SITAISAHAU MSUMBIJI:MAUAJI/ALICHOMWA VISU/MELI YA UJERUMANI/NAKAMATWA/BAHARI INATISHA...PART 02
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ก.ย. 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Kama una simulizi au mkasa wasiliana nasi kwa namba #0653127761
Kabinyau ndio mtu alikua anajua kupanga story,huyu janja janja tu hakuna mtu alisafiri hapa
Jamaa anatoka sana nje ya mada, yaan hakuna ule mtirirko mzuri wa safari na kueleweka anazungumza nin
😂😂😂 kichaa huyu nikajua part 2 atakua katulia lakini wapi unga kichwani haeleweki
Jitahidi muhoji kwa mtiririko ametokea mkoa gani kuja Dar na safari aliipanga kwa muda gani? Alionodoka na nani? Nani alimshawishi kusafiri? Alitoroka au aliaga? N.k
Huyu story nyingi je ulivyoo kuwa kaburu umebanda meli?
Story nzuri sema haina mpangilio
Story nyoka nyng
Sana haina mpangilio
Brother anasimulizi nzuri ila mwandishi kashindwa kucontrol interview that's why hakuna mtiririko mzuri wa matukio, mwandishi amenogewa na stori na yy amekua mskilizaji na kasahau kwamba kuna walaji/watazamaji wanahitaji kujua mtiririko mzima wa matukio
Duh.. Kazi kweli kweli.
Natusokota huyo usd 1500 kwa siku
MUELIMISHE KWAMBA AMERIKA SIO ULAYA KUNA NCHI ZA ULAYA AMBAZO NI EUROPE NA AMAERCA NI AMERCA
Duh story inaboa
Awe malume
Kuchimbuka Una chimbuka mdaa wote inategea na jinsi ulivyo choka machimbo,Hoyaa huyu muhongo ajapanda meli anatoka Ktk mstari piga chini huyu
"The most worst history i hear ever" 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Mamae hadi nimeandika kiingereza cha form one shule ya kata,mwamba story mingi saaaana,yaaani HAJUI KUSIMULIA
Jamaa anazingua
Anaongea haraka sana huwezi kupanga vzr ..Africa sio njaa ni mifumo mibovu tu hilo ndio tatizo letu waafrika kujidharau hao wazungu bila Africa hawawezi kuishi vzr akili ya ukoloni bdo ipo vichwani..Story haina mpangilio hata kidogo
Mshikaji mtu wa story wee kama hujakaa vijiweni huwezi kumuelewa yeye anaongea na mtangazaji sio wasikilizaji
Bichiii boy kasafiriii semaaa storiii zakeee apangii vizuri manaaa ataaa sieriwiii nini pwent yaaa msingiii
Apa kama tunapoteza MB,, kutoka dar, mtwara, Mozambique,,, mmmmmh
Dupa muelekeze jamaa siyo anaongea ongea ovyo tu angee kitaratibu story ituvutie siyo alopoka lopoka story inakuwa mbovu