TAJRIBA ADHIMU YA AL-ISTIGHFAR KATIKA KUPATA UTAJIRI MKUBWA | SIRI ZA QURAN TUKUFU | Mohamed Alidini

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
  • TAJRIBA ADHIMU YA AL-ISTIGHFAR (الاستغفار) | KATIKA KUPATA UTAJIRI MKUBWA | SIRI ZA QURAN TUKUFU | Mohamed Alidini
    Katika video hii tunaelezea Siri miongoni mwa siri za AL-ISTIGHFAR katika kupata utajiri mkubwa. Hii ni Siri kubwa kwa kuwa inafungamana na Quran ambayo ni kitabu cha Allah (SWT) kisichokuwa na shaka yoyote. Ni matumaini yangu kuwa utafwata maelezo yake ili uweze kufikia malengo yako ya kupata ukwasi.
    Maelezo yake:
    Surah: Nuh (71)
    Ayah: 10-14
    -----------------------------------------------------------------------------------------
    Utaratibu wake:
     Kuwa na Yaqeen kuhusu siri na faida za Qur’an Tukufu
     Kariri Al-Istighfar kwa matamshi yoyote yalosahihi kwa mujibu wa Qur’an na Hadith, kama Allah (SWT) anavyotufundisha ndani ya Qur’an akisema:
    فَقُلْتُ ٱسْتَغْفِرُوا۟ رَبَّكُمْ إِنَّهُۥ كَانَ غَفَّارًۭا. يُرْسِلِ ٱلسَّمَآءَ عَلَيْكُم مِّدْرَارًۭا. وَيُمْدِدْكُم بِأَمْوَٰلٍۢ وَبَنِينَ وَيَجْعَل لَّكُمْ جَنَّـٰتٍۢ وَيَجْعَل لَّكُمْ أَنْهَـٰرًۭا. مَّا لَكُمْ لَا تَرْجُونَ لِلَّهِ وَقَارًۭا. وَقَدْ خَلَقَكُمْ أَطْوَارًا.
    ------------------------------------------------------------------------------------------
    Shukran kwa kujisajili Channel yangu!
    **********************************************************************

ความคิดเห็น • 185

  • @ISAYAMPULULE
    @ISAYAMPULULE หลายเดือนก่อน +1

    Wallah tujivunie kua katika dini yetu Islam mashallah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  หลายเดือนก่อน +1

      Bila shaka. Allah (SWT) Atupe ufahamu wa Dini yetu na yaqeen juu ya Qur'an. Ameen!🤲🤲🤲🤲🤲

  • @zahramsangi3632
    @zahramsangi3632 5 หลายเดือนก่อน +4

    Maa Shaa Allwah…kwa faida hii uliyotupatia, Allwah akupe umri mrefu wenye manufaa hapa duniani na kesho akhera, na akuruzuku kwa kila unalo muomba bi-idhinilah In Shaa Allwah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Ameen ya Rabb! Insha Allah. Allah (SWT) atupe mazuri hapa duniani na kesho akhera. Ameen!

  • @husseinshaibu5239
    @husseinshaibu5239 5 หลายเดือนก่อน +6

    Jazakallahu kheir Al habib, Hili kama mtu hajafanya huweza kuona kama Masikhara lakini Allah kisha sema, ukifanya hivyi Allah atakupa kadhaa wa kadhaa n.k, Mie ni moja wa Watu ambao Allah alinifanyia mambo makubwa kabisa kwa Istighfar tu Sina Shaka na hilo.. Jenga Yaqini sasa kisha kaa chini utaona Maajabu yake..

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Barakallahu Feek ya Habiby. Nakubaliana nawe 100%. Maneno yako yanazidisha ladha katika mazungumzo haya. Kuwa na yaqeen ndio kufaulu. Allah (SWT) azidi kutupa mazuri duniani na akhera. Ameen! 👐

  • @meowzna
    @meowzna 17 วันที่ผ่านมา +1

    Ahsante Sanaa🙏

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  16 วันที่ผ่านมา +1

      Karibu Sana. Allah (SWT) Akupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @Hussein-l6v
    @Hussein-l6v 5 หลายเดือนก่อน +4

    Naam shekhe wetu Allah akujaalie kher zaidi mm naamini sana kuruani inasir nyingisan kwaweny kuamini

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +2

      Bila Shaka. Shukran sana kwa maelezo na maoni yako. Allah (SWT) Akubariki. Ameen!

