Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah..., Glory be to the Almighty God Abundant blessings pastor Ndacha. Be covered by the blood of Jesus Christ in every mission you pertake.
Hapo hapo watasema Yesu ni mungu kisha hapo hapo Yesu bwana wa mungu hapo hapo watasema Yesu ni roho takativu hapo hapo wakristo watasema Yesu ni mtume wa mungu ama kweli imani ni upotevu
Wachungaji mkue kama Dacha anaubilia wayaundi mpaka wana kubali yesu nimwana wa mungu nawakabatizwa sio ati unaubilia waklisto ,ubilia waislamu wakatoleki nawayauti wengine wale awaombangi kupitia kwa Yesu klisto wamujue yesu nanilazima tupindue dunia wamjue yesu kama mwana wa mugu (mungu mkuu)
Lazima huyu ndacha ashtakiwe kwa baraza la kislamu asifanye drama zake kwa kutumia vazi la kislamu na kusema vibaya tena kutumia wakristo wenzao bila ya maandiko yoyote. Wewe unaona uislamu dini ya kweli ndacha inakuwaje udhalilishe uislamu kwa kuvaa kanzu na ili Hali sio muislamu. Na munapotosha umaa. Nitazungumza na baraza la kislamu uchukuliwe hatuwa
😂 Ndacha the comedian ameshimdwa kutafuta muigizaji mzuri. Huyu hajui amechoma kabisa. Ndacha was leading this man to answer. Huyo jamaa ni mkristo. Unadanganya wakristo wenzio.
Kumbe wakristo wako cheap sana kudanganywa hivi ndacha anavyo fanya inaonesha dacha alishakata tamaa hawez kuwaritadisha waislam ndio kaamua kuwa comedian ili apate tu pesa kumritadisha muislam wa kweli haiwezekani kabisa hta kama hkusoma
Mtume Muhammad saw ni mjumbe tu wa mwenyezimungu Hana uwezo wa kimpeleka mtu peponi Wala motoni kazi yake ni kufikisha ijumbe muamini mwenyezimungu na utende mema uwache maovu utasalimika na adhabi za mwenyezimungu Kama vile yesu asivyoweza kumpeleka mtu peponi Wala motono matayo ,20:23 akawambia hakika mtakinywea lakini kuketi mkono wangu wa kuume au kishot Sina amri ya kuwapa Bali watapewa waliowekewa tayri na baba yangu Acheni ubishi na kupoteza muda msipomuamini mtume Muhammad na mkafa makafiri mtakua kuni
@@benardoloo-4595 😂😂 No because you don't believe in Holy Ghost fire now how will you overcome sins without being Baptist with the holy spirit...SDA and Catholic learn to worship God in truth and spirit
Msiba Kwa waislamu ila mbinguni ni furaha Luka 15:7-10 Nawaambia, Vivyo hivyo kutakuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa ajili ya wenye haki tisini na kenda ambao hawana haja ya kutubu.
Allah kashindwa kumpanga wakati ni mbora wa wapangaji😂😂😂 Surat imran 54 Na makafiri walipanga njama dhidi ya Isa, lakini Mwenyezi Mungu akapanga, na Mwenyezi Mungu ndiye mbora wa kupanga.
hyo jmaa hana elim ya y uislam, wla hajui anachokifny yey anafuatsh anachosomew n kutikisa kichwa tu. huwez kumuingz ktk ukristo muislam anaeifaham vyema dini yke ata siku 1.
😂😂😂😂 wewe unahubiria chiz au kashapiga pombe haelewi hata unachokiongea anajua kuitikiat hapo bado hujafanya chochote ,huyo ameipigabangi akaja mkutanoni😅😅
Utajua haujui safari hii uislamu sio dini ya dhihaka. Asome Qur'an kama yuwajua musilete sarakasi zenu eti muislamu ameingia ukristo never na hautoona muislamu akiingia dini yenu isiyoeleweka. Na ndacha utavua kanzu ikiwa sio muislamu lazima uchukue shahada ndio usilimu uvae kanzu
Mashaallah.... Kuokoka ni neema.... Bwan wetu yesu mkristo na amulinde sku zotee na amuepushe na mambo maovu wakristo wote tuseme Amin
Ameen and Ameen
Mbona kma yesu ndio muokozi kisha uneanza na mashaa llah 😂😂,na huyo sio muislam ameveshwa kanzu tuu mwambie asome suratul fatiha tuu tuone
@@andallaathman3856 sasa nshangaaa nn, kwan mungu kwa karbu anaitwa je..unababaishwa na lugha mpk miaka hii... Tumia lugha yako...
