VIWANJANI 09/07/2024 | 'Ma-pro' wanne ambao Simba SC inatakiwa kuwatema kuelekea 2024/25
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ค. 2024
- SIMBA SC: Pata uchambuzi kuhusu usajili wa wachezaji wa kigeni waliosajiliwa Simba SC hadi sasa (08/07/2024) kikosi kikiwa kinakwenda nchini Misri kwa ajili ya kambi ya pre-season.
Hadi sasa wameshasajiliwa wapya saba, ambao wanafanya jumla kuwe na wachezaji zaidi ya 12 (16) wa kigeni...hivyo kuna wanne wanaotakiwa kuchinjwa...
Wachambuzi Geofrey Mwamnyanyi na ....wanatoa maoni yao juu ya nani wanaotakiwa kuwatemwa kuelekea msimu ujao 2024/25.
Je, wewe ungependa nani atemwe????? - กีฬา
Ila kwa Mimi cjapenda San kwa kumuacha kanuti
Napenda sana mnavyochambua jaman
Mie leo wa kwanza naomben like zenu
Will le Andre Esomba Onana ...jina kubwa 😂😂
Huyo huyo onana ndo tulikuwa tunasubili