Daz Baba ft FID Q Namba Nane

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 299

  • @florasanga8550
    @florasanga8550 3 หลายเดือนก่อน +69

    Walokuja 2024 kuchek hii ngoma ngonga lik moja

  • @mahmoudkhamis6316
    @mahmoudkhamis6316 7 หลายเดือนก่อน +98

    tulio kuja tena 2024 tujuane gonga like hapa

  • @shabbyofficial_
    @shabbyofficial_ 2 หลายเดือนก่อน +9

    Imenikumbusha mbali sana tukigrow life ilikua simple watu wengi bado walikua hai .. wabongo mumetuinspire sana sisi watu wa Mombasa Kenya

  • @user-lm8tt1fr8oMetinjula
    @user-lm8tt1fr8oMetinjula 11 หลายเดือนก่อน +26

    Jamaa Daz baba kwa madini ulikua balaa😂😂😂❤, kuna bado unaskiza hii nyimbo 20/11/2023 gonga like

  • @EliaikaWilhelm
    @EliaikaWilhelm 6 หลายเดือนก่อน +8

    Umbo namba nane ilikuwa 🔥🔥🔥 enzi hizo mpaka leo naiskiza 4/4/2024 like hapa

  • @petertengaa9685
    @petertengaa9685 4 ปีที่แล้ว +82

    January 2020 waliopo na zilipendwa za enzi zetu gonga like

  • @slattgang5790
    @slattgang5790 5 ปีที่แล้ว +76

    2019 nipo ughaibuni lkn bado nachek kitu cha home zaman raha sana wallah gonga like tuwe pamoja 2019

    • @alimuchiri5477
      @alimuchiri5477 4 ปีที่แล้ว

      Hataree..

    • @saidhamad7504
      @saidhamad7504 4 ปีที่แล้ว

      Nami niko mbli sana.. yan sana from tz lkn limenijia tu akln.. ahh

  • @claudianusmlokozi7417
    @claudianusmlokozi7417 4 ปีที่แล้ว +23

    Wahenga tuko apa 2020, fanya kama unalike twende sawa

  • @kisakyeandrea6615
    @kisakyeandrea6615 10 หลายเดือนก่อน +7

    I have been looking for this banger since my O level, now I find it when am 34 years of age🔥🔥

    • @iconlyx2724
      @iconlyx2724 9 หลายเดือนก่อน

      Ungeniuliza tu

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 2 หลายเดือนก่อน +3

    Back to the Memories... UMBO NAMBA 8 Was So Hot 🔥🔥 And Now 2024 Still is on 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 #DazMwalimu 💪💪💪💪💪

  • @albethonyingo2858
    @albethonyingo2858 3 หลายเดือนก่อน +3

    Noma sana hili ngoma July 2024 tupo nayo na tunatamba nayo

  • @jovinevedastus824
    @jovinevedastus824 5 ปีที่แล้ว +32

    2019...bado mnatisha wazee sijui mko wap dah

  • @nicomatasa2604
    @nicomatasa2604 2 หลายเดือนก่อน +1

    from 254 more love...hii ngoma ilkua dope sana dem days

  • @joackimmbonde4125
    @joackimmbonde4125 8 หลายเดือนก่อน +1

    MAJANI, WALKING LIVING LEGEND, Hii beat kali mnooo, ani real BONGO FLEVA.🎉🎉🎉🇹🇿🌍🙌❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥

  • @leahkabura4271
    @leahkabura4271 2 ปีที่แล้ว +10

    Wangapi mnapata ka feeling ka ustista duu ikiwa saizi tu wamama tayari? Hii nyimbo yangu pendwa miaka 1000 🔥🔥🔥

    • @ezeedi871
      @ezeedi871 2 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimecheka sana yaan ad mshikaj kauliza unacheka nn we fala

    • @westcijosh
      @westcijosh 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂wtf are you saying lady

  • @deeper1000
    @deeper1000 ปีที่แล้ว +1

    2023 na bado nyimbo hizi zinaburudisha kinoma.. bongo mziki mzuri umepotea, Bongo flava ishapotea kati ndo origin yetu

