KIJANA WA CHADEMA LUMOLA STEVEN AMPIGA TUNDU LISSU MASWALI MAZITO LIVE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
  • Asante kwakutazama video hii, Tafadhali Subscribe Machinga Tv sasa usipitwe na taarifa muhimu.
    Matangazo: WhatsApp +255753001297
    Share, Support, Subscribe!!!
    Facebook: / machingatv
    Instagram: / machingatv

ความคิดเห็น • 30

  • @josephumassawe272
    @josephumassawe272 19 วันที่ผ่านมา

    Jiamin kwanz. Kijana yoko vzr

  • @travellahmsafirihiphop5325
    @travellahmsafirihiphop5325 23 วันที่ผ่านมา +2

    LUMOLA🙌🙌

  • @KapscomAfricaLtd
    @KapscomAfricaLtd 23 วันที่ผ่านมา +2

    Lissu kakimbia swali, kaishia kudanganya dangnanya tu, yeye ndio aliyetoa tuhuma za rushwa kwa wanachama na viongozi, sasa anaruka!

  • @Jal210
    @Jal210 23 วันที่ผ่านมา +2

    Chadema waizi kuanzia Mbowe na Lissu na Myinka

  • @sports2_
    @sports2_ 23 วันที่ผ่านมา +3

    Aisee nimesikiliza maswali mazito ya huyu Lumola kwa hakika Chadema ina hazina kubwa ya vijana wenye uwezo mkubwa.

  • @KhalfanJuma-ii4fk
    @KhalfanJuma-ii4fk 23 วันที่ผ่านมา +3

    Lissu siku zote hajawahi kukosa jibu la swali uliloliuliza kwa usahihi ama linalo mlenga yeye kama yeye au Lina mhusu Kama halimuhusu hawezi kukupa jibu lake but atakuelekeza jibu Hilo nan ambaye atatakiwa kuyajibu

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka 23 วันที่ผ่านมา +3

    Maswali kama hayo unapaswa kuuliza katika vikao vya ndani

    • @sskondopoleani9616
      @sskondopoleani9616 23 วันที่ผ่านมา +1

      @@EliaHiluka Ni kweli kabisa, lakini mtoto humfuata baba, TunduLisu pia alipaswa kutoa TUHUMA za rushwa ndani chama kwenye vikao vya ndani.

    • @LumolaSteven
      @LumolaSteven 22 วันที่ผ่านมา

      😂 😂 😂 😂

    • @HamisMghuna-fj3vz
      @HamisMghuna-fj3vz 22 วันที่ผ่านมา +1

      Projo tu mbona ngorongoro wt wamenyimwa kura wao wana ng'ang'ana na Lissu hii c balaa

  • @maligiretongora3333
    @maligiretongora3333 23 วันที่ผ่านมา +2

    Nyinyi mnaocoment ni maccm, mnataka kupitia maswali ya Lumula ili kupotosha ukweli.

    • @sskondopoleani9616
      @sskondopoleani9616 22 วันที่ผ่านมา

      @@maligiretongora3333 Msemo wa kiswahili unasema *PENYE UKWELI UONGO HUJITENGA* Usihofu kwani kama anasema kweli basi itabaki kuwa kweli.

    • @HamisMghuna-fj3vz
      @HamisMghuna-fj3vz 22 วันที่ผ่านมา +1

      Hizo projo zao ngorongo wamenyimwa kura wao wana ng'ang'ana na Lissu hii c balaa hii,

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 22 วันที่ผ่านมา

    Ushahidi ngorongoro wamenyimwa kupiga kura,tulia ww et swali zito we una ga'nag'ana na chadema Tatizo shule au nn ngorongoro kura wananyimwa kupiga kura hilo huoni,

  • @darstvonline
    @darstvonline 23 วันที่ผ่านมา +3

    KIJANA GANI WA CCM ANAWEZA KUHOJI KIONGOZI WA JUU KWA UJASIRI BILA KUOGOPA? HAPA KUNA KITU CHADEMA WANATUFUNDISHA. HONGERA LUMOLA KWA MASWALI MAZURI

    • @loserian-mj1gj
      @loserian-mj1gj 23 วันที่ผ่านมา

      @@darstvonline wewe unaweza?

    • @sskondopoleani9616
      @sskondopoleani9616 23 วันที่ผ่านมา +1

      Unapotaka CCM iwe kama Chadema hapo ndipo unapokosea, kwa sababu wakiwa sawa hakutakua na Upinzani.

  • @darstvonline
    @darstvonline 23 วันที่ผ่านมา +3

    Nimependa sana jinsi swali lilivyoulizwa japo nimeshangaa katiba ya CHADEMA kwanini Makamu Mwenyekiti asimuagize huyo Katibu au nani ni mkubwa kicheo kati ya Katibu Mkuu na Makamu mwenyekiti? naona kama kuna namna Lissu kakwepa swali

  • @fidelludemwa7223
    @fidelludemwa7223 23 วันที่ผ่านมา +1

    Kwa hiyo wakulaumuwa ni mnyika?

  • @sports2_
    @sports2_ 23 วันที่ผ่านมา +1

    taifa linahitaji vijana jasiri wenye uwezo wa kuhoji

  • @JohnBosco-d3g
    @JohnBosco-d3g 23 วันที่ผ่านมา +1

    Yaani hiyo CHADEMA TANGU IANZE KUMSALIT DR SLAA INA LAANA.... hawatakuja Toka shimoni!!!!

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 23 วันที่ผ่านมา +2

    CHADEMA NI SACCOOS 😢😢😢

    • @fabby1181
      @fabby1181 23 วันที่ผ่านมา

      acha umsigwa usije ukasiguka

    • @SimonAmon-dr8xw
      @SimonAmon-dr8xw 23 วันที่ผ่านมา

      @@fabby1181 CHADEMA NI SACCOOS
      kweli kabisa

    • @othmarluwawilo8308
      @othmarluwawilo8308 23 วันที่ผ่านมา

      Saccos ya mama yako?

    • @sskondopoleani9616
      @sskondopoleani9616 22 วันที่ผ่านมา

      @@othmarluwawilo8308 Oohhh IMEKUGUSA???

  • @EmmanuelNyinyigwa-m1o
    @EmmanuelNyinyigwa-m1o 23 วันที่ผ่านมา +2

    Dogo unatafutwa kutekwa wewe sio bure