Maneno ni mengi .sasa ni hivi nakupenda sana baba angu JOSEPHATH .E.MWINGIRA .damu ya yesu izidi kukufunika Efatha ni mbele kwa mbele tunasonga mbele in Jesus name,🙏🙏🙏🙏
Chapa injili mtumishi wa Mungu, kiukweli nakuelewa sana na nabarikiwa, hii ndio injili katika nyakati hizi za uovu, injili ya matengenezo, ahsante sana mtumishi wa MUNGU
Aise unachokisema ni kweli tu!! Labda niseme tu Yesu Kristo akufunike uendelee kuwa nuru ya mataifa. Maana ww unasema kweli. Sijaona uongo wowote hapa jmn. Namshukuru Yesu kwasababu amenipa ile roho yake nzuri. Huwa natambua kama mtu atakuwa anasema uongo. Ndugu Paskali, Yesu ni mwema. Na umesema kweli tupu!! Endelea kuwafungua wengi.
Hi !man of God be blessed whenever i listen to your sermons sometimes i find myself praying,may Almighty God grand and protect you in Jesus Mighty name much love from, 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Cassian upo sahihi kabisa 100% kabisa coz mm mwenyew nilikua hukohuko kwa mwingira watu wamepigwa upofu hawaelew wanaona sawa but wasiotaka kuelew watakuja kuelewa na itakuwa wamechelewa
Wewe ni wakala wa shetani kumbe ,watu tulikuwa wachafu Sana mtumishi wa Mungu ametufundisha tumeachana na dhambi wewe unamsema Kwa ubaya na hatujawahi fundishwa kumkosea Mungu na anatukemea dhambi, mahubiri gani hayo hubiria watu wamjue Mungu kama Apostle Mwingira anavyofanya hata Yesu alihubiri watu kuujjua ufalme wa Mungu na waache dhambi ,jehanamu inakusubiria
Mtumishi nakupongeza sana endelea ata watu wakutukane usife moyo endelea kuhubiri na kuwaweka wazi hao manabii wa uongo na nakuombea mungu azidi kusimama nawe pamoja na jamii yako kwa jumla mubarikiwe sana tena sana
Ubarikiwe mchungaji wa Bwana kwa moyo uliokuwa nao wa kutufundisha injili ya bwana na wanao sikia tubadilike Yesu atukute tukiwa Tayari tuepukeni sana moto wa jehemamu
Paschal cassian unatumia Biblia gani ambayo inakuruhusu uwahukumu wengine? Soma Biblia vizuri, acha mara moja kupotosha watu na kumsema Mtumishi Mungu.
Manabii wa baali walikuwa wengui mno lakini wa Mungu yehova alikuwa Eliya peke yake na aliwashinda wote nawe cassian usiogpe Yesu atakushindia tu,.Leo wa msubiji.
Kama alikuwa wakala na alakimbia uko nani kamfungua nahizo vifingo mpaka anene watumishi wa mungu amwachie mungu mwenyewe afanye alicho itiwa jufanya ni kujubili injiri ya yesu kristo mungu anirehemu Mimi na wote tuijue kweli yake
Mungu azidi kukupa mafunuo zaidi mtumishi wa Mungu....huwa naoenda kukufuatilia sana...nabarikiwa na huwa inakuwa ni wakatiwangu wa kutubu kila ninapokusikiliza...wokovu ni chagua sahihi...Ubarikiwe mnooo🎉🎉
Mimi nasubilia siku ya mwisho maana kila anaye inuka kumshambulia mtu wa Mungu,mtumishi wa Mungu unaacha kuwafundisha watu,unawafudisha mafundisho ya watumishi wengine,kuweni makini kila mtumishi wa Mungu amepewa namna ya kuwafundisha waumini wake,Acheni kukosowa watumishi wa mwokoz.wewe fundisha watu wako wapate kuelewa neno la Mungu
Be blessed man of God, hubiri ukweli, haijalishi watu wanapinga ukweli, wakati mimi ninapoongea na watu wanasama kanisa gani hilo? Kwa maana wachungaji hawaambii washirika wao ukweli kwamba wasipozaliwa mara ya pili hawezi kuona uzima wa milele Yohana 3:3 Sio kupanda mbegu wala kufunja madhabahu.