  • @NezaMerry434
    @NezaMerry434 5 หลายเดือนก่อน +4

    Shukran yaa sheikh Mwenyezi Mungu akuepushe vijico na hasidi 🙏🙏🙏🙏🇷🇼🇷🇼🇷🇼

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Ameen ya Rabbal 'Alameen. Sote Insh Allah Taala. 👐

  • @saidam.k213
    @saidam.k213 5 หลายเดือนก่อน +3

    MashaAllah ...Allah atufanye tuwe miongoni mwa wenye kumkumbuka na wenye kutubia kw wingi

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Tabarakallah! Ameen ya Rabbal 'Alameen! 👐

  • @عبدالرحمن-ض9م
    @عبدالرحمن-ض9م 2 หลายเดือนก่อน +1

    جزاك الله خير
    الله يحفظك
    Allah AKUPE mwisho mwema na akuruzuku kila kitu hapa duniani na kesho akhera insha Allah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 หลายเดือนก่อน +1

      Ameen! Thumma Ameen! Thumma Ameen! Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @TatusuleimaniShauri
    @TatusuleimaniShauri 4 หลายเดือนก่อน +2

    Shehe Mimi kwanza nashukuru sana halafu ninashida Moja kubwa naomba msaada wako

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 หลายเดือนก่อน +1

      Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. Nakushukuru sana kuwa mfuasi mkubwa wa channel yangu. Allah (SWT) Akupe kheri zote. Naomba unielezee tatizo lako huenda Allah (SWT) Akatupa Tawfiq na tukaweza kulitatua.

    • @TatusuleimaniShauri
      @TatusuleimaniShauri 4 หลายเดือนก่อน +1

      Asante nashukuru nimekaribia naomba Dua zako maana nimekua mzito wa kufanya mambo yaheri

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 หลายเดือนก่อน +1

      @@TatusuleimaniShauri Allah (SWT) Akufanyie wepesi katika mambo yako yote. Ameen 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 5 หลายเดือนก่อน +8

    shukran sana sheikh wetu

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Tabarakallahu. Barakallahu Feek! 🙏

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 5 หลายเดือนก่อน +3

    Shukran sheikh kwa ukumbusho
    Allah akuhifadhi

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Ameen ya Rabb! Afwan. Allah (SWT) atuwafiqie kheri zote. Ameen!

  • @SharifaA-y4t
    @SharifaA-y4t 2 หลายเดือนก่อน +1

    Masha Allah shukuran sana shehe mwenyezi mungu akulipe kira laheri

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 หลายเดือนก่อน +1

      Tabarakallah! Sote Insha Allah! Ameen Ya Rabbal 'Alameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @hadijaismail3619
    @hadijaismail3619 4 หลายเดือนก่อน +1

    Jazakallah heri,Allah akulipe heri duniani na akhera huna choyo na elimu yako

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 หลายเดือนก่อน +1

      Ameen. Waiyyaak 🤲🙏

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mashallah ❤️ ❤️ allsh atujaalie tuwe ni miongoni mwao

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน

      Tabarakallahu! Ameen ya Rabbal 'Alameen. Shukran sana.

  • @nasraddinkadiir5115
    @nasraddinkadiir5115 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wlh alhamdunillah ISTIGHFAR my change your life

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 หลายเดือนก่อน +3

      Masha Allah! May Allah (SWT) Give us Yaqeen about Qur'an so that we can apply in life 🤲🙏🙏🙏🙏🤲

  • @AshuraKhamis-qv3ld
    @AshuraKhamis-qv3ld 5 หลายเดือนก่อน +2

    Shukran shukran shukran shukran 😢😢😢

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Afwan! Afwan! Afwan Sana. Barakillahu Feek 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @fauziamussa381
    @fauziamussa381 5 หลายเดือนก่อน +2

    Aa ww ni kweli kabisa, jazaka Llahu kheir from Msa, baraka Llahu fiq

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Ameen. Waiyyaak. Karibu sana Dada!

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed 5 หลายเดือนก่อน +2

    ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH Kheri sana.

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      MASHA ALLAH. BARAKILLAHU FEEK!

