Chanuo mdogo wangu umependeza Sana hongera Kwa Hilo ila usharudi wangu usiangalie ulikotoka my kaza tengeneza furaha yako mwenyewe wanaume wanatunyanyasa Sana wakijua bila wao hatuwezi wakome❤❤❤
Acheni ujinga kuzungumza2 katika dini ndoa haiwez vunjika kirahis hivyo nenda kwenye vyombo vya dini ukapatiwe haki sio2 kusema umekaa miezi mi3 basi hakuna hicho ki2
Kinachosumbua ni ubinafsi. Ungekuwa hujabahatika kupata mume na asiwepo WA kukutafuta Kwa vile wote wameoa ndo ungejua machungu ya kutokuwa kwenye mahusiano mile.
UNAKANA ILA UNATOA MAMBO....APA UNAKUJA KUONGEA UTUMBO..😊,,NA KUOGOPA AIBU KWA WA TZ WATAKUPAKA....VITU VILISHAONEKANA BLOGS KIBAO..UNAVIRUDIA KWANN USIKANE KUONGELEA...UNAMPENDA ILA UMESHAINGIA KWENYE MIFUMO YA MITANDAO😊 NA KUOGOPA MASHABIKI
Huyu chanuo utafikiri kaolewa na devi wa huba anavyofanya media tour kumbe kaolewa na madebe Yule wa kusinzia huku anaangalia...yaani sijui anamuonaje Ila Mimi madebe hanivui nguo ....Kama ni wasanii hukuona wengine em pumzika dada acha interview kisa madebe😂😂😂😂
Mapenzi yanauma bwana asikwambie mtu dada angu pambana mim nikisha umizwa Hadi sasa nafanya maisha yangu mwenyew nimemuacha mtoto mdogo wa mwaka moja na miez minne asaiv nipo zangu omani na mambo yangu ni safi kabisa
Usione wenzako wanapokuwa wanaitwa kwenye upepo WA kisulisuli ili wapate mume na hawapati. Ingekuwa vipi ufiwe na mumeo au uachwe. Ndo utajua maumivu yake
Kiukweli sijuwi kwanini sivutiwagi na wasichana waupe lakini sauti ya huyu dada mtangazaji inanivutiyaga sana kwenye interview ni nzuri ivi utakuwaje kitandani kwenye lile tendo?mpaka raha.achana na limadabe lina unabii mwingi kichwani kwake,ivi wewe ulishaga vunjika kidole,mbavu,jino kuuma kisha lingolewe.apana maumivu ya mwili yanauma kuzidi ya mapenzi.unakuwa mrembo nakumbuka ulikuwaga na shepu nzuri kabla jaribu kunenepa kidogo uone njisi wavulana watakumiminikiya.mtampata atakae kupenda na kukijali.yupo.
Kumbe wengine hampati maumivu ya kuzaa eeeeh mwehu ww usifananishe maumivu ya kuzaa na ujinga wako watu tumeachwa na tunaowapenda hakina hakuna maumivu hayo bhana eeeeeeeeeh kuzaa mchezo eeee
We naona hujawah kupenda mim cku ya pili baada ya kujifungua mwanaume wangu anaenda kutambulisha mwanamke kwaio yani nikijickia maumivu makali kuliko nilio ya ona Jana yake
Wanawake miongon mwenu mnaozikataa neema za ndoa mna dhima kubwa mbele ya Allah yaan leo imekuw kitu cha kawaid kuvunja kwa sabab zisizo za msingi aloo dada Allah akurejeshe katik hadhi yak ya mke sio single media zisiharib akher yako unalilia talaka kitu kinachomkere Allah ,ulihifadhiw badal ya kulind hifadh yako unapamban kuiharib ,na ifike kipind sheria ya tz ibadilik watu kama hawa ndo wanshawishi wengin kuvunja ndoa zao kwa kukosa subira ya maswaib
Chanuo mdogo wangu umependeza Sana hongera Kwa Hilo ila usharudi wangu usiangalie ulikotoka my kaza tengeneza furaha yako mwenyewe wanaume wanatunyanyasa Sana wakijua bila wao hatuwezi wakome❤❤❤
Watt bila wanaume ungepataje sasa
We nae mpuuzi kweri na ingekua mtu kuzaa ndo kila kitu si angehudumia watoto wake
Chanuo unasema ukweli maumivu ya uke weza inahuma sana
Chanuo mrembo masha allah
She’s beautiful ❤
🧭🤳 interview mzuri ongereni sana na pole beautiful chanuo.
From Msumbiji 🇲🇿 Mozambique mkoani Cabo Delgado mjini Pemba CarioCa
Pole Sana chanuo ❤
Dango kwa mganga waliosikia like plz 😂😂ila diva kawachukia ndg wa mganga mpk bac 🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Naelewa hayo hata unavyoelezea nahisi maisha yananirudia upya sipendi kukumbuka chochote maana naumia kuliko maelezo nikieleza
Kanenepa mwenyewe nzuli❤
Chanuo unaniangusha maisha
yapo bila mwanaume
Acheni ujinga kuzungumza2 katika dini ndoa haiwez vunjika kirahis hivyo nenda kwenye vyombo vya dini ukapatiwe haki sio2 kusema umekaa miezi mi3 basi hakuna hicho ki2
Nikweli dada inauma sana
Dada mbona wewe Bado mnuso aise
Mtenda akitendwa inauma kweli
Nlkua naitafta hii comment😂
Kinachosumbua ni ubinafsi. Ungekuwa hujabahatika kupata mume na asiwepo WA kukutafuta Kwa vile wote wameoa ndo ungejua machungu ya kutokuwa kwenye mahusiano mile.
