SHANGWE ZATAWALA MTOTO ALIYEIBIWA KUPATIKANA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 131

  • @jessicamorrison289
    @jessicamorrison289 6 ปีที่แล้ว

    Thank you Jesus, yaani shetani ameaibika, anafikiri watoto wa Yesu wanaibiwa hovyo hovyo. Ni muhimu sana kuwaweka watoto wakfu mapema wanapozaliwa tu. Inasaidia mno. Wanakua na ulinzi wa Yesu mwenyewe hawaguswi.

  • @dorothdorothwanjala8222
    @dorothdorothwanjala8222 6 ปีที่แล้ว +1

    Jina la Bwana Yesu Kristo liinuliwe

  • @lyidiaerick9145
    @lyidiaerick9145 6 ปีที่แล้ว

    Mungu baba tunakushukuru kwa kujibu maombi yetu.. Sifa na utukufu ni kwako ee baba.

  • @florameza3491
    @florameza3491 6 ปีที่แล้ว

    Asante YESU

  • @rehemaaithumani3076
    @rehemaaithumani3076 6 ปีที่แล้ว +5

    dah Asante mungu pia Mimi nimesambaza picha hiyo ya huyo mtoto Kweli mungu nimkubwa

  • @africandarling6925
    @africandarling6925 6 ปีที่แล้ว

    Yani Furaha niliyonayo Mungu Hanajua daaa mungu Hatuna cha kkulipa zaidi ya kkushukuru mungu wetu🙏🙏🙏

  • @munamuna414
    @munamuna414 6 ปีที่แล้ว

    Nimefurahi niliposikia amepatikana Allah amjalie kila la khery kwenye maisha yake nakumuepushia kila shari

  • @halimachezue926
    @halimachezue926 6 ปีที่แล้ว

    Sifa na utuufu zimrudie Mungu aliyejuu

  • @edithamassawe4685
    @edithamassawe4685 6 ปีที่แล้ว

    Asanteee mungu wa mbingun

  • @ziadaalute6836
    @ziadaalute6836 6 ปีที่แล้ว

    Amiina

  • @aikandeshoo5354
    @aikandeshoo5354 6 ปีที่แล้ว +11

    Jina la Kristo Yesu lihimidiwe

  • @janekigosi6418
    @janekigosi6418 6 ปีที่แล้ว

    Mungu mwema

  • @evelynmon6491
    @evelynmon6491 6 ปีที่แล้ว +7

    Asante Yesu kwa matendo yako makuu

  • @africandarling6925
    @africandarling6925 6 ปีที่แล้ว

    Maana nilikuwa naumia sana

  • @estheronyoro1452
    @estheronyoro1452 6 ปีที่แล้ว +2

    Mungu ni mwema usiache kuomba

  • @estherkassam8951
    @estherkassam8951 6 ปีที่แล้ว

    Am so happy thank you lord

  • @zulekhaamiri972
    @zulekhaamiri972 6 ปีที่แล้ว

    Dahhh asante mungu maskin kitoto kizuri na huyo dada mme mwachaje mngempa kipigo cha mana

  • @josephndosi1547
    @josephndosi1547 6 ปีที่แล้ว

    Mungu ni Mwema kwakweli

  • @mallyaeditha694
    @mallyaeditha694 6 ปีที่แล้ว

    uuuuwiiiiiiiiiiii mamaaaa we munguu

  • @Soso-qx5tz
    @Soso-qx5tz 6 ปีที่แล้ว

    Glory be to God.

  • @annaitolya7712
    @annaitolya7712 6 ปีที่แล้ว

    Mungu ni mwema sana

  • @africandarling6925
    @africandarling6925 6 ปีที่แล้ว

    Daaa mungu mwemaaa jamani

  • @noyeslyimo8662
    @noyeslyimo8662 6 ปีที่แล้ว

    Mungu ni mwema ,

  • @marthamasue4009
    @marthamasue4009 6 ปีที่แล้ว +2

    Huyo binti apimwe akili halafu ni bora ampe Yesu maisha maana mwisho wake u aweza kuwa mbaya

  • @aniphaathumani3816
    @aniphaathumani3816 6 ปีที่แล้ว +9

    Mungu mwema jina lake lihimidiwe

  • @mercymmari1217
    @mercymmari1217 6 ปีที่แล้ว

    Mungu wetu ni mwaminifu.Jina lake libarikiwe.Hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya mtuhumiwa,ili iwe fundisho kwa wengine.

