Sheikh Yahya Wallah nakupenda kwa ajili ya Allah, wahadhiri wa Kenya mnafanya kazi kubwa sana kwa ajili ya Allah Allah awalipe Kheiri nyingi sana bila hesabu. Nafatilia sana mihadhara yenu na mmenipa elimu kubwa
Masha allah !! Masha allah !! Allah tu ndio atakupa jazaa yako sheikh sisi niwakukutilia dua . Allah akuhifadhi iliuendelee kuitetea dini ya kiislamu. Amiin
Asylum Aleikum, Maanshallah, My Qurstion to these 2 gentlemen is, what is the binding fact that has and will keep you in Islam. ???? I mean tomorrow when your freinds in the church contact and try to convince you to go back christianity . What is it that above all, that will give to stop their approach for that even the wealth of this world has a whole if given , you would not exchange Islam the religion of truth for anything. ??????
Nakukumbuka sheikh Waziri tulipokuwa waa high school . Nilikuwa nikikuombea mungu akuoneshe njia ya haki..lakini kwa sasa naona mungu alikubali dua zangu...alhamdu lillahi
Innalilah wainailayh raajiun. Family ya Wahshyy msilie sana. Kuna bishara kubwa sana ya ndugu yetu yupo kwenye starehe kubwa sana na hatamani kurudi tena duniani. Allah amlipe Firdaus. Ameen.
Waziiri mwaka 2011 nakumbuka mombasa makadara ground ukisema mm sitawai kuingia uislamu na sai nafurahi zaidi haki Ahamdulilah mungu Atufanye wale wataonana peponi sote brother
Siku zote tunajua kuwa ukweli haufichiki... km alivo sema ALLAH..WAKALIMATULLAHI HIYAL ÙLYA...mwenye enzi mungu azidi kuwaongoza hao na ss na jamii islamu
Kaka zangu Wahshi na muhammadi mmenikosha sana nawaombea kwa Allah awahifadhishe qur an ndani ya mwezi mmoja tu muweze kuutetea uislam Allah atuondolee huu ugonjwa ili muweze kuzunguka kila kona ya dunia mrejeshe waislam muliowaritadisha
Ajaaib. This is exactly what they taught wakina Ndacha na Onyango lakini I have seen so many debates between Ndacha,Onyango na Muslim preachers and 100% it was clear to anyone with their right mind that the Muslim speakers have more knowledge and understanding off head without looking at the Bible or the Koran and were winning their argument thats why so many Kenyans were converting in the muhaadaras even in the presence of Ndacha and Onyango and other preachers. The one thing that I have frequently noticed is that Kenyans are very smart and open minded and they go with what makes sense.
Kwa kweli mimi ni mfuatiliaji wa mihadhara yenu japo sipo Kenya ila nilichokiona kwa Sasa Hawa watu Akina Ndacha Kasina Onyango wameanzisha mafundisho wakiwa nyumbani mwao na wao kwa ujumla wao nimewauliza masuali 12 Sasa ni mwezi wa pili sijapata majibu na naamini hawana majibu hadi siku ya kiama niliwauliza hivi 1 wanipe majina ya Mungu japo 5 kwa lugha wanazozifahamu ikiwemo kiswahili kwa (maandiko) 2.Yessu atarudi Duniani JE? Atarudi kama Nani A Mungu B Mtume C Mwana wa Mungu 3 Yessu alibatinzwa na Yohana kama wanavyodai swali ni Yohana ni Yohana yupi Kati ya wawili na ili kuwa wapi kwa maandiko 4. Andki katika Bible ukristo ni dini 5. Kanisa la kwanza lilijengwa wapi mwaka gani 6. Paulo ni Mtume wa Nani A. Mungu B. Yessu 7. Torat Zaburi na Injili original ziliandikwa kwa lugha gani na inapatikana wapi kwa Sasa 8. Yessu laizaliwa mwezi wa ngapi kwa ushahidi maandiko. 