  • @gastonmkeyegele9225
    @gastonmkeyegele9225 ปีที่แล้ว +1

    Jaman hawa watuu. Waloeimbaa qakooo wap hakiii hiii nyimboo naipendaa

  • @RudovikoBurundiano
    @RudovikoBurundiano 2 หลายเดือนก่อน +2

    From Burundi ngoma zamanaa

  • @rahmasacky5977
    @rahmasacky5977 หลายเดือนก่อน

    Kipindi hicho nilikua kabinti nachipukia nilikua no8 kweli nyie nilisumbua mtaa,mungu awatunze

  • @jeanclaudeakili2372
    @jeanclaudeakili2372 2 หลายเดือนก่อน +9

    Enzi zetu tume enjoy saaaaana❤🎉, siyo ivyo vimazombi vyenu vya chibu

    • @zamybukene
      @zamybukene 13 วันที่ผ่านมา

      Hizi ngoma zimekuwa na laza yak tofauti sana hiz za leo laaa

  • @kingdomkibali
    @kingdomkibali 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee Kasemani hiii nyimbo uliipenda saana bamdogo💪

  • @NuratAbdallah-pi1oz
    @NuratAbdallah-pi1oz 2 หลายเดือนก่อน +2

    Enzi za jumba la zahabu😢dah maisha yanaenda kasi sana

  • @Kimbururu
    @Kimbururu ปีที่แล้ว +9

    Intro: Fid Q
    Lina nichanganya umbo lake, nikimpata simuachi
    Lina nifanya nimfate, akinimwaga ita ni-touch Ah!
    Aaa...anayevutia...
    Lina nichanganya umbo lake, nikimpata simuachi
    Lina nifanya nimfate, akinimwaga ita ni-touch Ah!
    Uuu....utamfurahia....
    Chorus: Daz Baba
    Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana
    Au apige hilo gita Majani' kama Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
    Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana
    Embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
    Verse 1: Daz Baba
    Nimekaa chini mtu mzima nikafikiria
    Warembo wengi sana kwenye hii dunia
    Mi umbo namba nane kichwani akan'jia, toka moyoni sina budi kumsifia
    Mwenye sura matata, macho yanayoita
    Ana utata huyu binti wa ki-afrika, hata mcheki alivyo umbika' ana bebeka kama gita
    Akitembea' bado ana tingisha, pendeza kimavazi, hata akiweka pozi
    Mtoto anaweza akakutia "hard" kwenye njozi
    Sijui niseme akae, au niseme asimame
    Lile umbo namba nanе watu wote mumuone...
    Chorus: Daz Baba
    Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasеma' nampenda sana
    Au apige hilo gita Majani' kama Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
    Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana
    Embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
    Verse 2: Fid Q
    Anauliza kama nina demu, namwambia, sina!
    Anahisi ashaniona sehemu, tatizo kanisahau jina
    Unaitwa nani?: Fid Q
    Unaishi wapi?: Ghetto
    Kazi yako ni ipi?: Muziki, (Ausio)
    Mdomo una kuwa mzito, niongee kipi cha maana
    Ki vipi nimkazie jicho wakati binti kasimama
    Au nijikombee maujiko, Fid sitaki kujuana
    (?) Bangi Usinizingue ki hivyo, mi simuachi huyu kimwana
    Anaonyesha' hana maringo lakini ashawahi kupima
    Asha nzimika kimtindo, mchizi kipingamizi sina
    Yupo shkopa, yupo shalo, tina tina, yupo full' (Oi!)
    Kama wasemavyo watu wazima
    Chorus: Daz Baba
    Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana
    Au apige hilo gita Majani' kama Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
    Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana
    Embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
    Verse 3: Daz Baba
    (?) anapokaa' mimi napajua, najua kumfata wala haitonisumbua
    Kama ananipenda kweli, nami nampenda pia
    Ndio maana mpaka sasa bado na muimbia
    Mi umbo namba nane ananichanganya, embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana-na
    Ukiwa nae watu watababaika, na macho kuona wakimuona watamfuata
    Hakika una sifa' zote, popote' alipo utataka we uende, umfuate, umvishe pete... Yeye...
    Eeh...
    Chorus: Daz Baba
    Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana
    Au apige hilo gita Majani' kama Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
    Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana
    Embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana, ili na mimi nimuimbie mama...

