Uko sahihi kabisa maana wachambuzi kama Wilson oruma,salehe jembe, Geoff lea, jemedari, Alex ngereja ,marco mzumbe ni wachambuzi ovyo ovyo ovyo ovyo kabisa maana wanajifanyaga much knows mwisho wa siku wanaishia kuwadanganya watu na kuishia kwenye aibu kubwa
Selikali yetu inawapenda watanzania ndio mana imetujengea vituo vya afya pamoja na shule nahii yote kuwawezesha wagonjwa pamoja na wapombavu nisiende mbali mfano ali komwe uyu ni mpombavu asie jijua na hajui kuwa nimpombavu voz anasema yanga ndio kilub kubwa ivi naface ya 12 nanaface 5 ipi iliyopga atua? Uyu bwanamdogo sio bule nazani ana upungufu wa akili
Tunza maneno yako wewe, Hana muda huyo Mzee, kagundua pa kupiga hela ya kumalizia na Kwa vile mamatu ya kuliwa yapo. Hapo chama nakusuport. Piga hela muda wako mafupi. Wacha wakusomeahee watoto. Wajinga ndo waliwao
Dooohhh! Watu mmekuwa mambumbumbu sana ndio maana Mo anawageuza kama chapati. Hivi unajua nguvu walizotumia viongozi wa Simba kutaka kumbakisha Chama? Usichokijua ni usiku wa kiza. Muda ni hakimu nzuri sana. Tupo hapa.
Uko sahihi kabisa maana wachambuzi kama Wilson oruma,salehe jembe, Geoff lea, jemedari, Alex ngereja ,marco mzumbe ni wachambuzi ovyo ovyo ovyo ovyo kabisa maana wanajifanyaga much knows mwisho wa siku wanaishia kuwadanganya watu na kuishia kwenye aibu kubwa
Sina laziada mkuu huu ni ukweli usio naupinzani
🤝
Yaan Diego na msemaji wwtu uwa wanapenda sn na anajisikia raha akimuoji Inshaallah M/Mungu akujaalieni Kheir Inshaallah
Kweli kaka hao wachambuzi uliowataja hao mimi huwa siwasikilizagi kqbisa
Msemaji wetu uko bright sanaa. Yaani unamaarifa na idara yako mpaka unaboa😎😎✊✊
Mana wale sio wachambuzi ni chambaji 😊
Shemej kama semajiii
Selikali yetu inawapenda watanzania ndio mana imetujengea vituo vya afya pamoja na shule nahii yote kuwawezesha wagonjwa pamoja na wapombavu nisiende mbali mfano ali komwe uyu ni mpombavu asie jijua na hajui kuwa nimpombavu voz anasema yanga ndio kilub kubwa ivi naface ya 12 nanaface 5 ipi iliyopga atua? Uyu bwanamdogo sio bule nazani ana upungufu wa akili
Hata kuandika hujui alafu uko bize kukosoa walosoma na uko bize na bando la buku😂😂
Makope acha matusi mjinga ww
🎉🎉🎉🎉🎉
Ali kamwe
Sasa kubwa kati y kiatu na Simba mna ndio yatano afrika mwehu we
Kweli yanga ni timu kubwa lakini wote tunakula robo hivi kweli
Hai kina jembe ni wachambuzi wenye,chuki sana na Young Africans
Kuna watu yanawatoka mapovu humu ngoja msimu uanze 😂😂😂😂😂
Unachekaaa unadhani weye ndo unayemlipa jamaa!
Dhaa nimechk kisengee ety PUNDAA😅
Wewe semea timu yako utakuja kuumbuka asubui, au utakuja kuzima uwanjan
Ahmedi fala ww acha kutukana mjinga ww
Chama miaka 33 Uto kunguruu wa mizogo
Subirini ujao, no makosa ya kibinadamu
Simba nguvu moja
yanga sikuizi ni nssf sehemu ya mafaoo
Hujakosea ... Makolo tuliwapa mafao pia ... Na msimu mafao yataendelea
Madunduka wali faidika na mafao ya yanga 🤣🤣🤣
Huna lolote, wastaafu fc
Saido anakusalimia 🤣🤣mnamaumivu sana
Tunza maneno yako wewe, Hana muda huyo Mzee, kagundua pa kupiga hela ya kumalizia na Kwa vile mamatu ya kuliwa yapo. Hapo chama nakusuport. Piga hela muda wako mafupi. Wacha wakusomeahee watoto. Wajinga ndo waliwao
Ameisha huyoo,miaka 33,Simba haiwataki wachezaji wazee kwa sasa.
Msijimalize ndugu zangu mtakuja umbuka.
Kamtoeni Ngoma mwenye miaka 38 kwanza km hamuwataki wazee
Kwanza ncheke😂😂😂😂😂 sio nyie mnamlilia chama kila siku kwenda Yanga kawa Mzee?? Wabongo bhana 😂😂😂😂
@@godfreymabula6858 Tuwaambie tu kuwa tumekubali kumchukua na uzee wake,halafu km mzee huyo babu ngoma na chama nani mzee?
Dooohhh! Watu mmekuwa mambumbumbu sana ndio maana Mo anawageuza kama chapati. Hivi unajua nguvu walizotumia viongozi wa Simba kutaka kumbakisha Chama? Usichokijua ni usiku wa kiza. Muda ni hakimu nzuri sana. Tupo hapa.
Ww Ali komwe unazarau wezako shingo y ngamia na machoyaurojo
Kasemaji hakana uzalendo zarau nyingi,hakuna kitu hapo eti punda hapo anamzau mzamiru ka k kweli
Anavyojisifia huyu kuma lazima uamini kwl alikuwa form four failure 😂
Kwa hiyo unajiona umeongea sense? You sound like a fool!
Wewe ndo huna Elimu maana huna hoja maana unatukana, kuwa na staha mtandani
Hawo ni mashabiki mandazi