  • @mamat2953
    @mamat2953 6 ปีที่แล้ว

    Asante Mungu

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 6 ปีที่แล้ว

    Mashallah, AllahuAkbar

  • @neemamrema1705
    @neemamrema1705 6 ปีที่แล้ว +7

    Acheni Mungu aitwe Mungu

  • @teddymeela2791
    @teddymeela2791 6 ปีที่แล้ว

    Asante yesu

  • @florabaruti8032
    @florabaruti8032 6 ปีที่แล้ว

    asante yesu

  • @nice5671
    @nice5671 6 ปีที่แล้ว

    Duh mungu ni mwema kira wakati

  • @davidgwello8356
    @davidgwello8356 6 ปีที่แล้ว

    Hakika mungu nimwema Emungu walinde Watoto.

  • @festohingi7879
    @festohingi7879 6 ปีที่แล้ว

    Mungu awatie nguvu wazazi wake

  • @jennifermshanga1255
    @jennifermshanga1255 6 ปีที่แล้ว

    Asante Yesu.

    • @lucykanuti6138
      @lucykanuti6138 6 ปีที่แล้ว

      Ni jambo la kumshukulu Mungu sana maana mtoto kapaatikana yuko salama

  • @lukrensiamlelwa3318
    @lukrensiamlelwa3318 6 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ni mwaminifu munooo amedhihirisha ukuu wake madhabahuni pake ni patakatifu hajaruhusu papate aibu hii!!!

  • @munirajumanne95
    @munirajumanne95 6 ปีที่แล้ว

    mungu ni mwema sana daah

  • @fatmarashidi8353
    @fatmarashidi8353 6 ปีที่แล้ว

    Mungu ashuliw daa nifulaa iliyo pitiliz

  • @ndimbumihumphrey8804
    @ndimbumihumphrey8804 6 ปีที่แล้ว

    Haleluyaa

  • @saidamhegele591
    @saidamhegele591 6 ปีที่แล้ว

    Ashukuriwe Mungu

  • @fashionfridahmakundi4126
    @fashionfridahmakundi4126 6 ปีที่แล้ว

    Familia poleni sana mungu azidi kuwatia moyo sijui hali ya mama yake mtoto ikoje,koz mm nimepatwa na tumbo la kuhara ghafla

  • @happynessdanford1416
    @happynessdanford1416 6 ปีที่แล้ว

    Mtoto anauma jaman eeh Mungu asante sana

  • @storasebastian7594
    @storasebastian7594 6 ปีที่แล้ว

    mungu u mwema sana

  • @verotony147
    @verotony147 6 ปีที่แล้ว

    Hakika Mungu ni mwema ila huyo msichana mi naona kama mnamchelewesha

  • @treyibrahim3327
    @treyibrahim3327 6 ปีที่แล้ว

    jina la YESU tamu lina nguvu

  • @titolazaro8447
    @titolazaro8447 6 ปีที่แล้ว

    Mungu mkubwa nilijitaidi kutuma picha ktk magroup mbalimbali, mungu ametenda.

  • @AshaAsha-ng1ug
    @AshaAsha-ng1ug 2 ปีที่แล้ว

    Jaman huyo bibi afatwe ili achunguzwe hwenda kuna watoto waawatu huko kapelekewa

  • @johnstaniley5532
    @johnstaniley5532 6 ปีที่แล้ว

    ashukuliwe mungu

  • @maryzakaria5024
    @maryzakaria5024 6 ปีที่แล้ว

    Hakika Mungu ashukuriwe

  • @gracesitta8586
    @gracesitta8586 6 ปีที่แล้ว

    Hongera kwa kumpata mtoto. Amina

    • @gracesitta1358
      @gracesitta1358 6 ปีที่แล้ว

      Grace Sitta
      majina yetu yamefana sana kwema?

