...hapo ndipo unaamin msaada wa kwel umebaki ni kwa Mungu pekee
Jamaa walivyo sikia tunakuja kuwabeba wote hawajataka hata kumsaidia mwenzao dogo hapo ndipo anakumbuka nimebaki na Mungu pekeyake😭😭
Elimu ya Uraia inahitajika, inakuwaje mtu anashikwa haulizi hata Kitambulisho cha Police?
Hapa ndio utajua Tz tunatiisheria kwa uoga na sio kufahamu.
All in all huyu dogo inaonyesha anahofu ya Mungu, Mwenyezi Mungu amjaalie mwisho mwema!
We unakula makofi hakuna muda wa kuuliza
Kaka MO TOWN Sema Tukupe Mawazo Mtauwa Watu Sijapenda Kaka Sio Poah Wazee😥
Kwa mimi binafsi sijaridhika kabisa na hii kipindi, nimeumia sana kwakweli. inabidi mumpe kitu cha maana chaku mrudishia imani yakk
Jamani mpk nmelia ila nmempenda huyu kijana anaimani na Mungu wake akita gumu alilololiona mbele yake alimtaja Mungu wake.
Huyu dogo hii prank hatowahi isahau maisha yake yote😂😂
Amiiin lazmaa awadiithiee kizazi chake chote
Kabisaaaa
Daaah Sanya we ni muuaji 😁 you killed it bro 💪🏿
Jamani isifike huko dogo ywalia bado mwamfanyia mitani sio freshi hivo... Nkt.
Dah! Rayvany akifokewa na diamond kama mtoto mdg👇👇👇
th-cam.com/video/s3Z4iLM_TIc/w-d-xo.html
th-cam.com/video/s3Z4iLM_TIc/w-d-xo.html
dogo analia but bado wasenge wanaendelea kumfanyia ujinga 😡😡😡😡
That's not fair 😥😥😥 kaka ameniuma huyu😭😭😭 mumlipe vikubwa mmemzalilisha sanaa
Kijana wa watu kachoka akili na mwili 🤣🙆siku nyingine hawezi kukubali kuingia kwenye gari la mtu asiyemfahamu
Amepata Bonge la Funzo" atamani Ardhii" ipasuke aingie ndani🤣🤣🤣🤣
@@barakatabdul3212 🤣🤣aisee usiombe ikukute
Mashaallah m.mungu amuepushe na kila la shari inshaallah
Amiym yarabbi
Bagamboni Wilaya mpya Sanyaaaaa 🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Dah! Rayvany akifokewa na diamond kama mtoto mdg👇👇👇
th-cam.com/video/s3Z4iLM_TIc/w-d-xo.html
th-cam.com/video/s3Z4iLM_TIc/w-d-xo.html
this man is talented and educative
Haya mambo IPO siku mtakuja kuuwa mtu kwa Presha
Nice to hear tz🇹🇿🇹🇿iko freshi barida
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 masikiiiiiini mtoto wawatu ivi ili wazo mlilitoa wapi nizuri linachekesha Ila Uyu kijana kaniumiza maskin😢😢😢😢
Jamaa ana hofu na MUNGU kiukwelii ile Allah akbar ni USHINDI TOSHA anajua kila jema na baya MUNGU anabaki mtetezi wake
Nimelia sana na mimi
Nimelia hii. Mob love from 254!
Dah inasikitisha Sana hii video kweli IPO kwenye igizo km mtego lengo ni kichekesho na wengi limewachukiza hili tukio km udhalilishaji lakini hili tukio km ni funzo na somo kwsbb lipo kiuhalishia katika Maisha ya sasa haya mambo yanatokea unakuta mtu unaingia kwenye mattz wala hahusiki so naiomba serekali kesi zengine zifanyiwe uchunguzi wa kina ili kuondokane na uonevu km huu
Sio kuchukiza hii ni funzo kwa upande mwengine usikubali kila kitu raisi
🤣🤣🤣
Yan badala tuone funzo tunabaki kukosoa tu
Haya Mambo yako Sana watu wanapenda magar ya bure
Mwenyewe nimelia sana imeniuma na ,imewahi nitokea pande za Chanika mwisho daah Mungu wangu 🙏🙏🙏😭😭😭😭
This one though,nahisi ikiwa real. It's touching venye jamaa anahurumisha😔😔😔
Maisha yanafundisha mengi mno yaweza ukawa sio muhuni, sio mtu wa makundi mabaya, lakn ukakutana na matatizo kam aya na zaidi, Allah tujaalie mwisho mwema sisi tusiojiweza