9. Andiko linasema KWA MAANA JINSI HII MUNGU ALIUPENDA ULIMWENGU HATA AKAMTOA MWANA WAKE WA PEKEE ILI KILA AMUAMINIAE ASIPOTEE AWE NA UZIMA WA MILELE JE? Nina alukusudiwa Kati ya Ibrahim Mussa Daud Issa (Yessu ) kwa maandiko. 10. Krismas ni sherehe ya nini kwa maandiko 11. Andiko linasema sikutumwa ila kwa kondoo walio poteza wa nyumba ya Israel maneno haya alisema Nani na hili andiko ni la kweli au limetungwa na wandishi ushahidi kwa maandiko 12 wakristo wanafanya ibada vipi na kwa mafundisho ya kitabu gani ushahidi wa maandiko Wallah masuali haya kama hajasima muhadhiri wa Kiislamu basi hakuna kafiri yoyote atajibu
Lailahaillah a jamani hawa kumbe wanajuwa kila kitu subhanallah yani mm niliona nimashekhe wanatupa mawaidha kumbe ni wale walokuwa wanakosowa Qur'an mungu awaongoze kwanjia ilio nyooka na mulowatowa kwa uislamu naomba waione hii vedeo wajuwe kweli njia ya haki ni islamu mulowapoteza ili na wao waingie kwa dini yao inshaallah hata huamini kama walikuwa ni mapasta maana hawana hata sura ya kuupotosha uislamu kwanza hata sura zao ni zakiislamu ewe mungu wasaidie waja wako waijuwe dini ya hakki insaallah
@@alraident8068 hakuna ushabiki Bible isha sema Yesu ni njia kweli na uzima wa milele mtu haji kwa Baba ila kwa njia yangu toa andiko kama hili kwa quran Mohamad ni njia kweli na Uma wa milele niwe muislamu na jina langu nitaitwa Zainab
Laiti ungejua asili ya neno bibilia usingethubutu kucomment utumbo huu😅😅😅😅. Ww bisha kiume ila pembeni omba mungu akubakishe ktk ukristo km ukristo ndio kweli na omba mungu pia akupeleke palipo kweli kama ukristo sio kweli. Dua ikikubaliwa utajikuta automatically umevaa kanzu upo zako msikitini, I promise u. Ww omba mungu akulainishe moyo na kukutia nguvu kwenye kweli na haki.
Angaliya dini ya kiislamu inao wan'garisha watu kuliko ukristo jamani kanisa jamini huwa nigiza mpaka hata mwili huwa hauna nuru angalia wanavyo n'gara sasa
@@supumoto6819 Mbona dhundi alikuwa vizuri wakati wote huo akiuhubiri ukristo sasa amesilimu anakufa taari? Hawa Mabwana muliwaweza ila kama walikuwa wanauhubiri uongo basi mbona watumie vitabu wasome wazi? Ukiacha kuihubiri kweli ukitamania mali,fedha na sifa za ulimwengu huu kwa Mungu hauna umuhimu wa Kuishi tena,,,,,Sasa Ndundi Mungu amempumzisha ili kile kiburi kisiendelee angojee hukumu sasa...Na Waziri Yesu anasema ni mimi unayeniudhi .. .......Wakati upo bado Yesu anakupenda
Shukran sana Ustsdh yahya nice clip ma sheikh wanachekesha sana hao...sasa sheikh Yahya Tafadhali waite tena na uwape mda mrefu tafadhali ustadh.Wanabamba sana😂😂
Ha ha haaa wallah uislam raha SANA karibun ktk dini y hakh na Allah akuongozen sheikh yahya Hongera sana kwakaz Nzur muifanyayo Allah akujaalie pepo inshaallah
