Mwanamke ndio anatakiwa awe mzuri mrembo na sio mwanaume hiyo ndio natural sasa unataka mwanaume mzuri sijui mweupe si uende ulaya huko na ulaya mnabeba wazee mnaacha vijana Ila wanawake sisi🤣🤣🤣
Uzuri wa mwanadamu ni asili uumbaji wa Mungu katika hapo hauwezi kupingana na Mungu, so binadamu hatuwezi kuwa sawa Uzuri na ubaya vyote vinamaana Mungu alifanya kwa makusudi, mwengine ameumbwa Uzuri wake ndio umesimama katika mafanikio yake sasa wivu ukisimama katikati hapo hiyo ni laana kwa maana u pinga umbaji wa Mungu, ubaya wa sura hauna maana mbaya kwa mtu mwanadamu
Nani mwenywe maradhi au mwaname sura au vip mume ni mume tu hiyo inatengemeya sura mbya kaumbwa na mungu ndiyo hivyo mm hata mwenywe sura mbaya sijapata nipa hapa oman nafanya kazi zangu alhadulilah😅🇦🇪🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Zay kweli ukiolewa na bwana sura baya unazaa watot wazuri😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mwanamme mwenye sura nzuri akizeeka anakua na sura mbaya lkn mwanamme mwenye sura mbovu akizeeka sura yake inakua nzuri😂😂
Nimetrackiwa😅😅
Zai Mungu akuweke mama nimecheka sana😂😂😂🥰🥰
😂😂😂😂😂
Apo kwenye mbegu nzuri nimekuelewa😂😂😂😂😂
Zai zai ww mbavu zangu mm et me staki machenza 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Zai una ndugu zako usalama taifa😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 nimechekaaa sanaa leo nilivyokuwa naendeleea lewaaa naaonaa ananitishaaaa 😂😂😂😂😂
Mbegu unaweza Ikawa nzuri lakini usiombe mbegu ikatae toto lifanana baba weeee😂😂
Mfuko wa uzazi unaweza kuonea huruma 😂😂😂😂😂😂
Zai hatak machenzaaaaaaa😂😂 heeeh jamany zaiiii😅😅😅😅😅😅😅😅
Da Geah kwa umbea eti weeee 😂😂😂
Nilifikili hiz story unatunga kumbe kweli hiyo story ya bwana wa fb uliwahi ongea umerudia tena vilevile ungekua uongo ungesahau😅😅😂
Ww tena Pele limepata mkunaji😊😊😊
Da zai mzuri lakini jamani ila maneno sijui anayatowa wapi alafu Gea kwa kuitikia
zaii we kiboko nimecheka sana leo khaaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Zai ww kboko❤❤
Tena kiboko kabisa jamani🙌🙌🙌
😅😅😅et bab mjumbe anaishi wap 😅😅😅
ila zai eti mfuko wa uzaz utakuonea huruma jaman,kwel wenye sura ngumu wanatoa sn maokoto,ila hawa handsome boy mmmmmh wagumu kutoa.
Majina yetu wakina zay atal😂😂😂😂
Kigamboni kwenye miboti iliyo haribika. 😂😂Kote mnaenda.
😂😂😂😂 zai ataki machenza 😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣😂😂😂😂 Da zai hii mwisho
Zai wewe saizi yangu nakuja huko...kwa sasa niko south
ila zai ww nimecheka sana
😀😀mwanaume sura kama buti🤣 yan akili za da zay🤣
Mwanamke ndio anatakiwa awe mzuri mrembo na sio mwanaume hiyo ndio natural sasa unataka mwanaume mzuri sijui mweupe si uende ulaya huko na ulaya mnabeba wazee mnaacha vijana Ila wanawake
sisi🤣🤣🤣
Uzuri wa mwanadamu ni asili uumbaji wa Mungu katika hapo hauwezi kupingana na Mungu, so binadamu hatuwezi kuwa sawa Uzuri na ubaya vyote vinamaana Mungu alifanya kwa makusudi, mwengine ameumbwa Uzuri wake ndio umesimama katika mafanikio yake sasa wivu ukisimama katikati hapo hiyo ni laana kwa maana u pinga umbaji wa Mungu, ubaya wa sura hauna maana mbaya kwa mtu mwanadamu
Zai wee kiboko 😂😂😂😂😅😅
Zay bwanaa 😅😅😂
😅😅😅😅Ila Zai nyie jamani 😅😅😅😅
Uso kama buti😂😂😂😂😂😂😂
anamaradhi😂😂😂 kuogopa mwenye gari 😂😂😂😂
Nani mwenywe maradhi au mwaname sura au vip mume ni mume tu hiyo inatengemeya sura mbya kaumbwa na mungu ndiyo hivyo mm hata mwenywe sura mbaya sijapata nipa hapa oman nafanya kazi zangu alhadulilah😅🇦🇪🙏🏽🙏🏽🙏🏽
😂😂😂😂 nyie
Sawa zari hilosura buti scania au
zai huyu mbavu sina
Zai wewe😂😂😂😂😂😂
Eeh zai weee 😂
🤣🤣🤣🤣zai shkamoo
Fo by fo, for bye for or four by four 😅😅😅
Manzi for me😂😂
Nimecheka mbk nimesikiwa na walabu hapa 😂 weeee Zaid utaniuwa
Kumbe Zai unajiuza
😅😅😅😅😅kiboko
Zari u r funny person, wish could c u😅😂😂
Zai weeeeeeeeeee
Zai wewe😂
🤣🤣🤣🤣🤣Zaiii weeee ety uso kama magimbi utatuwaaaa Kwa kucheka😂😂😂😂😂😂
Da zai kiboko
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Alafu unachukua ngapi?
Hahaha 4 by 4🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Zaiwewe unanichekesha mpaka basi
😂😂😂😂
Zai wa tangaa chamba dada chambaa😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅
Yan zay akili zake anazijua mwenyew me nampendaga 2
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Saa no no no ñ by Ii no look what
😅😅😅huyu mtanga kiboko😂😂😂😂
Akiyamungu zai kiboko
😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂
😂😂😂😂
😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