  • @mahmoudmussa8
    @mahmoudmussa8 2 ปีที่แล้ว +15

    RIP
    Mchizi Wangu YOHANA Ulikuwa unaipenda sana hii ngomaa🙏

  • @hamisisalum2218
    @hamisisalum2218 4 วันที่ผ่านมา

    Nani anadikiliza 2024 bonge la nyimbo 🎉🎉🎉

  • @esnathmdeda
    @esnathmdeda 7 หลายเดือนก่อน +3

    Who’s here 2024/3❤❤❤🎉

  • @MohdThani-x3z
    @MohdThani-x3z 2 หลายเดือนก่อน +3

    Iyangalieni vizur tunasubir majinu yupi

  • @SazafKiba
    @SazafKiba 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ngoma unanikumbusha mbal sana hii

  • @saidimkiligi1465
    @saidimkiligi1465 4 ปีที่แล้ว +20

    One of my favorite songs.... 2020 still here.

  • @omaryommy404
    @omaryommy404 4 ปีที่แล้ว +7

    2020 March kama unasikilza ngoma kali bongo flaver zilipendwa twende pamoja

  • @silungwesh7487
    @silungwesh7487 ปีที่แล้ว +2

    Nawakumbuka sana wanangu wa 2005 Erick ,chavino&Festo 🤪masela wakipind hicho

  • @nicholaskobelo8748
    @nicholaskobelo8748 ปีที่แล้ว +11

    One of the big hit those days,today and tomorrow good music is always there.

  • @OmarMwandegwa
    @OmarMwandegwa 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hawa mamoryo walikua sawa daah

  • @eliahedward7490
    @eliahedward7490 3 ปีที่แล้ว +3

    Daaaaah...ndo ngoma zenye hisia kalii

  • @jumahaji2454
    @jumahaji2454 5 ปีที่แล้ว +10

    Gonga like kama umemuona Daz baba kwenye nyimbo hii 😀😁☝✌

  • @scholastikamosess748
    @scholastikamosess748 5 ปีที่แล้ว +4

    Kweli chazamani nidhahabu hii ngoma naipenda hadi Leo kazi nzuri daz mwalimu

  • @yussufdegea6662
    @yussufdegea6662 3 ปีที่แล้ว +4

    Kwa wasanii wa zaman hakuna kama daz baba

  • @omwami360
    @omwami360 ปีที่แล้ว +4

    This is a classic 2nd August 2023🔥🇰🇪🇦🇺

  • @bensonkariuki5843
    @bensonkariuki5843 2 หลายเดือนก่อน +3

    Nipe like ya fid q 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @khanafrica22
    @khanafrica22 4 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉bro pokea MAUA YAKO tungali HAI....hili dude ni forever living linatibu ngiri na u.t.i sugu

  • @alexselias9420
    @alexselias9420 3 ปีที่แล้ว +1

    Zaman ndo zilikuwa nyimbo ila saiv ni vituko tu et Madoro tumeloweka maji.. 2021 naitazama hii

  • @stephmagwatha6754
    @stephmagwatha6754 5 ปีที่แล้ว +2

    Namona farid qubanda hapo ametisha sana king of hiphop

  • @IbrahimuMachunda
    @IbrahimuMachunda ปีที่แล้ว

    Kitambo Sana aisee maisha haya jaman🎉🎉🎉🎉

  • @nestorybhullemela7080
    @nestorybhullemela7080 4 ปีที่แล้ว +2

    Siwezi sahau,nakumbukagambalisana,daahh!!!,nataman ungelikuwaunaendeleaa

  • @karangwajoseph1015
    @karangwajoseph1015 4 ปีที่แล้ว +17

    Like hapa kama umemuona majani akipiga gitaaa❤

  • @rafaelbilikwija675
    @rafaelbilikwija675 5 ปีที่แล้ว +2

    Dah, daz nimemuna mitaa ya tabata yupo tungi sana. Rasta mpaka mgongoni. Dah jamaa sijui anafeli wapi? Ukisikiliza mziki wake na jinsi alivyo kwa sasa huwezi kuamini. Dah yaani.