Lkni ni kumuomba Allah iwe wameyafanya kwa yakini na si kwa maslahi yao,, ama kuhadaa,, maana Kuna yule kijana anajiita Paul hassan aliisoma dini vizuri ya kiislamu na mwisho we akawa mkristo na kuchafua uislam na ilmu yake ya dini,, Kisha akarudi Tena kwa uislam kumbe yuko thu a natumiwa na wakristo achafue uislam na kwa mikataba,,, mwisho alirudi kua mkristo thena na Sasa Ana kazi ya kumchafulia sheikh Yusuf Jina kua ananunua wakristo,, ambalo ni jambo baya Sana njama za mapaster,, kujiunga na uislam Kisha kurudi ukristoni na kuharibia wahadhir WA kiislamu majina,,, kama Hawa wameslim ni kwa yaqini kuthoka kwa Allah basi Allah awatibithisshe katika dini na kama ni njama zao,,, basi Allah azivunje zao dhamiri wasiweze kufanikiwa
MashaAllah
Hapa ni mwendo WA kushare tu hadi kieleweke😋😋😋
Sheikh Yahya Wallah nakupenda kwa ajili ya Allah, wahadhiri wa Kenya mnafanya kazi kubwa sana kwa ajili ya Allah Allah awalipe Kheiri nyingi sana bila hesabu. Nafatilia sana mihadhara yenu na mmenipa elimu kubwa
Allahuma Amin karibu sana
Nakuaminia bro yahyah wewe ni moto wa kuotea mbali,unahekmah sana may Allah protect you always
Allahuma Amin sote
Ameen ya raab kwetu sote
Mashallah walai nimefurahi sana hawa walikua wabishi wakat huo wa ujahilia Angalia sasa neema ya Allah🤲🤲🤲
Kweli Nimeamini Qur'an Ni Kitabu Cha Mwenyezi Mungu, Na Mtume Muhammad Rehema Na Amani Zimwendee Yeye Ni Mtume Wa Mwenyezi Mungu.
PEKO MISEGESE, dini gani wewe?.
NA ALLAH.SW. AKUPE IMANI ZAIDI KWENYE HAQI HII
Amiim sote
Swala llahu aalaih wasalam
Sheikh Yahya nakuombea Dua kwa Mwenyezi Mungu aendelee kukupa Uhai ili uendelee Kuitetea Dini ya haki toka kwa Mwenyezi Mungu Àmiina 🤲🏽
Aamin✅
Aamin
Masha allah !! Masha allah !! Allah tu ndio atakupa jazaa yako sheikh sisi niwakukutilia dua . Allah akuhifadhi iliuendelee kuitetea dini ya kiislamu. Amiin
Amin
Allah awalinde masheikh wetu wawe upanga mkali dhidi ya masiokuwa waislam
Amin
Ma in sha a Allah Allah awajaliye kwa kusema ukweli kaka zangu ndugu zengu wa isilmu
Amin
Masha'Allah Allah azidishie Imani, Ikhlas na ucha Mungu
Amin
Asylum Aleikum, Maanshallah, My Qurstion to these 2 gentlemen is, what is the binding fact that has and will keep you in Islam. ???? I mean tomorrow when your freinds in the church contact and try to convince you to go back christianity . What is it that above all, that will give to stop their approach for that even the wealth of this world has a whole if given , you would not exchange Islam the religion of truth for anything. ??????
ya Allah....Alhamdulillaah yaa Rabby
Subhanalha Alhahu.Akbaru
Mashaallah wisilam 🤝 🙏 wapeni kheri na baraka hawa mungu kawawezesha ❤️🤝
MashaAllah Jazakhallahu kheiri,Allah awabariki 🙏🙏🙏🙏
Allah bless you
Allahuma amin
MashaAllah Ustadh Yahya kwa Daawah
Maashallah umeingi Kwenye dini ya haki na umeelewa Quran Allah akuongoze
Nakukumbuka sheikh Waziri tulipokuwa waa high school . Nilikuwa nikikuombea mungu akuoneshe njia ya haki..lakini kwa sasa naona mungu alikubali dua zangu...alhamdu lillahi
Innalilah wainailayh raajiun. Family ya Wahshyy msilie sana. Kuna bishara kubwa sana ya ndugu yetu yupo kwenye starehe kubwa sana na hatamani kurudi tena duniani. Allah amlipe Firdaus. Ameen.
