For the world of God is Sharper than any double-edged sword, it separate the true doctrine and fake doctrine....People of God run away from Catholic Roman
#TaifaletuTanzania tuambie amendanganya kivipi, la sivyo wewe ni mchungaji wa mshahara juu unawacha Ndacha anandanganye ukiona. Kama huna andiko zimba mdomo kwenu Tanzania
My sister shika neno la Mungu pekee mafundisho mengine ambayo Rome catholic wanaingiza kanisani run away from it please..... Simama na neno la Mungu kama Dasha
Achana na Mama Maria kabisa kama unamkana na kutunga na kusisitiza kwamba tunamwomba, na kuunganisha utabiri wako wa uongo. Nina picha za Maria, wazazi wangu waliofariki, watoto wangu katika nyumba yangu. Unataka kuniambia ninawaabudu wote? Acha kubadilisha maandishi. Yesu alifufuka Jumapili au la? Kwetu wakatoliki hii ni siku ya kusherehekewa kila Jumapili hata baada ya Pasaka.
Mafundisho mazuri, may GOD bless you all.
Mubarikiwe sana acha mungu awatumie ili muwaelimishe watu, sabato ya bwana itabadirishwa na kuwa jumapili.
For the world of God is Sharper than any double-edged sword, it separate the true doctrine and fake doctrine....People of God run away from Catholic Roman
Napenda huyu mwenye kusoma
Sunday ni siku za ibada ya MiuNGU wa kirumi ..hata historia ya Christmas ni ndefu mno na haihusiani na kristo ..basi tu sherehekeeni
Ndio Christmas ni haramu na haiko kwenye Biblia bali ni siku kuu ya kipagani uliowekwa kwa ukristo na wakatholiki.
Amen watumishi wa mungu ndacha na msomaji wako,hakika hizi ni nyakati za mwisho 666 inaenda kufanya kazi sasa, ni kujikaza na maombi tu.
Hahaaa....Ndacha says it as it is
Mafundisho yako Mwalimu Ndacha yako na elimu ya Mungu
Amen 🙏
Ndugu unasema ukweli kabisa
Wakatoriki tupo tuiteni tujibu malalamoko yenu
Wewe Dasha unajichanganya. Kiukweli, unajichanganya sana. Yaani umeshindwa kuwahubilia waislamu, sasa unawakandia wakristo wenzako.
Ufahamu wako tunaanza kuutilia shaka.
Hakika.
#TaifaletuTanzania tuambie amendanganya kivipi, la sivyo wewe ni mchungaji wa mshahara juu unawacha Ndacha anandanganye ukiona. Kama huna andiko zimba mdomo kwenu Tanzania
My sister shika neno la Mungu pekee mafundisho mengine ambayo Rome catholic wanaingiza kanisani run away from it please..... Simama na neno la Mungu kama Dasha
Achana na Mama Maria kabisa kama unamkana na kutunga na kusisitiza kwamba tunamwomba, na kuunganisha utabiri wako wa uongo. Nina picha za Maria, wazazi wangu waliofariki, watoto wangu katika nyumba yangu. Unataka kuniambia ninawaabudu wote? Acha kubadilisha maandishi. Yesu alifufuka Jumapili au la? Kwetu wakatoliki hii ni siku ya kusherehekewa kila Jumapili hata baada ya Pasaka.
Prove that Sunday is God’s day of worship
@@stevebee3083 Yesu alifufuka Jumapili. Hii ni siku takatifu kwetu Waktisto.
Nani alikwambia kufufuka ni ibanda???
@@felixmutembei2181 katika imani yetu, hii ni ishara kubwa ya kusherehekewa daima.
unafuata imani yako au unafuata imani ya mungu wa kweli??
chrismas ni halali?swali
Sio halali kabisaa
@@monicabh1668 Wakolosai 2:16 ni halali
Ukitaka! But don't say that - Jesus was born on 25-December
Wewe mtu wa neno! Sasa soma Mark 9: 38-41. Achana na Catholic na madhehebu mengine bora tu wamhubiri Yesu Kristo.
who deceived you sister ?
Hatumwabudu Maria ila tunamkimbilia atuombee. Iko kwenye biblia kwamba aliwaombea divai wamaarusi katika sherehe za Kana. Walipata!
Mapokeo Mabovu
Sasa mtu amekufa anakuombeaje kwayesu na mariam hajafufuka hadi leo
Ukirisrto ni upagani tu sio dini ya mungu nyinyi nyote wakiristo ni makafiri tu
Rama unaweza kuwa umesoma lakini haujaelimika.
#Ramazecha, wewe hata huelewi dini yako, uislamu ni ukristo upagani kwa mlango wa nyumba, ama hujui vyenye uislamu ulianza?