Inaniumiza sana hii ya leo sijui mnafanyaje ili kumrudisha kwenye ali yake ya kawaida na moyo wake ukunyuke kama awali😭😭😭😭😭😭😭
😁😁😁😂😂😂😂😂
Pesa tu akipewa mtezeeee ck imepitaa
Kweli umemuuliza Dogo akili hila ni funzo kwa wengine mimi binafsi siwezi msaidia mtu nikaingia ndani ya gari✌️✌️✌️✌️✌️
Sijapenda Mumlipe wazazi wake wakiona mnajua kama niwagonjwa wa moyo watakuaje
Mtakuja kuua watu kwa presha😂
Kwa kweli
Dah! Rayvany akifokewa na diamond kama mtoto mdg👇👇👇
th-cam.com/video/s3Z4iLM_TIc/w-d-xo.html
th-cam.com/video/s3Z4iLM_TIc/w-d-xo.html
🤣🤣🤣
NYEI 😪 sijapenda ،kabisa 🤣🤣🤣
Siku nikiwaona wasafi
nakimbia
stk mimi mambo gana ayo🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️
😂😂😂
Nimejikuta naumia hapo tuu, alipokuwa anamlilia Mwenyezi Mungu wake😭
Também Não gostei, Fiquei muito triste
Dogo amenitoa chozi aisee,they are just acting but it happens in real life watu wanabambikiwa sana kesi mtaani 😭😭😭😭
Katika video zako zote hii umeuwa masha💯💯💯💯💯
Yani leo nimejikuta 😭😭dhuuh!ila kunakitu nimejifunza
Inaniuma napo ona jamaa anaomba sala ya mwisho akijua anaenda jela najikuta nalia mm 😥😥😥😥😥😥duuu
Freshi barida to the world 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Big lesson sana bro
Unaenda ndaniii centroooo😃😃😃😃
sijapenda leo ,,, mbka anatia huruma mwaya😑
inabidi wamlipe pesa nyingi na anaweza kuwashtaki
Ama kweli kwenye matatizo huwezi pata msaada wowote angalia jins walivyo mkataa sitaki kuongea mengi ila kiufupi hii imeniumiza sana 😢😢😢
Inaumiza sana huyu kijana anamoyo wa Imani sana
Dogo dini imekaa!! ManshaAllah
tuna beba wote hahaaa nimecheka sana
Dah! Rayvany akifokewa na diamond kama mtoto mdg👇👇👇
th-cam.com/video/s3Z4iLM_TIc/w-d-xo.html
th-cam.com/video/s3Z4iLM_TIc/w-d-xo.html
Tanzania nisehemu yakuishi inawajinga wengi sana inabidi inabidi mimlipe pesa nyingi sana kwa mshtuko mliompa nyinyi mnaingiza hela mwenzenu mmempa mawazo maisha yake yote
Sana hiki kipindi kina nikela Sana kina wazalilisha watu na kuwapa mstuko Sana watu wanaweza kuuwa mtu
@@eashaeasha9776 SASA DADA ANGU KAMA HUKIPENDI HIKI KIPINDI....KWANN UNAKIFATILIA????🤔🤔🤔🤔HIZI NI PRANK.....DUNIA NZIMA ZINAFANYIKA SIO KAMA NI JAMBO JIPYA😅😅😅SEMA WAKIMALIZA HUWA WANAWAPOZA WANA WAPA HELA KIDOGO
Ningalikuwa mimi nawaburuza mahakamani haiwezekani kumshtukiza mtu hivyo bila hata kumuandaa mwishowe umwambie eti naigiza tu
Nikweli kabisa usemacho sio vizuri waliomfanyia
Akipata wanasheria anachukua pesa kama ndugu abiria
Huu ndiyo ukweli wa Africa,watu wanaonewa kwa njia hizi,jambo muna act ndiyo ukweli wenyewe.
Sio Africa tu uonevu upo kila mahala
@@berthamahangila4462 Africa wamezidi miye naishi Ulaya huu mwaka 19,una right zako,huonewi mtu,na kama utaonewa unawafungulia mashitaka.
@@keifatuke99 hahhaa inategemea na nchi, izi nchi uonevu upo tena wakiona ww mweusi
@@berthamahangila4462 mimi hajawahi nitokea,ubaguzi upo wa wazi wazi kwa baadhi yao lakini angalau kuna afueni kuliko nchi za Africa
Nikweli
Mnavyofanya sio wazee mnawezaa mkauwaa sometime
ndio maana hapa USA kama hakujui hakuna cha lift or kusaidiana.
Hapo jamaa hatosaidia mtu tena na tatizo ni nyinyi.
