Intro: Fid Q Lina nichanganya umbo lake, nikimpata simuachi Lina nifanya nimfate, akinimwaga ita ni-touch Ah! Aaa...anayevutia... Lina nichanganya umbo lake, nikimpata simuachi Lina nifanya nimfate, akinimwaga ita ni-touch Ah! Uuu....utamfurahia.... Chorus: Daz Baba Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana Au apige hilo gita Majani' kama Santana, ili na mimi nimuimbie mama... Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana Embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana, ili na mimi nimuimbie mama... Verse 1: Daz Baba Nimekaa chini mtu mzima nikafikiria Warembo wengi sana kwenye hii dunia Mi umbo namba nane kichwani akan'jia, toka moyoni sina budi kumsifia Mwenye sura matata, macho yanayoita Ana utata huyu binti wa ki-afrika, hata mcheki alivyo umbika' ana bebeka kama gita Akitembea' bado ana tingisha, pendeza kimavazi, hata akiweka pozi Mtoto anaweza akakutia "hard" kwenye njozi Sijui niseme akae, au niseme asimame Lile umbo namba nanе watu wote mumuone... Chorus: Daz Baba Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasеma' nampenda sana Au apige hilo gita Majani' kama Santana, ili na mimi nimuimbie mama... Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana Embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana, ili na mimi nimuimbie mama... Verse 2: Fid Q Anauliza kama nina demu, namwambia, sina! Anahisi ashaniona sehemu, tatizo kanisahau jina Unaitwa nani?: Fid Q Unaishi wapi?: Ghetto Kazi yako ni ipi?: Muziki, (Ausio) Mdomo una kuwa mzito, niongee kipi cha maana Ki vipi nimkazie jicho wakati binti kasimama Au nijikombee maujiko, Fid sitaki kujuana (?) Bangi Usinizingue ki hivyo, mi simuachi huyu kimwana Anaonyesha' hana maringo lakini ashawahi kupima Asha nzimika kimtindo, mchizi kipingamizi sina Yupo shkopa, yupo shalo, tina tina, yupo full' (Oi!) Kama wasemavyo watu wazima Chorus: Daz Baba Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana Au apige hilo gita Majani' kama Santana, ili na mimi nimuimbie mama... Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana Embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana, ili na mimi nimuimbie mama... Verse 3: Daz Baba (?) anapokaa' mimi napajua, najua kumfata wala haitonisumbua Kama ananipenda kweli, nami nampenda pia Ndio maana mpaka sasa bado na muimbia Mi umbo namba nane ananichanganya, embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana-na Ukiwa nae watu watababaika, na macho kuona wakimuona watamfuata Hakika una sifa' zote, popote' alipo utataka we uende, umfuate, umvishe pete... Yeye... Eeh... Chorus: Daz Baba Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana Au apige hilo gita Majani' kama Santana, ili na mimi nimuimbie mama... Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana Embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
Dah, daz nimemuna mitaa ya tabata yupo tungi sana. Rasta mpaka mgongoni. Dah jamaa sijui anafeli wapi? Ukisikiliza mziki wake na jinsi alivyo kwa sasa huwezi kuamini. Dah yaani.
Walokuja 2024 kuchek hii ngoma ngonga lik moja
tulio kuja tena 2024 tujuane gonga like hapa
Tupooo
Tupo
Imenikumbusha mbali sana tukigrow life ilikua simple watu wengi bado walikua hai .. wabongo mumetuinspire sana sisi watu wa Mombasa Kenya
Jamaa Daz baba kwa madini ulikua balaa😂😂😂❤, kuna bado unaskiza hii nyimbo 20/11/2023 gonga like
Umbo namba nane ilikuwa 🔥🔥🔥 enzi hizo mpaka leo naiskiza 4/4/2024 like hapa
January 2020 waliopo na zilipendwa za enzi zetu gonga like
Aaah pamoj sana
2019 nipo ughaibuni lkn bado nachek kitu cha home zaman raha sana wallah gonga like tuwe pamoja 2019
Hataree..