    • @gracesitta8586
      @gracesitta8586 6 ปีที่แล้ว

      @@gracesitta1358 asante sana upo wapi wa jina?

    • @gracesitta1358
      @gracesitta1358 6 ปีที่แล้ว

      Grace Sitta nipo mwanza mumii vpi wewe upo wapi?

  • @tulyswai1559
    @tulyswai1559 6 ปีที่แล้ว

    Kwa kweli no kugawana tuu mmoja mochwari na mwingine segerea

  • @magdalenedaniel26
    @magdalenedaniel26 6 ปีที่แล้ว

    Glory to God

  • @marcelinabwakila7049
    @marcelinabwakila7049 6 ปีที่แล้ว

    Mungu ni mwema, wakampime na akili huyo binti.

  • @alexandrinadomaino9868
    @alexandrinadomaino9868 6 ปีที่แล้ว

    Kudadeki mimi zijazaa ila nilivyoumia roho uyo mbwa ningemtia mbata za maana mpaka aite maji mma

  • @OmanOman-iv6si
    @OmanOman-iv6si 6 ปีที่แล้ว

    Hv wanaoiba watoto wanawaza nn mungu wangu

  • @mariampeter2162
    @mariampeter2162 6 ปีที่แล้ว

    mungu yumwema jamani

  • @nashomissana5701
    @nashomissana5701 6 ปีที่แล้ว +5

    Mungu ni mkuu

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 6 ปีที่แล้ว

    Ateswe mpaka aseme alitaka kumpeleka wapi na aonyeshe

  • @munirajumanne95
    @munirajumanne95 6 ปีที่แล้ว

    daaaah unaiba mtoto jaman

  • @alvinalexanderalvin7359
    @alvinalexanderalvin7359 6 ปีที่แล้ว +2

    C uzae wako mshenz wewe,,kama rahisi watoto wengine wana upako ooooh!!

  • @mariamukajiru1898
    @mariamukajiru1898 6 ปีที่แล้ว

    Huyo msichana akipewa kichapo cha kutosha kutoka kwa polisi ataeleza ukweli wote , apewe kipigo cha kutosha na sio cha kupapasa

  • @abigaelmayunga4658
    @abigaelmayunga4658 6 ปีที่แล้ว +1

    Ni jambo la kumshukulu mungu wa mbinguni

  • @matobholwamanonu5919
    @matobholwamanonu5919 6 ปีที่แล้ว +6

    Akifinywa atasema tu...mpelekeni Gereji ya Stakishari..

    • @joharilutta1158
      @joharilutta1158 6 ปีที่แล้ว

      Mungu ahimidiwe jaman hongeren

    • @joharilutta1158
      @joharilutta1158 6 ปีที่แล้ว

      Matobholwa manonu kweli kabisa

    • @winnemassawe8123
      @winnemassawe8123 6 ปีที่แล้ว

      Matobholwa manonu tena akabanwe kisimi chake na plaiziii lazima ataongea ukweki

  • @lksichone172
    @lksichone172 6 ปีที่แล้ว

    Hongelen

    • @nafakacmsd9182
      @nafakacmsd9182 6 ปีที่แล้ว

      Bila xhaka huyo bb atakuwa mganga wa kienyeji.atafutw na sheria ifate mkondo wake

    • @rahabjoshua8718
      @rahabjoshua8718 6 ปีที่แล้ว

      Asante mungu...

  • @aishababu4986
    @aishababu4986 6 ปีที่แล้ว +1

    haya we Angel ulimwiba mtoto kumpeleka wapi huna huruma sheria ichukue mkondo wake ufunguliwe mashtaka

  • @aishaissa5688
    @aishaissa5688 6 ปีที่แล้ว

    daaah afadhali maana nilisambaza upoteaji wake uko fb sasa ngojea nikafute ,asante mungu

  • @shabanimbenu2163
    @shabanimbenu2163 6 ปีที่แล้ว +2

    MUNGU anamwona huyo mwizi na bila shaka haki itafuatwa ili kukomesha matukio kama haya ndan ya nchi yetu pendwa Tanzania.