Kijanaaaaa kijanaaaaa daaaah
Dah! Rayvany akifokewa na diamond kama mtoto mdg👇👇👇
th-cam.com/video/s3Z4iLM_TIc/w-d-xo.html
th-cam.com/video/s3Z4iLM_TIc/w-d-xo.html
dah mtakujaaaa uwa watuuu na pleshaaaaaaaaa!!!! KUWENIIII MAKINIIIII NA VIPINDII VYENUUUU😡😡😡😡😡😡😡😡😡
😡😡😡😡
Kabisa kwa kweli
I didn’t like that
Sema wazee mtakuja kumuuwa mtu kwakeli ningekuwa mm apo ulipomwita kuongea naye ingekuwa nishasepa mbio nyingi 😂😂😂
Mtakuja uwa watu kweli Kwa presha maana sio Kila atembea barabarani anakua Yuko sawa maisha magumu haya najua ninyi mnafanya content ila mnawalipa elfu kumi au ishilini nyie mnaingiza nyingi sio vizuli Ivi uyo dogo angeanguka na akafa ingekuaje ata mngelipia mazishi yake isingekua tija yali mshampoteza mue mnaangalia nasehemu au maanzali yakufanyiq kipindi iwe kalibu na hospitali kama uyu dogo.ndo ningekua mm ata kama mnanitania basi ningewabadilikia maana ata amjui siku yangu ilikua vip
Kwel kabisa
Unyama ni mwingi SEMA daah mmemdharirisha kiasi flani
Best prank ever, but dogo katulia sana Masha Allah
Na África você ajuda alguém e acaba se metendo em problemas
WCB mmetisha sana
Keeping moving sanya
😂😂😂Afande tunakamata wote waliokuahapo wana wamesepa fasta 🙌
🤣🤣🤣🤣🤣
Yooh kitaa flani hapo Kenya nipe like becouse nafagilia Tz citizens one love
Kiukweli mumemdhalilisha huyo kijana sio poa
Hayuko sawa hata kma umesema ni uongo 😭😭😭😭😭💔💔
Kiukweli kijana ameongea na mungu live ila nimeumia sana na sijajisikia vizuri kabisa
😭😭😭
Jmn anahofu ya mungu nimelitu😭
Shida ya watanzania tunajifanya mioyo Safi ukiambiwa kitu unafanya mwisho wa siku unaingia kwenye matatizo hii ni funzo Sana japo wameigiza
Kabisa
Yeah
Yaaah point
Ndo asilii yetuu ukarim bro ..ndo manaa tukaweza kuwa na makabilaa zaid ya 40 na tukaelewana bila tatizo.. kitu icho ambazo nchi NYINGI zimeshindwa mf.rwanda n.k kwaiyo kila taifa Lina asili yao ya tabiaa..
@@isombajohn65 ndio Mana tunaweza ingia kwenye hatari bila kujua
Noma
Wasaf siopowa 😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡
Unatisha sana Sanya 🔥🔥🔥
Nimelia jamani. Ni funzo kweli. Itatufanya tushindwe kuwasaidia hata wanaohitaji msaada kweli
Ilianza fresh mpaka kufika kati ikawa nzuri sana [ ilitosha pale], lkn mlimkazia sana kijana wa watu huko mbele kitu ambacho sio sawa kabisa, nimebubujikwa na machozi mengi sana juu ya kijana huyu,
kwa mazingira sasa kijana bado anawadai, kuna kesi muhimu sana hapo, ni funzo zuri sana na mambo hayo hutokea lkn extra miles mlizoenda kwa kijana ndio tatizo lenyewe.
Allah Akbar 🙏😭😭😭 it really hurts
Hii Dunia kumbukeni hayo ni maisha munapita leo yeye Kesho wewe uwezi jua kesho kuweni makini wasafi tv
Kabisaa cjapenda kabisaa
Nikukutana na sura ya sanya nakimbia vibaya sana 😢
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mbavu zangu
Tuna beba wote 🤣🤣🤣🤣
Afande kwenye radio: tunabeba wote kwenye eneo hilo, jamaa ahh mie mpita njia tu😂😂
Daaah nmechka kwel
Fiquei muito triste, por ver o Jovem a implorar por Deus, Não façam mais isso
Jamani hili nifunzo tusipende kujingza kwenye magar ya watu Tu mtu kakuita humjui anakwambia niseidie ingia kwenye gari unapata matatzo hata huhusiki
Daaaah dogo anatia huruma adi anataka niliza
Ni prank ila mmeenda beyond aisee kwa hili....huyu angepata tatizo mngemsaidia?!
Maisha hayapo mara mbili mdogo wangu usikubali unyonge kama unaojipa kama ni Sifa ila sio sifa unyonge usiupe nafasi kabisa wengine tungesharusha ngumi hapo
Uyo jamaaa policee anaee sema kijaaaanaa ananifraisha sana
Dah! Rayvany akifokewa na diamond kama mtoto mdg👇👇👇
th-cam.com/video/s3Z4iLM_TIc/w-d-xo.html
th-cam.com/video/s3Z4iLM_TIc/w-d-xo.html
Huyo ni Sekion David
Sio powa kuna vitu vingine ambavyo vinaweza kumuangusha mtu dk2 so kuweni makin na ubunifu wa nini mnaenda kuingia nacho mtaani, huyo ni mtoto mdg ambaye bdo hajawa na stress za maisha je angekuwa mtu amabaye amekumbwa na dholuba kibao, tunazika, ila pindi liko powa 🤭
Sanya shoo la kibabe👊🏽✊🏾🔥....sema nni mtakuja uwa watu kwa presha🤣🤣🤣
Wasafi inabidi hawa watu muwalipe hata kama kidogo lkn mmewapa sio mnawatumia tu kupata pesa wao mnawafanya katuni afu mnawaacha patupu