Wewe kisugu ukawe msemaji wa yanga kwa tumbaku hio hata mkeo na watoto wako hawawezi kukubali uwe msemaji wao,,leo unasema NBC ni njia wakati msimu uliopita mlikua mnaisema sio kitu
Wewe mzee wa Simba Saudi Arabia Kuna ngoro kante yuko pale si kijana sadio ni mzee watu wa Simba kuweni makini mpira ni sayansi acheni porojo mtale si mzee yule.
Jamani jamani mimi uyo kisugu wala simwelewi anachoongea
Kisugu bora aende kwenye siasa.
kisugu Apelekwe milembe halaka iwezekanavyo!!! hayuko vizur kiakili
Leo hii mnaagiza alafu mnafungwa
Wewe kisugu ukawe msemaji wa yanga kwa tumbaku hio hata mkeo na watoto wako hawawezi kukubali uwe msemaji wao,,leo unasema NBC ni njia wakati msimu uliopita mlikua mnaisema sio kitu
Yani chawa pro max hajitambui wachezaji wote mliowataka hamkumpata hata mmoja acha uongo
Bado ww kisugu ujitambui bado
Nandio akili zenu yanya kutowa watu akili mnajiona timamamu
Chakwanza uyo kisugu anakumbuka anadaiwa shamba ambalo alitoa ahadi ya shamba la minazi?
Eka 4 atoe wapi
Mbona kisugu umevaa rangi za jangwani
Mzee Mpili kawasalimie hao wasemaji wa Simba.
Kweli lnjinia noma usajiliuo niliuona ngumu kwetu yanga
❤
Ila harmonize
Mwambie uyo kisugu yanga atutaki wapumbavu
Huyu kweli ni kichwa tenge😂
UNATUPOTEZEA MUDA NA MB ZETU
Ngao yanga 6 vs simba I
Utamwelewa tuu
Kazikwenu
Huyu kisugu nahisi anaumwa eti sisi tunahangaika kumsajilì yeye ananini huyu achunguzwe nahisi anamatatizo.
Maneno yakukwama ayo ongeeni ovyo chama kiswaliianakijua shauliyenu
Hivi Kisugu anaelewa?
Wote hao mutawafukuza kwa pamoja
Kisugu amerewa uyo
Wataalam kutoka wapi usajili wenu umefanywa na jopo la viongozi wenu .yaani mmeanza kufanya usajili wa wachezaji ndio mkaajili kocha 😂😂😂😂
Huyu jamaa anafaa awe mwanasia Tena chadema
Dou
aliye mloga kisugu nanii jaman????
Baadae msije sema tumenunua mechi na Yanga tumeroga
Wewe mzee wa Simba Saudi Arabia Kuna ngoro kante yuko pale si kijana sadio ni mzee watu wa Simba kuweni makini mpira ni sayansi acheni porojo mtale si mzee yule.
Nenda tena fanaya Haraka unachelewa
Yaani hapo badooooh
Noise neighbors 😂😂😂😂
Matusi fc mtaishia kutukana tu,hao rasta ndo mmewafukuza sasa hivi mmesajiri tena
Hahahaha ila kisugu tahila San hiyoo jamaa
😂😂😂😂😂😂😂 tulia wewe
Ila harmonaizi
Zima data
Washabiki na wanachama matailaa wa simba
Mbona kichwa tenge kavaa jezi ya yanga
HAhahaaaaaaa ndoto ya mchana chuki fc mtapigwa 10
Bado hujasema
Ila kuongea sio kazi
Nimendo wa kupiga magoli to mtani kwa yanga yangu nimwendo wa kusuguato
Yaga
Jicho la kishabiki halihitaji kuzidiwa na chuki.
Ww ni ashuru
Yani wewe kisugu ukawe msemaji wa YANGA😂😂subutuuuu
KISUGU UJANJA WAKO TUMEUSHITUKIA.YANI WEWE UNAJARIBU KUUZA CV, ZA MO. BAADA YA MUDA MSIJE MKAANZA NGONJERA ZINGINE!
Disconect
Tunawakumbusha rasta man Kibu aliwapiga vidole viwili sasa rastafarians wameongezeka mjipange kila mmoja atapiga vyuma
Tunakumbuka vizuri maana moja ni ile siku tumewapig 5 😂😂
Ngao ya jamii yanga 6 vs Simba 1
kisugu Apelekwe milembe halaka iwezekanavyo!!! hayuko vizur kiakili