  • @nicholaskowelo9237
    @nicholaskowelo9237 6 ปีที่แล้ว

    Jaman tumhogope mungu

    • @alhajsadick4776
      @alhajsadick4776 6 ปีที่แล้ว

      jamani poleni San ila mungu aliweka walinzi juu ya mtoto uyu Dada uyu nawashauli mumpe adhabu Kali atawbia ukweli naona bado hanawaficha pole sana nitaungan nanyi kumuombea uyu mtoto kwasababu ememshinda ibilisi shetan mjinga kabis

  • @mo.m7myvideos555
    @mo.m7myvideos555 6 ปีที่แล้ว

    Shenzi tyip msichan mdogo huyo kujiingiza kwenye upuuz

  • @najmahnkombe1837
    @najmahnkombe1837 6 ปีที่แล้ว

    Mungu ni mwema jamani mpaka nimetoa machozi,

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 6 ปีที่แล้ว

    Mungu ni. Mkubwa hogereni sana kwa kupata mtoto wenu

  • @merryn4891
    @merryn4891 6 ปีที่แล้ว

    mungu yu mwema

  • @rhinaregina5806
    @rhinaregina5806 6 ปีที่แล้ว +1

    Jamani dunia yote shetani anawatumia watu kujia mbali mbali

  • @fashionfridahmakundi4126
    @fashionfridahmakundi4126 6 ปีที่แล้ว +4

    Jamani atafutwe na Hugo bibi ili ikomeshwe tabia kama hiii .Huyo Dada ana bahati sidhani kama ningemuacha hai

    • @tumainikileo3926
      @tumainikileo3926 6 ปีที่แล้ว

      So huyo bibi tu.Wote aliyowataja ndio mtajua ukweli.Wapatiwe kibano chakutosha.

    • @princessmboya2797
      @princessmboya2797 6 ปีที่แล้ว

      Fashion Fridah Makundi hpana usiwe na kisasii mana kisasi ni juu ya Bwana hivyo yatupasa kumshukuru Mungu

    • @lovenesskassim4405
      @lovenesskassim4405 6 ปีที่แล้ว

      Fashion Fridah Makundi yan angefika polc akiwa amekufa cdhan kama anahua uchungu wa mama ulvyo

  • @chrispinashayo795
    @chrispinashayo795 6 ปีที่แล้ว

    Huyo binti ahojiwe na aseme ukwel

  • @stainasmkoko604
    @stainasmkoko604 6 ปีที่แล้ว +4

    We acha tu hizi tabia za. Kuchukua watoto sijui zimtoka wapi zitoke tunazikataa

  • @abdulqareemabdala2772
    @abdulqareemabdala2772 6 ปีที่แล้ว

    Heee aisee muuweni kabisa mtt anauma mpaka kumlea afikiye kimo alafu aibiwe astaqafiru llaah apewe azab kali

  • @frenkbaati8574
    @frenkbaati8574 6 ปีที่แล้ว

    Wazazi tuwe makini tunapotoka na watoto wetu

  • @mariathabdul8394
    @mariathabdul8394 6 ปีที่แล้ว +1

    Na wazazi waache uzembe wa kuto wajali watoto,wawe makini,mbona hawaibiwi watoto wa wahindi?kuna uzembe unafanyika.