Sikuamini nilicho ina tena kwa kanisa kubwa la mtumishi anayeheshimika. 😮😢....ni jama shetani aliingia kwa mtumishi na roho hiyo ikasambaa sana jwa jinsi ya ajabu. Mungu akubariki mtumishi kwa kuwa muwazi na kukosoa bila woga na bila kijali umri wako🙏🙏
Cassian labda kweli Una kitu Mungu ameweka ndani yako.. no body knows ,ila me nakushauri weka speech au mafundisho yako kwenye mtiririko hii itasaidia ujumbe kufika kwa urahisi kwa walengwa
Daud mtumishi wa Mungu alicheza mbele za Mungu mpaka nguo zikadondoka ( Mikai akamwambia Daud " Umenihaibisha mbele za watu)" Daud akamjibu mke wake Mikai" Nilikuwa nacheza mbele za watu si mbele za binadamu" SHETANI /LUSIFA aliyekuwa kiongozi wa kumsifu Mungu mbinguni alipofukuzwa mbinguni Vitu vyote vya Mungu akafanya vya kishetani __:::Kajifunze kwanza ujue maandiko vizuri .Paschal Mungu akusaidie
Huduma ya Mungu haipingwi hata siku moja tupo tuliopitia shida tunashuhuda nzito lakini Mungukamtumia mtumishi wa Mungu apostle Josephat Mwingira leo tumepona tunamtumikia Mungu ilihali tulikuwa hatufai kwani tulikuwa wahovyo,acha mambo yako
Asante sana mchungani Hili kanisa lina tukatisha san tamaa Hawa wakata mauno vile kwa watoto wadogo wanaona nini zaidi? Hali hii haikubaliki madhabahuni
Kama huyu Cassian angetambua mchango ambao mtume na nabii Mwingira alioutoa katika kanisa la TZ,hakika angenyamaza kimya. Ameweka msingi wa kanisa la TZ, ameng'oa visiki, ametengeneza njia katika mazingira magumu ambapo watumishi wengine wanapita vizuri. Ndugu yangu Cassian, hongera kwa kazi unayofanya, lakini si kila mtumishi ni wa kugusa; Mwingira sio level zako mtumishi wa Bwana
BWANA YESU APEWE SIFA MTUMISHI HAKIKA KWA NYAKATI HIZI NDIO UTAELEWA KUWA TUMEOKOLEWA KWA NEEMA MAANA HUYU ATAMKOSOA HUYU NA YEYE KUNA KOSA ANAFANYA MWISHO WA SIKU MWANADAMU ATAISHI KWA IMANI NASIO KWA MATENDO MAANA KWA MATENDO HAKUNA ATAKAE KOMBOLEWA TUMTAFUTE MUNGU WATUMISHI AMEN
asante kwa hayo hatuwezi na tusijihesabie haki kila mtu habaki na iman yake maana ajuaye ya sirini ni Mungu pekee mm kwa sasa nazid kuchanganywa tuu na hawa watumish
kuhalisia tusubiri hatma ya kila mmoja maana unaweza ukasema watu wanahubiri uongo na hata unaweza ukasema huko sahihi kumbe hata hao wauongo wasiwe bado hawajafika kila mtu habaki jins alivyo asante kwa somo ila bado unatuchanganya
mmh hakika mwache tuu sisi tumetendewa mengi yeye asikie anavyoongea ila sisi tumepona kwani daudi alichezaje tutajie wa kweli kila mtu mmbaya mch paschal angalia
Wewe ni mtumishi wa mungu wa kweli, kila ninapokusikiza huwa nabarikiwa sana na asante sana kwa kunifanya nielewe ukweli kuhusu manabii wa uongo wanaotupoteza acha mungu akubariki na azidi kukuweka hai hili uendelee kutupa huo ujumbe wa mungu wa kweli nilioutafuta kwa mda mrefu😢😢
Endeleeni kumuombea cjui ni Mungu yupi mnamuombea huyo, msidhani sisi hatujaokoka tena tunaheshimu Mungu Sana tulikuwa hatufai huko Duniani kabisa sasa tunatumika Kwa Mungu wetu,sifa Kwa Mungu wetu tutamsifu Wakati wote hakuna dhambi katika kumsifu Mungu,
Jomoniii Mungu nisaidie Sana nisirudi nyuma bali niongoze Kwa roho wako mtakatifu maana yanayoendelea rohoni ni mabaya nisaidie mwanao nipe kulijua neno lako Kwa undani.
Hubiri neno,acha kusema watu,sio kazi yko kuhukumu,wewe TU huaminiki.acha Izo,usijifananishe na watumishi walio Lea wengi,tumekusikia,ila acha kuhubiri watu hubiri neno yatosha
Pole sana we ng'ang'ana na mtume si umeikataa kweli ni bora ukae kimya Ila utaona siku ambayo utakua ndani ya jeneza pekeako hukum ikiwa Mbele ako hakuna cha mtume wala efata ni heri ungekubali wokovu Sasa madam neema ipo MUNGU akusaidie
Kwani ilikuwa hujui mm nilivyosikia watu walioenda semini unaambiwa kesho yake hamna kurudia nguo ya ndani yaani sidilia na chupi kitu ulichokalia Jana ukalie hicho hicho hamna kubadilisha usipobadilisha nguo ya ndani inaitwa unaambiwa kabadirishe nguo puuu nikashangaa
Huo nabii rolinga sio wa kweli manabii wengi ni wa uongo lakini cassian ni muhubili wa kweli tukienenda katika roho hautapoteswa na mtu yeyote wapendwa wacheni tukae dani ya roho mtakatifu na tena mtaka utiivu
Nadhani angejikita katika kazi aliyoitiwa badala ya kuwazungumza watumishi wenzake,,,,hubili injili ya kweli waliokusudiwa watafuatana nawe badala ya kuwabeba watumishi wenzio,,,,Kila mtu ameitwa kwa namna ya tofauti na Mungu hakuwahi kumuita mtu akamwambia kusudi nililoliweka juu yako ni kuwasema wengine,badala yake anaweza kuweka kusudi la kuzivunja kazi za adui na kama Kuna mtu anatumika huko bila shaka ataanguka kwenye mtego wako bila hata kumtaja,,,so Mungu na atupe hekima ya kusogea mbele kulingana na wito wake
Kwa hakika Mungu aturehemu sana hiyo dance ni kanisani? I can't hold my tears...... ooh! Lord forgive us, Mungu wangu! Nia yako ni watu wote waokolewe na kujua kweli yako... Baba wasamehe na uwarejeshe kwa njia iliyo sahihi... ubarikiwe mtumishi Mungu awabadilishe kupitia mafundisho haya. Kanisa limegeuzwa na kuwa bar....tuko mwishoni kweli shetani anatumia watumishi wengi kupotosha wana wa mungu...Walokole ni wakati wetu kusimama na kuomba na kufunga ni kwa ajili ya hawa wenzetu maana ni shetani anawatumia sio kupenda kwao... tuwaombee Mungu muumba awafungue....