UNAKANA ILA UNATOA MAMBO....APA UNAKUJA KUONGEA UTUMBO..😊,,NA KUOGOPA AIBU KWA WA TZ WATAKUPAKA....VITU VILISHAONEKANA BLOGS KIBAO..UNAVIRUDIA KWANN USIKANE KUONGELEA...UNAMPENDA ILA UMESHAINGIA KWENYE MIFUMO YA MITANDAO😊 NA KUOGOPA MASHABIKI
Da diva Mimi nakuja
Huyu chanuo utafikiri kaolewa na devi wa huba anavyofanya media tour kumbe kaolewa na madebe Yule wa kusinzia huku anaangalia...yaani sijui anamuonaje Ila Mimi madebe hanivui nguo ....Kama ni wasanii hukuona wengine em pumzika dada acha interview kisa madebe😂😂😂😂
Nakuunga mkono chanuo maumivu yake hayaelezeki
Mwanaume uliyempenda anauma isee asikwambie mtu na ukiamua kumtoa moyon ndo forever
Mapenzi yanauma bwana asikwambie mtu dada angu pambana mim nikisha umizwa Hadi sasa nafanya maisha yangu mwenyew nimemuacha mtoto mdogo wa mwaka moja na miez minne asaiv nipo zangu omani na mambo yangu ni safi kabisa
Nice interview
Hawa ni waongo nawe wako wote
Kiki
Usione wenzako wanapokuwa wanaitwa kwenye upepo WA kisulisuli ili wapate mume na hawapati. Ingekuwa vipi ufiwe na mumeo au uachwe. Ndo utajua maumivu yake
Vidonda vya tumbo vinakuhusu Chanuo mwanangu
Wameanza mapenzi akiwa na miaka 14 au
Rudi kwa mumeo dada
Kiukweli sijuwi kwanini sivutiwagi na wasichana waupe lakini sauti ya huyu dada mtangazaji inanivutiyaga sana kwenye interview ni nzuri ivi utakuwaje kitandani kwenye lile tendo?mpaka raha.achana na limadabe lina unabii mwingi kichwani kwake,ivi wewe ulishaga vunjika kidole,mbavu,jino kuuma kisha lingolewe.apana maumivu ya mwili yanauma kuzidi ya mapenzi.unakuwa mrembo nakumbuka ulikuwaga na shepu nzuri kabla jaribu kunenepa kidogo uone njisi wavulana watakumiminikiya.mtampata atakae kupenda na kukijali.yupo.
Chanuo uyo au sio aya bhana kikubwa una pumua
Wenae kaa kwa kutulia kwaio ulitaka asipumue kwa kukosa madebe 😂😂😂😂
Oleweni acheni kelele
Wanawake shda yenu umalaya tu
Kumbe wengine hampati maumivu ya kuzaa eeeeh mwehu ww usifananishe maumivu ya kuzaa na ujinga wako watu tumeachwa na tunaowapenda hakina hakuna maumivu hayo bhana eeeeeeeeeh kuzaa mchezo eeee
We naona hujawah kupenda mim cku ya pili baada ya kujifungua mwanaume wangu anaenda kutambulisha mwanamke kwaio yani nikijickia maumivu makali kuliko nilio ya ona Jana yake
@@user-sv6zy3hc8o pole jipende kwanza ww ndo umpende mwingine, siku za zote kwenye suala la mapenzi ifanye nafsi yako kipaumbele hutajutia
Wanawake miongon mwenu mnaozikataa neema za ndoa mna dhima kubwa mbele ya Allah yaan leo imekuw kitu cha kawaid kuvunja kwa sabab zisizo za msingi aloo dada Allah akurejeshe katik hadhi yak ya mke sio single media zisiharib akher yako unalilia talaka kitu kinachomkere Allah ,ulihifadhiw badal ya kulind hifadh yako unapamban kuiharib ,na ifike kipind sheria ya tz ibadilik watu kama hawa ndo wanshawishi wengin kuvunja ndoa zao kwa kukosa subira ya maswaib
Huyu hakukataa ndoa but mateso aliyokuwa anapitia ni makubwa sana kama ulifuatilia interview zake za nyuma utamwelewa
Mateso tunayopitia ndio yanatupa ujasiri wa kukaa ndoa 😢😢😢
Umeckiliza kwa umakin lkn ? Au unajaza lawama kwake tuuu ht nyie mwanaume mna dhima pia kwa Allah mnataka wake zaid ya 1 lkn hamna uadilifu 😢
😂😂😂Sikiliza upya kabla ya kujieleza
Endelea kuvumilia mpaka uumizwe@@user-lq6mt5ji4l
Hizi ni kiki
Sasa kiki kivipi hapo mjomba? Naomba nieleweshe
@@bigbro-my6xj hawajaachn
@@jeunajuatv817 kwa hio wanaishi nyumba moja ?yani kupika na kupakua na mume wake ? Hapo kahojiwa kwenye tv kudanganya tu ?
Una akili sana brother