  • @raidataty8502
    @raidataty8502 3 หลายเดือนก่อน +2

    Shukran and Ameen for the last dua you made . I went through the comments and some people talk trash here may Allah guide please sheikh don’t take it personal wasamehe kwaajili ya Allah.
    Allah azidi kukuhifadh
    To be clear: is saying istighfar “ استغفرالله…?

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 หลายเดือนก่อน +1

      Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. I understand that and I always guided by this Ayah 199 of Surah Al-A'raf:
      خُذِ ٱلْعَفْوَ وَأْمُرْ بِٱلْعُرْفِ وَأَعْرِضْ عَنِ ٱلْجَـٰهِلِينَ ١٩٩
      Meaning: Be gracious, enjoin what is right, and turn away from those who act ignorantly. May Allah (SWT) Bless us abundantly. Ameen! 🤲🤲🤲

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 5 หลายเดือนก่อน +4

    Allahu akbar ❤❤❤

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Alhamdu Lillah! Shukran dadangu 🙏

  • @AsnatyMshamu
    @AsnatyMshamu 3 หลายเดือนก่อน +1

    Allah akuzidishie,nimekuelewa mno kama unagroup wattsap naomba kuingizwa ili nipate faida zaidi inshaallah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 หลายเดือนก่อน +1

      Ameen Ya Rabbal 'Alameen! La sina group. Insha Allah, nitaanzisha. Shukran! 🙏🤲

  • @sangokipozi4611
    @sangokipozi4611 4 หลายเดือนก่อน +1

    Allahumma Ameen. Jazaak Allahul kheir

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 หลายเดือนก่อน +1

      Ya Rabbal 'Alameen 🤲🤲🤲

  • @UmmuMunawarAliy
    @UmmuMunawarAliy 5 หลายเดือนก่อน +3

    Asalam alaikum waramtullah wabarakatuh. Ostaz jazakallahulghair

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Waiyyaak! Barakillah Feek! 👐🙏

  • @fatmamafazy8999
    @fatmamafazy8999 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah mafunzo mazuri sana. Tafadhali kidogo harakisha katika kueleza. Shukran

    • @NO1LIKES2FAIL
      @NO1LIKES2FAIL 5 หลายเดือนก่อน

      Mshkuru Allah umepata hio elimu bure kabisa hata kama anaelezea taratibu …

  • @letuslearn7548
    @letuslearn7548 5 หลายเดือนก่อน +4

    اللهم صل علي محمد و علي آل محمد كما صليت علي إبراهيم و علي آل إبراهيم إنك حميد مجيد و بارك علي محمد و علي آل محمد كما باركت علي إبراهيم و علي آل إبراهيم إنك حميد مجيد بقدر عظمة الله و قدر جلال الله و كماله عدد الشفع والوتر وكلمات الله التامات الطيبات المباركات

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +2

      آمين يا رب العالمين. بارك الله فيك وجزاك الله خير الجزاء.

  • @saumsaum712
    @saumsaum712 5 หลายเดือนก่อน +2

    Shukran jazeelan

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Waiyyaak Ukhtiyal Azeezah! Barakillahu Feek.

  • @ZubedaSorsa
    @ZubedaSorsa 4 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran jazza yako Kwa Allah sheikh

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 หลายเดือนก่อน +1

      Afwan. Waiyyak. 🤲🙏

  • @TatuUlio
    @TatuUlio 4 หลายเดือนก่อน +1

    Aminaana

  • @DelightfulPenguin-wk4kv
    @DelightfulPenguin-wk4kv 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ameen thumaanin

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Ya Rabb! Ya Rabb! Ya Rabb! Qabul! Shukran.

  • @xhilingiibra3571
    @xhilingiibra3571 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 หลายเดือนก่อน +1

      Tabarakallah! Shukran!

  • @HassanAboud-gh5re
    @HassanAboud-gh5re 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallh mungu akuzidishie kheri Inshallah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Tabarakallah! Ameen! Sote ya Rabb! 👐

  • @fauziamussa381
    @fauziamussa381 5 หลายเดือนก่อน +1

    Aa ww ni kweli hta mimi istighfr na S. A nnby iminipeleka umra Alhamduli Llah jazaka Llahu kheir

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Masha Allah! Tabarakallah! Allah (SWT) Atuafiqie kheri zote. Barakillahu Feek!

    • @herryhabibu9258
      @herryhabibu9258 5 หลายเดือนก่อน +1

      Ameen

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      @@herryhabibu9258 Ya Rabbal 'Alameen. Shukran.