Daudi alicheza Hadi suruali ikaanguka, ALAFU Kwa kipindi kile chupi sizan kama zilikuwepo Pascal uwe mpole wew MUNGU hachunguziki, Ebu pata picha sasa waliomzunguka Daud unazan hawakukata viuno,,
Mpendwa hakuna mahali biblia inasema Daudi akacheza mpaka nguo zikaanguka kama iko nitumie nione nianze kucheza pia kanisani kama sio watu wamemuasi Mungu kweli .
MUNGU akusamehe mtumishi na kuwa makini usimsaidie Kazi shetani , Pia Kumbuka hao kina mwingira ni Baba zako wa kiroho hao ndio wazee wa Injili hapa Tanzania bila kuangalia utofauti wetu wa madhehebu
Unazingua mwamba mhubiri KRISTO YESU watu wamjue kama ROHO wa MUNGU anakaa ndani YETU hawezi kutuficha Siri zozote ACHA kushambulia watu huo ni ushamba. Ushambaaaaa ACHA soma neno hubiri fungua fahamu za watu wamjue Mungu wa kweli na kristo Yesu.kuna Siri za ufalme wa Mungu hazijahubiriwa Wala kufundishwa set your mind set on it. Unaamini vibaya kutokana na mawazo yako mabaya. REPENT BROO😂😂😂
😂😂 Ila jamani sio Mtume wa Efatha mbona wengine tumepata uponyaji na tuna roho ya Mungu kupitia pale tumemuona mungu kwa ushaidi wetu wenyewe , sasa simuelewi
paschal cassian nabii yoeli alisema nini kuhusu kanisa na matendo ya mitume imeandika nini kuhusu kanisa maana alishasema roho wa bwana atakuwa juu ya nchi vijana watahubiri injili wazee wataona maono watoto wataota ndoto je wewe unalisemeaje hili sometimes kanisa linapaswa kuwa hivyo sikupondi ila ikiandikwa imeandikwa
Sasa wew paschali tumuamini naniii mana kila mtu wewe unasema sio wa mungu je ni yupi umjuaye wa kweli binafsi hata mimi wewe sikukubali kwa sbb tayari wewe ulikuwa wakala wa freemason ukukimbia huko hasa iweje uwe wa kukosoa wengineeeee
Wewe unae SEMA Paschal alikuwa fremason alikimbia tafakali wewe kwann alikimbia na kufanya mamuzi ya kugeuka kumrudia MUNGU wake jua ni wa kweli anahbili like alicho kiona na kinaendelea katika dunia hii changamka wewe dunia imekwisha Kwanza yesu hakuja kuokoa mtu Alie Safi Bali mwenye dhambi Yesu BWANA wetu alimuokoa ili aifanye kazi yake kugeuza mioyo ya watu iliyopotea
Ni kweli mtumishi wa Mungu. Umefika wakati wa kusema kweli na kukemea maovu. Watumishi wa nalindana. Hawakosoani eti ni wapakwa mafuta. Hayo mafuta kawapaka nani? Ina maana mtu akianzisha tu kanisa ni mpaka mafuta? Mafuta gani hayo?
Mungu azidi kutumia Zaidi maana hata mm nlikua naifualia but ikifika mda Sio mrefu nkasikia roho ikinihukumu n unsuscribe nka unlike nkajiondoa huko juu maongezi pekee utajua huu mlango sio
Yoel 2:28 KUTABIRI-siyo kuwa mchungaji, KUOTA NDOTO siyo kuwa mchungaji na KUONA MAONO-siyo kuwa mchungaji SHETANI HUTUMIA NENO KUKUPOTOSHA NA KUKUDANGANYA HAKUNA ANDIKO LILILOSEMA MWANAMKE AWE MCHUNGAJI NI SHETANI TU KAVAMIA HAPO
True, they care to better their lives none than other. They're tricky and most canning with their false prophecy and as we human being, we're tricked and follow. Chukizo batakatifu pa Mungu.
Nikweli daudi alikua anacheza kwa sababu sanduku ya Bwana imerudishwa!.Sasa wewe wa sebene Kama Mungu amekuponya yesu walimbusu na mgumbatia na kumpigia makofi na magoti hata wengine akawakataza wasiseme miujiza!.