  • @stainasmkoko604
    @stainasmkoko604 6 ปีที่แล้ว

    Hongera jamani

    • @neemamonyo6822
      @neemamonyo6822 6 ปีที่แล้ว

      Dada mwenyewe sura inaonyesha mzoefu wa alkaida...uuuuuwiiiii , Mungu atulindie watoto wetu kwa kweli

    • @sarafinabajumuz4923
      @sarafinabajumuz4923 6 ปีที่แล้ว

      ja mani ongera sana

    • @hidayamgala899
      @hidayamgala899 6 ปีที่แล้ว

      stainas Mkoko mngu nimwema

    • @bzzzz5685
      @bzzzz5685 6 ปีที่แล้ว

      Yesu ni Bwana

    • @bzzzz5685
      @bzzzz5685 6 ปีที่แล้ว

      Kama si Bwana Insiraeli na aseme sasa

  • @veronicasadi3853
    @veronicasadi3853 6 ปีที่แล้ว

    Duuuuh

  • @elysantenassar9401
    @elysantenassar9401 6 ปีที่แล้ว +2

    MUNGU ni mwema

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 6 ปีที่แล้ว +4

    Mnge mpa kipigo cha mbwa koko ange sema slikua ana mpeleka wapi shetani huyo azae wake aka mtoe kafara

  • @fatmakhatib1512
    @fatmakhatib1512 6 ปีที่แล้ว

    K

    • @williamsipanje4514
      @williamsipanje4514 6 ปีที่แล้ว

      mngu katenda miujiza jaman hao ni machora wa mjini,ikiwezekana apimwe akli

  • @christinaelisha4439
    @christinaelisha4439 6 ปีที่แล้ว

    afugwe mbwa huyo mshenzi mkuu kafara cakatowe watoto wamama ake

  • @robertkimario6266
    @robertkimario6266 6 ปีที่แล้ว

    watu kam hao nikuwanyonga2

  • @jonasamos555
    @jonasamos555 6 ปีที่แล้ว +1

    Huyo Dada auwawe

  • @jescajulius8023
    @jescajulius8023 6 ปีที่แล้ว +3

    mmmmmh watt tunavowapata leba kwa tab hvo af waniibie mtt wang mmmmh

    • @kawawamamaya8543
      @kawawamamaya8543 6 ปีที่แล้ว

      Yaaaaani ivi wanajua kweli huo uchungu WA leba hawa watu

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 6 ปีที่แล้ว +1

      Kawawama Maya ,c ndo apo sasa yan mm nikikujua umeniibia mwanangu nakuua kwa mkono wangu bora na mm nikafungwe t

    • @kawawamamaya8543
      @kawawamamaya8543 6 ปีที่แล้ว

      @@jescajulius8023 tunagawana majengo ya serikali kwa kweli

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 6 ปีที่แล้ว

      Kawawama Maya hahahaha

  • @stainasmkoko604
    @stainasmkoko604 6 ปีที่แล้ว +1

    Huyo ni mwizi msurubisheni ilii hizo tabia zife

  • @umiy1971
    @umiy1971 6 ปีที่แล้ว +1

    Kama ametumwa mbona hajampeleka huko alikoagizwa ? amefanya mwenyewe kwa kutaka .Inawezekana hawezi zaa na ikawa ni sababu ya kutaka ya kumuibia au kama mchawi ni mwenyewe .

  • @khadijayusuph9316
    @khadijayusuph9316 6 ปีที่แล้ว

    Inauma kwakwel huyo mwiz bado anapumua tu jmn

  • @zenadaudzena2849
    @zenadaudzena2849 6 ปีที่แล้ว

    Asa huyu nae ilo libig

  • @ashurahaji3475
    @ashurahaji3475 6 ปีที่แล้ว

    Ilibidi apigwe angesema tu

  • @aishababu4986
    @aishababu4986 6 ปีที่แล้ว +2

    wachawi wabaya sana dah anajiteua akili mpeni kichapo mpaka awapeleke huko wanakopeleka watoto

  • @wemamanikana9791
    @wemamanikana9791 6 ปีที่แล้ว

    Mfatilieni huyo bibi naye afe

  • @tulyswai1559
    @tulyswai1559 6 ปีที่แล้ว

    Mnamwacha hivihivi tuu ili aje aibe na wengine? Mchomeni moto kidogo atasimulia yote.

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 6 ปีที่แล้ว

    Mungu ni mwema sana

  • @robertkimario6266
    @robertkimario6266 6 ปีที่แล้ว

    watu kam hao nikuwanyonga2