Nami niko mbli sana.. yan sana from tz lkn limenijia tu akln.. ahh
Wahenga tuko apa 2020, fanya kama unalike twende sawa
I have been looking for this banger since my O level, now I find it when am 34 years of age🔥🔥
Ungeniuliza tu
Back to the Memories... UMBO NAMBA 8 Was So Hot 🔥🔥 And Now 2024 Still is on 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 #DazMwalimu 💪💪💪💪💪
Noma sana hili ngoma July 2024 tupo nayo na tunatamba nayo
2019...bado mnatisha wazee sijui mko wap dah
Natowa machozi
from 254 more love...hii ngoma ilkua dope sana dem days
MAJANI, WALKING LIVING LEGEND, Hii beat kali mnooo, ani real BONGO FLEVA.🎉🎉🎉🇹🇿🌍🙌❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Wangapi mnapata ka feeling ka ustista duu ikiwa saizi tu wamama tayari? Hii nyimbo yangu pendwa miaka 1000 🔥🔥🔥
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimecheka sana yaan ad mshikaj kauliza unacheka nn we fala
😂😂wtf are you saying lady
2023 na bado nyimbo hizi zinaburudisha kinoma.. bongo mziki mzuri umepotea, Bongo flava ishapotea kati ndo origin yetu
Jaman hawa watuu. Waloeimbaa qakooo wap hakiii hiii nyimboo naipendaa
From Burundi ngoma zamanaa
Kipindi hicho nilikua kabinti nachipukia nilikua no8 kweli nyie nilisumbua mtaa,mungu awatunze
Enzi zetu tume enjoy saaaaana❤🎉, siyo ivyo vimazombi vyenu vya chibu
Hizi ngoma zimekuwa na laza yak tofauti sana hiz za leo laaa
Mzee Kasemani hiii nyimbo uliipenda saana bamdogo💪
Enzi za jumba la zahabu😢dah maisha yanaenda kasi sana
Sinta ,basupa
Intro: Fid Q
Lina nichanganya umbo lake, nikimpata simuachi
Lina nifanya nimfate, akinimwaga ita ni-touch Ah!
Aaa...anayevutia...
Lina nichanganya umbo lake, nikimpata simuachi
Lina nifanya nimfate, akinimwaga ita ni-touch Ah!
Uuu....utamfurahia....
Chorus: Daz Baba
Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana
Au apige hilo gita Majani' kama Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana
Embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
Verse 1: Daz Baba
Nimekaa chini mtu mzima nikafikiria
Warembo wengi sana kwenye hii dunia
Mi umbo namba nane kichwani akan'jia, toka moyoni sina budi kumsifia
Mwenye sura matata, macho yanayoita
Ana utata huyu binti wa ki-afrika, hata mcheki alivyo umbika' ana bebeka kama gita
Akitembea' bado ana tingisha, pendeza kimavazi, hata akiweka pozi
Mtoto anaweza akakutia "hard" kwenye njozi
Sijui niseme akae, au niseme asimame
Lile umbo namba nanе watu wote mumuone...
Chorus: Daz Baba
Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasеma' nampenda sana
Au apige hilo gita Majani' kama Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana
Embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
Verse 2: Fid Q
Anauliza kama nina demu, namwambia, sina!
Anahisi ashaniona sehemu, tatizo kanisahau jina
Unaitwa nani?: Fid Q
Unaishi wapi?: Ghetto
Kazi yako ni ipi?: Muziki, (Ausio)
Mdomo una kuwa mzito, niongee kipi cha maana
Ki vipi nimkazie jicho wakati binti kasimama
Au nijikombee maujiko, Fid sitaki kujuana
(?) Bangi Usinizingue ki hivyo, mi simuachi huyu kimwana
Anaonyesha' hana maringo lakini ashawahi kupima
Asha nzimika kimtindo, mchizi kipingamizi sina
Yupo shkopa, yupo shalo, tina tina, yupo full' (Oi!)
Kama wasemavyo watu wazima
Chorus: Daz Baba
Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana
Au apige hilo gita Majani' kama Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana
Embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
Verse 3: Daz Baba
(?) anapokaa' mimi napajua, najua kumfata wala haitonisumbua
Kama ananipenda kweli, nami nampenda pia
Ndio maana mpaka sasa bado na muimbia
Mi umbo namba nane ananichanganya, embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana-na
Ukiwa nae watu watababaika, na macho kuona wakimuona watamfuata
Hakika una sifa' zote, popote' alipo utataka we uende, umfuate, umvishe pete... Yeye...
Eeh...
Chorus: Daz Baba
Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana
Au apige hilo gita Majani' kama Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana
Embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
❤Thank you
Ww noma
❤ mi hapo Kwa Did Q👏🙌
@@maureenwanjiru3462 You’re welcome Maureen babes!
@@salimrizikijaji1281 Cheers bruv
RIP
Mchizi Wangu YOHANA Ulikuwa unaipenda sana hii ngomaa🙏
Rip
Nani anadikiliza 2024 bonge la nyimbo 🎉🎉🎉
Who’s here 2024/3❤❤❤🎉
Iyangalieni vizur tunasubir majinu yupi
Ngoma unanikumbusha mbal sana hii
One of my favorite songs.... 2020 still here.
2020 March kama unasikilza ngoma kali bongo flaver zilipendwa twende pamoja
Nawakumbuka sana wanangu wa 2005 Erick ,chavino&Festo 🤪masela wakipind hicho
inauma sana
One of the big hit those days,today and tomorrow good music is always there.
