Watu maarufu walioshinda na kushindwa kura za maoni CCM
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ก.ค. 2020
- Wafahamu ‘vigogo’ na watu maarufu walioshinda na kushindwa kura za maoni CCM.
#AzamTVUpdates #AzamNews #UchaguziMkuu2020 #UchakuziMkuuTanzania #UchaguziMkuuZanzibar #KuraZaMaoniCCM
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Safi sana tena wana chama kama hawa tuwe macho sana maani iko wazi kuwa wana tafuta kwa masrai yao na si kwaaji jamii
Safi sana msaliti ni msaliti tu
Nimefurahishwa sana na kura za maoni za ccm kweli makufuli amewakomesha watoa rushwa waliokuwa wanazoea
Safi sana
Kafulila alitokea chadema kwenda ccm Azam mnapotosha Uma baada yakutoka nccr alikuumba chadema hakudum Sana ndio akatimkia ccm
Tukiskia uchaguzi tunahama vyama vyetu na kujifanya wenyeji sehem tulipo hamia. Bila kufikili walio kuepo hawahitaji uongoziji jiulize
Siasa za Tanzania zipo mikononi mwa wananchi na si mikononi mwa viongozi
Watangazaji wengi WA siku hizi mnabowa... Mnameza mate katikati ya Habari. Si mumeze kabla hamjaanza kuongea.... Mnaondosha ladha ya utangazaji
Swaaafi
mambo n moto
mungu mkubwa
Malipo ya usaliti ni hapa hapa chini so jikazen karbu uraian tu
harisoni bhana umepigwa
😂😂😂bola hvy walaf wa madalaka wapuuz
Wametia aibu wakimbizi wa siasa hao
Kafulila, Patrobas, Silinde na Lijualikali msijali pambaneni baadaye. Wana CCM wameonana wao kwa wao Ni malipizi Hayo. Tulieni chapeni kazi mjipange upya. Ila Kafulila na Patrobas mliishapata nafasi hamkua na sababu ya kuhangaika Tena. Mlipaswa,, mmefanya haraka kuachia nafasi mlizozipewa mngepaswa kuzitumikia kwanza.
Tamaa ya fisi
Wanatamaa hao hawapashwi kuwa hata balozi wa nyumba kumi
WENGINE walisababisha damu kumwagika hasa huyo mtulia damu ya akwilina inamfuatilia madhara ya kununuana hayo...
Hapa kidogo kafulila alikuwa maarufu sio hao mazombi
WAENDE TU KUWA WANACHAMA TU SIO MPAKA MUENDE KUWA WABUNGE.....HAPO NI DARASA...
Kuna haja hasa ya mtu kumwambia huyu mtangazaji hizo mbwembwe za kuongea kama muarabu aliyefilisika anaboa.
Mbona mi namuona yuko poa utakuwa unayako jamal