@@IssaSaid-vf3lg hKuna mungu haezi Kua na majina Mia moja no way lazima kuna lazima kuna jina alio toz
Amina
Bwana yesu asifiwe saaana kabisa❤❤❤❤❤❤ wakristo wenzangu naomba tumuonyeshe ishara ya upendo
Mmepata huyo kichaaa mmoja chiz wafuateni waislam wenye akili timamu kama mtawapata..
Hahaha ona wanao waritadisha,mtu hata hajijui
Uyo bwana yesu asifiwe na nani kwani ana mtoto au mke mbona apo hujaeka wazi
@@abuushakiraddausiy8666Uislam bila uongo utafutika kabisa, kielelezo cha uislam ni Muhammad na maisha yake ni aibu hata kusema alikuwa mtume
Bwana Mungu akubariki Sana mtumishi for God using you to do this great job, kuhubiria an lslam mpaka aokoke it's not a simple thing
Kazi safi Mungu akubariki Mwalimu Ndacha,Jina la Yesu litukuzwe.
Bwana wetu Yesu Kristo asifiwe sana❤
Barikiwa sana Mwalimu Ndasha Mungu akubariki kwa kuendelea kuokoa watu wake
Kazi nzuri kabisa mwalimu Ndacha😅😅😅😅😅😅😅
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah..., Glory be to the Almighty God
Abundant blessings pastor Ndacha. Be covered by the blood of Jesus Christ in every mission you pertake.
Mtumishi Mungu akuinue na azidi kukutumia
Ubarikiwe Ndacha.
Amina ubarikiwe sana mtumishi
Mungu akulinde ndacha kwa kazi ngumu unayopitia
Hapo hapo watasema Yesu ni mungu kisha hapo hapo Yesu bwana wa mungu hapo hapo watasema Yesu ni roho takativu hapo hapo wakristo watasema Yesu ni mtume wa mungu ama kweli imani ni upotevu
Unaposema roho mtakatifu Ni Mungu mwenyewe na ndiye Yesu ,ukifuatilia maana ya Yesu na maana ya roho mtakatifu ndiyo hivyo.
movies ni nyingi
That is holy spirit at work,thank you Jesus Christ,Africa for Jesus Christ🎉
Ameen and Ameen, be blessed abundantly Mr Ndacha kwa kazi nzuri.
Amen karibu mjoli kwa matengenezo na nitaendele kukumbuka kwa maombi
GOD bless you mwalimu Ndacha hata malaika mbinguni wamefurahi
Amen mtumishi Ndacha 🙏
Karibu ndugu kwenye ukristo damu ya Yesu Christo izidi kukufunika
Great work god bless you pastor
Mungu akumbariki
Mwalimu Mungu akubariki
Hallelujah ndacha nani kama wewe.mungu akuinue saidi
Mungu atukuzwe milele
Bwana Yesu Pokea sifa
Yohana 17:3 inasema na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe Mungu wa pekee Yesu ni Mutume
Wachungaji mkue kama Dacha anaubilia wayaundi mpaka wana kubali yesu nimwana wa mungu nawakabatizwa sio ati unaubilia waklisto ,ubilia waislamu wakatoleki nawayauti wengine wale awaombangi kupitia kwa Yesu klisto wamujue yesu nanilazima tupindue dunia wamjue yesu kama mwana wa mugu (mungu mkuu)
Praise the name of the living God through His Son Jesus Christ
God bless you all we thank God for the brother
Bwana yesu asifiwe
AMEN
Ameen ameeen
Lazima huyu ndacha ashtakiwe kwa baraza la kislamu asifanye drama zake kwa kutumia vazi la kislamu na kusema vibaya tena kutumia wakristo wenzao bila ya maandiko yoyote. Wewe unaona uislamu dini ya kweli ndacha inakuwaje udhalilishe uislamu kwa kuvaa kanzu na ili Hali sio muislamu. Na munapotosha umaa. Nitazungumza na baraza la kislamu uchukuliwe hatuwa
Hili ndacha ni shetani linajuwa ukweli kama uislamu ndio dini ila tamaa kaiyeka mbele allah atakushuhulikia wewe
Kwan kanzu ni vazi la kislam
Ndacha ubarikiwa katika jina jesu
Glory to lord
Amen Amen 🙏🏽
Glory be to God Almighty ❤ 🙏🏽
Bwana yesu Asifiwe
Amen . Kazi nzuri
😂 Ndacha the comedian ameshimdwa kutafuta muigizaji mzuri. Huyu hajui amechoma kabisa. Ndacha was leading this man to answer. Huyo jamaa ni mkristo. Unadanganya wakristo wenzio.