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 หลายเดือนก่อน +1

    🔥🔥🔥niziki yazama mikali mno 🔥🔥🔥

  • @jeffmuema8596
    @jeffmuema8596 4 ปีที่แล้ว +4

    2020 bado namba nane ipo kabisa 👊👊

  • @HassanMbaruku-ub5wb
    @HassanMbaruku-ub5wb 24 วันที่ผ่านมา

    Kama na ww unaangalia hii ngoma kama mm like hapa

  • @isayamgeni169
    @isayamgeni169 5 ปีที่แล้ว +16

    2019...ilikuwagapoa

  • @petermlundwa6399
    @petermlundwa6399 3 ปีที่แล้ว +10

    Arguably one of the best

  • @amanirecords2943
    @amanirecords2943 3 หลายเดือนก่อน +3

    Umenikumbusha mbali mzeeh

    • @jumakhamis5053
      @jumakhamis5053 3 หลายเดือนก่อน

      Kwani hii nyimbo niya mwaka gani

  • @inocentmpina4850
    @inocentmpina4850 5 ปีที่แล้ว +9

    2019 bado natafuta namba nane 😂😂

  • @candy9969
    @candy9969 ปีที่แล้ว

    Jamani hii ngoma mpk leo ipo kwenye damu yangu

  • @karoltunduli107
    @karoltunduli107 3 ปีที่แล้ว +7

    Still one of the best tracks

  • @sewandomkuchu9267
    @sewandomkuchu9267 7 หลายเดือนก่อน +1

    March 9, 2024..Saturday at 11:51pm ..I am still listening to these songs

  • @geoffreyombuna3180
    @geoffreyombuna3180 4 หลายเดือนก่อน

    Alinichanganya hadi leo nampenda..

  • @AmaniNiyonsaba
    @AmaniNiyonsaba 2 หลายเดือนก่อน +1

    Respect

  • @doomkushi6394
    @doomkushi6394 8 ปีที่แล้ว +1

    Daaah kitambo ilosongii halafu bonge la ngomaa big up Daz and mkushi fidq

  • @jamesclement3066
    @jamesclement3066 4 ปีที่แล้ว +1

    2020; wasanii wako poa lakin. ...et nyota! Nan kasema kazi ndagu tu za kizazi kipya.big up bro

  • @hanifahramzy2646
    @hanifahramzy2646 5 ปีที่แล้ว

    Jamani nyimbo za zamani zilikuwa🔥🔥 hivi wako wapi jamani Daz baba fid q we miss you guys

  • @justinekasmiry3390
    @justinekasmiry3390 2 หลายเดือนก่อน

    Daah huku nimeletwa na Domo kaya 😢😢😢😢

  • @collinsbaraza6140
    @collinsbaraza6140 5 ปีที่แล้ว +2

    Kutoka Kenya hapa, yanirudisha primary school 😅

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma7142 5 ปีที่แล้ว +10

    Cha zamani dhahabu,acha tutembee nazo. 2019.............2099

  • @salehsaleh548
    @salehsaleh548 4 ปีที่แล้ว +7

    Still love this song 😍😍😍😍

  • @amanimanase5794
    @amanimanase5794 4 ปีที่แล้ว +1

    Daaah hizo old songs ukizopiga kweny mixing tape hallo ziko hot ile noooma

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 ปีที่แล้ว +2

    Nyinye 😋😋😋😋jamani uwiii 🔨still hot 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @veronicachacha3699
    @veronicachacha3699 2 ปีที่แล้ว

    songea iyo kulikua kuna kiwanja knaitwa buhemba club atar sana

  • @MlumanguArtmore
    @MlumanguArtmore หลายเดือนก่อน

    this was back my primary school,

  • @jumamshangama7700
    @jumamshangama7700 4 ปีที่แล้ว +3

    Duuh yakale hayanuki 2019 December

  • @TwalibuMussa-i3m
    @TwalibuMussa-i3m 5 หลายเดือนก่อน +4

    wanaokubari pini za kipindi kile gonga like zenu twende pamoja pig up sana mziki ulikuwa wa kipindi kile sasa hv kelele tyu

  • @W_ESQUIARE
    @W_ESQUIARE 8 หลายเดือนก่อน +1

    Good music never gets old.......2024

  • @allymselemu5650
    @allymselemu5650 2 ปีที่แล้ว

    Duh Ili goma 2022 bado linadumu walahi nawapa eko kwao

  • @darslaamboi
    @darslaamboi 5 ปีที่แล้ว +8

    2019 #Ngoma bado na ukali wake ulele! Kweli Mziki ulikua zaman!