  • @Dafetty
    @Dafetty 4 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran sana sheikh

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 หลายเดือนก่อน +1

      Karibu dadangu mpendwa! 🙏🤲

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 5 หลายเดือนก่อน +2

    MashaAllah shukraan sheikh

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Tabarakallahu! Barakillahu Feek!

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ma sha llah
    Shukran sheikh
    Allah akubariki

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Tabarakallah! Afwan. Allah (SWT) atuwafiqie kheri zote. Ameen!

  • @anyeresa928
    @anyeresa928 5 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran sheikh ..dua ya kuondoa hasad tafadhali ukipata mda inshaaAllah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Afwan. Insha Allah, nitakutumia hiyo Dua. Shukran.

    • @anyeresa928
      @anyeresa928 5 หลายเดือนก่อน +1

      Ntashukuru Allah akuzidishie elm na kutuletea faida inshaaAllah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      @@anyeresa928 Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. Insha Allah utasoma dua hii kila siku baada ya swala ya Subhi na Ishaa mara moja moja. Kwa uwezo wa Allah, Allah (SWT) atakuondolea na kukukinga hasadi ya aina yoyote. Na hii ndio Dua:
      بِسْمِ اللهِ أَرْقِيْ نَفْسِيْ مِنْ كُلِّ شَيْءٍ يُؤْذِيْنِيْ، وَمِنْ شَرِّ كُلِّ نَفْسٍ أَوْ عَيْنٍ حَاسِدٍ، بِسْمِ اللهِ أَرْقِيْ نَفْسِيْ اللهُ يَشْفِيْنِيْ، مَا شَاءَ اللهُ كَانَ، وَمَا لَمْ يَشَأْ لَمْ يَكُنْ، وَلَا حَوْلَ وَلَا قُوَّةَ إِلَّا بِاللِه، أَسْأَلُ اللهَ الْعَظِيْمَ رَبَّ الْعَرْشِ الْعَظِيْمِ أَنْ يَشْفِيَنِيْ وَيَشْفِيَ مَرْضَى الْـمُسْلِمِيْنَ .اللَّهُمَّ احْفَظْنِيْ يَا خَيْرَ حَافِظٍ مِنْ كُلِّ شَرٍّ، وَمِنْ كُلِّ حَسَدٍ وَعَيْنٍ، وَاجْعَلْنِيْ فِي ضَمَانِكَ وَحِرْزِكَ وَأَمَانِكَ يَا أَرْحَمَ الرَّاحِمِيْنَ. اللَّهُمَّ اصْرِفْ عَنِّي كُلَّ مَنْ أَرَادَ بِيْ شَرّاً، وَأَشْغِلْهُمْ فِي نُفُوْسِهِمْ، وَكُفَّ أَيْدِيْهِمْ. اللَّهُمَّ إِنِّي أَعْلَمُ أَنَّهُ لَمْ يُصِبْنِيْ إِلَّا مَا كَتَبْتَهُ عَلَيَّ، وَإِنِّيْ لَا أَخَافُ أَحَداً مِنْ خَلْقِكَ مَا دُمْتَ أَنْتَ مَعِيْ، فَاللَّهُمَّ احْفَظْنِيْ وَاحْرُسْنِيْ. اللَّهُمَّ إِنِّيْ وَكَّلْتُكَ أَمْرِيْ، وَأَنْتَ حَسْبِيْ وَنِعْمَ الْوَكِيْلِ، اللَّهُمَّ أَخْرِجْ كُلَّ دَاءٍ أَصَابَ جَسَدِيْ، وَرَدِّ كَيْدَ كُلِّ عَيْنٍ نَظَرَتْ فِي رِزْقِيْ، وَاكْفِنِيْ شَرَّ خَلْقِكَ الْـحَاسِدِيْنَ. اللَّهُمَّ لَا تَجْعَلْ نَفْسِيْ حَاقِدَةً حَاسِدَةً، وَارْزُقْنِيْ الرِّضَا وَالْقَنَاعَةِ، وَلَا تَجْعَلْنِيْ أَمَدَّ بَصَرِيْ إِلَى غَيْرِيْ، وَرَضِّنِيْ بِمَا رَزَقَتَنِيْ يَا أَرْحَمَ الرَّاحِمِيْنَ. اللَّهُمَّ بَارِكْ لِي فِيْمَا رَزَقْتَنِيْ، وَاصْرِفْ عَنّي شَرَّ الْأَشْرَارِ، وَكَيْدَ الْفُجَّارِ، وَطَوَارِقَ اللَّيْلِ وَالنَّهَارِ. اللَّهُمَّ احْرُسْنِيْ بِعَيْنِكَ الَّتِي لَا تَنَامُ، وَاكْلَأْنِيْ بِمُلْكِكَ الَّذِيْ لَا يُضَامُ، وَاحْفَظْنٍيْ يَا حَيُّ يَا قَيُّوْمُ. اللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ بِكُلِّ اسْمٍ هُوَ لَكَ أَنْ تَصْرِفَ عَنِّيْ كُلَّ عَيْنٍ، وَتُعَافِيْنِيْ مِنْ كُلِّ حَسَدٍ . وصلى الله على سيدنا محمد وعلى آله وسلم والحمد الله رب العالمين.