Kumbe wakristo wako cheap sana kudanganywa hivi ndacha anavyo fanya inaonesha dacha alishakata tamaa hawez kuwaritadisha waislam ndio kaamua kuwa comedian ili apate tu pesa kumritadisha muislam wa kweli haiwezekani kabisa hta kama hkusoma
Unauhakika gani amedanganya? Basi nanyie huwa mnadanganya kuwasilimisha wakristo huwa niuongo tu
Mbona kava Shanga ni nguruwe mwenzenu huyo wakristo
Huyo hajui maandiko ndio maana umempoteza Mathayo 22:29 Yesu akajibu, akawaambia, Mwapotea, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu
MUNGU na akundendee makuu umemchagua YESU umemchagua fungu njema
Mtume Muhammad saw ni mjumbe tu wa mwenyezimungu Hana uwezo wa kimpeleka mtu peponi Wala motoni kazi yake ni kufikisha ijumbe muamini mwenyezimungu na utende mema uwache maovu utasalimika na adhabi za mwenyezimungu Kama vile yesu asivyoweza kumpeleka mtu peponi Wala motono matayo ,20:23 akawambia hakika mtakinywea lakini kuketi mkono wangu wa kuume au kishot Sina amri ya kuwapa Bali watapewa waliowekewa tayri na baba yangu
Acheni ubishi na kupoteza muda msipomuamini mtume Muhammad na mkafa makafiri mtakua kuni
Aminaa mpeni maua yake
Haleluya sifa kwa BWANA
Nami vile natoka kwenye uwisilamu😢
great work God is working through you.shalom
Eehh allah subhahuwataalah umetakasika na haya hawajui wayatendayo
Umetakasika Allah hawajui wayatendayo wanamacho lakini hawaoni😢
Wewe toka huko
Amina sana
uyo mtu mwenyewe kavaa chupi ya kichwa atajua uislam
Kiufupi cjaelew ata kdg.
Long live ndacha and God bless u
Amen 🙏
Amen
Amina
Hio ni game mtu wenu huyo sio muisilamu
Sasa MTU mwenyew hajui maandik yoyot ...hatun muislam kam Huyo....
Bwana atukuzwe milele kwa ajili ya ndugu yetu kuokoka
Huyu jamaa si mwislam ametengenezwa tu
mnabatiza wenda wazimu
Amen.... Christianity is the True religion 💯💯💯💯💯🙏🙏🙏🙏
Especially SDA
@@benardoloo-4595 🙏
@@benardoloo-4595 😂😂 No because you don't believe in Holy Ghost fire now how will you overcome sins without being Baptist with the holy spirit...SDA and Catholic learn to worship God in truth and spirit
Uyo nimusiba mukubwa utawapoteza sana namandiko yabiraraka
Msiba Kwa waislamu ila mbinguni ni furaha
Luka 15:7-10
Nawaambia, Vivyo hivyo kutakuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa ajili ya wenye haki tisini na kenda ambao hawana haja ya kutubu.
Unasema ukweli
Ndacha Kapata Kibonde Asiyejua. Kwa Mwalimu anayejuwa huwezi kupata majibu kama hayo.😮
Kwa hiyo ulimpanga 😂😂😂😂😂
Yani kila kitu anakubali.
Pole😂😂😂
Allah kashindwa kumpanga wakati ni mbora wa wapangaji😂😂😂
Surat imran 54
Na makafiri walipanga njama dhidi ya Isa, lakini Mwenyezi Mungu akapanga, na Mwenyezi Mungu ndiye mbora wa kupanga.