Na hivi mtu akiitwa mtume au nabii ndie wa uongo ,vip huduma nyingine za kichungaji,kiinjilist na walimu,,,,,? Take care,kama hujui mtake Bwana akufunulie,na mwenye hekima anamfuata inbox kama unahc kuna eneo haliko sawa,kwan ww ni mtumish wa wote na si kwetu tu, vip kama hataona hii clip?,,,,
Maneno ni mengi .sasa ni hivi nakupenda sana baba angu JOSEPHATH .E.MWINGIRA .damu ya yesu izidi kukufunika Efatha ni mbele kwa mbele tunasonga mbele in Jesus name,🙏🙏🙏🙏
Chapa injili mtumishi wa Mungu, kiukweli nakuelewa sana na nabarikiwa, hii ndio injili katika nyakati hizi za uovu, injili ya matengenezo, ahsante sana mtumishi wa MUNGU
Aise unachokisema ni kweli tu!! Labda niseme tu Yesu Kristo akufunike uendelee kuwa nuru ya mataifa. Maana ww unasema kweli. Sijaona uongo wowote hapa jmn. Namshukuru Yesu kwasababu amenipa ile roho yake nzuri. Huwa natambua kama mtu atakuwa anasema uongo. Ndugu Paskali, Yesu ni mwema. Na umesema kweli tupu!! Endelea kuwafungua wengi.
🙏 amen.
I LOVE YOU APOSTLE & PROPHET J.E MWINGIRA❤, Mungu azidi kukutia Nguvu Emen🙏🏽
Mtumishi Pasco kasiani ulinza vizuli unamaliza vibaya Kila mtumishi wa MUNGU kwako ni mbaya
HATA YUDA ALIANZA KUWA MWANAFUNZI WA YESU mwisho wake akambeba shetani akaanguka.Mwache PASCO ATAVUNA ANACHOKIPANDA
Hi !man of God be blessed whenever i listen to your sermons sometimes i find myself praying,may Almighty God grand and protect you in Jesus Mighty name much love from, 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🙏
Cassian upo sahihi kabisa 100% kabisa coz mm mwenyew nilikua hukohuko kwa mwingira watu wamepigwa upofu hawaelew wanaona sawa but wasiotaka kuelew watakuja kuelewa na itakuwa wamechelewa
Na sio lazima wote waelewe kwani kelewa na kufunguliwa ni neema ndugu yangu. Tushukuru sisi tunaoelewa.🙏
Dance ya kanisani inamsifu Mungu, siye tunaachia Kwa Yesu wetu aliyetuokoa nyie mnaotaka kucheza Kwaajili ya Dunia endeleeni mtavuna Wakati Waja
Wewe ni wakala wa shetani kumbe ,watu tulikuwa wachafu Sana mtumishi wa Mungu ametufundisha tumeachana na dhambi wewe unamsema Kwa ubaya na hatujawahi fundishwa kumkosea Mungu na anatukemea dhambi, mahubiri gani hayo hubiria watu wamjue Mungu kama Apostle Mwingira anavyofanya hata Yesu alihubiri watu kuujjua ufalme wa Mungu na waache dhambi ,jehanamu inakusubiria
Mtumishi nakupongeza sana endelea ata watu wakutukane usife moyo endelea kuhubiri na kuwaweka wazi hao manabii wa uongo na nakuombea mungu azidi kusimama nawe pamoja na jamii yako kwa jumla mubarikiwe sana tena sana
Ubarikiwe mchungaji wa Bwana kwa moyo uliokuwa nao wa kutufundisha injili ya bwana na wanao sikia tubadilike Yesu atukute tukiwa Tayari tuepukeni sana moto wa jehemamu
Paschal cassian unatumia Biblia gani ambayo inakuruhusu uwahukumu wengine? Soma Biblia vizuri, acha mara moja kupotosha watu na kumsema Mtumishi Mungu.
Manabii wa baali walikuwa wengui mno lakini wa Mungu yehova alikuwa Eliya peke yake na aliwashinda wote nawe cassian usiogpe Yesu atakushindia tu,.Leo wa msubiji.
Kama alikuwa wakala na alakimbia uko nani kamfungua nahizo vifingo mpaka anene watumishi wa mungu amwachie mungu mwenyewe afanye alicho itiwa jufanya ni kujubili injiri ya yesu kristo mungu anirehemu Mimi na wote tuijue kweli yake
Ni neema ya Mungu ndio iliyo mfungua ambayo tunajaliwa na Mungu.
Nakubali kabisa ubarikiwa
Mungu azidi kukupa mafunuo zaidi mtumishi wa Mungu....huwa naoenda kukufuatilia sana...nabarikiwa na huwa inakuwa ni wakatiwangu wa kutubu kila ninapokusikiliza...wokovu ni chagua sahihi...Ubarikiwe mnooo🎉🎉
Mimi nasubilia siku ya mwisho maana kila anaye inuka kumshambulia mtu wa Mungu,mtumishi wa Mungu unaacha kuwafundisha watu,unawafudisha mafundisho ya watumishi wengine,kuweni makini kila mtumishi wa Mungu amepewa namna ya kuwafundisha waumini wake,Acheni kukosowa watumishi wa mwokoz.wewe fundisha watu wako wapate kuelewa neno la Mungu
Be blessed man of God, hubiri ukweli, haijalishi watu wanapinga ukweli, wakati mimi ninapoongea na watu wanasama kanisa gani hilo? Kwa maana wachungaji hawaambii washirika wao ukweli kwamba wasipozaliwa mara ya pili hawezi kuona uzima wa milele Yohana 3:3 Sio kupanda mbegu wala kufunja madhabahu.