Nani kakudanganya wewe? Ndio maana misikitini mwafunzwa mafundisho ya kisenge kweli
Assalam aleikum ma sheikh sheikh Wazir na sheikh Mohammed tuna wa fwata kwa kiini Sana endelyeni na Imani hiyo ameen
InshaAllah
Inshallah kheri inshallah mungu awaogoze
Allahuma Amin
Raha sana wallah ukiwa muislam ni neema kubwa sana tumshukuru Allah kwa neema hii na Allah atuongoze tuitendee haki neema hii
Wallah nimetoa machoz sana allah shahdi allah awaongoze wote mloslim takbiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiir
Waziiri mwaka 2011 nakumbuka mombasa makadara ground ukisema mm sitawai kuingia uislamu na sai nafurahi zaidi haki Ahamdulilah mungu Atufanye wale wataonana peponi sote brother
Sheikh Yahya tuletee Historia za Hawa ndugu zetu zilizowapelekea wao kusilimu In sha Allah
Inakuja inshaAllah
@@kenyadawahtv90 In sha Allah Amin
Sheikh wahshi Allah amsamehe madhambi yake na amweke mahala pema peponi
MASHAA ALLAH... Yarrab waswamehe waja wako hawa
Amin
Wallah thhumma,,Wallah,,
Allah awaongoze,na Inshaa Allah,,muwarudishe,wale mulio,wafanya waritadi INSHAA ALLAH
corona jamani ishaa watu waanze miadhara ya Allah tunusuru yaarabi
Ndio Dua zetu itaisha inshaAllah
Siku zote tunajua kuwa ukweli haufichiki... km alivo sema ALLAH..WAKALIMATULLAHI HIYAL ÙLYA...mwenye enzi mungu azidi kuwaongoza hao na ss na jamii islamu
💪 yahya Muhammad wahshi nguvumoja
Takbiiiir ndacha akangwe chips
Kaka zangu
Wahshi na muhammadi mmenikosha sana nawaombea kwa Allah awahifadhishe qur an ndani ya mwezi mmoja tu muweze kuutetea uislam Allah atuondolee huu ugonjwa ili muweze kuzunguka kila kona ya dunia mrejeshe waislam muliowaritadisha
Amin
Masha Allah barakallahu fiikum. Allah awape maono ya ndani kabisa ya Qur'an. From Zanzibar
Amin
MashaAllah inafaa wapate mikutano nchi nzima jinsi walivyokuwa wakiweka viraka ili wadanganye watu
InshaAllah
MashaAllah ustadhi yahya mwenyezi Mungu aendelee kumuongoza
Amin
Karibuni katika uislam,Allah awahifadhi
Ajaaib. This is exactly what they taught wakina Ndacha na Onyango lakini I have seen so many debates between Ndacha,Onyango na Muslim preachers and 100% it was clear to anyone with their right mind that the Muslim speakers have more knowledge and understanding off head without looking at the Bible or the Koran and were winning their argument thats why so many Kenyans were converting in the muhaadaras even in the presence of Ndacha and Onyango and other preachers. The one thing that I have frequently noticed is that Kenyans are very smart and open minded and they go with what makes sense.