  • @jumachichi9261
    @jumachichi9261 3 ปีที่แล้ว +1

    2021 bado ipo juu zaidi top ten yng

  • @husseinkundan
    @husseinkundan 3 ปีที่แล้ว +4

    2021 gonga like twende sawa

  • @gastonmkeyegele9225
    @gastonmkeyegele9225 ปีที่แล้ว

    Skuu hziii tunaikbiwaaa utopolo oooh Hawaii watuuu sjuiiii wako apiii jaamaniii dhaaa tunaimbiwaa sjuii kutongozzaa sjuii nn doooh

  • @instagrambluetickverify6870
    @instagrambluetickverify6870 3 ปีที่แล้ว +1

    2021 tupo bado wanagu 👊👊

  • @wardamarungu2478
    @wardamarungu2478 ปีที่แล้ว

    I feel to crying 😭😭 hizi old songs is pure gold

  • @HarunaAlbert
    @HarunaAlbert หลายเดือนก่อน

    Ngoma za p funk tamu sana akipiga lazima itrendi

  • @abdallaali5467
    @abdallaali5467 ปีที่แล้ว

    Memory bring back

  • @rashidmalya6381
    @rashidmalya6381 หลายเดือนก่อน

    Jamaa alikuwa anajua sana

  • @salimummbaga4347
    @salimummbaga4347 4 ปีที่แล้ว

    February 2020 Ngoma inanikumbusha saana enzi hizo ila nimewakumbuka saana dazz Baba uko wapi🤔🤔

  • @TheModestine
    @TheModestine 3 ปีที่แล้ว +3

    2021🙋🏽‍♀️

  • @issamwalimu4024
    @issamwalimu4024 11 หลายเดือนก่อน

    Trust me when i listen to these forefathers,i despise wasafi en everyone involved....

  • @jastinimajaliwa
    @jastinimajaliwa 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mliokuja hapa baada ya interview ya EATV tujuane😅

    • @63hdhdbilwo
      @63hdhdbilwo 3 หลายเดือนก่อน +1

      Old school bongo flavo hao wasanii walikuwa na kipawa ya kuandikaa muziki

  • @karoltunduli107
    @karoltunduli107 3 ปีที่แล้ว +4

    This was real music

  • @sambayoo6441
    @sambayoo6441 4 ปีที่แล้ว +1

    Kama 2020 umipita kwenye ngoma za akili piga like tujuane

  • @danrevelian
    @danrevelian 3 หลายเดือนก่อน

    Shikamoooo producer P Funky Majani

  • @AmisamauridNgagada
    @AmisamauridNgagada หลายเดือนก่อน

    Mwanamalundi Fid q🔥🔥🔥

  • @khamisramadhan5133
    @khamisramadhan5133 ปีที่แล้ว

    Kali sana mzee .daz baba

  • @hamisjuma3418
    @hamisjuma3418 4 ปีที่แล้ว

    2020 bado nasikiliza,, amini hii ngoma bado inaishi

  • @fatimamv2723
    @fatimamv2723 2 ปีที่แล้ว

    It hits 2022💃🕺 number nane wenyewe nko hapaa

  • @fredykasigwa
    @fredykasigwa 3 ปีที่แล้ว

    Ngoma bado ipo kwenye ramani sana 2021

  • @rabioabdala2222
    @rabioabdala2222 3 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ bongo flave ni top

  • @magemgonja7044
    @magemgonja7044 5 ปีที่แล้ว +9

    Am here 2018

  • @michaeljohn646
    @michaeljohn646 ปีที่แล้ว +1

    awa ndo walikuwa wasanii nipeni sapoti watu 47

  • @kwilasajunior5367
    @kwilasajunior5367 ปีที่แล้ว

    Keaping this song safe for future 2023🎉

  • @allymjato8980
    @allymjato8980 2 ปีที่แล้ว

    Kuna wapumbavu Leo Wanamtukana P.funk majani na Mkumdharau Dah Majani Aheshimiewe katika Hii tasnia kafanya makubwa san

  • @alexmahenge9408
    @alexmahenge9408 5 ปีที่แล้ว +5

    Fid Q.....still hot November 2019