Niko Mombasa wacha tuhubiri injili ya kristo ya kweli Ambao inaleta toba.maana injili ndio uweza uletao wokovu.
Sikuamini nilicho ina tena kwa kanisa kubwa la mtumishi anayeheshimika. 😮😢....ni jama shetani aliingia kwa mtumishi na roho hiyo ikasambaa sana jwa jinsi ya ajabu. Mungu akubariki mtumishi kwa kuwa muwazi na kukosoa bila woga na bila kijali umri wako🙏🙏
Mungu akubariki Mtumishi
Waelezee watu waijuwe kweli ya Mungu! Ili waokolewe!.
Ubarikiwe mno mtu.ishi wamungu
Wewe paster nitakuombea sana Mungu akujase zaidi dio utuhumbilie ukweli wa Mungu na kunipeleka kwa injili ya kweli mimi nakufutilia sana
Cassian labda kweli Una kitu Mungu ameweka ndani yako.. no body knows ,ila me nakushauri weka speech au mafundisho yako kwenye mtiririko hii itasaidia ujumbe kufika kwa urahisi kwa walengwa
Daud mtumishi wa Mungu alicheza mbele za Mungu mpaka nguo zikadondoka ( Mikai akamwambia Daud " Umenihaibisha mbele za watu)" Daud akamjibu mke wake Mikai" Nilikuwa nacheza mbele za watu si mbele za binadamu" SHETANI /LUSIFA aliyekuwa kiongozi wa kumsifu Mungu mbinguni alipofukuzwa mbinguni Vitu vyote vya Mungu akafanya vya kishetani __:::Kajifunze kwanza ujue maandiko vizuri .Paschal Mungu akusaidie
Weee paschal Kila mtumishi ni mpotoshaji ila ww ndo uko vzr..hapana ....miminjtaendelea t kusali huko efatha kwa kweli hata usemeje
hatoki mtu mm wala tuu nimefanyiwa mengi na yeye aanzishe kanisa haruhusiwi kuhukumu
Huduma ya Mungu haipingwi hata siku moja tupo tuliopitia shida tunashuhuda nzito lakini Mungukamtumia mtumishi wa Mungu apostle Josephat Mwingira leo tumepona tunamtumikia Mungu ilihali tulikuwa hatufai kwani tulikuwa wahovyo,acha mambo yako
Asante sana mchungani
Hili kanisa lina tukatisha san tamaa
Hawa wakata mauno vile kwa watoto wadogo wanaona nini zaidi?
Hali hii haikubaliki madhabahuni
Kama huyu Cassian angetambua mchango ambao mtume na nabii Mwingira alioutoa katika kanisa la TZ,hakika angenyamaza kimya. Ameweka msingi wa kanisa la TZ, ameng'oa visiki, ametengeneza njia katika mazingira magumu ambapo watumishi wengine wanapita vizuri. Ndugu yangu Cassian, hongera kwa kazi unayofanya, lakini si kila mtumishi ni wa kugusa; Mwingira sio level zako mtumishi wa Bwana
Hauko sawa paskali jicheck vizuri , una matatizo
Pascal kakwama,asaidiwe tu.
Tenaa siyo madogoooo
Pole wewe, omba sana neema ya Mungu akupe macho ya rohoni.
ubarikiwe mtumishi kwakusema ukweli
Ww Kila mtu ni WA shetani pekeako ni WA mungu
😂😂😂😂
mm hapo umeongea why kuwaponda wenzake hivyoo
BWANA YESU APEWE SIFA MTUMISHI
HAKIKA KWA NYAKATI HIZI NDIO UTAELEWA KUWA TUMEOKOLEWA KWA NEEMA MAANA HUYU ATAMKOSOA HUYU NA YEYE KUNA KOSA ANAFANYA MWISHO WA SIKU MWANADAMU ATAISHI KWA IMANI NASIO KWA MATENDO MAANA KWA MATENDO HAKUNA ATAKAE KOMBOLEWA TUMTAFUTE MUNGU WATUMISHI AMEN
asante kwa hayo hatuwezi na tusijihesabie haki kila mtu habaki na iman yake maana ajuaye ya sirini ni Mungu pekee mm kwa sasa nazid kuchanganywa tuu na hawa watumish
Unako elekea unakuwa Mlango mkuu wakutupeleka kuzimu na Tumegoma hatuendi nenda mwenyewe.
Unazingua, unazingua, nasema unazingua paschal
Kabisa yaan
Kazinguuuu sanaaa 😮 tuuuuu
hakika
Nilishakwambia dogo unasumbuliwa na ujinga
kuhalisia tusubiri hatma ya kila mmoja maana unaweza ukasema watu wanahubiri uongo na hata unaweza ukasema huko sahihi kumbe hata hao wauongo wasiwe bado hawajafika kila mtu habaki jins alivyo asante kwa somo ila bado unatuchanganya
Mungu naomba unirehem mm pamoja na tumbo langu yaan kizaz changu mtumishi Mungu akutie nguvu
SAUTI YA MTU ALIAE NYIKANI...