Hawa mamoryo walikua sawa daah
Daaaaah...ndo ngoma zenye hisia kalii
Gonga like kama umemuona Daz baba kwenye nyimbo hii 😀😁☝✌
Kweli chazamani nidhahabu hii ngoma naipenda hadi Leo kazi nzuri daz mwalimu
Kwa wasanii wa zaman hakuna kama daz baba
This is a classic 2nd August 2023🔥🇰🇪🇦🇺
Nipe like ya fid q 🔥🔥🔥🔥🔥
🎉🎉🎉bro pokea MAUA YAKO tungali HAI....hili dude ni forever living linatibu ngiri na u.t.i sugu
Zaman ndo zilikuwa nyimbo ila saiv ni vituko tu et Madoro tumeloweka maji.. 2021 naitazama hii
Namona farid qubanda hapo ametisha sana king of hiphop
Kitambo Sana aisee maisha haya jaman🎉🎉🎉🎉
Siwezi sahau,nakumbukagambalisana,daahh!!!,nataman ungelikuwaunaendeleaa
Like hapa kama umemuona majani akipiga gitaaa❤
Dah, daz nimemuna mitaa ya tabata yupo tungi sana. Rasta mpaka mgongoni. Dah jamaa sijui anafeli wapi? Ukisikiliza mziki wake na jinsi alivyo kwa sasa huwezi kuamini. Dah yaani.
Duuh hawa watu wangesaidiwa, walikuza muziki wetu
🔥🔥🔥niziki yazama mikali mno 🔥🔥🔥
2020 bado namba nane ipo kabisa 👊👊
Kama na ww unaangalia hii ngoma kama mm like hapa
2019...ilikuwagapoa
Arguably one of the best
Umenikumbusha mbali mzeeh
Kwani hii nyimbo niya mwaka gani
2019 bado natafuta namba nane 😂😂
Jamani hii ngoma mpk leo ipo kwenye damu yangu
Still one of the best tracks
March 9, 2024..Saturday at 11:51pm ..I am still listening to these songs
Alinichanganya hadi leo nampenda..
Respect
Daaah kitambo ilosongii halafu bonge la ngomaa big up Daz and mkushi fidq
2020; wasanii wako poa lakin. ...et nyota! Nan kasema kazi ndagu tu za kizazi kipya.big up bro
Jamani nyimbo za zamani zilikuwa🔥🔥 hivi wako wapi jamani Daz baba fid q we miss you guys
Kizazi sana
Daah huku nimeletwa na Domo kaya 😢😢😢😢
Kutoka Kenya hapa, yanirudisha primary school 😅
Cha zamani dhahabu,acha tutembee nazo. 2019.............2099
Kabisa
ni kweli
Still love this song 😍😍😍😍
Daaah hizo old songs ukizopiga kweny mixing tape hallo ziko hot ile noooma
Nyinye 😋😋😋😋jamani uwiii 🔨still hot 🔥🔥🔥🔥🔥
songea iyo kulikua kuna kiwanja knaitwa buhemba club atar sana
this was back my primary school,
Duuh yakale hayanuki 2019 December
wanaokubari pini za kipindi kile gonga like zenu twende pamoja pig up sana mziki ulikuwa wa kipindi kile sasa hv kelele tyu
Good music never gets old.......2024
Duh Ili goma 2022 bado linadumu walahi nawapa eko kwao
2019 #Ngoma bado na ukali wake ulele! Kweli Mziki ulikua zaman!
2021 bado ipo juu zaidi top ten yng
2021 gonga like twende sawa
Skuu hziii tunaikbiwaaa utopolo oooh Hawaii watuuu sjuiiii wako apiii jaamaniii dhaaa tunaimbiwaa sjuii kutongozzaa sjuii nn doooh
2021 tupo bado wanagu 👊👊
I feel to crying 😭😭 hizi old songs is pure gold
Ngoma za p funk tamu sana akipiga lazima itrendi
Memory bring back
Jamaa alikuwa anajua sana
February 2020 Ngoma inanikumbusha saana enzi hizo ila nimewakumbuka saana dazz Baba uko wapi🤔🤔
2021🙋🏽♀️
Trust me when i listen to these forefathers,i despise wasafi en everyone involved....
Mliokuja hapa baada ya interview ya EATV tujuane😅
Old school bongo flavo hao wasanii walikuwa na kipawa ya kuandikaa muziki
This was real music
Kama 2020 umipita kwenye ngoma za akili piga like tujuane
Shikamoooo producer P Funky Majani
Mwanamalundi Fid q🔥🔥🔥
Kali sana mzee .daz baba
2020 bado nasikiliza,, amini hii ngoma bado inaishi
It hits 2022💃🕺 number nane wenyewe nko hapaa
Ngoma bado ipo kwenye ramani sana 2021
❤❤❤❤❤❤❤❤ bongo flave ni top
Am here 2018
awa ndo walikuwa wasanii nipeni sapoti watu 47
Keaping this song safe for future 2023🎉
Kuna wapumbavu Leo Wanamtukana P.funk majani na Mkumdharau Dah Majani Aheshimiewe katika Hii tasnia kafanya makubwa san
Fid Q.....still hot November 2019