MWANZO MWISHO HOTUBA YA TUNDU LISSU BAADA YA KUKABIDHIWA OFISI YA MBOWE, AWAPA MATUMAINI WANACHADEMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE TH-cam Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

ความคิดเห็น • 23

  • @DominickSangu
    @DominickSangu 7 วันที่ผ่านมา +4

    Very good mh lissu ❤❤❤ tunakukubali sana.

  • @wasaficlassicshoes
    @wasaficlassicshoes 7 วันที่ผ่านมา +6

    President of the hearts Tanzania's people

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 7 วันที่ผ่านมา +3

    Kwa nia Njema kabisa Mwenyekiti anasema Bila mabadiliko ya uchaguzi basi hakuna uchaguzi nchi hii,kama Serikali inawapenda wanachi na nchi yao hii mabadiliko ni kitu chepesi sana hata siku moja likitoka tamko kwa Raisi linaweza kuleta hayo mabadiliko kwa masaa kadhaa

  • @Sedeckia
    @Sedeckia 7 วันที่ผ่านมา +6

    Mbona kama kuna watu mnateseka hvi? Kuna wakati ukiumia moyo usiseme chochote kaa kimyaaaaaaaaaaaaaa.. Utaheshimika sana. Mh. Lisu chapa kazi kadri ya uwezo wako.

  • @abubakarimussa1955
    @abubakarimussa1955 7 วันที่ผ่านมา +3

    Wapo wengi wanateseka

  • @HeriswidaNjau
    @HeriswidaNjau 7 วันที่ผ่านมา +2

    Unafaa kushika dola

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 7 วันที่ผ่านมา +3

    Lissu achana na mambo ya uchaguzi njoo na strategies namna ya kushika Dola 😢😢Kila siku uchaguzi tu

    • @wasaficlassicshoes
      @wasaficlassicshoes 7 วันที่ผ่านมา +1

      Uchaguzi ni jambo muhimu nimfano kinachopaswa kifanyike Tanzania lazima kurudiwe ili wajifunze kwetu

    • @vickytorry100
      @vickytorry100 7 วันที่ผ่านมา

      Anataja mambo ya uchaguzi kwa kuwa ‘he is feeling guilty’ kwa dhihaka zake kwa Mbowe! Mungu atalipia

    • @vickytorry100
      @vickytorry100 7 วันที่ผ่านมา

      Guilty conscience itamtafuna

    • @YasriThomas
      @YasriThomas 7 วันที่ผ่านมา +1

      ujuw kwann kutwa anasema uchaguz maana umekuwa uchaguz wahaki na maonyesho ko anataka ata mwez10 uchaguz mkuuu waigeee ili uwee wahakii ili uone CCM itakavyopigwaaa chini

    • @sittandaki2135
      @sittandaki2135 7 วันที่ผ่านมา

      ​@@vickytorry100Nikajua umesha komaa kihakili kumbe Bado sana wewe ni mtoto achana na siasa

  • @abdunoor3775
    @abdunoor3775 7 วันที่ผ่านมา

    Watoto wa watanzania wanakwenda ingizwa barabarani ,wale watapiga watoto wa kitizedi watakiwa taget

  • @isayawilliam-n1m
    @isayawilliam-n1m 7 วันที่ผ่านมา

    Lissu ,bora utafte njia ya kuchukua nchi mkuu, achana na mambo ya chaguzi hizo ambazo zipo vile vile ,Kila sku ....

  • @majiniuhaimnu9150
    @majiniuhaimnu9150 7 วันที่ผ่านมา

    Nikiwa Kama mwanachama wa chama hiki napendekez lisu abadilishe mnyoo wake huo

  • @nicodemosidadi
    @nicodemosidadi 7 วันที่ผ่านมา

    👏

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 7 วันที่ผ่านมา +1

    Hii busara kubwa tena ya kusema na kutenda maana kwa wezi na wajinga ni hofu na mashaka yakuondoka kwenye viti walivyonyang'anya

  • @raphaelantony2160
    @raphaelantony2160 7 วันที่ผ่านมา +4

    Jembe kama jembe

  • @Mzalendowetu
    @Mzalendowetu 7 วันที่ผ่านมา

    Tunasema tutaona kwa kuwa mmetutukana sana sisi pamoja na mwenyekiti wetu kana kamba hatukufanya chochote sawaa fanyeni nyie tuone

    • @wasaficlassicshoes
      @wasaficlassicshoes 7 วันที่ผ่านมา +3

      Familia hawa gombani ila wanapishana kidogo yanawekwa sana

    • @salminimwaipopo2349
      @salminimwaipopo2349 7 วันที่ผ่านมา +1

      Unaweza kutaja tusi hata Moja?

    • @januarysungura8119
      @januarysungura8119 7 วันที่ผ่านมา +1

      Wewe nenda kwa akina wasira huku tuko wenye akili zetu timamu.