Wewe unatafuta kufa mapema
Mwingira hachezewi
Don't mess with my dad
mmh hakika mwache tuu sisi tumetendewa mengi yeye asikie anavyoongea ila sisi tumepona kwani daudi alichezaje tutajie wa kweli kila mtu mmbaya mch paschal angalia
Wewe ni mtumishi wa mungu wa kweli, kila ninapokusikiza huwa nabarikiwa sana na asante sana kwa kunifanya nielewe ukweli kuhusu manabii wa uongo wanaotupoteza acha mungu akubariki na azidi kukuweka hai hili uendelee kutupa huo ujumbe wa mungu wa kweli nilioutafuta kwa mda mrefu😢😢
Nimebarikiwa na mahubiri Mungu akubariki Mchungaji
Hana lolote Mungu amsaidie hajui anachotenda
Ni kweli kabisa....tujitakase Mungu anahitaji watakatifu sio wenye kujichanganya...Ameni
Fanya kazi ya injili sio kusema watu mtumish kwa nini usiite mmoja mmoja uwasaidie
Yeye anahubiri injili ya kweli. Injili haijui ww ni mtu gani cjui. Lazima tuwaseme kila siku.
Hii ni mbaya sana jamani kanisani...
Asiye kubali mahubili,au mafundisho uyo kweli aja andikwa katika kitabu cha mwana kodoo.
Endeleeni kumuombea cjui ni Mungu yupi mnamuombea huyo, msidhani sisi hatujaokoka tena tunaheshimu Mungu Sana tulikuwa hatufai huko Duniani kabisa sasa tunatumika Kwa Mungu wetu,sifa Kwa Mungu wetu tutamsifu Wakati wote hakuna dhambi katika kumsifu Mungu,
Ni kweli mwingira alikosea ila unaleta story ya mwaka jana ambayo labda alitubu kisa kupata views youtube mmh
Jomoniii Mungu nisaidie Sana nisirudi nyuma bali niongoze Kwa roho wako mtakatifu maana yanayoendelea rohoni ni mabaya nisaidie mwanao nipe kulijua neno lako Kwa undani.
Hubiri neno,acha kusema watu,sio kazi yko kuhukumu,wewe TU huaminiki.acha Izo,usijifananishe na watumishi walio Lea wengi,tumekusikia,ila acha kuhubiri watu hubiri neno yatosha
hakika
Pole sana pastor,EFATHA hatoki mtu.jikague
Pole sana we ng'ang'ana na mtume si umeikataa kweli ni bora ukae kimya Ila utaona siku ambayo utakua ndani ya jeneza pekeako hukum ikiwa Mbele ako hakuna cha mtume wala efata ni heri ungekubali wokovu Sasa madam neema ipo
MUNGU akusaidie
@@user-sd5gi3us5y Kumbe unaogopa Jeneza? Sikwambii maneno mengi ila jambo moja tu sikuombei mabaya ila nakuombea MUNGU akupe kuijua kweli.
Haya ww baki hapohapo. Utajionea siku mmoja. Usilie siku hiyo.
Mpaka kieleweke, hatoki mtu Efatha
hata mm sitoki acha tuu kila mtu mmbaya
Kwani ilikuwa hujui mm nilivyosikia watu walioenda semini unaambiwa kesho yake hamna kurudia nguo ya ndani yaani sidilia na chupi kitu ulichokalia Jana ukalie hicho hicho hamna kubadilisha usipobadilisha nguo ya ndani inaitwa unaambiwa kabadirishe nguo puuu nikashangaa
daudi alicheza mpaka nguo zikamvuka😂😂
Ehee Mungu wa mbinguni tunaomba utuongoze katika imani ya kweli maana kwa akili zetu hatuwezi kutambua.
Ni Mungu tu aingilie kati, watumishi wanatuchanganya, sasa yupi ni mkweli na yupi si mkweli
@@isackmbwambo4179yan mim nachanganyikiwa jamn 😢😢😢
Amen 🙏 🙏
Asante Kwa kutufunulia ukweli huu Mungu akubariki
Jaman ukweli pascol yupo sawa. C ni udunia huo kanisani? Mweee!!!
Huo nabii rolinga sio wa kweli manabii wengi ni wa uongo lakini cassian ni muhubili wa kweli tukienenda katika roho hautapoteswa na mtu yeyote wapendwa wacheni tukae dani ya roho mtakatifu na tena mtaka utiivu
Nadhani angejikita katika kazi aliyoitiwa badala ya kuwazungumza watumishi wenzake,,,,hubili injili ya kweli waliokusudiwa watafuatana nawe badala ya kuwabeba watumishi wenzio,,,,Kila mtu ameitwa kwa namna ya tofauti na Mungu hakuwahi kumuita mtu akamwambia kusudi nililoliweka juu yako ni kuwasema wengine,badala yake anaweza kuweka kusudi la kuzivunja kazi za adui na kama Kuna mtu anatumika huko bila shaka ataanguka kwenye mtego wako bila hata kumtaja,,,so Mungu na atupe hekima ya kusogea mbele kulingana na wito wake
God bless you
Na mfalme daudi nae alivyocheza Hadi nguo zikavuka maungo yake yakaonekana...jeh! Alikuwa wakala wa shetani?