Natamani ningewaalika kuja kula idd na mim uku Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 sema uwezo
Waashi ametuacha jana jioni ndugu..innalillahi wainnailaihi rajuun
Innalilah wainnilah rajjoun
Wahshi may Almighty Allah grant him in janatul firdaus
Kwa kweli mimi ni mfuatiliaji wa mihadhara yenu japo sipo Kenya ila nilichokiona kwa Sasa Hawa watu Akina Ndacha Kasina Onyango wameanzisha mafundisho wakiwa nyumbani mwao na wao kwa ujumla wao nimewauliza masuali 12 Sasa ni mwezi wa pili sijapata majibu na naamini hawana majibu hadi siku ya kiama niliwauliza hivi
1 wanipe majina ya Mungu japo 5 kwa lugha wanazozifahamu ikiwemo kiswahili kwa (maandiko)
2.Yessu atarudi Duniani JE? Atarudi kama Nani A Mungu B Mtume C Mwana wa Mungu
3 Yessu alibatinzwa na Yohana kama wanavyodai swali ni Yohana ni Yohana yupi Kati ya wawili na ili kuwa wapi kwa maandiko
4. Andki katika Bible ukristo ni dini
5. Kanisa la kwanza lilijengwa wapi mwaka gani
6. Paulo ni Mtume wa Nani A. Mungu B. Yessu
7. Torat Zaburi na Injili original ziliandikwa kwa lugha gani na inapatikana wapi kwa Sasa
8. Yessu laizaliwa mwezi wa ngapi kwa ushahidi maandiko.
9. Andiko linasema KWA MAANA JINSI HII MUNGU ALIUPENDA ULIMWENGU HATA AKAMTOA MWANA WAKE WA PEKEE ILI KILA AMUAMINIAE ASIPOTEE AWE NA UZIMA WA MILELE JE? Nina alukusudiwa Kati ya Ibrahim Mussa Daud Issa (Yessu ) kwa maandiko.
10. Krismas ni sherehe ya nini kwa maandiko
11. Andiko linasema sikutumwa ila kwa kondoo walio poteza wa nyumba ya Israel maneno haya alisema Nani na hili andiko ni la kweli au limetungwa na wandishi ushahidi kwa maandiko
12 wakristo wanafanya ibada vipi na kwa mafundisho ya kitabu gani ushahidi wa maandiko
Wallah masuali haya kama hajasima muhadhiri wa Kiislamu basi hakuna kafiri yoyote atajibu
Mwenyezi Mungu amsamehe ndungu yetu na sisi hote atusamehe mazambi yetu na atubariki Jan amin
ASALAM Aleikum ww karibuni sana kaka zetu katika uislam mlipoteza wengi sana kama mnavo sema bac ndugu zetu na nyinyi mjaribu kuwaokowa mlio wapoteza mtakapo weza mnajua ukweli ila hao jama wengi wanaamini hawajui please muwarudishe wenzenu msiwaache wakapotea ziada SubhanaAllah
ALLAHUAKBAR
mashaallah Karibu kwenye dini ya haki mwenyezi mungu awajalie afya muitangaze dini yake vizuri Amiin
Allahu akbar
Lailahaillah a jamani hawa kumbe wanajuwa kila kitu subhanallah yani mm niliona nimashekhe wanatupa mawaidha kumbe ni wale walokuwa wanakosowa Qur'an mungu awaongoze kwanjia ilio nyooka na mulowatowa kwa uislamu naomba waione hii vedeo wajuwe kweli njia ya haki ni islamu mulowapoteza ili na wao waingie kwa dini yao inshaallah hata huamini kama walikuwa ni mapasta maana hawana hata sura ya kuupotosha uislamu kwanza hata sura zao ni zakiislamu ewe mungu wasaidie waja wako waijuwe dini ya hakki insaallah
Amin
mashaaallah wahshy na mohammad twamuomba Allah asiwaonyeshe tena ile njia ya upotovu na kuwahifadhi na fitna za dajjal
May Allah forgive our brother wahshi and expand his grave and shower him with his mercy.
MMH allah karim
Allah awaongoze njia sahih inxhallah
Amin
MashaaAllah, Allah awamiminie baraka zake, msema kweli ni kipenzi cha Allah na waombea awahifadhi nakila shari za kila aina, Saum Maqboleen
Hata na ninyi hamukukuwa wakristo wakati wowote , na hamujuwi munacho kikimbiya (Yesu Kristo atabaki yule yule wa Jana Léo na hata milele Amina).