@@davidmnyela2459 kwani tunazungumzia kupanga nini ?
Penye ukweli uongo hutoweka…Huyo kwanza sio ktk cc waislaam hata hicho kilemba hajui kinacyovaliwa wamemuokota na kupanga hayo mnayoyaona!!
@@alsamali6964 vitu gani ulimaanisha anavikubali Kwa jinsi ulivyoona video ukadai alimpanga???
Unapotosha ndacha mungu akulaani
Mmmh msiba huyo jamaa mbna km empty kichwan mmejiokotea kina ndacha game lenu hilo hakuna muislam lain hivo
Amena
Ndacha ukimbilia wasio kuwa na ilimu,, nauliza hivi kwa Nini ndacha usikuje mtito andei makueni county uone kivumbi
Kipovu afanikiwa kuvuta kipovu mwengine kumuingiza ndani ya ukafiri.
😂😂😂😂 yule jamaa ikiwa siochiz basi ameshapiga pombenyingiiii
hyo jmaa hana elim ya y uislam, wla hajui anachokifny yey anafuatsh anachosomew n kutikisa kichwa tu. huwez kumuingz ktk ukristo muislam anaeifaham vyema dini yke ata siku 1.
Sio kweli ni actors mana muislamu kuyumbishwa na kuwa mkristo ni ngumuu kwasababu anajua nini anatenda
Sam's Hadi jini
Unapea Waislamu Pesa Waingie Katika Ukristo Halafu Unawachanisha Hapo. Umemwacha Rashid Ekai Baada,Omar Na Huyu Pia Umemhonga
Kiasi gani cha pesa ulipewa na wewe,mnapenda uongo kama shetani
Ndacha umechemka Yan unatafuta wahun et unasema umemokowa hakuna mwisilamu mjinga hivo Yani isomwe bibilia yeye anashangilia
Kwa Yesu wanaenda wenye uhitaji wa kutata mabadiliko,ila wewe kwasababu ni mjuaji kamwe huwezi kumpata Yesu 0:00
Ameen Glory to God 🙏
Glory be to God
Glory be to God
😂umepotea baba
Huyu hata si muislamu Toka mwanzo
Ata wewe umpokee yesu huko uliko upo gizani
Hata haielekei kabisa
Huyu alikwa mkristo ata msidaganye
Ameen.
Ata huyu sio muisilamu
Nyote humujielewi vichwa vya pombe
Hallelujah 🙌
Huyu ni chizi,,
😂😂😂😂 wewe unahubiria chiz au kashapiga pombe haelewi hata unachokiongea anajua kuitikiat hapo bado hujafanya chochote ,huyo ameipigabangi akaja mkutanoni😅😅
uongo tupuu
Kenya mijadala imekywa nihatar
Huyu ni Chizi namjua
mtu mwenyewe wazimu uyu wacheni ujinga hana akili
Hugo Jamaica anaonekana kuwa ni mlevi wala sio muislam kabsa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Usabato ni dhehebu liloanzishwa na mwanamke aitwaye Hellen G White acha kudanganya huyu ambaye hajasoma chochote
Sio kweli usabato hata kweny Quran umetajwa Toka mwanzo wa history ya ulimwengu
Haleluyaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wakristo sijui akili zenu mmeshikiwa na Nani, yaa a mmekaa mnamshangilia mlevi na mnauna ni ushindi, hakuna muislam hapo.
Sasa huyu sini Chizi tu,,,hahaha
Chizi anaenda mbinguni je wewe mzima unaenda wapi
Utajua haujui safari hii uislamu sio dini ya dhihaka. Asome Qur'an kama yuwajua musilete sarakasi zenu eti muislamu ameingia ukristo never na hautoona muislamu akiingia dini yenu isiyoeleweka. Na ndacha utavua kanzu ikiwa sio muislamu lazima uchukue shahada ndio usilimu uvae kanzu
AMEN
Wewe waislam unawajua au unawasikia tu ?
Waislamu machungu ya nini 🤣🤣🤣😂😂😂
Huyu ndugi yake ndacha kubwa la mabilisi