hapo sasa atuambie
Hapo kwenye mauno kwakweli pale wako vzuri atarii😂😂 ila Mungu atusaidie jmn
Kwa hakika Mungu aturehemu sana hiyo dance ni kanisani? I can't hold my tears...... ooh! Lord forgive us, Mungu wangu! Nia yako ni watu wote waokolewe na kujua kweli yako... Baba wasamehe na uwarejeshe kwa njia iliyo sahihi... ubarikiwe mtumishi Mungu awabadilishe kupitia mafundisho haya. Kanisa limegeuzwa na kuwa bar....tuko mwishoni kweli shetani anatumia watumishi wengi kupotosha wana wa mungu...Walokole ni wakati wetu kusimama na kuomba na kufunga ni kwa ajili ya hawa wenzetu maana ni shetani anawatumia sio kupenda kwao... tuwaombee Mungu muumba awafungue....
Daudi alicheza Hadi suruali ikaanguka, ALAFU Kwa kipindi kile chupi sizan kama zilikuwepo Pascal uwe mpole wew MUNGU hachunguziki,
Ebu pata picha sasa waliomzunguka Daud unazan hawakukata viuno,,
Mpendwa hakuna mahali biblia inasema Daudi akacheza mpaka nguo zikaanguka kama iko nitumie nione nianze kucheza pia kanisani kama sio watu wamemuasi Mungu kweli .
Sasa Kila nabii na mitume wa uongo wa kweli ni yupi tutajie
Kasome Biblia utapata jibu
Me mwenyewe nilikua naangalia sana chanel yao mmh nimeacha maana kuna vitu wanahubiri nakua naogopa mm uyu pascal hadanganyi
MUNGU akusamehe mtumishi na kuwa makini usimsaidie Kazi shetani ,
Pia Kumbuka hao kina mwingira ni Baba zako wa kiroho hao ndio wazee wa Injili hapa Tanzania bila kuangalia utofauti wetu wa madhehebu
Sikatai lkn ujue shetani yuko kazini. Mwanzo kina mwingira walikuwa wako fiti sana lkn leo hii dahhh mambo yamebadilika. Kuwa makini sana ndugu.
Mwingira bado wa moto sana yaana moto wa Efatha hakuna wa kuuzima mpaka mbinguni
@@charlesmoses275 amen kihualisia waje wakutane na moto wa efatha wafungukie huko wamwache baba wa watu wasimnene vibaya mm wala sitoki
Unazingua mwamba mhubiri KRISTO YESU watu wamjue kama ROHO wa MUNGU anakaa ndani YETU hawezi kutuficha Siri zozote ACHA kushambulia watu huo ni ushamba. Ushambaaaaa ACHA soma neno hubiri fungua fahamu za watu wamjue Mungu wa kweli na kristo Yesu.kuna Siri za ufalme wa Mungu hazijahubiriwa Wala kufundishwa set your mind set on it. Unaamini vibaya kutokana na mawazo yako mabaya. REPENT BROO😂😂😂
Ajali imemuhadhir huyu kijana
😂😂 Ila jamani sio Mtume wa Efatha mbona wengine tumepata uponyaji na tuna roho ya Mungu kupitia pale tumemuona mungu kwa ushaidi wetu wenyewe , sasa simuelewi
Kabisaaa hata mm nimemwona Mungu kupitia Efatha,huyo acha aendelee kulopoka
Hongera nahisi umebaki wewe tu mtumishi wakweli maana wote wamepotoka
🙏
paschal cassian nabii yoeli alisema nini kuhusu kanisa na matendo ya mitume imeandika nini kuhusu kanisa maana alishasema roho wa bwana atakuwa juu ya nchi vijana watahubiri injili wazee wataona maono watoto wataota ndoto je wewe unalisemeaje hili sometimes kanisa linapaswa kuwa hivyo sikupondi ila ikiandikwa imeandikwa
Sasa wew paschali tumuamini naniii mana kila mtu wewe unasema sio wa mungu je ni yupi umjuaye wa kweli binafsi hata mimi wewe sikukubali kwa sbb tayari wewe ulikuwa wakala wa freemason ukukimbia huko hasa iweje uwe wa kukosoa wengineeeee
Kaka huyu pascal ni mtu anayezungumza kweli MUNGU antumia sana.piga baragumu
Wewe acha kumkufuru Roho Mtakatifu badala yake ingia kwa maombi umwulize Mungu
wewe kama unaona yale huyu mtumishi baschali anaongea ni uongo basi wewe fanya mahamusi yako wewe mwenyewe na roho yako na mungu akusaidie
Wewe pascali acha ushenz utakufa kabla ya wakat wako, acha kusema vibaya watumishi wa mungu
Wewe unae SEMA Paschal alikuwa fremason alikimbia tafakali wewe kwann alikimbia na kufanya mamuzi ya kugeuka kumrudia MUNGU wake jua ni wa kweli anahbili like alicho kiona na kinaendelea katika dunia hii changamka wewe dunia imekwisha Kwanza yesu hakuja kuokoa mtu Alie Safi Bali mwenye dhambi Yesu BWANA wetu alimuokoa ili aifanye kazi yake kugeuza mioyo ya watu iliyopotea
Swali langu zabur 150 inasema tumsifu MUNGU kwa kucheza sasa tunaomba mtindo wa kucheza kibiblia
Yaani kucheza, lkn sio kucheza kama mziki wa dunia. Unatakiwa ucheze polepole. Sio kukata miuno viduku cjui nini hata, havifai mbele za Mungu.