Hata shetani apinge yesu atahubiriwa hallelujah
Kabisaaaaa
@@millicentayangokunting3728 tafuteni haki iko wapi. Msome maandiko, uache ushabiki.
Yes
@@alraident8068 hakuna ushabiki Bible isha sema Yesu ni njia kweli na uzima wa milele mtu haji kwa Baba ila kwa njia yangu toa andiko kama hili kwa quran Mohamad ni njia kweli na Uma wa milele niwe muislamu na jina langu nitaitwa Zainab
@@ritanget9174 Eka promise nikikupa aya utasilimu. Na ukijiita zainab mm nitakuita Mamangu
Nimetoa machozi Sana mungu Awalinde wote waliosilimu
Amin
Ameeeen
Mashaallah wisilam maustdh mungu awape kheri waelekeze wakirsto waliosilimu mungu awafanyie wepes insha'Allah 🤝❤️🙏
Allah atupe pepo na awafungulie mwangaza ndugu zetu na sisi Allah atushibishe katka imani na dini ya Allah ameen
Edd Mubarak.taqballahu mina waminkum
Wapotevu ninyi (Yesu Kristo ni mwana wa Mungu aliye pekee)
Mashallah furaha ulioje kujua ukweli, uislamu kweli ni raha
Allah awalipe firdausi siku ya kiama
Sheikh yahya kazi nzuri saaaaana usilamu raha
Takbiiiir
Maashaallwaa maashaallwaa mashehe wetu maabruky takbiira
🤣🤣🤣🤣 ati viraka vtakukubalisha nini wallah semenikweli ayo nimatunda yawene kulinganiya dini Allah awalipe mimwenyewe nilikua mukristo ivi kunakituca Mutume nikikisikiya nalia kweli kweli Allah atupe pepo nakutulinda muto ule InshaAllah
Amiin inshallah, Allah akuongoze zaidi akhh
Alihabdulilah uisilam raha jaman nineema kubwa sana
Allah awajalie ote hawa ndugu zetu alotangulia mbele ya haki na uyo alokiwa hai mola atujalie mwisho mwema
MashaAllah barakat
Mwandishi wa kwanza kuandika bibilia ni mungu mwenyewe bisheni
Tunasikiliza viongozi wako waliosilimu muda wa kubishana hatuna
Andiko unalo mungu ameandika
@@thelalas9204 😁😁👌senkiyuuu
Laiti ungejua asili ya neno bibilia usingethubutu kucomment utumbo huu😅😅😅😅. Ww bisha kiume ila pembeni omba mungu akubakishe ktk ukristo km ukristo ndio kweli na omba mungu pia akupeleke palipo kweli kama ukristo sio kweli. Dua ikikubaliwa utajikuta automatically umevaa kanzu upo zako msikitini, I promise u. Ww omba mungu akulainishe moyo na kukutia nguvu kwenye kweli na haki.
MashAllah mabroook...wamependeza Wana nuru sahii
Ma shaa Allah
subhanalah
sijajua kuna vitabu ya ukora
astaghfirullah
Tunakoelekea uisilam utaenea ulimwengu mzima mungu anahaza kutenda haki nakuwaondoa kwenye shiliki
Sawa sawa
Maa shaa allah, Uislam ni Rahaaa... hauna shaka ndani yke Alhamdulillah..
Waashi umetuacha,innalillahi wainnailahi rajuun
Ma shaa Allah Mungu awape umri mrefu muwe kwenye daawa kuueneza uislam ndio muwaelimishe walio baki
Allah akuongoze shekh Yahaya kwa kazi nzuri inshaallah
Mashaallah
Allah Akbar
💪💪💪🙏🙏🙏
Mashallah ALLAHS nur glowing on ur faces
Inshaallah simsahau na Askof Gwajima anawaongopea sana Wakristo, anawarithisha Wakristo kukariru uwongo!