  • @Shakila-t3c
    @Shakila-t3c 4 หลายเดือนก่อน +1

    Aslm alkm ww.... Allah Kareem. Jazakallah kheir 🙏 Masha Allah!!!

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 หลายเดือนก่อน +1

      Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Allah Akramul Akrameen. Barakallahu Feek.

  • @rahmahasan32
    @rahmahasan32 5 หลายเดือนก่อน +1

    Swadkta wallahi shukrani

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Barakillahu Feek ya Ukhtyal Azeezah!

  • @abdoulsissoko4855
    @abdoulsissoko4855 5 หลายเดือนก่อน +2

    Jazak'Allahu Khairan

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน

      Afwan. Barakallahu Feek ya Akhylkareem!

  • @aminaalidini1705
    @aminaalidini1705 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaa Allah, shukran sheikh

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +2

      Tabarakallahu. Shukran Dadangu! 🙏

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 5 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran d

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Afwan. Allah (SWT) atuwafiqie kheri zote. Ameen!

  • @HapsaHaji-bg5jk
    @HapsaHaji-bg5jk 5 หลายเดือนก่อน +1

    shukran

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน

      Afwan. May Allah (SWT) Bless you abundantly. Ameen.

  • @bisharmohamed2275
    @bisharmohamed2275 4 หลายเดือนก่อน +1

    God bless you

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 หลายเดือนก่อน +1

      Ameen. All of us. Shukran 🤲🙏

  • @FIRDAUSAWADH
    @FIRDAUSAWADH 5 หลายเดือนก่อน

    Ameen yaraabil Alameen

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน

      Taqabbala Allah Minna wa minkum swalihal A'maal.

  • @rahmahasan32
    @rahmahasan32 5 หลายเดือนก่อน +1

    Amiin yaarabi

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Ya Rabb, Ameen Thumma Ameen!

  • @AishaSaoud-m4i
    @AishaSaoud-m4i 4 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran jazaqa Allah khayra

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 หลายเดือนก่อน +2

      Waiyyaak. Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🙏

    • @AishaSaoud-m4i
      @AishaSaoud-m4i 4 หลายเดือนก่อน +1

      @@mohamedalidini Aamin yarabbi laalamiin

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 หลายเดือนก่อน +1

      @@AishaSaoud-m4i Ya Rabb! Barakillahu Feek. 🤲🙏🙏🙏

    • @AishaSaoud-m4i
      @AishaSaoud-m4i 4 หลายเดือนก่อน

      @@mohamedalidini Aamin yarabbi laalamiin kwasote pia

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 5 หลายเดือนก่อน +1

    MashaAllah shukran ngoja ni subscribe nizid kupata faida

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Tabarakallah. Bila shaka! Faida utazipata insha Allah. Karibu sana dadangu mpendwa.🙏

  • @AshuraKhamis-qv3ld
    @AshuraKhamis-qv3ld 5 หลายเดือนก่อน +1

    Masha Allah tabarakallah ❤️🫰🏾

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Tabarakallah. Barakillahu Feek 🙏🙏🙏

  • @AbdullahSaid-s4k
    @AbdullahSaid-s4k 5 หลายเดือนก่อน +1

    استغفر الله العظيم

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Ameen! Wa Atubu Ilaih!