Roho za madhehebu ziangamie ndani ya mioyo yetu !
Njia ni kumwamini na kimfuata
Yesu tu
BARIKIWA MTUMISHI WA MUNGU
We jamaa Huna lofoten sijawai kuona ukifundisha watu njia za mungu za ya kuboboja tu utombo,
Maandiko yepi anayapotoa? Yataje hayo maandiko
Yani tuombe Mungu atupe macho ya rohoni bila ivo
MTUMISHI WA MUNGU ACHA KUNYOA KIDUNIA.
Paschal cassian inakupasa utubu, kipimo hicho hicho unachowapimia wengine utapimwa kwacho, maana imeandikwa kazi zetu zitapimwa kwa moto.
Ni kweli mtumishi wa Mungu. Umefika wakati wa kusema kweli na kukemea maovu. Watumishi wa nalindana. Hawakosoani eti ni wapakwa mafuta. Hayo mafuta kawapaka nani? Ina maana mtu akianzisha tu kanisa ni mpaka mafuta? Mafuta gani hayo?
Huyu nae asaidiwe , kwa hiyo ww ndo mtumishi wa kweli
Mungu azidi kutumia Zaidi maana hata mm nlikua naifualia but ikifika mda Sio mrefu nkasikia roho ikinihukumu n unsuscribe nka unlike nkajiondoa huko juu maongezi pekee utajua huu mlango sio
pia hizi tabia za kupanda mbegu chafu ya watoto kucheza tu,wala sio kuwafundisha neno ndio tunapata kizazi kibaya kisio mjua Mungu..
Huyu jamaa injili yake ni kama ya kulola Ilikuwa ikisema ukweli kwa kukemea uovu.
Umsema mtumishi hivi sio jia sahii
Kwa mandiko yametoa mwelekeo wa.kurekebisha mtu
Sasa mbona usimfikie mtume?
Tuonye mimi ni TAG lakini unachotuonya ni kwelii,ila aliyeweka msingi kwa TAG siyo Kulola ni Lazaro
E,A,G,T ndo kulola Lakin T,A,G baba yake ndo huyo E, A,G,T
@@barakaelias1116 we E.G.T walimeguka kutoka T.A.G.soma histolia kaka
Mwingira ana tumia mafuta ya upako,wanawake wanavaa suruali kanisani,wanasuka na wanakuwa wachungaji sijui maandiko hayo yako wapi kweny bibilia
kamsome nabii yoeli
Yoel 2:28
KUTABIRI-siyo kuwa mchungaji, KUOTA NDOTO siyo kuwa mchungaji na KUONA MAONO-siyo kuwa mchungaji
SHETANI HUTUMIA NENO KUKUPOTOSHA NA KUKUDANGANYA HAKUNA ANDIKO LILILOSEMA MWANAMKE AWE MCHUNGAJI NI SHETANI TU KAVAMIA HAPO
Ztuambie au tuonyeshe nabii wa kweli
True, they care to better their lives none than other. They're tricky and most canning with their false prophecy and as we human being, we're tricked and follow. Chukizo batakatifu pa Mungu.
Amen
kWANI MZIKI WA tAARABU NI WA SHETANI?
Kweli Mungu azidi kukutumia
Wakweli nani tuambie lli tujue wakweli nan
Nikweli daudi alikua anacheza kwa sababu sanduku ya Bwana imerudishwa!.Sasa wewe wa sebene Kama Mungu amekuponya yesu walimbusu na mgumbatia na kumpigia makofi na magoti hata wengine akawakataza wasiseme miujiza!.
Huyu mchungaji panahitaji roho ya Bwana kumuelewa na sio kwa roho za mihemiko ya kule tuliko na kuwaamini hawa Manabii.
nacho elewa kwako ni wivu wa wale washika wanao amini kwenye imani hizi
tubu wewe pascal kuwapotosha watu wa mungu
Kabisa huyu Paschal kaishiwa swaga
Na hivi mtu akiitwa mtume au nabii ndie wa uongo ,vip huduma nyingine za kichungaji,kiinjilist na walimu,,,,,? Take care,kama hujui mtake Bwana akufunulie,na mwenye hekima anamfuata inbox kama unahc kuna eneo haliko sawa,kwan ww ni mtumish wa wote na si kwetu tu, vip kama hataona hii clip?,,,,
Umeangalia na kusikiliza mpaka mwisho?
MUNGU azidi kuku Linda mtumishi
Utavunja matunda ya unacho panda.wasio elewa wanakuona upo sahihi .
Kweli kbs yeye anaongea asiyo yajua
Andika wewe unayoyajua ili nawe uwasaidie hao wasioelewa,
Sema wewe unaelewa nini?.
Hubiri injili ili watu wamjue Yesu.
Kama mnataja manabii wa uongo semeni basi wa kweli ili watu wahamie huko,wa uongo mnasema w kweli mbona hamsemi
Baba chapa kaz binadam hawana jema