Angaliya dini ya kiislamu inao wan'garisha watu kuliko ukristo jamani kanisa jamini huwa nigiza mpaka hata mwili huwa hauna nuru angalia wanavyo n'gara sasa
Mbona wakiristo hawa comment? Njooni tunawapenda . Kufundishana nimuhimu
supu moto wapo maana dislikes zipo wameshindwa tuu cha ku comments
Washasilimu na washajua ukweli
@@hilalhilal8400 tumempoteza NDUGU yetu wahshy tayar, ametagulia mbele ya HAKI
@@supumoto6819 Mbona dhundi alikuwa vizuri wakati wote huo akiuhubiri ukristo sasa amesilimu anakufa taari? Hawa Mabwana muliwaweza ila kama walikuwa wanauhubiri uongo basi mbona watumie vitabu wasome wazi? Ukiacha kuihubiri kweli ukitamania mali,fedha na sifa za ulimwengu huu kwa Mungu hauna umuhimu wa Kuishi tena,,,,,Sasa Ndundi Mungu amempumzisha ili kile kiburi kisiendelee angojee hukumu sasa...Na Waziri Yesu anasema ni mimi unayeniudhi .. .......Wakati upo bado Yesu anakupenda
@@habelkalume9011 ikiwa wataka kujua haki mskilize MANENO ya marehemu dhundi kwa makini utamuelewa VIZURI sana
Shukran sana Ustsdh yahya nice clip ma sheikh wanachekesha sana hao...sasa sheikh Yahya Tafadhali waite tena na uwape mda mrefu tafadhali ustadh.Wanabamba sana😂😂
Allah Akbar!
Allah Kareem
MashaALLAH
Sapo %yaallha tunakuomba wape mwisho mwema nduguzetu
Allah akurehemu ustadh ndundi
Mashallah
Wallah wamependeza walivyovaa hizo kofia za kiua Maa shaa Allah
Ha ha haaa wallah uislam raha SANA karibun ktk dini y hakh na Allah akuongozen sheikh yahya Hongera sana kwakaz Nzur muifanyayo Allah akujaalie pepo inshaallah
Amin
Subhana Allah
Shukran!Takbir!!!
Uislamu ni dini ya haki Mimi na shahadia kuwa apana Mola apasae kuabudiwa kwa haki ispokua Allah na Muhammad ni mtume wake
Masha Allah
Munguakujarie
Maashaallah maustadh
Mashallah Allah awabarik wahadhir wote
Yani nina sikiya na furayi kwakweli Mungu azidi kuwajaliya kabsa musi rudi nyuma muzidi katika njiya yahaki
Amin
Lkni ni kumuomba Allah iwe wameyafanya kwa yakini na si kwa maslahi yao,, ama kuhadaa,, maana Kuna yule kijana anajiita Paul hassan aliisoma dini vizuri ya kiislamu na mwisho we akawa mkristo na kuchafua uislam na ilmu yake ya dini,, Kisha akarudi Tena kwa uislam kumbe yuko thu a natumiwa na wakristo achafue uislam na kwa mikataba,,, mwisho alirudi kua mkristo thena na Sasa Ana kazi ya kumchafulia sheikh Yusuf Jina kua ananunua wakristo,, ambalo ni jambo baya Sana njama za mapaster,, kujiunga na uislam Kisha kurudi ukristoni na kuharibia wahadhir WA kiislamu majina,,, kama Hawa wameslim ni kwa yaqini kuthoka kwa Allah basi Allah awatibithisshe katika dini na kama ni njama zao,,, basi Allah azivunje zao dhamiri wasiweze kufanikiwa
@@kenyadawahtv90
Hao walikuwa wakinanani walioslimu mohamed waziri na mwenzake
Allah akuifadhi waziri Allah maak
Allah Akbar walai nasikia raha kweli
Subhanallah
Allah pekee walai
ALLAH AKBAR UMEIYONA HAQIIIIIIIIIII TAKBIL