  • @MayiNtunzwenimana
    @MayiNtunzwenimana 4 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 หลายเดือนก่อน

      Shukran Sana 🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hio ALSTIGHFAAR ni dua upi ama unaisoma vp,,,,mwenye kuifaham namba anijuze inshaallah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. Shukran kwa swali lako. Kinachohitajika kufanya ni kufuata yafuatayo:
      Utaratibu wake:
       Kuwa na Yaqeen kuhusu siri na faida za Qur’an Tukufu
       Kariri Al-Istighfar kwa matamshi yoyote yalosahihi kwa mujibu wa Qur’an na Hadith, kama Allah (SWT) anavyotufundisha ndani ya Qur’an.

  • @awenam-of7te
    @awenam-of7te 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hata uislam kwa rehma za Allaah ulisimama kwa upanga nafsi na mali

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 หลายเดือนก่อน +1

      Kheiran Insha Allah! Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 5 หลายเดือนก่อน +4

    The miss understood religion

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +2

      Allah Akbar! Allah (SWT) is Great! Kindly. See my comments below 👇. Barakallahu Feek ya Habiby!

    • @NezaMerry434
      @NezaMerry434 5 หลายเดือนก่อน +1

      Alhamdulillah sheikh nayapenda mawaidha yako na I ivi kwa Sasa naanza kuyaona mabadiliko kwa duaa hiz na adhkar namuomba mungu mwingi wa Rehema akujalie afia nzuri na mafanikio mazuri fii dunia wal akhera 🙏🇷🇼mashallah tabaraka Allah 🙏

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      @@NezaMerry434 Ameen ya Rabbal 'Alameen. Sote Insha Allah Taala. Shukran.

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      @@NezaMerry434 Ameen! Ameen! Thumma Ameen! Barakillahu Feek!

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 5 หลายเดือนก่อน +6

    Quran haikuja kuwatafutia watu utajiri hebu ifike wakati hii dini tuwaachie wanaojua hii dini watufundishe haya ukishajuwa tajiri ndio inakuwa nini?

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +29

      Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh. Kwanza nakushukuru kwa maoni yako na tunayaheshimu sana. Ila ni kwamba maneno yako yatufahamisha kiwango chako cha elimu. Nadhani ni busara kubwa kutorevusha ujumbe wangu kwako. Kwa ufupi Qur'an imeletwa kwa manufaa ya wanadamu. Nawe una khiyari ya kunufaika au la. Usiwe mbishi kwa mambo yalobainishwa wazi ndani ya Qur'an na wanavyuoni wakubwa wakayathibitisha na kunufaika. Qur'an inatutaka tujue, tuizingatie na kufwata. Na hizo ayah ziko wazi. Allah (SWT) ni mjuzi wa yote! Shukran sana Kakangu na nakupenda kwa ajili ya Allah (SWT).

    • @FayeezAlbahassaney
      @FayeezAlbahassaney 5 หลายเดือนก่อน +13

      Acha chuki kaka hiy ni sifa ya hasid Allah akulind my lecturer

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +3

      @@FayeezAlbahassaney Ameen ya Rabb. Shukran Habib!

    • @FayeezAlbahassaney
      @FayeezAlbahassaney 5 หลายเดือนก่อน +9

      Angaliya kaka ktk surat Nuh aya ya 10 -12 inaelz waz waz inasema aya 10 “ Nikisema ombeni msamaha kwa mola wenu mlezi,hakika yeye ni mwingi wa kusamehe. Aya 11 “ Atakuletea mvua inyeshe mfululizo. Yan kwa man ya kwamba mvua iwe rutuba ktk ardh tuwez kupat mazao ambay sisi ni chakula kwet. Aya ya 12 Atakupeni mali mali, na wana (watoto) na atakupeni mabustani na atakufanyieni mit na pia nakuongzy aya ya 13 Mna nini hamuweki heshima ya M/mung? Pmj na Aya ya 14 Na hali yeye kakumbeni darja baada ya darja

    • @FayeezAlbahassaney
      @FayeezAlbahassaney 5 หลายเดือนก่อน +3

      @@mohamedalidini Allahumma amin Yarabby:InshaAllah my lecturer

  • @zenasalum2231
    @zenasalum2231 5 หลายเดือนก่อน +2

    Shukran ya sheikh

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 หลายเดือนก่อน +1

      Waiyyaak. Allah (SWT) atupe kheri zote. Ameen! 👐