Watu wengi hawajui.vicheche huwa wana utamu wa ajabu sana.wana ujuz wa hali ya juu kabisa.chonde chonde usijaribu kumuonja kicheche.unaweza kuzama penzin.chonde chonde usithubutu,hata kwa bahat mbaya.😂😂😂
Mwili si ni yake, hata akifanya ngono hadi na mbwa, makosa yake tu ni kufanya mapenzi hayo akiwa kazini na kuchukua picha, bure hata akilala na maskari wote mwili ni wake
@@judychepkirui5313 hahaha , huu msemo unamaanisha binadamu akisimama mwenyewe kama yeye hawez kuwa mkamilifu , ila yule atakaechagua kusimama na Mungu , Mungu mwenyewe atamfanya mkamilifu na kuacha njia mbaya na kuwa mtakatifu !!!! kwahy kiukweli hayupo binadamu ambaye hakukosea hata kidogo ila yupo ambaye baada yakukosea nakutubu na kusimama na bwana akawa yeye mkamilifu kwasabb hy kwahy machaguo anayo mwenyewe binadamu mwenyewe kumchagua Mungu au muovu
we dont want see ur face Bro, the story loses its taste and theme flavour, some of us loved the voice behind ur stories, this makes us skip further videos of similar type, most of ur fans comments the same, seems like u dont care.
Nakubali sana shed
Hongera zake
Watu wengi hawajui.vicheche huwa wana utamu wa ajabu sana.wana ujuz wa hali ya juu kabisa.chonde chonde usijaribu kumuonja kicheche.unaweza kuzama penzin.chonde chonde usithubutu,hata kwa bahat mbaya.😂😂😂
Nimeshindwa ata kumalizia inaboa ukionekana
Ngoja nikawe polisi hukoo
👍👊✌️.
Fanya kwa mtindo wa sauti kwa ukifanya hivyo masimulizi yako usisimua zaidi
Mwanamke huyu hafai
Shikamoo Meghan😂
Sio tuu kama sura yako hainogeshi,bali hata sauti yako haisikiki vzur.unazingua sana unapoonekana.
Unataka sura yake au unataka kuskilza simulizi
Unamatatizo yako binafsi
Hii hatari san
Huyu demu nampata vizuri Kuna siku tupo new York aliniforce sana
😂😂😂😂😂😂
Hata mm hadi nlimpiga ngumi ya uso ndo akaniacha
Ungekula
Muong
Usionekane shed chukua ushauri huu
Kumbe ndio mwenywe JUSTINE SHED TWENDE KAZI
Lakin twende kazi kwa nn unatutisha ukionekana .fanya kujificha bwana kama mwanzo mm na wenzangu wengi. Tunapenda sauti.sio sura.
Huyo siyo Recho kweli?
Toa sura yako
Jaman
😂😂😂😂
Changudoa
WEWE MTANGAZAJI MKENYA
Ukionekana hata hainogi hii story
Huu mfumo wako wa video ni mbaya tengeneza audio clip km siku zote, kuliko kutengeneza video na we ukiwa unaonekana hainogi kbs yani ukiwa unaonekana.
Photo Slide zako zilikuwa zinafanya vizuri zaidi kuliko ulivyo anza kuonekana sawa kazi nzuri lkn
Ubuntu Botho 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Story nzuri ila hapo uwe tu unatusalimia uonekane then unaweka kama mwanzo tunakuwa tuna angalia story itapendeza zaidi
Kaka samahani ila naomba kweye video zako utengeneze HASHTAG ya ulimwengu wa wahalifu ili mtu anayependa hizi video iwe rahisi kwake
Asante kwa maoni yako, nitafanya hivyo.
Mdau kutok burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mwili si ni yake, hata akifanya ngono hadi na mbwa, makosa yake tu ni kufanya mapenzi hayo akiwa kazini na kuchukua picha, bure hata akilala na maskari wote mwili ni wake
hahaha !!! vipi wewe mbn unatetea zinaa sana???
@@herimornchriston6087 sitetei lakini huenda harithiki na mtu mmoja sasa tufanyaje? Wacha apeane, mwili mpya tutapewa mbinguni🤣
@@judychepkirui5313 kahaba haingii mbinguni mbaka aache ukahaba wake
@@herimornchriston6087yeye ni kahaba haingii mbinguni, jiulize wewe ni mkamilivu? We are all sinners it's just that we sin in a different ways,
@@judychepkirui5313 hahaha , huu msemo unamaanisha binadamu akisimama mwenyewe kama yeye hawez kuwa mkamilifu , ila yule atakaechagua kusimama na Mungu , Mungu mwenyewe atamfanya mkamilifu na kuacha njia mbaya na kuwa mtakatifu !!!! kwahy kiukweli hayupo binadamu ambaye hakukosea hata kidogo ila yupo ambaye baada yakukosea nakutubu na kusimama na bwana akawa yeye mkamilifu kwasabb hy kwahy machaguo anayo mwenyewe binadamu mwenyewe kumchagua Mungu au muovu
we dont want see ur face Bro, the story loses its taste and theme flavour, some of us loved the voice behind ur stories, this makes us skip further videos of similar type, most of ur fans comments the same, seems like u dont care.
Like zangu hapa jaman 😂 wakwanza mie
Kwani nilazima na wewe kuonekana?
Ndio